Ushauri mzuri sana huyu dada kabadilika sana ,anako elekea !!!! Mungu tunaomba Neema yako juu ya mtumishi huyu Matha ,ila kabadilika, wako kufanya kapeni ya kishetani ili walio olewa waachane na waume za,hii roho Mungu asaidie kizazi hiki.Pia kunamhubiri mwingine anajiita Beni lsaya Alitaka juja na Roho chafu kwa wanaume kusema tuoe waie wengi !!lakin Wanaume waligundua kapeni ya kishetani hii tukamtupilia mbali! Waimbaji wanavaa kucha za bandia kama kahana kabisa !! Mungu asaidie kizazi hiki huu wokomvu huu,Mala wamevaa manywele ya wazungu ,jsmsni wanawake Mungu awaokoe.
Tochi ya Mlinzi alimtamkia kwenye zile video akamwambia "Gusa tena hii video Uone Mungu atakachofanya Mapema kabisa" Na kweli alipogusa na Mungu akagusa video yake imekuwa Mbovu kuliko zote😮😮
Nikweli baba lkn mchungu hata mm binfsi matha mwaipaja matha baraka nawengine wengi ambao walikuwa kwenye ndoa mwanzo nilikuwa nawafatilia sana hata nyimbo zao nilikuwa nasikiriza sana lkn baadae ya kutoka kwenye ndoa zao cwafatirii kabisaaa
Anania kyando......wewe unajua chanzo cha wao kutoka kwenye ndoa?unajua huko ndani moto gani unawawakia?mambo ya ndoa ni siri,so ukiona mtu ametoka usimlaumu hujui yanayomsibu..tusiwe wepesi kulaumu jitahidi kutafuta chanzo ndio uanze kumlaumu mtu,hakuna anayependa ndoa yake ivunjike..
Sasa kwani niuongo wapo kwenye ndoa bibria imeeleza vizuri sana watu tukionana Kwa sisi wakristo kifo tuu ndokitakacho tutenganisha nasiii vinginevyo zaidi yahapo niumalaya tuuu unatusumbua
@@AnaniaKyandosoma vizuri bibilia wewe usipate neno moja ikawa sababu ya ku attack mtu... ndoa ina siri kubwa... usiongee ni kama una uhakika wa kua ni lazima uingie paradiso juu wengine wanakosea na wewe una patia
Wewe una uhakika u mtakatifu... mbona huzungumuziwi... challenges are part of life not part of sins... wewe unaona uzinzi ndo dhambi kuuuuubwa mwenyewe...
Ushauri mzuri sana huyu dada kabadilika sana ,anako elekea !!!! Mungu tunaomba Neema yako juu ya mtumishi huyu Matha ,ila kabadilika, wako kufanya kapeni ya kishetani ili walio olewa waachane na waume za,hii roho Mungu asaidie kizazi hiki.Pia kunamhubiri mwingine anajiita Beni lsaya Alitaka juja na Roho chafu kwa wanaume kusema tuoe waie wengi !!lakin Wanaume waligundua kapeni ya kishetani hii tukamtupilia mbali! Waimbaji wanavaa kucha za bandia kama kahana kabisa !! Mungu asaidie kizazi hiki huu wokomvu huu,Mala wamevaa manywele ya wazungu ,jsmsni wanawake Mungu awaokoe.
Amina baba Mungu akubariki sana mtumishi
🙏🙏🙏kweli baba
😂😂😂😂 Asante sana mchungaji umewajibu kwa hekima
😂 USHAURI MZUURI SANA KWA MATHA NAZANI KUNAKITU ATAFUNGUKA HAPA
Nime kubali asie sikia la mkuu huvunjika guu pia njia NI nyembamba iendayo uzimani Ukweli una Uma Ila ndiyo tiba asili pekee
Acha upumbavu martha, umefukuzwa kazi na Yesu, umekuwa
Mungu amsaidie Matha ukweli dunia imempundua sana.
M nataka mpaka wafe kwenye ndoa mwache aoe ndo amejionyesha hawezi kuvumilia bila kufanya uzinifu mbona mbasha hajaoa mpaka leo
Jibu ni hilo kabisa maisha wanao ishi ni tofauti na wanacho hubiri kwenye nyimbo zenyewe!!!
Amen baba pointi nyingi sana za kuchukua
Mungu anaruhusu lila jambo kwa makusu yako.Mch Mbarikiwa hajakuattack ni wewe na mimi kumkaribia Mungu hata mimi siko sawa na Mungu
2meruhusiwa kuonyana!
Neno la Mungu n uzima we2,yan n kla k2 knachomfaa mwanadam.. Ya2pasa kuish ktk neno la Mungu ili 2we salama na 2we krb na Mungu!
Amina baba
Tochi ya Mlinzi alimtamkia kwenye zile video akamwambia
"Gusa tena hii video Uone Mungu atakachofanya Mapema kabisa"
Na kweli alipogusa na Mungu akagusa video yake imekuwa Mbovu kuliko zote😮😮
❤Umenena vema mzee.
VIEWERS WANINI? Martha? unaimba ili utengen eze viewers? ... Umepotoka...
Sema mtumishi tupone
Ulicho sema MTUMISHI SASA nimejua yaani MUNGU hatakiwi kabisa ila tumeshinda shika neno.
HUWA SIKUBARIANI NAWE ...LAKINI KUNA MENGINE MUHIMU
With me nowadays I don't love Martha mwaipaja she is nolonger the same Martha I use to see on first
Nikweli kbsa mtumishi ushauri wako
Nikweli baba lkn mchungu hata mm binfsi matha mwaipaja matha baraka nawengine wengi ambao walikuwa kwenye ndoa mwanzo nilikuwa nawafatilia sana hata nyimbo zao nilikuwa nasikiriza sana lkn baadae ya kutoka kwenye ndoa zao cwafatirii kabisaaa
Anania kyando......wewe unajua chanzo cha wao kutoka kwenye ndoa?unajua huko ndani moto gani unawawakia?mambo ya ndoa ni siri,so ukiona mtu ametoka usimlaumu hujui yanayomsibu..tusiwe wepesi kulaumu jitahidi kutafuta chanzo ndio uanze kumlaumu mtu,hakuna anayependa ndoa yake ivunjike..
U never know y..only God knows
Sasa kwani niuongo wapo kwenye ndoa bibria imeeleza vizuri sana watu tukionana Kwa sisi wakristo kifo tuu ndokitakacho tutenganisha nasiii vinginevyo zaidi yahapo niumalaya tuuu unatusumbua
@@AnaniaKyandosoma vizuri bibilia wewe usipate neno moja ikawa sababu ya ku attack mtu... ndoa ina siri kubwa... usiongee ni kama una uhakika wa kua ni lazima uingie paradiso juu wengine wanakosea na wewe una patia
Pastor achana na huyo kiburi wa ibirisi matha na shusho
Kwanini wewe hujaacha kukomenti?
Msipotubu ,,
Utaanguka na mtakufa vibaya wanafiki ninyi, mafarisayo vipofu, mnashindwa kuhubiri injiri mnahubiri ujinga lengo mpate views, etyi na wewe unawaumini, kweli ibilisi anawatumia sana.
Kwa hiyo aache kukemea uchafu?
Bila shaka ni mzinzi wewe ndio maana unamtetea.
Wewe una uhakika u mtakatifu... mbona huzungumuziwi... challenges are part of life not part of sins... wewe unaona uzinzi ndo dhambi kuuuuubwa mwenyewe...
Martha Mdogo wangu acha kubandika kucha jikubali kama alivyo kuumba Mungu 😢
Unajua martha katoka akiwa mdogo sana hajawahi onja dunia ilivyo ndomana dunia ina mvuta