PART 3, PUTIN NI MBABE, URUSI NA MAREKANI NI MAFAHALI WAWILI, WAMEFANYA UHARIBIFU MKUBWA DUNIANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA DUNIANI KOTE
Connect with Us| Tufolow
Twitter👉 / assenga_online
Instagrma👉 / assengaonline
Tiktok👉www.tiktok.com...
Telegram 👉 / assengaonline
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com
Ahsante kwa maoni yako mazuri,kwa sisi tunaokuelewa.
Mtu akiikashifu urusi tutaumana ohoo😮,
Siwezi kusaport mashoga
Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN
Mzee kwaurusi nakataa hakunamtu asiejua kua NATO ndio washenzi dunia hii.....bg up Russia
wewe ni mtoto wa juzi hujui siasa wewe umelishwa matango pori
Ilove rusiia❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwani NATO wanajihami nanani naupanuziwao hadiwa
Huyo mwakatobe yuko vizuri sana, sio kuna watu wengine wanaongelea ushabiki tu humu, hawajui kitu.
Mungu ibariki urusi
Jamaa mchambuzi mzuri
Tumeshaingia tayali subili moto ukolee tu
Huna ulichoongea Putin sio muharifu umeongea pumba
NATO wanatetea wanachoma qur an tukufu etiniuhuru wakujieleza lakini kuikashifu marekani nikosakubwasana niajabusana
Wanatetea mashoga kwani nawewe ni shoga?
Rusiia maliza mashoga wotee mungu akulinde
Ukren alitaka ajiunge na bato kk wa alipo pewa hio nchi na mrudsi alisha ambiwa hamna kujiunga na nato
Urusi maliza mashoga wote
Punt pinga mashoga nyukilia
Urusi siyo mharifu
Wa bongo wengi wanaxhida ya. Akil hakna m2 mweupe anaewez kukutetea wewe tofaut na masrahi yake binafs cio NATO au RUSSIA nashangaa mnavyo watukn nato
Wewe ndio huna akili sisi wengine tunazo kwani urusi kavamia inchi gani unayoijua wewe au una maslahi na hela za mashoga
Vije tu
Usifasadi wake na manyangau wake huyo nifala anae taka nato amletee vita karibu na puttib?
Mrudi syra alikua ansmsaidia raisi assad hakufanya vibaya wala acha uongo
NATO sio saw na PUTIN ww fala , NATO n marekan nd washenz usimshirikish Putin wach usenge
Kukisema urusi myonyaj kama America nisawa na ujui historia haya mataifa historia ya urusi na ukren Bora ukae kimya mchambuz
mwenzio ni mchambuzi wakimataifa ,wewe hata wa mtaani hujulikani
kwahy akiwa wakimataifa hakosei kilamtu anaangalia upande wake
Sivyo. Urusi si Inchi mbaya kulingana na Inchi za NATO. Kuingiya Kwa Urusi katika Inchi mbalimbali ni kwa sababu za kuokowa Inchi hizo kwa Siasa mbaya za Wamagharibi. Urusi imeingiya Ukraine ni kwa sababu hizohizo za Siasa mbaya za Wamagharibi. Ukraine ni Inchi ili kuwa ni Njiya y’a Wamagharibi kuingiya Urusi. Mimi sihelewi kwa nini Watu wana penda kuilahumu Urusi zidi y’a Ukraine. Sisi wa Africans siyo Watu Wazuri. RUSSIA siyo DR.Congo. DRC ili subiri Rwanda kuivamiya, na leo hii DRC ime poteza Millioni y’a Watu, na Mali kuporwa hovyo. Sasa, Russia, ili wahi haraka saana kujibu mbinu za Wamagharibi huko Ukraine. NB: Russia iko sahihi kuivamiya Ukraine kwa njiya y’a kuji minha na Wamagharibi.
We mjinga unaongea nini we unapenda adui wako asogee awe jirani yako
Mwalifu ni marekani Putin sio mwalifu Putin ni mpinga mashoga