Wanahabari waandamana baada ya Catherine Kariuki kupigwa risasi na polisi jijini Nakuru

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • waandishi wa habari jijini Nakuru chini ya muungano wao wameandamana hadi kwenye ofisi ya kamanda wa polisi wa nakuru wakitaka polisi aliyempiga risasi mwanahabari wa runinga na redio ya kameme catherine kariuki achukuliwe hatua. catherine alipigwa risasi kwenye paja alipokuwa akiandika taarifa za maandamano ya vijana wa kizazi cha genz hapo jana jijini humo.

ความคิดเห็น • 15

  • @gikuni_josgi
    @gikuni_josgi หลายเดือนก่อน +7

    Freedom of the press. JUSTICE TO CATE

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน +4

    Acha mtu akibeba bendera ya kenya unauliwa bure tu umebeba tu bendera ya kenya na unauliwa bure tu naruto anyamaze na hao wenye wanauwa hawaiti criminals lakini wenye wanauliwa na wanaitwa criminals

  • @KeepupdatedKE
    @KeepupdatedKE หลายเดือนก่อน +3

    Ruto need Vacate the office

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 หลายเดือนก่อน

    Police wenyewe inaonyesha wamemchoka ruto.... Wanafanya makisudi kabisa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน

    Nembo wnhabari police w Ruto n killer hella alokula Chibbukati haijarudi,w Kenya Ruto are danger in Kenya mjipange

  • @bensonmugesi1834
    @bensonmugesi1834 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hao ndio wahalifu

  • @johnniecashfar1736
    @johnniecashfar1736 หลายเดือนก่อน +1

    Hii story ya making everything about females or about any minority erodes the whole purpose. Does it mean that if it was a male journalist was shot it would matter less or what is that first speaker implying? Did cops see a woman and a man and shot the woman and left the man alone? If it shouldn't be done to any woman, it shouldn't be done to any man too

    • @matundatv4013
      @matundatv4013 หลายเดือนก่อน +1

      Thank you for writing my mind

    • @florarwegerera8025
      @florarwegerera8025 หลายเดือนก่อน

      Pole sana kwa aliyeumia, Jamani! Kwenye mazingira yenye vurugu yanaitaji umakini sana ni rahasi mtu kuumizwa hata kama ujakosa

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน

      Kazi y Ruto hawezi badilika hella alokula Chibbukati haijarudi, lazima aue watu mtajiju Bunge ameliweka mfukoni mtalia sana et Raila n Mzee

  • @derrickasanyo5087
    @derrickasanyo5087 หลายเดือนก่อน

    This is wrong

  • @musaandre
    @musaandre หลายเดือนก่อน

    wanahabari pia wanaonekana kusherehekea maandamano juu wako kazi wakati wengine tumefungiwa..bado mtaendelea kulia