Msiban unaleta hutuba za sifa ..msiban toa hutuba znazohisian na KIFO wamby watu km "mtu hafi kwa baht mby kila mmoja lazm atakufa cku yke ikifik ..kwhy tujitahd kufany ibada" ..hyo ndo manen mzr lkn ivo unavoongy ulpasw uongee sehm tofaut na msiban
Zile Risasi alizo pigwa Tundu Lissu laiti angepigwa mwana CCM au raia na akapona. Jambo hilo lingekuwa la kimataifa, la kulaaniwa ndani mpaka nje ya taifa na ungefanyika uchunguzi mkali na kukamatwa watuhumiwa. Kwakuwa aliyefanyiwa ni mpinzani ikafikia hatia mpaka raia wanaona jambo lake ni maigizo flani hivi!.
JAMANI MBONA AKINA BEN SAANANE WALIPOTEA NA AKINA L8SSU KUPIGWA RISASI HAMKUONGEA KWA UCHUNGU..AU HII NCHI IPO MARA MBILI..UPANDE WA CCM NA UPANDE WA UKAWA..EBU TUELEZANE
Ben Saanane hausiani ardhi ya wazazi wetu na ndg zetu Muleba Kuna CCM na vyama vingine vya upinzani kwahiyo mtu unapocomment matope kwenye ndg zetu kunyanyasika na kubakwa kwenye nchi yao nakushangaa hamna anayebariki kupotea Kwa Ben tunauzunika lakini haimanishi Kwa kuwa alipotea Ben Saanane na wengine inapelekea kuuawa, kubakwa, kuteswa na kupingwa ndg zetu kwani sisi hatuhusiani na kupotea hao mnaowazungumzia after all we're not affiliated with any political party we demand for our right of life with full of peace so msilete siasa kwenye swala linahusu maisha ya ndg zetu tunalaani vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa ndg zetu kwenye nchi yao we've no other place to call home for our poor brothers and sisters so please we would like to see government intervention in this issue because is there to save their people.
Kwani heche maeongea mara ngap,, lissu pia, mkasema wanatumiwa na mabeberu haya leo umepigwa nyie mmekuwa wakali nakuona polis wazembee,, kazi iendeleee
Tuliwaambia hii nchi inataka Chuma kama Magu mkasema ni Mbabe sana. Endeleeni Ku Enjoy mnapiga kelele za nini?. MASAUNI mwenyewe amezaliwa huko kwa akina afande Rama atayajuaje ya Rutoro
Tatizo wanapowawa wapinzani mlikaa kimya na mnakaa kimya watu wameokotwa kwenye viroba mnakaa kimya leo CCM inawajeukia ninyi ndo mnaona uchungu wake mwogopeni Mungu mnachopanda lazima mtavuna tuu
Alfonce mawazo. Dah huyu ndo kama tundu lisu. Dunia hii nimehuzunika sana. Hii nimekumbuka beni saa8 dah. Hii nchi kusiwe ccm na chadema. Tanzania ni ya watanzania jamani
Kulia kupokezana msahau Izory gwanda, Benn saanane,, mumemteka hadi leo hawajulikan waliko na je vp kuhusu Tundu Lisu wale waliompiga risas kule dodoma,, Leo imekuwa nyie mnatupigia kelele mbona kwa Tundu Lisu hamkuchukua action yoyote!!!
ndo maana mkuu wa mkoa alisema tuache ujuaji wahaya hivi kwa ongea hii ya mbunge pata picha kila kijiji bukoba kina watu wa aina hii hivi tutajenga stend kweli kwa ujuaji huu
Viburi na ubabe na kujiamini sana ni kujioana upo sawa kwenye kila jambo ni kosa kubwa sana.. Nchi hii imeonekana ni ya wachache sana na wanajiona wana haki kuliko wengine
Mama hii nchi inakuangalia kwatofauti sana,wanzkuona mpole hujui kufoka,hujui kitumbua hadharani,hawa watu wanacheza nawewe mama.Hii nidharau kubwa sana mama.Mama kuwa mkali hii nchi inawatu wenye vichwa vigumu dharau mazoea kukuona hujui Tanzania kbisa.Insums sana mauji hya umezidi jmn
Kisema eti Rais wetu hafoki siyo kweli. Kwani kufoka ndiyo uongozi? Mnapenda kuongea sana. Mh Charles Pole sana sana. Mwenyezi Mungu akailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
sana ndugu ila wafrica wajinga sana nchi inanuka damu na maut yakilasiku ila watanzania wakosa akili wanasema sasahivi inchi ipo salama kisa tu hawana akili yakuona maovu yanavo zidi awamu hi ya samia kiukweli tanzania inatisha sana
Hii inchi watu wanakufa kila ciku kimyakimya na hata kwa nguvu na wanaofanya wanatuchekea kwa media.....hata HUYU jamaa alipokua wazir nazani alishuhudia na mpaka sasa anashuhudia ....hivo asijitie anauchungu sana kisa jamaa ake
Poleni ndugu jamaa na marafiki wa marehemu. Raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wamilele umuangazie apumzike kwa amani. Aminaaaaaaa!!!!
Mnapenda sana kuabudu wawekezaji na mnawaabudu kwakuwa hamuishi kuwakingia mikono mnasubiri vishilingi shilingi vinavyodondoka
Unashout shout apo kimaigizo mbona hukuwa emotional walipokua wanapotea na kuuliwa watu
Ni hatari kubwa sana. Tunaenda wapi jamani?. poleni sana. Amen.
Zake zimetimia Mwenyeez mungu aipokee Roho ya marehemu mahara pema pepon Amina
Nimekumbuka Maneno ya Lema...nanukuu "mkimaliza kutushughulikia sisi basi mtaanza kujishughulikia nyinyi kwa nyinyi"
Acha ujinga ndiomana unaishi maisha ya ziki pumbavu ww lema nibabako
@@jacksongabriel4693 Tako ww
Mbona hata wao wanamalizana wao kwa wao ?? Ndio maana akina kabwe wakakimbia
Msiban unaleta hutuba za sifa ..msiban toa hutuba znazohisian na KIFO wamby watu km "mtu hafi kwa baht mby kila mmoja lazm atakufa cku yke ikifik ..kwhy tujitahd kufany ibada" ..hyo ndo manen mzr lkn ivo unavoongy ulpasw uongee sehm tofaut na msiban
Mungu amlaze mahali pema peponi, Poleni sana
Zile Risasi alizo pigwa Tundu Lissu laiti angepigwa mwana CCM au raia na akapona. Jambo hilo lingekuwa la kimataifa, la kulaaniwa ndani mpaka nje ya taifa na ungefanyika uchunguzi mkali na kukamatwa watuhumiwa. Kwakuwa aliyefanyiwa ni mpinzani ikafikia hatia mpaka raia wanaona jambo lake ni maigizo flani hivi!.
Umeongea big up sana
JAMANI MBONA AKINA BEN SAANANE WALIPOTEA NA AKINA L8SSU KUPIGWA RISASI HAMKUONGEA KWA UCHUNGU..AU HII NCHI IPO MARA MBILI..UPANDE WA CCM NA UPANDE WA UKAWA..EBU TUELEZANE
Ben Saanane hausiani ardhi ya wazazi wetu na ndg zetu Muleba Kuna CCM na vyama vingine vya upinzani kwahiyo mtu unapocomment matope kwenye ndg zetu kunyanyasika na kubakwa kwenye nchi yao nakushangaa hamna anayebariki kupotea Kwa Ben tunauzunika lakini haimanishi Kwa kuwa alipotea Ben Saanane na wengine inapelekea kuuawa, kubakwa, kuteswa na kupingwa ndg zetu kwani sisi hatuhusiani na kupotea hao mnaowazungumzia after all we're not affiliated with any political party we demand for our right of life with full of peace so msilete siasa kwenye swala linahusu maisha ya ndg zetu tunalaani vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa ndg zetu kwenye nchi yao we've no other place to call home for our poor brothers and sisters so please we would like to see government intervention in this issue because is there to save their people.
Nyinyi kuwauwa wenzenu mnapenda kumbe mkuki kwa nguruwe Tu
Umesema ukweli
Kwa kweli inaumiza sana, Mungu atusaidie kwani kila mtu Ana haki ya kuishi.
Kumbe wakifa wanasiasa ndiyo inauma.....Mbona Mbarikiwa Mwakipesile anapiga kelele hasikiwi
Innalillah wainna ilaih rajiuun Allah is great
Kwani heche maeongea mara ngap,, lissu pia, mkasema wanatumiwa na mabeberu haya leo umepigwa nyie mmekuwa wakali nakuona polis wazembee,, kazi iendeleee
Wape chadema nchi baadae ndo utakuja kuelewa
Chalamila masikini anamuangalia tu hana hata la kusema
Nyie Fanyeni Vyote Uwaeni Wenyewe kwa wenyewe Ila Msije Mkajaribu Kumuua John Heche wetu.
Sasa heche aliwahi kuwa mkazi au kiongozi wa muleba, acheni siasa upofu
@@abuukamugisha5994 Kazi ya kukurupuka...heche ndo mtaa gani!!!
WAMEOMBOLEZA SANA WAPINZANI KWA KUTEKWA, KUPOTEZWA NA KUUWAWA. SASA MMEANZA KUUMIZANA NYIE KWA NYIE CCM
MLIZOE KUWAONA CHADEMA WANALALAMIKA MAUJI
Mama Samia hii nchi inataka kuendesha Kibabe tofauti na hapo hii itakuwa endelevu na Amani itavurugika.
kabsa
Ndo maana MAGUFULI Mimi nilitokea kumuelewa sana
Aliyeendesha kibabe mbona akina Lisu walipigwa Rusasi au kwasababu hakufa
@@nasorosaid3227 ulimwelewa eeeeh......kwahiyo kitendo alichofanyiwa Tundu Lisu kwako wewe ni dua siyo
@@renatusrevocatus3895 Tundu Lisu ni Mumeo?
Ahaa mmeanza kuuana wenyewe safi sana roho ya mauaji ni mbaya sana
japo sifa ulizikataa ila unazo Tena nyingi had zimepitiliza mama anakutaftia nafsi
Umekomenti nini sasa na wewe hizoo ni sifaa.
Muosha huoshwa...!!
Hapo watajulikana.. kwa wengine Wasiojulikana !!
Dr. Remmy aliimba .."ukitukana nawe utatukanwa. "
Malizaneni tu hamna jipya ccm
Upande wa pili wa sarafu...
Hongera.sana.mwaijage.mbunge.kwa.kutete.wananchii.wako
Imenitoa machozi hii speech Mungu ingilia Kati😭😭😭
Mungu yupi ??
Hii haki ingeenda mpaka kwavyama pinzani , mbona lisu alipigwa lisasi lakini hamkusema?
Mwijage ni kichaa mm namjua toka akiwa waziri 😅😅😅😅
Nafasi Bado zipo kweli sidhani kama zipo tugawane kidogo kidogo ushatafuna Sana mzee waachie wengine time will tel
Tuliwaambia hii nchi inataka Chuma kama Magu mkasema ni Mbabe sana. Endeleeni Ku Enjoy mnapiga kelele za nini?. MASAUNI mwenyewe amezaliwa huko kwa akina afande Rama atayajuaje ya Rutoro
Punguza jaziba ww imekuuma San kisa yy ccm mbona vyama Pinzan wana uawawa na serikali iko kimya
Msiba umefika ndani sasa wanalia na kufoka, ingekuwa wale wa vyama vingine mnakuwa 😷😷
Nimekumbuka yaliyompata mawazo, Ben⏱8..
Mwangu daaaahhh,, halafu siku ya mazishi zikaja vurugu 🥲🥲
Ccm mlijisahau sasa mnakulana wenyewe Tatizo mkipewa uongozi ccm mnajiona Mungu watu....
Heti chegu avalaa..bure kabisa
Lia mpaka ufe
Mawazo na Beni saa nane bado wapo sijui?
Kumbe Huwa mnahisi maumivu duh😭😭
Tatizo wanapowawa wapinzani mlikaa kimya na mnakaa kimya watu wameokotwa kwenye viroba mnakaa kimya leo CCM inawajeukia ninyi ndo mnaona uchungu wake mwogopeni Mungu mnachopanda lazima mtavuna tuu
Duh!!! Mwijage ameumizwa
Na bado mtakulana wenyewe kwa wenyewe hii ndio TANZANIA ya leo
Siyo ya Leo tu...... Niyatokea uhuru
Mungu tunaomba ulinzi na Amani katika taifa letu la Tanzania so poleni saana kwakweli wafiwa
Yaan maneno mengi point hakuna 😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣
Poleni.sana.watu.wa.Lutolo
Hii nchi nzuri Sana hii
Sana sana nchi ni nzuri mnooo
Inauma sana kweli
Hiii Tanzania, eee mmh tutajionea mengi
Alfonce mawazo. Dah huyu ndo kama tundu lisu. Dunia hii nimehuzunika sana. Hii nimekumbuka beni saa8 dah. Hii nchi kusiwe ccm na chadema. Tanzania ni ya watanzania jamani
Weacha tu
SUBHANNA LLAH
inalilahi wainailah rajiun 😭
Tuliipenda wenyewe mmmh Chaguo letu wenyewe acha tuosome No.??? Kax ipo
Daaaahhh na sisi CHADEMA tungekuwa tunaliliwa hivi na watawala basi ningeona kuna haki sana ktk taifa letu hili
Jaman inauma sana
Mi niwape pole kwa msiba 😭😭😭wakatilisu anapigwa risasi mbona mulikaa kimya? Haipendezi lakini
Tena wanasema alijipiga
Tutarara musikitini duh kazi mnayo mwijage muleba ina hekita 20 elifu😂😊
Naamini Mwijage ni mtu safi,, mengine yaliyotokea huko nyuma kwenye system pengine hayamhusu moja kwa moja.Serikali iingilie kati haki ipatikane
Mukimaliza wapinzan mutageukiana na kumalizana wenyewe kwani anayeua kwa upanga........
Poleni sana
very painful speech
Wawrkezaji wasiwekwe kwenye makazi ya watu ndo chanzo Cha migogoro. Mbona maeneo ya wazi yako mengi jamani😭😭
Nyie kuuwa wengine uwa mnaona sawa
bado 1:09 sana mkuki kwa nguruwe
Una piga kelele ben 8 yupo wap et acha fujo c ya kifo c ya kumuombea mwenzako lakn ww mbona ya upinzani haupigi kelele
Huu ujasiri ungetumika kipindi cha Saanane, Lissu nk ingeleta maana.
Sema nn, au basi
Mwqijage mbona mapovu yanakutoka mbona Tundu lissu alivyopia lisasi atujawaona mkiongea? Au tundu lissu paka?
Foolish words ever..Viongozi wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii, hana mpangilio wa mazungumzo . Kiongozi gani anatetea tumbo lake
Anajiita mzee wa sound.
Mchungaji shikamoo wengi wariombere ukiua kwaupanga na wewe utauwawakwaupanga mungu mwacheni arivyo mkuu
Polen sana inauma lakin mbona upizani huwa hamuongei hivi?
Mkimaliza kitushughulikia mtajishughulikieni wenyewe kauli ya upinzani
heche alishaongea sana
Hapo hatupo kwaajili ya kumtambulisha mama Samia bali tupo msibani
Kulia kupokezana msahau Izory gwanda, Benn saanane,, mumemteka hadi leo hawajulikan waliko na je vp kuhusu Tundu Lisu wale waliompiga risas kule dodoma,, Leo imekuwa nyie mnatupigia kelele mbona kwa Tundu Lisu hamkuchukua action yoyote!!!
Tukiona wana CCM wanakufa tunashukuru Mungu hao ni washenzi ukimuona anataka kukata roho basi msaidie afe haraka sana
Uzuri wote njia moja hakuna atakayeota hapa duniani.
ndo maana mkuu wa mkoa alisema tuache ujuaji wahaya hivi kwa ongea hii ya mbunge pata picha kila kijiji bukoba kina watu wa aina hii hivi tutajenga stend kweli kwa ujuaji huu
Tuulize tulioko huku
Wewe stend ya kwenu ndo uliyeijenga ama??
Kwa hiyo wameongea wote umewaona au ndo chuki na ushamba wa ukabira vinakusumbua
@@innocentmtashobya1257 huyo vinamsumbua tu mjngamjinga
Imungu ailaze pema rohp ya marehemu inasikitisha sana watu kuuwawa namna hii Tanzania tunakwenda wapi?mungu inusiuru tz
Viongoz wengine bhana, yani ni viazi kweli kila sentensi kadhaa mama samia mama samia, acheni unaa.... fanyeni kazi
Namuona Chalamila ameinama kama anatafakari nini aseme.
Pole sana mwishimiwa 😭
Kweli huyu ni mwishimiwa na sio mheshimiwa 😅😅
Sijui Yuko wapi beni saanane
Viburi na ubabe na kujiamini sana ni kujioana upo sawa kwenye kila jambo ni kosa kubwa sana..
Nchi hii imeonekana ni ya wachache sana na wanajiona wana haki kuliko wengine
Duh,mwijage huwa simwelewi kabisa mie😁😁
Aisee 😭😭
Mama hii nchi inakuangalia kwatofauti sana,wanzkuona mpole hujui kufoka,hujui kitumbua hadharani,hawa watu wanacheza nawewe mama.Hii nidharau kubwa sana mama.Mama kuwa mkali hii nchi inawatu wenye vichwa vigumu dharau mazoea kukuona hujui Tanzania kbisa.Insums sana mauji hya umezidi jmn
Aliyejua kufoka mbona Lisu alipigwa risasi Ila hakufoka......? Sema tu mkuki kwa Nguruwe............Ila kwa Binadamu mchungu
Kisema eti Rais wetu hafoki siyo kweli. Kwani kufoka ndiyo uongozi? Mnapenda kuongea sana. Mh Charles Pole sana sana. Mwenyezi Mungu akailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Malizaneni tu msitusumbue sisi ARAAAH
Aisee mwijage ameongea kwa uchungu Sana aisee
Duh
Dunia yetu Tanzania ishafika mwisho
Nawasalimia Kwa salamu ya katiba ya jamhur ya Tanzania Kaz iyendelee
It is a sensational speech!!
Mungu awaponye
Leo. Ndio,nimeamini kumbe. Ccm Mdio kirusi cha nchi,hii katibu tu kelele je siku akipigwa mbunge wa ccm? Hayo Umeyanza,wenyewe tulieni sasa
JESUS 🕊️💔
Kumbe inaumiza kukiuliwa nyinyi munahuzunika mbona mukiuwa wenzenu kunachekekea Wapemba wanauliwa kila uchaguzi mbona hamuhuzuniki
R.i.p ALPHONC MAWAZ
Poleni family ila Mungu asipoulinda mji wlindao wakesha bure
Malipo ni hapa hapa duniani..!Uwaneni mbaka muishe Pumbavu...!
Kuna shida sehemu fulani, mambo yamebadilika Sana.....mmh
sana ndugu ila wafrica wajinga sana nchi inanuka damu na maut yakilasiku ila watanzania wakosa akili wanasema sasahivi inchi ipo salama kisa tu hawana akili yakuona maovu yanavo zidi awamu hi ya samia kiukweli tanzania inatisha sana
Mm nmtiifu wa chama natucokuwa na chama je?
Hii inchi watu wanakufa kila ciku kimyakimya na hata kwa nguvu na wanaofanya wanatuchekea kwa media.....hata HUYU jamaa alipokua wazir nazani alishuhudia na mpaka sasa anashuhudia ....hivo asijitie anauchungu sana kisa jamaa ake
Yangu macho napita 2 kuangalia comments .Kweli Kiswahili ni kibantu mwijaaaaa😂😂
Innalilah wainnalilah rajiuun! Poleni wafiwa!
Tatizo ninittena huko mbona nihatati....
🥺
Wacha inyeshe kabisa tuone panapovuja. Wakitekwa na kuuwawa akina chama fulan . Kimya.
😢😢 Jamani ndio nini sasa hiii
Sare ya msiba au ya chama
@@priscasway3492 Hapan anachozungumza
Mbona sasa analipiga sanduku na mkuu wa mkoa unaangalia tu wakati wengine tunauchungu
Wananchi wakawaida wakifa haina neno kifo cha bahati mbaya tu labda jamaa alijua ni mnyama imekuaje mpaka apigwe risasi
Mwekezaji anafanya ujinga mnamwangalia UVCCM na Green guard huyu ni kumkatili inatakiwa kimpotezea kwa muda kusahaulisha na kumgawa vipande na yeye
Inauma sana.
Yaelekea kila aliyepewa madaraka katika nchi hii anajichukulia maamuzi ya hukumu.
Mmeua wengi acheni muuwawe