MAREHEMU SHEIKH AHAMD HAIDAR HAKUWAHI KUOWA - SHEIKH WALID ALHAD

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @omarijuma6692
    @omarijuma6692 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri mrefu

  • @sheikhanasser4714
    @sheikhanasser4714 4 ปีที่แล้ว +9

    Inna Lilah Wa Inna Ilayhi Rajioun Allah Amlaze Jannat Firdous Ameen 🤲

  • @nasrihanya9067
    @nasrihanya9067 4 ปีที่แล้ว +8

    Mashaallah ulivyo skujua kama MZALAMO Allah amuifanz uyo Shekhe

  • @mohamedihashim7420
    @mohamedihashim7420 4 ปีที่แล้ว +7

    Sheikh walid mungu akuzidishie kheyr

  • @faridbakana5377
    @faridbakana5377 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuzidishie umri Shaikh Waliid

  • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
    @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 ปีที่แล้ว +4

    Innalilah wainna ilayhi rajiuun Mungu ampe kauli thabiti

  • @ismailally7692
    @ismailally7692 4 ปีที่แล้ว +4

    mwenyezimung amsameh mazambi yk na amrehem inshaallah

  • @rahmamakwisa4089
    @rahmamakwisa4089 4 ปีที่แล้ว +3

    Innallilah wahnallilah raajuni...
    Allahummaa A'miin yaarabi....
    walaykum msalaam warahmatullilah wabarakatuh

  • @hudheifaomar2370
    @hudheifaomar2370 4 ปีที่แล้ว +3

    ماأفصحك يا شيخ وليد..الله يزيدك من فضله

  • @asinakassim1548
    @asinakassim1548 4 ปีที่แล้ว +3

    Innalillahi wainna illaihi Rajioun....yaaaa Rabbi 😢😢😢

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 4 ปีที่แล้ว +5

    Innalillah wainnaillah raj'uun....

  • @salamakijonjo775
    @salamakijonjo775 4 ปีที่แล้ว

    Allah amrehemu in shaa Allah

  • @binbaya923
    @binbaya923 4 ปีที่แล้ว +4

    Innah lillah wainna ilay rajiuon

  • @hudheifaomar2370
    @hudheifaomar2370 4 ปีที่แล้ว +2

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فى الجنة

  • @hamadikiluvia2655
    @hamadikiluvia2655 4 ปีที่แล้ว +4

    Inna Lillah waina illah rajioun..

  • @allykaluona9155
    @allykaluona9155 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah amtangulizie kheri

  • @momatv2019
    @momatv2019 4 ปีที่แล้ว +4

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuun

  • @binbaya923
    @binbaya923 4 ปีที่แล้ว +2

    Maa shaa Allah

  • @funnytv9311
    @funnytv9311 4 ปีที่แล้ว +2

    Makanin cennet olsun Turkiyeden selamlar😷😷😭😭

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdu lilah

  • @saumuramadhani8470
    @saumuramadhani8470 4 ปีที่แล้ว +1

    Innaalillahiw wainnaa ilayhir rajiuunn

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 4 ปีที่แล้ว +3

    رحمه الله رحمة الأبرار

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah amraham!

  • @fahmisaliim1914
    @fahmisaliim1914 4 ปีที่แล้ว +6

    Innalillah wainna ilah Rajiuun

  • @sharifamhina3200
    @sharifamhina3200 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah amsameh mazambi yake inshallah

    • @aminaibrahim4148
      @aminaibrahim4148 4 ปีที่แล้ว

      Innalilah Wainna lilah rajioun Allah ampe kauli thabit

  • @sheikhakidaathumani6337
    @sheikhakidaathumani6337 4 ปีที่แล้ว

    Twayyaba Allahu tharaahu

  • @saddyclassicfashion9577
    @saddyclassicfashion9577 4 ปีที่แล้ว +3

    Innalillah wainnailayhi rajiun 😭😭😭😭

  • @allymohammed1084
    @allymohammed1084 4 ปีที่แล้ว +2

    Maasshaallah

  • @mukrimkidume44
    @mukrimkidume44 4 ปีที่แล้ว +1

    mashaallah

  • @yahyamkumi9299
    @yahyamkumi9299 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbona hujaweka manzungu ya sayyid Ahmad mzee mwenye

  • @millenniumoiltanzanialimit1265
    @millenniumoiltanzanialimit1265 4 ปีที่แล้ว +2

    Alhamdulillah

  • @youthhandbollinzanzibar3989
    @youthhandbollinzanzibar3989 4 ปีที่แล้ว +2

    INNALILAH WAIINAIHIRAJIUUN

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 4 ปีที่แล้ว +4

    Innalillah wainnailayh raaj uun

  • @hosseinrashidi2240
    @hosseinrashidi2240 4 ปีที่แล้ว +3

    Du shekhe wangu nataka kusoma kwako mwalim Walid

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 2 ปีที่แล้ว

    Acha uongo ww heti imaam bukhari hajawahi kuoa.

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 4 ปีที่แล้ว +1

    Siku hizi misiba ya kiislam imekuwa mireefu Sana Hadi wasihi wa marehem upo?

    • @ahmadmpinzire5649
      @ahmadmpinzire5649 4 ปีที่แล้ว +1

      Inategemea umeudhuria msiba gani!hawa wenzetu Quruan na Sunnah huwa hawatosheki navyo ila waiga na wabui mengine kwny Mambo ya Ibada za dini

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 4 ปีที่แล้ว

      Hapo inayozungumzwa kwani sio Quran na hadithi? Kila pahala mnaleta mirengo na ushabiki.

    • @ahmadmpinzire5649
      @ahmadmpinzire5649 4 ปีที่แล้ว

      @@alhilaltvonline Sielewi nani shabiki baina yetu na ww!punguza mihemko ili akiri yako iwe huru,mtume wako ama swahaba yeyote kuna aliyefanya hiv kwny misiba?

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 4 ปีที่แล้ว +2

      Tusomeni kwanza. Tukisoma hatuwezi kusema hili Mtume hakufanya na sisi tusifanye. Hapo ulipo unatumia TH-cam, Mtume alikuwa mtandao gani?
      Hapo wote unawaona majaahil, wewe ndiye mwanawachuoni. Hapo Kuna masheikh na elimu zao na wanajua wanachokifanya. Ila tatizo ni wewe kuona wote hawana elimu Ila wewe.

    • @ahmadmpinzire5649
      @ahmadmpinzire5649 4 ปีที่แล้ว

      @@alhilaltvonline Dah jamaa angu uko mbali na dini yako namuomba Allah aniongoze Mimi na wewe,vipi ulinganishe mabadiliko ktk teknolojia na uzushi ktk dini?Dunia na Teknolojia zake zitabadilika itafikia watu kusafir km txt ama umeme hakuna zambi lkn dini ya Allah haitakiwi kuongezwa wala kupunguzwa kwa lolote lazima ibaki km ilivyoachwa na kukamilishwa na allah.

  • @hessenomary6032
    @hessenomary6032 4 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh huyu muongo kwa kuwazushia hao maimamu kuwa hawakuoa kadhaab huyu amche Allah

    • @wazirikhamisi4828
      @wazirikhamisi4828 4 ปีที่แล้ว

      Hapo kasema ukweli na uongo pia ktk maimamu ALIO wataja hapo asie OA IMAMU nawawi tu ambae kafa akiwa na umri takriban 32

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu inaonekana wewe ni mjuvi wa tarikh ya uislam, pia yawezekana una 'ilimu kubwa kuliko hao masheikh wote waliokuwa hapo ktk msiba huo pamoja na waislam wengine waliohudhuria ktk msiba wa sheikh huyo, naomba nioneshe ktk kitabu kipi cha tarikh kilichoelezea kuoa kwa imam Zamakhshari, imam Nnawawi na imam Bukhari?!

    • @abdallahmasanja621
      @abdallahmasanja621 4 ปีที่แล้ว

      Unamfahamu huyo anayeongea hapo,huyo ni shekhe walid nimiongoni mwa watu wa tz wenye Elimu kubwa ya dini ya kiislam kwaiyo usikurupuke.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 ปีที่แล้ว

      @@abdallahmasanja621 hakika Hussen Omary amekurupuka, tatizo la watu wa namna hii huwa wanalishwa matango pori ya mitazamo ya masheikh zao ili wamkosoe kila sheikh asiyefata mitazamo yao ktk dini, tena hata ikiwezekana kukosoa kwao huko si ktk njia sahihi lakini wao wapo tayari kumtia sheikh ktk makosa ili aonekane hafai.

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 4 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 4 ปีที่แล้ว +4

    Innalillah wainna ilah rajiuun