MC PILIPILI Ajibu kuachana na mke wake/ kuzaa njee ya ndoa/ alilia sana kwenye
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Kwanini Na MC PILIPILI
KIPINDI; #Kwanini?
kinaruka Bingoonlinetz
Presenter; KINGB,
Director KIMBOFYA
Location: Mackjuice sinza africasana.
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Jamani jamani wanawake wanawake mungu wangu tusikulupuke
mungu akulinde katika utafutaji.wako.kiukweli ww.unahuruma sana.kwakila.mtu.unaupendo sana.kwa watu.wote.
Kweli kabisa tusikurupuke
Mficha ficha maradhi kifo kitamuumbua wewe jifanye mjuaji na kuzuga unajifanya hamnazo ili kupotezea lakini nyumba yako ina mushikeli wewe jifanye chizi time will tell.
Sikuelewi hata Kidogo
Yani Mc Pilipili anaongea ni no stop😂😂😂
Mungu Awashike
Dar vp wamekukimbia😂😂
❤❤
🔥🔥🔥
Pumbafu kusifia mke wa mty tuambie dada zako wakoje kwa uzuri?mnakaa kuponda wanawake fyuuuu
Wifi tena sio shemeji
Mc pilipili
Umekengeuka wewe.ndio maana meena kakukimbia
Mungu Awashike
❤❤❤