#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 157

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 3 หลายเดือนก่อน +12

    Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud
    2.Nishaachana nae Ft Phina
    3.Namuachia Mungu Ft Appy
    4.Naskia Harufu ft Chid Benz
    5.Nakuja Kwako ft One Six

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252
    @omolomaxfitnessbodylifetim8252 3 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KelvinBushesha
    @KelvinBushesha 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10

  • @AssengaMsechu
    @AssengaMsechu 2 หลายเดือนก่อน

    Big uo

  • @KenedyKazana
    @KenedyKazana 3 หลายเดือนก่อน

    Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️

  • @AndreaBalintanzeko-vd8yw
    @AndreaBalintanzeko-vd8yw 3 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 3 หลายเดือนก่อน +2

    11:28

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 3 หลายเดือนก่อน

    Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephbuddoh1577
    @josephbuddoh1577 3 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan

  • @kashinjefranscis608
    @kashinjefranscis608 หลายเดือนก่อน

    Makonda amevuna alichopanda

  • @JacksonMwinga
    @JacksonMwinga 3 หลายเดือนก่อน

    We ni mwamba

  • @RamadhanHaruna
    @RamadhanHaruna 3 หลายเดือนก่อน +8

    Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani kuna shida gani? Yani uache sehemu yenye pesa.

    • @isaacbywell7081
      @isaacbywell7081 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@angelsblackboard8008 ww Angels mbona majib yako na jina lako haviendani. Unatukana nakujib vitu visivyo.

    • @herbethlukogela7657
      @herbethlukogela7657 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani hivi Roma ni mtu wa kwanza kuishi nje

    • @alexlingwendu6780
      @alexlingwendu6780 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani kuna shiido

    • @dennischarles8524
      @dennischarles8524 3 หลายเดือนก่อน

      Umesahau alitekwa kupigwa karibu auliwe?

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 3 หลายเดือนก่อน

    Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu

  • @mikemwanga2860
    @mikemwanga2860 หลายเดือนก่อน

    una nawa nawa mikono nini dogo? au wewe ni mvulana wa dar

  • @GunmanUnique-zo9bp
    @GunmanUnique-zo9bp 2 หลายเดือนก่อน

    Nkbr chaf

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 3 หลายเดือนก่อน +1

    HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA

  • @MponelaJuma
    @MponelaJuma 3 หลายเดือนก่อน +1

    we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali

    • @nzegeatv6355
      @nzegeatv6355 3 หลายเดือนก่อน

      Wa kike au wakiume😂

  • @MohamedBakari-lb5mk
    @MohamedBakari-lb5mk 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana harakati mmoja

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe

  • @Black-sound24
    @Black-sound24 3 หลายเดือนก่อน +1

    Roma 💥

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 3 หลายเดือนก่อน +3

    Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.

  • @basilvenance1368
    @basilvenance1368 3 หลายเดือนก่อน +2

    Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.

  • @millardGaiga-vh9yh
    @millardGaiga-vh9yh 3 หลายเดือนก่อน +3

    Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 3 หลายเดือนก่อน

      Yeah, that's Truthfully.

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa

  • @AmmarIssa-d8s
    @AmmarIssa-d8s 3 หลายเดือนก่อน

    Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera

  • @TeddyTz-r9m
    @TeddyTz-r9m 3 หลายเดือนก่อน

    Mweu anakujaga bondo nakurudi uyu broo ngoja siku nitakupost ukiwa apa bongo😂😂😂

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani

    • @juliusmix
      @juliusmix 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?

  • @BingwaboyPepeleboy
    @BingwaboyPepeleboy 3 หลายเดือนก่อน +3

    big artistes in rap

  • @ZainabuIddy-r1o
    @ZainabuIddy-r1o หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana Kaka MUNGU akupiganie kukote uliko

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote

  • @userwalterreal
    @userwalterreal 3 หลายเดือนก่อน

    Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 3 หลายเดือนก่อน

    Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 3 หลายเดือนก่อน +2

    All the time = wakati wote

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 3 หลายเดือนก่อน +2

    Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki

  • @novatht8377
    @novatht8377 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda yupo wapi

  • @brudatv3539
    @brudatv3539 3 หลายเดือนก่อน

    Walioanza kukimbilia comment

  • @IssaMkali-k6y
    @IssaMkali-k6y 2 หลายเดือนก่อน

    Zile ngoma roma kauwa sana

  • @ORG960
    @ORG960 3 หลายเดือนก่อน

    Roma ameamza kuzeeka sikuizi

  • @SaimonJohn-f4q
    @SaimonJohn-f4q 3 หลายเดือนก่อน

    Ramadhan na ww unauliza nn ss

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu dogo anachokonoa hatari

  • @chrismwanjalika9892
    @chrismwanjalika9892 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.

    • @brain_ujazo
      @brain_ujazo 3 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.

  • @idrisandaka2198
    @idrisandaka2198 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mwamba na nusu

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks

    • @joshuanyaulingo4109
      @joshuanyaulingo4109 3 หลายเดือนก่อน

      an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 3 หลายเดือนก่อน +3

    dk 46

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 3 หลายเดือนก่อน

    Roma yupo vizuri sana

  • @imranmohamed9527
    @imranmohamed9527 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana ROMA

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht หลายเดือนก่อน

    Ww choko Roma unakaa marekan uswaz pimbi ww laana hiyo imekupata unapenda kutukana viongozi

    • @MathewGodson
      @MathewGodson หลายเดือนก่อน

      Jitambuwe choko

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 3 หลายเดือนก่อน +1

    tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.

  • @jeromejanson3003
    @jeromejanson3003 3 หลายเดือนก่อน

    Is name’s jay polly

  • @ThousandPhase
    @ThousandPhase 3 หลายเดือนก่อน +1

    Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia
    IPO Moro na mwanza

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 3 หลายเดือนก่อน

      BT remind you Roma mwana fa wanatoka Tanga😊

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 3 หลายเดือนก่อน

    Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂

    • @kareem1182
      @kareem1182 3 หลายเดือนก่อน

      Ulayaa ata pakiwaa shambaa sawa na masaki

  • @AshelyJonas-vg9gg
    @AshelyJonas-vg9gg 2 หลายเดือนก่อน

    Namkubali san uyo mwamba

  • @HamisiWilson-kb2bj
    @HamisiWilson-kb2bj 3 หลายเดือนก่อน

    Roma salute _$

  • @silvanusmasawe
    @silvanusmasawe 3 หลายเดือนก่อน

    Love you kaka ❤❤❤❤

  • @dreamz_d
    @dreamz_d 3 หลายเดือนก่อน

    Bro 😎

  • @imammwasanyamba9715
    @imammwasanyamba9715 3 หลายเดือนก่อน +1

  • @robartifabiani
    @robartifabiani 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tano nyingi mpaka sugu

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 3 หลายเดือนก่อน

    Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha

  • @eliahswai1607
    @eliahswai1607 3 หลายเดือนก่อน +1

    Big up to you bro since day one hujawahi kukosea

    • @princessplatnum4416
      @princessplatnum4416 3 หลายเดือนก่อน

      Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea

  • @OscarPilla-oy2rc
    @OscarPilla-oy2rc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ww 🎉❤mwamba

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin

    • @MayraTiffu
      @MayraTiffu 3 หลายเดือนก่อน +1

      Acha uchawa ww kupinga jitihada gan

    • @SikabweChristophe
      @SikabweChristophe 3 หลายเดือนก่อน

      Bro are you mad

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 3 หลายเดือนก่อน +1

      Bado bongo wasiojielewa ni wengi saaana aiseee

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 3 หลายเดือนก่อน

      Musenge wewe

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 3 หลายเดือนก่อน

      serikali inajitihada gani zaidi ya kutuendelezea umasikini na wenyewe ndo kubakia matajiri,au na wewe ni mjukuu wao?

  • @chrispinegervas1681
    @chrispinegervas1681 3 หลายเดือนก่อน +2

    Super

  • @VitukoKiwanga
    @VitukoKiwanga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana, halakati huyoo!!

    • @ThousandPhase
      @ThousandPhase 3 หลายเดือนก่อน

      Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 3 หลายเดือนก่อน +20

    Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂

    • @emmanuelchacha6718
      @emmanuelchacha6718 3 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 3 หลายเดือนก่อน +15

      Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?

    • @NorascoKipeto
      @NorascoKipeto 3 หลายเดือนก่อน +3

      hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 3 หลายเดือนก่อน

      @@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎

    • @TIMOTHEOALFREDI-zf2te
      @TIMOTHEOALFREDI-zf2te 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga