BALAA!! WAZIRI SLAA AKASIRIKA VIBAYA AZUIA UJENZI WA GHOROFA HILI MSASANI/ATOA MAELEKEZO HAYA MAZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 59

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mh.waziri"huyu agombee urais tutampa kura nyingi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ernestmpimo1087
    @ernestmpimo1087 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri kanyoka na mwenye huruma,mwelewa mpole 🎉🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @respiciusndyanabo366
    @respiciusndyanabo366 หลายเดือนก่อน +3

    Nakukubali sana waziri ubarikiwe sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u หลายเดือนก่อน

    VIVA MH. WAZIRI SILAA.....KWA HAKIKA WIZARANI KWAKO, MIJI NA HALMASHAURI 'KUMEOZA'....SAFISHA....RUSHWA NA UFISADI UMEKITHIRI.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @janemuga587
    @janemuga587 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri asante kigamboni Dar bado ni changamoto waziri tunakuomba utusaidie

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @danielmadale7710
    @danielmadale7710 10 วันที่ผ่านมา

    Slaa kaka wewe ni kiongozi wa kweli. na unajali haki za watu. tunakuombea uongezeke zaidi ya hapo ulipo.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 วันที่ผ่านมา

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it หลายเดือนก่อน +2

    Mpaka waziri afike du.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 หลายเดือนก่อน

    Kazi Kazi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-yf4zo1sm5l
    @user-yf4zo1sm5l หลายเดือนก่อน

    Waziri uko vizuri sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn หลายเดือนก่อน +1

    Ngoja nione mwisho

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 หลายเดือนก่อน

    Njoo na kigamboni kwenye makazi ya watu kuna kituo cha mafuta kipya pia huo huo mtaa kuna kanisa lina kelele usiku na mchana mpaka tunao ishi mtaa wa liverpool hatuwezi hata kulala kwa kelele

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l หลายเดือนก่อน +1

    WATENDAJI WA WIZARA RUSHWA.....ITAWAONDOA KAZINI. WAPO WASOMI WENGI WANATAKA KAZI , MSIJE LAUMU VIONGOZI WANAPO KUTUMBUENI

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-tk4es1uw7e
    @user-tk4es1uw7e หลายเดือนก่อน

    Ndugu waziri oyster bay tunomba umechafuka ovyo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 หลายเดือนก่อน

    Makelele kwa kweli ni tatizo hii inasababisha watu kuwa vichaa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 หลายเดือนก่อน

    Waziri hao watendaji wako ndio wana haribu plani ya Mji Kwa ulaji wao wa Rushwa safisha Wizara imeoza

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d หลายเดือนก่อน

    Nchi hii ina mijitu mipumbavu hakuna mfano, hebu angalia mitendaji hata haijui inafanya nini

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 หลายเดือนก่อน

    Aise kiukwel upo sahihi san waziri, lkn mipango miji yetu ilishahalibiwa muda mrefu san, kwa iyo sheria hii ukiangalia kwa makini endapo ataifuatilia ipasavyo bac nyumba kalibia zote zitavunjwa Tanzania

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @karyori69
    @karyori69 หลายเดือนก่อน

    Siku JPM alipokuja na mpango wa kuuza nyumba za serikali nilijua haya!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 หลายเดือนก่อน

    Mhe.waziri msamehe tu huyo mtanzania hiyo gorofa ni nzuri kwa kweli inapendeza inafanya dar izidi kupendeza zidi ya Nairobi.Huyo balozi aende Dodoma ndiko wanatakiwa na kupata haki zao ili wasikwaze maendeleo ya Tanzania ya mzee Nyerere na mama yetu Hassan suluhu mie nilizani huyo jamaa kajenga kwenye kiwanja cha raia mnyonge.Aachwe amalizie ila wengine wazibitiwe.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l หลายเดือนก่อน

    Hakika wewe waziri nimtu safi sana hunaupendeleo mtu apate hakiyake nakama amekosea unamnyoosha wanyooshe baba

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 หลายเดือนก่อน +1

    Kasimamie Barabara za Jimbo la Ukonga maana hazipitiki achana na bomoabomoa ya Nyumba za Watu na hao Mabalozi waambie Ardhi ni mali ya Watanzania Wanyonge wanatafuta kipato kama wanaona shida kuishi jirani na Watanzania wafunge virago waende wakaishi huko Kibera Nairobi.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @Hamy1109
      @Hamy1109 หลายเดือนก่อน

      Huna akili wewe umaskini umeua ubongo wako. Tuachie waziri wetu apige kazi.

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 หลายเดือนก่อน

      @@Hamy1109 sisi wapiga Kura wa Jimbo la ukonga tunamsubili kwa hamu 2025 atwambie tofauti ya Jimbo la Ukonga na Ilala ni nini maana miundombinu ya Jimbo la Ilala inajengwa kwa Kasi ya 5G wakati Barabara za Ukonga ni Mabwawa matupu.

    • @kingsurul844
      @kingsurul844 หลายเดือนก่อน

      Nonsense

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni kazi ya waziri wa ujenzi yeye anatoa mapendekezo tu kwa waziri husika na kusubili mapendekezo hayo kama yatafanyiwa kazi​@@modestwenceslaus9

  • @Mamkubwa
    @Mamkubwa 27 วันที่ผ่านมา

    Anafanya kazi kweli. Nikupe hii senario. Tatizo ni pale mtaani kwangu tayari nyuma yangu baa kubwa, mbele ghorofa la floo 8, vilijengwa miaka kadhaa imepita. Kweli tunaishi kwa kero makelele. Sasa na mie leo nataka kujenga mgahawa nazuiliwa na waziri huyu. Wakati ghorofa nnahakika halitabomolewa ni la mmoja wa waziri. Bar haitabomolewa ni ya tajiri mmoja. Hapa jamani semeni inakuaje? 😢 Hakuna mpango tena ..... walishaharibu. Unless pia afukuze watu wake wote. Maana vibali vya ajabu bado vinatolewa. Kuna wananchi wanapoteza pesa kwa kuja kubomolewa wakati anahakikishiwa we jenga tu hamna tabu. Chunguza kwa umakini waziri na humo ndani wizarani kwanza. Na pia hizi Elimu toeni kwenye radio na TV kubwa za nchi.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  27 วันที่ผ่านมา

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l หลายเดือนก่อน

    Sasa MH asiimamishe au avunje? Sheliya MSUMENO

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee หลายเดือนก่อน

    Watendaji wako wapi? Waziri atazunguka nchi yote kweli!? Kama watendaji ni mzigo peleka mswaada bungeni ubadilishwe mfumo wa ajira kwa uma tuwe na ajira za mkataba

    • @knight6757
      @knight6757 หลายเดือนก่อน

      Utamaduni?

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo umechemka sana barozi moja wa nchi nyingine analalamika nini si ahame.

    • @elisantenyange8751
      @elisantenyange8751 หลายเดือนก่อน +3

      Umewaza kwa ufupi sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 หลายเดือนก่อน +2

      Jifunze kwanza kuandika, barozi ndio nini? Huyo aliyejenga ghorofa ndio kachemka

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 หลายเดือนก่อน

    Mabalozi waende dodoma

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa Kutufuatilia