Shukran sheikh ila swali n ukitaka kuchimba mizizi ya mbaazi alafu labda mchawi amezika vitu vyake na hujui hakuna dhara na n wakati gani mzuri wa kupanda mbaazi nyumbani Asalaam Aleikum
Nimeupanda kwangu bado mdogo tu lakini wiki 2 zilopita nilikuta kunayai limevunjwa pembeni yake juzi nimekuta imelala kama ilolazwa 😮 Kumbe yahifadhi vitu vingi vya wabaya isijekua ndo washaanza kuweka vitu vyao subhannaAllah mtihani wallah
Asante, utujulishe sana kuhusu dawa za wana wake, tumbo la chini kuuma n'a nikafanya tendon la ndowa n'a ambikiza mume, nimetunzwa siku nyingi na siponi
Asalam aleykum warahamatul lwahi wabarakatuh Ma'Shaa'Allah Jazakahlaulkhairàan SHEIKH..MOLA AKUZIDISHIE kipaji na akulinde na hasaad na shari zote na sisi sote Mola atujaaliye afya njema ameen🙏❤😊
Jamani shekhe mi na mtoto wangu toka alipoZaliwa mtoto huyo hajaenda wala hakai kitako na hazungzi huu mwaka wa pili mtoto yupohivi hivo nishashoka kuhangaika nisaidie shekhe
Asante sana mungu apate kukuhongezea tena maharifa , Sasa napenda unitie kwenye groupe yako ya dawa asili nikuwe nakufata kwa kila vidéo yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Allah atunusuru na hao WACHAWI ambao hawana dini wala utu. Alla awangamize kama alivo angamia Adi na thamud. Amin
Masha alla.sheik.yusuf.ala.akuzidishie.umri
Mashaallah mungu akubariki shekhe yusuph akupe afya njema na uzima ili uweze kutoa darsa kwa watu
Shukran sheikh ila swali n ukitaka kuchimba mizizi ya mbaazi alafu labda mchawi amezika vitu vyake na hujui hakuna dhara na n wakati gani mzuri wa kupanda mbaazi nyumbani Asalaam Aleikum
Mwenyezimungu akupe kheri duniani Wal akhera
Ahsante sana huu mti ninauheshimu sana uliniponya nlipokuwa ninaumwa hali sinapesa si mara moja nshautumia kama dawa. MUNGU YU MWEMA
Ulikuponya nini ndugu yangu?
Ni kweli kabisa, ni mzuri Sana Kwa dawa
@@NduguMwananchi-md9qk sawa.tutatumi
Unachemsha matawi au miti
Asante Sheikh tunakupongeza Allah. Akulipe ,SAME MASHARIKI
MASHALLAH MY BROTHER I LOVE UR JOB KAZI YAKO I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA BUT I AM LIVING IN LONDON 🇬🇧 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimeupanda kwangu bado mdogo tu lakini wiki 2 zilopita nilikuta kunayai limevunjwa pembeni yake juzi nimekuta imelala kama ilolazwa 😮
Kumbe yahifadhi vitu vingi vya wabaya isijekua ndo washaanza kuweka vitu vyao subhannaAllah mtihani wallah
Allah akuongoze kwenye ibada zako
Maashallah Maashallah Maashallah shukran Jazakallah allah kheir
Mashallah shukrani kwa elimu ya mti huu
Asante, utujulishe sana kuhusu dawa za wana wake, tumbo la chini kuuma n'a nikafanya tendon la ndowa n'a ambikiza mume, nimetunzwa siku nyingi na siponi
Masha Allah shekh ysf allah akubarik na akuzidishie elmu uzid kutunufaisha
Subunanallah,ya Allah tuepushe na ubaya wa wachawi,hapa duniani mpaka siku ya mwisho!tulinde nguvu za giza,tumtumikie wewe pekee Allah!
Asalam aleykum warahamatul lwahi wabarakatuh Ma'Shaa'Allah Jazakahlaulkhairàan SHEIKH..MOLA AKUZIDISHIE kipaji na akulinde na hasaad na shari zote na sisi sote Mola atujaaliye afya njema ameen🙏❤😊
Amiiiin inshallah
Amiiiin inshallah
Amiin🤲
Masha Allah sheikh May the Almighty Allah reward your good deeds and blessings you & your family..awesome lecture👍
Amiiiin In shaa Allah
Qq
S no
Mashallah sheikh yusuph Allah akujaalie elimu zaidi
Shukran allah akulipe kheir
Mashallah JazakaAllah kheir
Mashallah sheikh yusuf alllah swt akuzidishie ilmu
Amiiiin inshallah
Shukran shekhe
Jazakallahu khair Sheikh
Samahan ikiwa ww si muisilam na hizo haya zakusoma zinapatikana wap katika bibilia
Asante sana kwa maarifa na Elimu hii muhimu
She nimekuelewa sana Mungu akupe ufahamu zaidi Ili uweze kusaidia wanadamu.
Kwa sisi wa dini tofauti tunafanyaje kuhusu hizo haya,
Allah akbar, Allah akulipe kheri inshallah
Assalam aleykum asante sheikh Yusuph Allah Akubarik
Shukurun sheikh Allah akuripe kira raheli
Amiin
Mashaallah Allah azidi kukupa elimu yenye manufaa inshaallah
Amiiiin inshallah
Thank you so very much ,in south Africa
🙏🙏🙏
Shukran shekh
Mashallh shekhe wetu
Shukraan sana sheikh wetu Allah akubariki
Hostazi naomba unisaidie ninatatizo baomba namba
Sheikh alhamdullilah Ila vp tunaweza kuwaonaviumbe hajwahi tofu kwa kutumia mti huu
Usijaribu
Asante shekh wetu Mungu akubariki sana
Mungu akbrk sheikh Yussuf
Allah akulipe kheri fidunia wal-akhera
Thank you so much watching you from DRC Congo
Asante shehe muungu akujalie na afya uzidi kutupa dawa
Shukran shekh kwamafunzo mazuri
Mashalla allah akulipe kila la heri biidhnilla
Mungu akupe rehema shekh
Mashaallah shukran sana kwa elimu nzur
Mashallah tabatakallah
Ahsante sheikh wangu. Twakupata msumbiji
Mashaallah
shukran
Jazakallahu khair
Allah akujaalie kla la kher inshaAllah
Shekh yusuph Allah akuzidishie dawa uloelekeza ya vidonda vya tumbo imenisaidia sana nami nimesaidia watu pia, tunaomba tusaidie ya PID pia.
Asante sana Dr
Shukrani shekhe
Asante sana kwa kutupa abc za mti huo
Masha allah
Mashalla mungu akubarik
Ahsante shekh kwa elimu .
Kama haujuw kialabu jee
Shekhe twashukuru kwa maelezo yako mazuri mno
Hakika tunakushukuru kwa elimu ya tiba tunayoipata kutoka kwako hakika Mora akubariki sanaaa
Mashaallah shukrani
Sheik mimi nina shida tumbo langu limekuwa kubwa sana naomba tiba
Safi sana
Asalamreko sheheh mimi nimesikia mafunzo Yako yamenifulaisha nataka unipe namba Yako tuzungimze vizuli
Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh
Bismilah mashaallah tabaraka Rwahman
Asante kwa kutupa elimu
Jazakaallahu khairan inshaallah
Shukrani xana
Shukrani.sasa mwamm.mbaona mm ninashidanawzye nitakupata aje
MashaAllah tabarakaallah
Mashaallah mungu akulipe kheri
ASANTE SHEKH JAZZAKALLAH
Masha-Allah ❤❤❤❤
Tabarakallah
Allamdhulilla Sheikh Yusufu
Asante dakitari
MASHAA AA LLAH
Salute
@@haroonthoya6378 mie nimepanda mibaazi je si hatari kwangu?
Naomba unijuze ili km vipi ning'olee mbali naogopa
Ahsante nimeelewa bado kutekeleza
Ma sha allah
Mashallah
Jamani shekhe mi na mtoto wangu toka alipoZaliwa mtoto huyo hajaenda wala hakai kitako na hazungzi huu mwaka wa pili mtoto yupohivi hivo nishashoka kuhangaika nisaidie shekhe
Assalaam Alaykum uko wapi nikusaidie japo kwa ushauri
سبحان الله
Alla'akulipe'heri
Kwel kabisa
Shee Yusuf
jazallah khair
Asante umnielimisha
Asante sana mungu apate kukuhongezea tena maharifa ,
Sasa napenda unitie kwenye groupe yako ya dawa asili nikuwe nakufata kwa kila vidéo yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Habari nina mjukuu wangu ana miaka kumi aongei wala aelewi naomba unisaidie
TUNASHUKURU SHEKH
Tulifundishwa grupu faifa ya mbaàazi
Makali definitely a ikiwa spital
Mi na shukuru kabisa🙏
shekhee samahan je naweza kufungua vfungo vya kichawi kupitia mbaazi
Yes
Very nice bro
Insha-allah
Ahsante
salama llenkm Mimi naomba nipate ujazito naomba unisadie🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ameen
Tunashkuru kwa mafunz mazuri
Mbona Mimi sijaona ktk quraan Wala Hadith ya mtume hizo dawa za mines nyinyi mmefundishwa na majini haya matokeo ya miti
Sawa Kaka
Sheikh mm nina dadaangu moyo wake umekuwa mkubwa naomba nisaidie
Hata mm mama yangu