KINACHOENDELEA KWENYE MSIBA Mbarikiwa Mwakipesile
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2022
- MUNGU UTAKAYEMWABUDU KWA RAHA KWA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO NI YULE ALIYEKUSAIDIA KULIKO MATARAJIO /MAOMBI YAKO. (EFESO 3:20, 2 PET 1:3-4, EFESO 1:9-10)
Kwa Mungu aina hiyo kila saa na kila siku utatamani uende kumtumikia, kumwomba na kumwabudu hekaluni. Yaani haiwezi pita siku moja bila kuingia hekaluni. (ZABURI 122,1, 84:1-10, 27:4-5)
Kwa Mungu wa aina hiyo utatoa mali zako zaidi ya uhitaji (KUTOKA 36:3-7, 1 NYAKATI 29:9-12)
#JUMAPILI ZILIZOPITA TULIJIFUNZA :-
Fanyia kazi makosa yako ili usidharaulike, usichezewe/kuumizwa hovyo/kirahisi na watu, magonjwa ya pumu, #moyo kutanuka, #kutumia miwani, vidonda vya tumbo, wachawi, mapepo nk. (1 Timo 4:12)
Yaani kukutwa na magumu ambayo huoni njia yoyote, mtu yoyote au Mungu atakayekusaidia kwa namna yoyote.
Hatumwabudu Mungu anayeweka sawa kila kitu, bali anayetaka tuweke sawa maeneo yenye UTATA KWA MSAADA WAKE (ZABURI 108:13, ISAYA 40:1-5).
MTU ANAYETOKA KATIKA IBADA SAHIHI HAOGOPI TATIZO, BALI HULIFWATA KWAKUWA NDIO KIPIMO CHA IMANI..
Mwaka 2022 ni mwaka wa kwenda kwa utakatifu, kufanya mambo kwa namna iliyotakiwa kufanya, kufanikisha mambo kwenye mazingira magumu.
Mwaka 2022 kikosi kazi tunakwenda kupanda mambo kwenye mawe na miamba migumu na mazao yataota na tuta yapalilia na kuvuna mazao yaliyo bora.
#Mbarikiwa #Mwakipesile akieleza sababu kwanini watu wengi watakubali
Poleni Sana wapendwa.mimi nikiwa Kenya hupenda Sana kufatilia mahubiri hapa.Binti alifanya KAZI nzuri ,sauti nzuri ya kuimba,sifa Safi kaacha lakini yote mungu anaelewa vyema Tumpe mungu shukurani.
Muyaweze yote katika Yesu Kristo
Lazima shetani aibike tu lazima mageneza yaibike tu mamluki yaliyo laaniwa yanajifunga taa kama mitumwa
Pole saana mtumishi wa Mungu mbarikiwa mwakipesile na mkeo kwa kipindi mnacho kipitia Mungu awatie nguvu ,Mungu atabaki kuwa Mungu hata kama hakujibu mlivyotarajia😭😭😭😭😭😭
Amina sifa na utukufu kwake yesu kwaa matendo yake makuu hata Hili nikuu Sana kwaajili ya mtoto wetu wokovu Asante sana yesu.
Mwenyezi mungu awape moyo mkuu amina
Yaani sitaki hata kuangali hii clip huyu mtoto nilikuwa nampenda sana roho yangu inauumaga Kila nikiangali
Poleni watoto wa Mungu, azidishe nguvu mara dafu kwanu tumeumia kwapamoja ivo tu tuko mbali ila kwakuumia wote tumeumia ila wote tuseme asatin kwa Mungu, Baba na Mama Yesu awe nasi tusonge mbele.
Baba Mungu akuinu juu hakika jujaa bint mwema enda slama mama hakiki wewe ni shujaaaaaaaa mama nenda imani umeilinda dada kipenzi❤❤😭😭
Pole m,barikiwa mungu awatie nguvu
Mungu amemchukua asije akatenda dhambi,, Mungu akutie nguvu mtumishi naelewa unayopitia
Mungu hakutaka atende Zambi kamchukua ili tukue kiimani
Wa kwetu mwananchi, hongera, kwa Imani, barikiwa
Poleni sana wapendwa ndugu na jamaa na wazazi kwa kuondokewa na mtoto wenu mpendwa, mungu hawatie nduvu katika kipindi hiki kigumu unacho pitia
Pole sana mtumishi wa mungu
Safi sana
Libarikiwe jina la bwana
Mungu ampumzishe kwa amani.
Inauma mnoo
Polen sana familia tulimpenda mung kampenda zaid inauma sana lakini inatupasa kuishi kwa matumaini tukiamin ck moja tutakua nae amina
Poleni sana jamani kazi ya mungu haina makosa
Jamani napata shida hivi hawa wamefewa au wanaigiza maana hata mama Maria mama wa yesu.alishindwa kuvumilia maumivu.ya mwanaye.yesu
Mtumish mtu wa mungu anapopita kwenye karibu/ pito kuna faraja ya yesu ya ajabu unatiwa nguvu ya kuyashinda na faraja ambayo ulimwengu huwez kutoa kaa vzr na yesu yeye anasema hata tujapopita kwenye maji mengi neno lake linasema hayatatugharikisha
Aminaaaaaaaaaa Mungu ni mwaminifuu tufanii inavumaa🔥😭🤣❤❤❤❤🙏
Amen. Amen. Amen. May her soul rest in peace.
Mubarikiwe sana
Aise 😭😭😭
Poleni poleni sana wapendwa
Mungu awatie nguvu. Ushuhuda mkuu.
Pole I huo ndio ushujaa tusitetereje ktk imani iman zetu zisitindike kwa lolote hakuna tudna la huzun ktk matunda 9 ya roho mtakatf ameni,
Maman Salome, pole sanaaa mama yetu kwa hayo yaliokupata. Mungu akufariji kama maman. Bwana alitoa na Bwana ametwaa! Jina la Bwana libarikiwe
Mungu wangu akupe ngufu akika mungu lazima ajithirishe juu ya mashetani yote yaliyousika juu ya kifo cha mtumishi wake
Sisi umma tunasema bado tuko na mmbarikiwa
Asikwambie mtu kwa yesu kunaraha
Wokovu nitakukumbuka japo sijawahi kukuona uso kwauso ila nilikupenda tu