Kaka channel yako inatusaidia sana sisi tunaosoma,tunapata madini ya kitosha sana tena kwa kiswahili, sidhani kama kuna channel inayoelezea yote haya kwa kiswahili, ubarikiwe sana brother 🙏🙏
Hakuna malaria 1 Wala 2 Wala 3 Wataalam tuondoe hii kitu Umeona wapi kwenye microliter moja ya damu mtu akawa malaria 1 or 2 or 3 Na bado anaumwa... Embu tukazie hili kwa kweli
Kaka channel yako inatusaidia sana sisi tunaosoma,tunapata madini ya kitosha sana tena kwa kiswahili, sidhani kama kuna channel inayoelezea yote haya kwa kiswahili, ubarikiwe sana brother 🙏🙏
Kaka napenda sana kazi zako
Unafundisha chuo gan kaka
Asante sana sana Mtaalam, tuko pamoja sana...utanicheck kwenye Email mkuu, nikupe details...Email: kimwerisaniru01@gmail.com
I appreciate it
Welcome brother Sam...
Sasa tumepata majibu yetu ya maana ya Malaria tatu😊
✊✊✊
Ooh saa ndo nmeelewaa nw
Tuko pamoja Mtaalam, ngoja tuendelee kujifunza...
Hakuna malaria 1 Wala 2 Wala 3
Wataalam tuondoe hii kitu
Umeona wapi kwenye microliter moja ya damu mtu akawa malaria 1 or 2 or 3
Na bado anaumwa... Embu tukazie hili kwa kweli
Umesema vema sana Mtaalam, inabidi wataalam tuongeze uadilifu zaidi kaka...✊