Mwone Mizengo Pinda akipambana shambani kutafuta pesa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2018
  • Bado tupo katika shamba la Waziri Mkuu Mstafu Mizengo Pinda. Tunaangalia umuhimu wa kutumia nafasi ndogo katika shamba kuzalisha mazao mengi na kwa wingi ili kujiongezea kipato.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 28

  • @TENGAMSOGOYA
    @TENGAMSOGOYA 3 หลายเดือนก่อน

    Hongeraa sanaaa mheshimiwaa

  • @lailawilliam3518
    @lailawilliam3518 5 ปีที่แล้ว +3

    mzee nampede sana kafanana sana Na baba yangu

  • @veronicadickson1859
    @veronicadickson1859 4 ปีที่แล้ว

    hongera Sana Mzee pinda, kilimo ni raha Sana.

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 5 ปีที่แล้ว +2

    Mh. Yuko simple honera sana vijana tunajifunza mengi kutoks kwako ubarikiwe sana...

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 ปีที่แล้ว +2

    mzee huyu nampenda sana yeye angekua ndio sasa kilasiku kiguu na njia lakini analima mpaka bamia hongera baba

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @hamzatv1995
    @hamzatv1995 6 ปีที่แล้ว +2

    Saaafii saana mzee,, nmekubalii

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka2755 5 ปีที่แล้ว +3

    Kilimo we kisikie tu...!Hapa ni jina tu eti mkulima...!Lakini huyu halimi,hii kwake ni kama burudani tu,Kilimo cha pesa,..!bila kuwa na pesa hawezi lima wala kufuga.....!

  • @dorothyannan4857
    @dorothyannan4857 5 ปีที่แล้ว

    Aksanteeeeee.. Well done mheshimiwa

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @johnthobius6543
    @johnthobius6543 6 ปีที่แล้ว

    laaa, nimependa sana

  • @nhoutyeddycole7506
    @nhoutyeddycole7506 4 ปีที่แล้ว

    heko kwako former prime minister 🇹🇿 .mungu akupe maisha marefu

  • @francismhulula4746
    @francismhulula4746 2 ปีที่แล้ว

    Mzee hongera sana ila vp zile pesa zetu ulizo simamisha campuni ya deci mbona hujatushuhulikia tuzipate

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 13 วันที่ผ่านมา

    Mtoto wa mkulima

  • @abdullasalim9266
    @abdullasalim9266 6 ปีที่แล้ว +2

    Tulitarajia maendeleo yataonekana kwa haraka kwa vigezo alivyo navyo... kupata mikopo kwake ni rahisi ... ana mitaji ya kufanyia kazi .. hakopwi mazao yake.. ana ushawishi wa kupata soko.. kwangu nimejifunza kua ni mtu mmoja ambaye ana vigezo vyote vizuri vya kufanyia kazi za kilimo lakini hana uzalishaji unaoweza kutangaza kile anacho kifanya hio ni ishara ya kushindwa kwa malengo yake kwani anatumia mtaji mkubwa lakini uzalishaji wake mdogo... sheria ya mafanikio inasema ...lets things speak and dnt speak your things... washauri wazuri huleta matunda mazuri..

  • @mwasitihatibu9691
    @mwasitihatibu9691 6 ปีที่แล้ว

    mashaallah muheshimiwa

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @mathiasmei5030
    @mathiasmei5030 5 ปีที่แล้ว

    Nim janja mzee

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553
    @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 ปีที่แล้ว

    Duuuuh

  • @renatuskailole9568
    @renatuskailole9568 4 ปีที่แล้ว +1

    Endita kalesa mkombe wasalipa

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mzee.