ACT Wazalendo waapa kushinda uchaguzi 2025

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 20

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 5 วันที่ผ่านมา +6

    Kweli baba vijana tunapata tabu kwenye visiwa vyetu .ajira zote zinachukuli nawatu wasio wazaliwa .wawekezaji wanakumbati wahamiaji kuwapa ajira mahotelini kote mnasema kweli baba Act

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 5 วันที่ผ่านมา +2

    Hao jamaa wanapanga njama za kuiba uchaguzi kila mmoja anatoa vitisho kupiga kuuwa watu wanahisi wakisha uwa watu basi imesahauliwa hawajui iko adhabu iumizao walipewa vyeo wakiw midomo imefumba sasa midomo yao inaninginia kama ngamia hii ndio mwanzo wa laana za Mwenyezi Mungu kama hao wanaotumikia dunia kwa laana za Allah kwa maovu waliowafanyia hao ŵnanchi maskini wanao sema eti tunawapenda kwa maslahi yao Hasbia llah waniima liwakiil

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nani aliyewachaguwa hao walikuwepo madarakani 2020?

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hii nchi bora iongozwe na chama chochot ila sio CCM

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 วันที่ผ่านมา

    Okay Ila Hata Mkishinda Hawo Jamaaa Hawatoki Inafaida Gani Kwani Marangapi Mnashinda..

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 4 วันที่ผ่านมา

    Ameen

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 5 วันที่ผ่านมา +1

    nchi inahitaji mabdiliko na OMO ndio mtu sahihi

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 วันที่ผ่านมา

    Msahau habadan kuiondosha CCM

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo aliyeletwa na magufuli amfuate magufuli Alipo.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 วันที่ผ่านมา

    Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa Mma

  • @salyali7807
    @salyali7807 4 วันที่ผ่านมา

    Baada ya Allah subhana wataala basi ACT ndio tegemeo letu wazanzibari

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 4 วันที่ผ่านมา

    Haya ma DJ YA NNN?

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 วันที่ผ่านมา

    Mnajitajid lakini hamtafanikiwa

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 วันที่ผ่านมา

    Kama mkamilifu ni MUNGU mnamlaumu nin Daktari Husseni na CCM?!

  • @ramadhankhamis1926
    @ramadhankhamis1926 4 วันที่ผ่านมา

    Demekrasi

  • @joranbashange2176
    @joranbashange2176 4 วันที่ผ่านมา

    Bandika bandua mpaka Ikulu ya Zanzibar, Oktoba, 2025.

  • @MizHala
    @MizHala 5 วันที่ผ่านมา

    Ata wakishinda hawapewi mara zote wanashinda lakini hawapewi