Shukran kwa maelezo. Allah akuongoze ufanikiwe. Sasa jihusishe na Ujumbe wake aliyetuumba. Kuna baraka tele. Wewe ni shujaa na una subira kweli. Ongezea imaan na ibadah na tabia njema utafikia daraja ya Juu in sha Allah, hadi uwafanye kina dada wawe na Meli zao wenyewe. Bi khadija alikuwa mfanyibiashara wa kimataifa.
Mabaharia wa kiume wana nyege nyingi kwa sababu ya kukaa muda mrefu Baharini na kula samaki kwa wingi, nafikiri hautaki kuolewa kwa sababu ya kutoa sadaka kuma na ushibe mboro vizuri, ni kama mfano wa kumueka mfungwa mmoja wa kike kwenye jela ya wanaume, NINI ITATOKEA?
Dada unatuchanganya ongea lungha moja ay ay nyingi hazieleweki ongea kiswahili tukufahamu english is not ur language talk to ur local language so we can understand u sister
safi Officer ndo mambo ya kzi kazi zetu zinachangamoto nyingi hata madam Regina analijua hilo ,ila pambana kama vipi badilisha fild wende Angani huko naona kunamata zaidi .DMI hapo ni ubabaishaji tu na kupenda hela
Sasa Milardi mbona hii habari iko ovyo, hamna maelezo huyo ni nani na anafanya nini! habari gani haina maelezo!, uki upload video ..andikeni chini maelezo brielfy!
Hongera kwa kujielimisha ila kumbuka ndowa ni muhimu kwa kila mtu anaefikia umri uofisa wako usiwe ni kikwazo cha kuto kuolewa ndowa ni muhimu na ukimpata wa kukuowa usisite na matokeo utayaona. Fikiria na utafakari wewe ni mfano wa wanawake wengine .
et kuolewa wakat nına first class kwanza umeambiwa wanaolewa wana 20 class hii n upungufu wa IQ na ushamba wa malsha tu jua kuwa kuna wanawake wako majuu na wameolewa wako n wanaume zao na wanaendelea na kaz zao za pilotting ktk makampun makubwa exile ( nje za nchi) huku! Halaf kiingereza kenyewe n papatu papatu ongeen kıswahılı humu kuna walimu wa lugha!
Kiwango chako dada yangu ni kikubwa, huku nchi za wazungu watu wengi wana mindset kama zako kwamba nikitaka kitu fulani cha maendeleo lazima nikipate. Sasa unapata comments nzuri lakini nyingi za kijinga. Wengi wao hata baiskeli hawajui kuendesha sembuse kuendesha meli kubwa.
@@alihaji7201 Posta yenyewe hakujui ukimtajia Rashidia ndio utamvuruga hata hajui n train n redline au greeline.Nimecheka hata mm sijamulewa kabisa anazungumzia nn
Wivu unakusumbua jiangalie unaupungufu wa brain wewe Fatma Abdalah. Huyu baharia ni surviver. Ubaharia ni mgumu unafanya mwanamke anakuwa strong kama mwanamme, ndio maana unamwona yuko tofauti.
@@AliOmar-bx2oz ndo kwa maana umeniona nimenyamaza nimekuachia wewe dada mwingine umsupport dada mwenzio. Hapa hatuko kwenye masuala ya kusupotiana na mimi sijampinga ila namsaidia zaidi kwa kuwa watu wenye stress huwa wanaishia pabaya ndo maana nawaelekeza ndugu zao wamtafutie msaada zaidi kwanza wamfute manyanyaso aloyapatq ayasahau ndo maana ya cancelling! Sasa nani kilaza kati yetu manake hata maana ya cancelling hujui
@@dilshadmurtaza6871 Naomba nikushaur k2 My sster, Ni vyema ukatafta m2 wa kukustir kwanza,, kaz haizuii m2 kutokuolewa, hifadh uislam wako kisha endelea na mamb mengne, unapo tafta maisha, angalia pande zote mbili, akhera na dunian, cz kuna Maisha baada ya Dunia, nakutakia heri ndg yng.. tafta stara mana umri wako na shakhswiya yako ni ya kuolewa ,msichana mzur, mrembo, Una vutia Kwa kila akutazamae, una taswira ya kiislam, uschukie kuolewa Kwa ajili ya kaz tafta unae ona mnaweza kuendana ktk malengo yako na Allah atakufanyia wepec inshaallah, madam2 hautoki ktk mipaka ya kumtii mola wako.. +971..
@@dilshadmurtaza6871 nakushauri kitu km utanisikiliza sawa hukunisikiliza pia ni hiyari yako hiyo lugha unayoenda nayo nawe bado ni kijana mdogo bado una future mbele sio nzuri naomba urekebishe kidogo mwanangu utafika mbali zaidi ya unavyotarajia. Lugha nzuri na ya unyenyekevu kwa wakubwa na wadogo ni silaha tosha kabisa. Nakuita mwanangu kwa sababu mi mtu mzima na mwanangu wa kwanza ana miaka 36 na wa mwisho ana miaka 29 sasa sijui wewe una mingapi. Huo ni ushauri wangu tu. Kumwita mtu kilaza sijui unamaanisha nini? Sababu watu wamesoma kuliko wewe na wanaheshimu watu
@@dilshadmurtaza6871 Hongera xana.Mambo unayoongelea ni kwel na sio kwa wanawake pekee.Nilijoin DMI 2015 and I was taking marine Engineering na nilipata shida sana, mizunguko mingi wanasumbua sana mara hii mara lile..Mpaka nlivunjika moyo en then I changed the course due to those misleadingness.Iam also from Rocky city.May Allah guide you in that way of trying to help other seawoman.
Alexandrina Domaino ku kuolewa kwa mwanamke n lazma na kuoa kwa mwanaume n lazma na principle inasema hiv :ww kama hujaolewa / kuoa bac bado hujatulia kuoa /kuolewa hakumzui mtu kutokufanya maendeleo yake icpokuwa ufinyu wa uelewaa na kutotembea ndio mnaona kama ndoa n kikwazo cha mawndeleo ndoa n chachu ya maendeleoo kamahhujui
Wewe huna haja ya kuelezea qualifications zako, cha msingi wewe use sauti kwa watu wote wanaopitia majanga kama uliyopotia wewe, sbb km ukirefer qualification zako,wako ambao hawsna, jee na hao wataongea nini??. Ila pole sana kwa hayo majanga, wewe mtangulize mungu na upambane
SAFI SANA DADA, WANAWAKE OYEEE!!! UTAWEZA TUUU KILA MTU ANAWEZAAA
Hongera sana kwa uvumilivu hatimaye umetimiza ndoto zako, Allah atakujaalia kheir zaidi na atakunyanyua zaidi.
We ni jasiri
Tatizo unaongea sana na tempa iko juu. It's as if unamuonya adui yako kwa utakachomfanya coz umefika juu. Be Humble, nothing lasts forever.
She is a brave strong woman and inspiring keep up girl!
Ambao hawajaelewa kama mm wapo
Mbona anaongea anaeleweka vzuri tu jmn !!!! Mm nimemuelewa na hayo yapo na kimsingi sio haki kabsa ..... Hongera Sana Dada mungu akujaalie inshallah
Woowe hongera sana dada....nimependa anavorefer vizuri kwenye sheria na profession yake....all the Best dear in your brilliant initiative.....
Shukran kwa maelezo. Allah akuongoze ufanikiwe. Sasa jihusishe na Ujumbe wake aliyetuumba. Kuna baraka tele. Wewe ni shujaa na una subira kweli. Ongezea imaan na ibadah na tabia njema utafikia daraja ya Juu in sha Allah, hadi uwafanye kina dada wawe na Meli zao wenyewe. Bi khadija alikuwa mfanyibiashara wa kimataifa.
Mabaharia wa kiume wana nyege nyingi kwa sababu ya kukaa muda mrefu Baharini na kula samaki kwa wingi, nafikiri hautaki kuolewa kwa sababu ya kutoa sadaka kuma na ushibe mboro vizuri, ni kama mfano wa kumueka mfungwa mmoja wa kike kwenye jela ya wanaume, NINI ITATOKEA?
😂😂😂😂😂
Ndio umefikia upeo wako wa kufikiri hapo.
Hongera sana binti, Mungu akubariki.Nakutakia heri na mafanikio mema. umefungua mlango wanawake duniani kukufuaka
Hongera,mfano mzuri wa kuigwa.Endeleahivyo,usikate tamaa.Mungu akubariki.
Mashaallah, hongera mwenyezi mungu atakuwe zesha tuu, kila anae tafuta lazima mitihani, usife moyo wala usijali watu wanao kuangusha mwenyezi mungu yuko tuu
Amin
Mashallah tabarakallah mungu akubarikiye na job yakoo
Hata Mimi ni baharia mstaafu ila sikusomea ubaharia kabisa kwakweli Ile kazi ni hatari Sana si ya kitoto
Yaani unaweza ukasoma kwa bidii lkn kwenye kupata kaz ndo shida unaweza ukazalilika mpaka mtu ujute. Pole sana dada kwa ulopitia
Uzembe tu. Kazi zipo Sana.
@@jumaaman6260 kazi zipo wapi juma mabaharia wanawake wengi kazi hakuna leteni meli
Wow Congrats good gal, you did wonders in the male masculinity industry
Kwaiyo aolewe kazi asifanye,wanaume wenyewe hawa wamanyanyaso
Kuolewa sheria za mwenyezi mungu, udhaifu wa viumbe ni tofauti na sheria
baharia mzuri hivyo duuu
Ki chériekinapendeza masha Allah ijabu
Wakina uchebe
anaesoma coment kama mimi aje huku 😂😂😂😂😂😂
Mm hp mwnzako😂😂😂
Kassim Juma Mohammed @ase unakunywa bia aina gani waambie wakupe mbili huku tunaendelea kusoma coment🤣🤣🤣
Dada unatuchanganya ongea lungha moja ay ay nyingi hazieleweki ongea kiswahili tukufahamu english is not ur language talk to ur local language so we can understand u sister
Hongera dd kwa ukakamavu wa maisha wala usiwali mahasidi.ALLAH yuko nawe🤲🤲🤲🇰🇪
Hongera sana sana, hii NGO itasaidia sana na pesa utapata huku ndani hata kama ni kidogo utapasua tu. Sijui nikupateje nami nikuunge mkono
hongera dada mpaka kieleweke.
Strong woman ..💪🙌
Thank you so much my dear Captain.
Allah akujaalie kheri habibty na kazi yako ila ukipata rizik uolewe tu
MB zangu hazitoshi kuskiliza maelezo yake nataka nimuoe tuzae watoto wazuri kama yeye MashaAllah 😘
Mungu hamtupi mja wake, songa mbele, Mungu azidi kukutunzs.
Nakufaham sana,pole sana,no one perfect
umeva vizuri mno mashallah nimevutiwamno nahiyo ijabu tofauti waschana wengine yy
Juma Hory;wacha hiyo hijab yy mwenyewe hata angevaa gunia ni hatr tupu.
MashaAllah
Ukienda Arabuni utatamani wangap ndugu yangu😃😃
safi Officer ndo mambo ya kzi kazi zetu zinachangamoto nyingi hata madam Regina analijua hilo ,ila pambana kama vipi badilisha fild wende Angani huko naona kunamata zaidi .DMI hapo ni ubabaishaji tu na kupenda hela
ALLAH MAAK KEEP GOING THE FUTURE IS BRIGHT
Dah uyu Dada ameniinspire sana vipi ,nawez kumpta kuongea nae mm Niko kwenye hyo crrier
Pole sana..
Na pia Hongera sana
Haeleweki anazungumza nini! Ni upuuzi mtupu, anachanganya maneno, ovyooooooooooo!
Wewe kichwa cha panzi utamuelewaje
Mhh hongera kwakuthubutu
Sasa Milardi mbona hii habari iko ovyo, hamna maelezo huyo ni nani na anafanya nini! habari gani haina maelezo!, uki upload video ..andikeni chini maelezo brielfy!
Asante Kaka Mimi mwenyewe niko njia panda
Hongera Sana Dada kwa ujasiri
mashallah.....naftis
Congratulations my sisters keep up
Hongera sana uko vizuri
Mh hongera kwa kupambana
Huyu binti amenifurahisha sana kwa ushujaa wake
Ubarikiwe sana
Pole na Hongera
Masha Allah ila Mungu tu waisome number
Allah akuongoze kazi zengine c zakike
Hongera kwa kujielimisha ila kumbuka ndowa ni muhimu kwa kila mtu anaefikia umri uofisa wako usiwe ni kikwazo cha kuto kuolewa ndowa ni muhimu na ukimpata wa kukuowa usisite na matokeo utayaona. Fikiria na utafakari wewe ni mfano wa wanawake wengine .
We Millard umeanza kuchoka. Sasa huyu kwani ni nani? Ghafla tu baharia aeleza mazito hata hatujui ni wa wapi
Good jobs my sister message from USA nimefika marekani sababu ya stowaway
Dada pambana Sasa tunaye Rais Mama. Msiogope.
Dada kawasemee kwa baba lao
Kaombe kazi azam marine
Superwomen 💪💪💪💪
Ali Ali 🙏🏾
Sawa lkn sasa muda umefika furaha zaidi katika maishayako itakamilishwa na ndoa usikatae tena kuolewa,pia usibabaike sana mie nipotayari kukustiri.
Congratulations sister
Hongera sana dada
Haki yako itatoka chozi la alodhulumiwa haraka Allah analipokea haraka mungu atakulipa. Utakuja Kukumbuka. Wakati haki yako italipwa
Alafu watu wanajihita mabaharia wa ngono. Acheni utani bwana. Heshimuni majina ya watu
Bora tu uolewe na uendelee na kazi yako
Anayo yaongelea ata sielewi, ngoja niwaachie wenyew
Safi dada
Ukiona ivo ujue anacho kiongea si cha level yako we jikatae tu
@@stanslausmwasumbi4236 tofauti yako na zuchu ni sauti tu
Jina linaendana na tabia yako kumbe unatoa hisani ya kijungu kajipambanulie mbele
@@AliAli-rx6wu ww mbona matusi yote akaolewe utamuowa ww jifunze kueshimu wanawake matuc co dili
Ahsante ndg yng kwa misimamo yako 👏, af waambie kwamba hizi rangi za dhahabu hazimshobokei m2,wanashoboka wao wenyewe.
et
kuolewa wakat nına first class
kwanza umeambiwa wanaolewa wana 20 class
hii n upungufu wa IQ na ushamba wa malsha tu
jua kuwa kuna wanawake wako majuu na wameolewa wako n wanaume zao
na wanaendelea na kaz zao za pilotting ktk makampun makubwa exile ( nje za nchi) huku!
Halaf kiingereza kenyewe n papatu papatu
ongeen kıswahılı humu kuna walimu wa lugha!
Tulia wewe kuoelewa nini kwani
Tuliza wewe kuolewa mafi ya kuku. Olewa wewe
Unaugomvi naye kwani ,kaulizwa na mwandishi wa Habari,ulitaka akae kimya?.Daah ubinadamu bhana shiidah kweli kweli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii trauma sijui magelematic sijui nini disorder anaugua kila mtu au wanaugua matajiri tu na wanaojua kingereza tu!
Anakwambia unafeel gilte😂😂
Africa bado hawaitambui vizuri ubaharia kwa Wanawake nakushauri apply kazi Canada, na huku El Salvador wapo wengi na wanathaminika*
Naomba contacts zako
Dilsha hujambo?
Pole sana
Mashaallah
Huwezi mnyanyua boss kwenye kiti,unaona boss naomba kama ikikupendeza unipishe nifanye kazi,huyu dada ni mtata sana hta kwa maelezo yake
ikiwa bos ni mstaarabu hakuna kinachoharibika
Njoo nikuoe mm mwenye natafuta mke wa kuoa jasiri kama ww, it's very beautiful girl!!!!!!
Mjubaaaa huyo humuwezi katuuuu
Hongera.vipi kama atatokea kaitamani kazi yako.vp utamsaidiaje?
Bahari ishamdatisha anaongea maneno ya kihuni tu
Kiwango chako dada yangu ni kikubwa, huku nchi za wazungu watu wengi wana mindset kama zako kwamba nikitaka kitu fulani cha maendeleo lazima nikipate.
Sasa unapata comments nzuri lakini nyingi za kijinga. Wengi wao hata baiskeli hawajui kuendesha sembuse kuendesha meli kubwa.
Wanao mponda wote wivu na choyo tu
Fact! Sanaa, wabongo tu wabishi for nothing
tatizo unaongea halafu haueleweki,maliza masomo ukipata kazi uolewe,Dada kama nimwisilam kweli umefikia umri basi uolewe Dada.
Sema mimi sijaelewa sio dada hueleweki na pia jifunze kuwa na "Dhana Njema" kama Muislamu kweli.
Kaolewe wewe fala.
Uislamu haukuja kumgandamiza mwanamke umekuja kumuokoa na yy ameokolewa wacha afanye alitakalo wajinga nyie
nigekuwa natumia M.B nigeodowa zaman sema natumia wi-fi ndio mana nimemaliza tu
Pole. Dunia changamoto. Ila ongea lugha moja!
She is bright gal. mimi lecturer i heard her she is great gal. acheni us.enge
Inakuuma kwani
Tatizo umemkatalia Bosi ndo sbb kubwa hp, kwa sbb mabosi ilo wakuajiri lzm wskutake kingono huo ndo ukweli
Duh umeona mbali tu sn
...SALUTE’ MA SEA FELLAS TUPO PAMOJA...!
DEEP SEA si MCHEZO’ Sio wanajiita mabaharia’ wakati hata BOZEN DEKI hawaijui...!
At sijui anaongelea Nini aaaf annaonekaa mjubaaa balaaaaaaaa uolewe hukooooo
@@ussiali1100 Sina choyo kw maana mm Niko na kazi hiyo hiyo port rashidia Dubai as ktk tag
@@alihaji7201 Posta yenyewe hakujui ukimtajia Rashidia ndio utamvuruga hata hajui n train n redline au greeline.Nimecheka hata mm sijamulewa kabisa anazungumzia nn
@@mligosandrah7851 mtihan kw kwl
Hawana sbb wanakitaka kingono tu hao msimamo huohuo usikibali kufunuliwa, Mungu ndo atowae
Dada unaporoja sana hufahamiki nanda ukaolewe
Hata akiolewa taachika baada ya wiki, we unamuonaje anaonekana jeuri
Anasema kuolewa wakati amepoteza miaka minne masomoni ni Bullshit😂😂😂
Daah hajui kama kuolewa ni bahati
Una sura nzuri lakini maelezo yako hayaendani namweonekano wako
Wewe acha kuchafua, vitu unatoka kwenye maada, unasema hakuna wa class one tz, nyie mabaharia mnao pitia meli za zanzibar, hebu tembea kidogo, muone
Tatizo nawewe ni mrembo sana ulimkatalia boss mzigo😂😂
Mmmmmh big up
Wangapi hatujaelewa jamani
Go, go, girl wewe ni malkia wa nguvu!
Kwa mtazamo wangu huyu dada hayuko sawa anahitaji cancelling wamsaidie ana vitu kichwani vinamsumbua wawe karibu yake sana
Wivu unakusumbua jiangalie unaupungufu wa brain wewe Fatma Abdalah. Huyu baharia ni surviver. Ubaharia ni mgumu unafanya mwanamke anakuwa strong kama mwanamme, ndio maana unamwona yuko tofauti.
@@AliOmar-bx2oz ndo kwa maana umeniona nimenyamaza nimekuachia wewe dada mwingine umsupport dada mwenzio. Hapa hatuko kwenye masuala ya kusupotiana na mimi sijampinga ila namsaidia zaidi kwa kuwa watu wenye stress huwa wanaishia pabaya ndo maana nawaelekeza ndugu zao wamtafutie msaada zaidi kwanza wamfute manyanyaso aloyapatq ayasahau ndo maana ya cancelling! Sasa nani kilaza kati yetu manake hata maana ya cancelling hujui
@@dilshadmurtaza6871 Naomba nikushaur k2 My sster, Ni vyema ukatafta m2 wa kukustir kwanza,, kaz haizuii m2 kutokuolewa, hifadh uislam wako kisha endelea na mamb mengne, unapo tafta maisha, angalia pande zote mbili, akhera na dunian, cz kuna Maisha baada ya Dunia, nakutakia heri ndg yng.. tafta stara mana umri wako na shakhswiya yako ni ya kuolewa ,msichana mzur, mrembo, Una vutia Kwa kila akutazamae, una taswira ya kiislam, uschukie kuolewa Kwa ajili ya kaz tafta unae ona mnaweza kuendana ktk malengo yako na Allah atakufanyia wepec inshaallah, madam2 hautoki ktk mipaka ya kumtii mola wako.. +971..
@@dilshadmurtaza6871 nakushauri kitu km utanisikiliza sawa hukunisikiliza pia ni hiyari yako hiyo lugha unayoenda nayo nawe bado ni kijana mdogo bado una future mbele sio nzuri naomba urekebishe kidogo mwanangu utafika mbali zaidi ya unavyotarajia. Lugha nzuri na ya unyenyekevu kwa wakubwa na wadogo ni silaha tosha kabisa. Nakuita mwanangu kwa sababu mi mtu mzima na mwanangu wa kwanza ana miaka 36 na wa mwisho ana miaka 29 sasa sijui wewe una mingapi. Huo ni ushauri wangu tu. Kumwita mtu kilaza sijui unamaanisha nini? Sababu watu wamesoma kuliko wewe na wanaheshimu watu
@@dilshadmurtaza6871 Hongera xana.Mambo unayoongelea ni kwel na sio kwa wanawake pekee.Nilijoin DMI 2015 and I was taking marine Engineering na nilipata shida sana, mizunguko mingi wanasumbua sana mara hii mara lile..Mpaka nlivunjika moyo en then I changed the course due to those misleadingness.Iam also from Rocky city.May Allah guide you in that way of trying to help other seawoman.
Eti unatakiwa uolewe (bulshit)sijuhi watu wanafikir kuolewa ni nini. Pole sana my dear ndo changamoto za kazi.
Alexandrina Domaino ku
kuolewa kwa mwanamke n lazma na kuoa kwa mwanaume n lazma na
principle inasema hiv :ww kama hujaolewa / kuoa bac bado hujatulia
kuoa /kuolewa hakumzui mtu kutokufanya maendeleo yake icpokuwa ufinyu wa uelewaa na kutotembea ndio mnaona kama ndoa n kikwazo cha mawndeleo
ndoa n chachu ya maendeleoo kamahhujui
Wanafikiria backwards so stupid.
Samahan lkn dada ww ni baaria sawa jee uliwai kuzamia au na ilikuaje ila mm sjui mambo ya ubaalia
Wewe huna haja ya kuelezea qualifications zako, cha msingi wewe use sauti kwa watu wote wanaopitia majanga kama uliyopotia wewe, sbb km ukirefer qualification zako,wako ambao hawsna, jee na hao wataongea nini??. Ila pole sana kwa hayo majanga, wewe mtangulize mungu na upambane
Ongea ueleweke viingereza vingi chagua kiswahili au kimombo
Unaboa
Nakweli amepanic
New port new wife 😂😂😂
MashaAllah
Maelezo hayafahamiki.
Ila najua kapsta changamoto katika maisha katika kutafuta maisha.
Ujue uislam wako Allah atakusaidia.
Ameen.
Toa yk yanofahamikalevi wee
ayohujatumia taaluma yako vizuri ungemuongoza ili ajielezee vizuri
A naongea huyyuu
Super Woman
Vizuri
Big up sana sister
Sasa ndiyo unatupigisha story au aujui tunatumia mb kimombo mingi na unajua uko tz wasukuma watakuelewa kweli
Dada shufaa haifai kumwambia mwenzio hivyo leo yeye kesho wewe mwenzio anapofikwa na jambo baya lolote usiwe mbele kuchangia kujibu kitu kibaya muuombee duwa afanikiewe sio ku comment maneno sio mazuri
Walikuwa sahihi kusema akaolewe, ila kwa ujuaji huu huyo mume nae ajipange kweli kweli😎
😀😀😀
hahahhahaahha