Ankooooo wewe kiboko kweli kweli mtoto bado mmbichiiii! Sawa mpendwa wetu nimekubali naja mimi uniowe ili usiwe mbichi uwe wakuiva sawa anko Jay wetu pole kwa homa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Anko mapesa pole sana mungu akupe uzima na Asante sana kwa kujikaza for simulizi mzuri sana coz wanaume wawache tama so thanks for fantastic classic work ❤❤❤❤❤❤ for flowers 💐 for Dr ambe
Nice story ankojoy mapesa jamani nimejifuza mengi sana kumbe unaweza zaa mtoto bila ungojuwa nice story ankojoy sana mungu aku bariki sanasana nice one ❤❤❤🥰🥰
Asante sana kwa simulinz nzuri sana ya utulivu isiyo na heka heka za usaliti na kuumizana kimapenzi,shukrani kwa mwandishi wetu Dr Ambe na msimuliaji wetu mwenye mapesa yake asiyotaka kumgawia mtu,mwenye mbembwe zake studio,asiyekuwa na mbambaaa ,hana baya shekhe wetu anko j
Hakika katika mapenzi ya kweli na ya sio na unafiki ni yale ambayo wawili wanapo ingia kwenye makubaliano ya ndoa ama mkataba wa hadi kifo kikubwa ni kuchukuliana mizigo na matatizo yote kwa pamoja ili kuifupisha na kuirahisisha safari zaidi mkilindana nakushikamana kwa kila hatuwa ili kuishi maisha yenye raha ahsante anko jay kwa simulizi tamu na yenye mafunzo
Acha ni 🪑🎧 UTAMU WA SIAGI Ankojay ahsante 🙌🙏poe Kaka yetu kipenzi Mungu wetu wambinguni akuponye😔
Thafadalini naomba hata like moja tu ....anko jay sanate sana nilikua nimekta tama mana akili hazifnyi kazi bila simulizi🎉🎉🎉🎉🎉
Nimechizika na simulizi mix hadi nakuota ankojay hongera kwa hiyo sauti yako mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wow ndoo kupika❤❤❤❤
Nimekua nikirudia_
Movie yetü ya EX❤❤kusikiza kwanangu Eddy❤❤❤❤
Asante mapesa mungu akubalik kwa kazi nzulii🌹🌹
Watano Leo nipeni like zenu watu wangu wakenya anko j nakupenda mm shabiki wako kutoka Kenya ❤❤❤ watu wangu w Saudi Arabia mpo 😊
❤
Leo hata mm nikua wa kwanza ank Jay naomba like zenu
Ankooooo wewe kiboko kweli kweli mtoto bado mmbichiiii! Sawa mpendwa wetu nimekubali naja mimi uniowe ili usiwe mbichi uwe wakuiva sawa anko Jay wetu pole kwa homa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Leo Ankojay katuletea utamu wa siagi haya tusikilize yaliyomo yamo❤❤❤❤
Leo nimejaribu 🎉🎉🎉 nipeni like zenu mashabiki wenzangu wa ankojay ❤❤❤
Jamani utamu wa siagi tuone ngoja tuone ladha yake Asante anko naombeni like zang watoto wa anko ❤❤❤❤
Sasha hii siagi w mwenzake mkate na chai yaviungo ni utamu kwakweli❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Shukrn anko jay kwa kitu cha utamu wa siagi😍😍
Eeiiiwaa!ndio kufika hope sijachelewa,Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
angalau tusiboeke na hizi kelele za wayahudi kazi nzuri anko jay mapesa
Ango jey unatupa utumu wa maisha yawatu mugu akubariki sana simuliz zina fanya ujiisi upo dunia nyingine kabisa,
Ahsante ancojay itakuwa kaitia nyingi siagi ❤❤❤
Mashallah 🎉🎉❤❤, was Kwanza hapa like please ❤ ❤
Haya walala, TH-cam sogeen na mm nipate nafasi jaman😂😂😂😂😊😊😊😊😊na mm ninewah leo mungu akubarik anko mapesa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Waooooh kitu kipya jmn njooni huk 😂😂❤❤🎉🎉🎉
Wa kwanza nimewahi🎉🎉🎉❤
Anko jay pokea maua ayo🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Wow nimechelewa wadau❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉acha nienjoy mie
2sikilize utamu wa siagi. Habari zenu wapenzi wa anko jey nimechelewa sana lakini nimefika naombeni mnikumbuke kwa like ❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani utamu wa singing ten😋😋 dhaaa
Ahsante bwana anko Jay simulizi love you 🤣🤣🤣🤣😘😘
Mmmh jamani siagi 😋😋😋 haya walio nikuta nipe like
Anko mapesa pole sana mungu akupe uzima na Asante sana kwa kujikaza for simulizi mzuri sana coz wanaume wawache tama so thanks for fantastic classic work ❤❤❤❤❤❤ for flowers 💐 for Dr ambe
Nimekuwa wa kwanza like 10 tafadhali wana familia wa anko j
Wakwanz kwenye siagi tamu❤❤❤
Oh polesana anko Jay wangu Allwah akufanyie wepesi
Sijachelewa na mimi njonini tuskiruza UTAMU WA SIAGI kama unajua manayake ya SIAGI naomba unitafhasiliee please 🎉🎉🎉
Kitu kizur sana hiki!! Sante sana anko jay Mungu azidi kukupa afya njema uzid kufanya mambo mazuri zaidi...🎉🎉
Anko jay asante pia twaomba lisa
Nice story ankojoy mapesa jamani nimejifuza mengi sana kumbe unaweza zaa mtoto bila ungojuwa nice story ankojoy sana mungu aku bariki sanasana nice one ❤❤❤🥰🥰
Mzigo huu hapa 🙂🙂❤️❤️❤️♥️mie wa 52 anyway watu cjuy mnalalaga humu🤔🤔🤔
Rodney, Ian ,walikuwa bikira kama Ankojei sasa yupo bikira❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉big up nineipenda hiyo
Asante sana kwa simulinz nzuri sana ya utulivu isiyo na heka heka za usaliti na kuumizana kimapenzi,shukrani kwa mwandishi wetu Dr Ambe na msimuliaji wetu mwenye mapesa yake asiyotaka kumgawia mtu,mwenye mbembwe zake studio,asiyekuwa na mbambaaa ,hana baya shekhe wetu anko j
Siagi ni tamu mno kama unajua kuitumia kwa wakati wake😂siagi tamu sana asikuambie mtu🥰🥰🥰🥰
Hakika katika mapenzi ya kweli na ya sio na unafiki ni yale ambayo wawili wanapo ingia kwenye makubaliano ya ndoa ama mkataba wa hadi kifo kikubwa ni kuchukuliana mizigo na matatizo yote kwa pamoja ili kuifupisha na kuirahisisha safari zaidi mkilindana nakushikamana kwa kila hatuwa ili kuishi maisha yenye raha ahsante anko jay kwa simulizi tamu na yenye mafunzo
Ok j, poleni sana na ongera sana kwa kukubali ukweli ili maisha yaendelee napia ako j pole kwasauti yako mungu akuponye.
Anko J anajuwa jamani utamu wa siagi kweli hii n weekend alooh naomba like kama nawe umefurahi kama mm😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Hay sasa huu utamu wa siagi yaliyo yamo au haya sasa timu gulf naombeni like japo tano tu
Zimeshazid hizo 5 ulizoomba
Nimkuwa wa kwanza ni mpeni like
Hao wakwanza wapo wangapi jamani?
Sijachelewa sana but like zenu please jman😢😢😢
Tujuane jaman nimewah kidg leo
Asante sanaaaaa Ankojay
daaah siamin mm wa kwanza aseee
Nimewahiiiii jamani nipeni ma uwari y
❤❤❤❤😂😂😂 ndonasikiliza jamani wapendwa itakuwaje nilimisi sauti yankoj
Pole kaka hiyo nayo yataka moyo kukubali matokeo .But nafurahi kua mna watoto Mungu awalinde na awatende mema🙏
Duuh jamani kashaasilika duuh❤❤❤❤🇴🇲🇴🇲
Uvumilivu alishindwa
Ila Anko jay mwambie Dr ambe atuletee jini mahaba ❤❤
Haaaaa,hiz za kichawi na majini mie akuuuu,nitawapisha
Mmh dear mbona zote ni nzuri
Asante anko Jay tuneinjoy kweli ukwa mwathirika sio nwisho maisha mhimu utumie dawa vzuri na ukule kwa wakati na maisha itaendelea
Asante ankoliii❤
Pole sana Anko mungu akufanyie wepesi upone ❤❤❤❤🙏🙏
Wakumi na moja leo
Utamu wa siagi 🔥🔥🔥🖐️
49:39Anko jay 😅🤣😅🤣😂😂 Eti nilikua nachimba chini nafanya hivi waskilizaji wako hatuoni vile unafanya 🤣😅😂
Kazi nzuri sana anko Jay
Asantee sana Anko jay ila usitubanie binti Lisa
Asante anko maan tulkuwa wapwek
Asante kwa kazi nzuri Ankojay mungu akubariki🌹🌹🥀🥀⚘️🌱🌷🌷
Sawa Kaka nakuelewa sana asante
Hi mapesa simulizi tamu part 2 plzzzzzz achiya 😍😍😍😍
Utamu jaman😊
Naomba like nyingi kwa anko j leo wa kwanz siamin😂❤
🎉🎉
@@bijouxbigaya2116😂😂❤❤❤😂❤😂❤
Uko Sawa 🌹🎉🌹🎉
Hatimae nime kua kwenye kumi bora 😅😅😅
Utamu wa siagi 🎧🪑
Mungu azidi kukulinda na kukupa afya njema ili tuzidi kuburudika na simulizi nzuri unazo tuletea 😊😊😊
Sijapaki nyuma naombeni like zenu😂❤
Thanks Mr mapesa❤❤
Asante sana ako jay mapesa ❤❤❤❤
Ngoja kwanza tusikilize utamu wa siagi 😂ila anayejuwa maana ya siagi naomba anifafanulie jamani 😂😂😂
Shukran Anko 🎉🎉❤❤
Wa kwanza
Aaaah simulizi mzuri saana jamani leta Lissa na Alvine
Anko mavoice🎉🎉
Haya jamaniii UTAMU WA SIAGI 😂😂😂 hou UTAMU SASA WANGAPI WASHAKUTANA NA UTAMU WA SIAGI TUJUANE HAPA LIKE 10 😂😂😂😂
Nipo hapa
Nimewahi like naombeni
mambo zenu wana familia wa ankojey natumaini zinachukuliwa saaana
Tupoooooo Tim anko Jay.
Wakwaza Leo jamani ❤pita na like Tu
utamu wa siagi acha ni 🎧🪑ni enjoy 🍷
❤❤❤❤
nakukubal san anko mapesa🎉
Nipeni like ata 5😂😂😂
Zimeshazid ulizoomba
Likes zenu wanafamilia wa Anko j🎉🎉
Kazi nzuri
Huyu kweli daktari na hili ni somo haswaa
Anko unatupa mambo matamu hatar🌹🌹🌹🌹🌹
Aaayaaa ndio huyo mimi nimefika likes kama kumi hivi jamani
🎉🎉❤
Uuuwii kama unampenda ank gonga like
burudan kwa anko leo duuu haya twend kazi
jay umenasa uwiii !!mpe mistal uonje siagi
😂😂😂❤❤🎉🎉🎉 sarti kwako mpendwa
Wakwanza