MAPOKEZI AIRPORT: Davido kuhusu collabo yake na Alikiba, ku-perform ARENA NEXTDOOR DSM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2018
- Mwimbaji staa wa Nigeria Davido tayari amewasili DSM kwaajili ya ku-perform June 16, 2016 kwenye ukumbi mpya wa kisasa NEXT DOOR ARENA.
Miongoni mwa maswali aliyokutaka nayo Airport ni kuhusu ile collabo yake na Staa Alikiba. - บันเทิง
Kama nawewe sheta kakuboa kuwa mdananda yaan bodguard w davido gonga like yako ili aache huo upuuzi
umenifurahisha
Shetta,,, kakonyeza then kashindwa kubonga,,,, Kama umeona,, like twende sawa.
Alli kiba ninavyomjua mimi apo Iyo ngoma inaweza kutoka Miaka kumi ijayo 😁😁😁😁😁😁
Shabani Magogo kwnn
+New Hope ndio style yake ngoma anazo nyingi Sana ila anatoa wimbo mmoja kwa mwaka Mimi napenda kazi zake ila style yake siipendi
Shabani Magogo
nakuuunga Ila juz kat nilimuuliza Akanambia Awez toa ngoma wakati nyingine bado inafany vzr
😂
Ali kiba Ww unatisha pamoja wanakuchukia wengi ilamm sishangai sana wamechukiwa mitume kipindi wanatangaza dini sembuse,ww mwanadamu mungu ajakupa kipawa chochote kikubwa songa mbele mungu atakuongoza kwakila jambo ujawai kumkosea mtu sasa kwann mungu akufungie ridhiki
i like binna kisembo , she is an amazing presenter , her magical voice is killing us.
Ilove you davido 😘😘najuwa mmtauwa kinoma mkifanya ngoma na king kibaa
All the best my lovely ones.
Nice one
Noma
nakubali
questions are being downloaded😀😀 oh! God
#achana na clouds .njoo uku tumewasha.......*yajayo yanafurahisha na kus night Dar lv
Official Davido😂😍
Meak ziko mbili noma sana
🔥🔥🔥
Hahaha. Tena awa majama wame rudisha kile kitangazo hahah. Nipe like hapa. Wanao chukiya hiki kitangazo chao
Maiki zipo mbili tuu!! Ngoja nicheke kwa dharau
Malipo ya Million 3 sio kitu raisi
Daaaha TCRA wamezingua kinyama yaan cjui tutakimbilia WAP safar hii
dear Millard tunaomba matangazo utuwekee mwishoni 🙏🙏 i hope umesikia kilio kwa niaba "
Estör Barlow ili mkimaliza habari zenu msilitazame😂😂😂
Mtanyooka tu hapa tangazo kwanza ndiyo mzigo na tunafanya miundombinu ya kuzuia kuforwad.
Wabongo wanataka tangazo mwishonij😂😂😂😂dadeki
Geofrey Solomon 😂😂😂😂
Baba kaila
hivi sheta na yeye alipanda gari pamoja na davido 😎
Where's chioma??😀
Wanalazimisha collaboration hahaha Simba Yuko juu mtamtafutia Sana huyo kiba wenu collaboration
mh how was flight!!!!!!! kweli kazi ipo
Shettah we kwel mdananda khaaaa 😂😂
This time nimeamin mond star zaid yaoooooooo kaja davido kama kaja harmorapa
Oohooooo!!! mmerudisha tena tangazo?????
Sheta kawa chawa Daa
kama kupe chawa afadhali
Dah! kama mfalme
siku hizi maiki ziko mbili 2
Tunatarajia Collabo na
KINGKIBA Lound hii
Kama umemwona sheta gonga like
Mmenishinda tabia
Uyuu jamaaa wa Cloudz nii aandaaziiii...Maswaalii gaanii haayoo
jamaa yupo normal sana hadi raha
ahhh mbona mnamuchokesha jamani
ungeweka matangazo yako yawe ma option yakuskip!?
Mwanaume kuwa shobo aipendezi Sheta ni choko ndomana Ney alikuita mdananda
Eh
daaah mbona mnalazimisha collaboration😁😁😁
Wilson Wizzo mi nashanga yani😂😂😂
Davido namkubali sana msela kichizi hana shida,ukizungimzia mastaa Wawili wakubwa Africa kwa sasa lazima umuweke lakini anaweza kufanya collable hata na shetta na bila tabu.
Hii wasafi hawaruhusiw kuchungulia,,,,,,,,,,,.
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Davido ana makelele!!! Huyo.
Davido hana Photographer🙉🙉🙉. Aisee mpk hapo nimegundua Mond yupo juu. Sijawahi kumuona akihangaika na simu kuchukua matukio😂😂😂
UMEWASHA UMESHA,,,
NDIO NMEWASHA
Ayo umekuwa majungu kaka haya bhana hata Kwenye shoo siji sihitaji
Chaneli yako imekuwa ya kibwege sana
Fungua yako
olomwene abongela bwege wewe
Ismail Msuya umeona eeh
Hii Chanel itakufa kwa mwendo huu. Usiweke unafikiiii kwa kazi
Akina diamond ndio wamekukuzia channel
Hahaahahhhh.!!! mnamuona sheta huyo????
Clouds this time mnamzigo ambao haubebeki(kiba) mnalazimisha huyo jamaa sio entertainer show ya harmonize itawachallange ndio mtajua platform yenu
tuntufye mwakalukwa I like you for what you say!!
Ole wao wafuatao nyayo za Simba. Ubungo Posta nauli sh30.
useless questions, how was flight? waandishi inabidi wajipange sana
Nimetaka kucheka hata mm maaana poor english poor question
Rajab Mnyimwa kwanza hata hiyo ya ali kiba wanaonyesha kupigia debe kabisa eti ulisema kufanya kolabo na alikiba sasa vipi umefikia wapi mpk sasa yani waandishi wanalazimisha kolabo😂😂😂
Kizungu ndo shida
Daah hizi kazi watu wanasomea. bongo unga unga nyingi
kumbe umeona na wewe,,,,,ndio tabu ya kutunga sentensi kichwani lugha usiyoijuwa
sheta 😂😂😂😂😂
Millard hapa watu wako wamepuyanga, wafanye kazi kiuweledi.
Sheta umekuwa kama chawa sikuhizi 😂😂
how was flaght kwa kiswahili maana yake nn halafu huyu shetta alikuwa anawasiliana na davido kwa kizaramo mbona alikuwa hasikiki au ndio na yeye how was flight
Acheni usenge nyie shtta kafanyaje mpaka mnamtukana kuma nyie
Ebu tumchekee shetaa 😂😁😁😁😁😁😁😁
hahahahahahah
Davido kalibu Tanzanian
wasenge nyie mna4c collaboration
davido alijua shetta ni kibaka ndo 😂😂
Kazi yako utangazaji lakin mnafiki
Team ya waandishi wa habari hawajielewi na it seems hawajajipanga kabisa..unapata wasaa wa kumhoji mtu..unamuuliza useless questions..Tubadilike tufanye kazi by heart na sio kazi kama kazi ili mradi upate rizki..kama kitu hukifeel ni bora kuacha..Millard Ayo unaaminika sana kaka..Train vijana wako wafanye kazi kwa ueledi na sio bora liende tu
mbebeni sana Kiba ila asipojaribu kubadilika atakuwa na lifespan ndogo sana kwenye music
Aibu wala amjui alikiba ungemuulza diamond
sheta choko kwl
sheta bodigard au mwenyeji mbona kimy jamani lugha izi
It's all About FORCING 😥😥😥😫
Brenda Duncan IP
Huyu dada ni kiinglish konk daaaah wamba wengine wanaungaunga paka awajauliza maswali🤣🤣🤣 kiinglish nishusheeee
si sh alikiba ata backi kua mfalume na atabacki kua king acha wachukie na leo wanashabulia sheta dah wana roha mbaya sana kila mtu wanachukia wanataka wasikike wahotu
..uliwasha uliwasha...asee ndugu watangazaji wa Tanzania fanyeni muwe weledi katika kazi zenu
Kwahiyo collabo hadi mkikutana,hata kutafutana hamkutafutana? Mbona kama hii ni interview ya kihunii kuwahi fanyika kabisa....😁😁😁 dakika tatu mnatuonesha gari ilivyokua ikitembea
Mbona anae uliza maswali ni mmoja tu apo?😀😀😏
SHETA MZIKI UMEMSHINDA KAAMUA KUWA DALALI 😂😂😂😂😂😂
Peter fabian dalali ndo kumaanishaje?
hahahahahah
Hahaaa
Wabong bhna hawajui kingerez mpak wakamtafut vanessa mdee ili aongee na Davido
Kwel Diamond Samba bdo ni star kwa uyu yn ata wandishi wa habar wajataka kufata habr zke kbs naona maik y Millard na cloudstv bac kwn wngne awajua km iki kiumbe kinakuja dar Tz???
Comments nyigi Bone kamaivi muna attack shetta sote mbinadamu. Sometimes kujishusha nimuhimu mu maisha. Bone Mimi amuona iko freshi tu🤷🏿♂️
shetta mbona hujiamin achaga ushamba Sam times
Millard ayo vipi mbona kchwa ulchoweka ni tofaut na alchoongea Davido ????
Et corrabo kwanza nmegundua huenda huyu jamaa hamjui hata huyo kibamia m naona brother Millard ayo ni bora umshauli alikiba afanye biashara ya machupi makubwa makubwa Kama ile ya nandi
daah clous mnakaz sana kumshusha mond eti mnamuombea kiba collabo kwanza amjui ndio maana akujibu
Uyo reporter wa clouds mpelekeni shule kaenda kukaa mbele alafu anauliza maswali ya kiboyaa ila dada alieshika MIC ya milard salute kwako uko na accent poa sana
M niljua atasema atafnya kolabo na alikiba safar hii alokuj kumbe tofaut na heading uloandika hapo juu wabongo bhn kukuza mambo
Darisi Mauridi waandishi kumpigia debe msanii afanye kolabo eti anamuuliza si ulisema utafanya kolabo na alikiba sasa mbona kimya umefikia wapi swala hilo
Sasa huko si kijikomba jamani wanalazimisha kolabo au ndio kumpigia debe kiba
Mufas Carysa hahahhahhahaaaa! kumbe ht we umeona hlo swala maana habar hzo tumeanza kuckia kitambo sana mpk leo kimya hawana jipya
Sheta alikua anatafuta picha na davido akapost ista😀😀
Millard siku hz unafeli
Interview za kitoto,,jamani someni kiingereza ili muwe mjiamini kuuliza maswali
Shetta yuko sawa ila Davido ndo anavimba.jiulize kwa nini shetta na si msanii mwengine aliyempokea Davido.Davido ana act tu hayuko real.
Ebana we Mpopo hujui kwamba it was late na watu walikua wame lala na hayo makelele yako hotelini ? Hapo ujue hauko kwenye Ghetto za Ojuelegba , hapo uko Masaki , and its a posh area na hatupendi makelele , sawa?
yani heading ni tofaut kbx na alichosema ndo kumshusha mondiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ama niaje........ ndo maana nme UNSUBSCRIBE
Rogers Davis @kweli kabisa halafu hawa waandishi wa tz wengi ni majuha tu cjui wamesoma vyuo gani
naomben interview n huda basi km kwel hmn ttz na muende dar live maan jana mondi kagawa pesa hamjatokea kbx hmjui kua SUBSCRIBES wengi n shabiki wa mondi angalien mtapotea kama clouds ..... mbona WASAFI wanamuhoji mpk producer wa KIBA ila ninyiiii ni shiiiidaaah
Hata Yule alie enda kugawa mkono wa idi kule tandale kapokelewa Kama nabii sasa iko nini
Duh, huyo sheta kama mkia
gilbert massawe hahahahhaabah
Halafu kawapotezea kiaina daah
Millard unazingua bwana, matangazo yamekuw mingi kuliko mauzui ya habar yenyewe 😞😞😞
😀😀😀😀😀😀 i just laugh about shetta. alitaman kuongea but lugha imekua ngumu ameamua ku cool down 👇 😎 😀
Sheta bro Na wewe umekua guardian man hahahaaaa Mbona wenzetu mara nyingi wa kija kwetu ata kama wewe ni Star mkubwa huaga mna jishu shaga sana sijui Kwa Nini Ndugu yanguni.
Wasafi TV sasa akose kumpokea msanii mwenzake haja urofa wewe pumbavu mmoja
shetta anajishusha sana
Wasafi TV sheta kafeli
Pelo Dieu Donne nikweli Sheta kachemka. Kaniboa kweli kutoa meno pale.
acha kifwatilia yawatu weww utamsaidia nn sheta mwache atafte maisha yake
Who else came to see a Magufuli speak English?
Huyo mtangazaji wa clouc maswali ya kijinga, umeshindwa kujiandaa kwani mlikuwa hamjui kuwa atakuja. Credit to mtangazaji wa AYO TV kauliza vizuri sana.
Bongo bwana??? Et umewasha yah nimewasha!!!
😂😂😂 sheta unatia aibuuu😭
KAMA UNAHITAJI MAKONTENA YA AINA ZOTE 20 FT NA 40 FT CALL #0718295182 #0765505909
Aka kasheta kaache shobooo
Sheta umetumwagia aibu hahahhaaha
Sheta umezingua Acha udananda
hivi davido simu zisinge kuwepo ungejipotezea kwa kipi maana sio kwa ubusy huo na simu watu wanakuongeresha uko kubofya bofya tu,kenge zingine bwana zingekuwa zinaishi majini tu,na sio nchi kavu,
They can make a gpod collabo with kiba.