UTABIRI WA MATUKIO YA MWAKA 2025 KWA KILA NYOTA ZETU 12.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 65

  • @beathalugoye6962
    @beathalugoye6962 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana mwenyezi Mungu aendelee kukubariki katika elimu hii,naomba utabir wa matukio ya mwaka mzima2025

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Shukran sana.
      Karibu sana

  • @ElizabethAnatory-n7g
    @ElizabethAnatory-n7g หลายเดือนก่อน +1

    Elizabeth mchumba wa hakim uko vizuri maharishi si kila tu anaelewa

  • @EdinaDoglas
    @EdinaDoglas หลายเดือนก่อน +1

    Asante maalim kwa wanao elewa wewe ni kioo Cha jamii

  • @MwanashaSuleimanTabwara
    @MwanashaSuleimanTabwara หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante kwa kutufahamisha maalim

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Karibu sana

  • @renaldalymo2215
    @renaldalymo2215 หลายเดือนก่อน +1

    Maaalim nashukuru ,nyota ya simba Mungu atujalie sana

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Aribu sana ndg yangu.

  • @dusabezubeda
    @dusabezubeda หลายเดือนก่อน +5

    Sione cha maana juu kila jambo hu pangiwa na Allah. Na yeye ndie anae jua vile litakapo isha

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      Umeonaee Yani uyu anapenda sana kukatisha watu tamaa

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Ilmu yako bado kiduchu... Kajifunze kwanza.
      Kwa hiyo ukipata matatizo HUTOYARAFUTIA UTATUZI... utasubir I kupangiwa yatatuke yenyewe?? 🥴🥴
      Unaonekana hufanyi kazi unasubir I upate ULICHOPANGIWA.... hatar kwa huo ufaham wako wenye MARADHI.

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      @@MAALIMish usipende kushindana na watu unavyo shindana unaonekana wewe Una hofu ya Mungu ndani yako inaama wewe upo kwenye siasa ndio manake

  • @tinamanzala
    @tinamanzala หลายเดือนก่อน +3

    Nyie hakuna mwaka Nyota ya samaki walitabiriwa mazuri 😂😂
    Mungu atuepushe Kwakweli

    • @OtiliaPius-dr1be
      @OtiliaPius-dr1be หลายเดือนก่อน

      😂😂polen msikate tamaa

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      Usifwate uyo wewe uyu anakariri Sana nyota za watu

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Ndio hisabu zilivyo... Muhim mikosi ulio nayo itatuliwe tu.
      Hayo matukio ni tafauti na MATATIZO.

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo หลายเดือนก่อน +1

    balikiwa

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Aamiyn

  • @OtiliaPius-dr1be
    @OtiliaPius-dr1be หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Maalim

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Karibu sana

  • @EdyDanny
    @EdyDanny หลายเดือนก่อน +1

    Sa 6 kamili

  • @selestinilaurenti4572
    @selestinilaurenti4572 หลายเดือนก่อน +2

    Hatuoni kitu

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Kuona au kusikia? 😮

  • @Jabir007-e6n
    @Jabir007-e6n หลายเดือนก่อน +1

    Umekosea kuvaa mavazi ayo ayakupendezi unajishusha daraja uliokua nayo wewe ni wakuvaa kanzu na kofia ndio unapendeza

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      Anachojuwa nikutabir ubaya kila mwaka Kwa mbuzi 😅

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Nilijua utaonesha dalili ya kuonesha nmekosea.
      Endelea kutazama kipindi.
      Karibu sana.

  • @abbyvanny
    @abbyvanny หลายเดือนก่อน +4

    Maalim kwenye nyota ya ngombe hapo umekosea this is our best year asee sasa hayo mabalaa ulosoma hapo hapana kwakweli 😂

    • @harry5395
      @harry5395 หลายเดือนก่อน +1

      Sure 😂😂😂

    • @abbyvanny
      @abbyvanny หลายเดือนก่อน

      Ni kama anatuombea mabaya asee sio utabiri huo😂​@@harry5395

    • @AlvinKhim-lc1jo
      @AlvinKhim-lc1jo หลายเดือนก่อน +1

      Hayatufikii Kwa jina la ALLAH

    • @AngelSangweni-y4w
      @AngelSangweni-y4w หลายเดือนก่อน

      Na yatupitie mbaaaali😂hatuyatakiiii

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaa siyo MTU mzuri uyu​@@abbyvanny

  • @EdinaDoglas
    @EdinaDoglas หลายเดือนก่อน +1

    Maalim watu wengi hawajui nyota zap mimi ni mganga kapunga Lazaro nakutana na watu wengi hawajui nyota zao

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Wafundishe mtaalam.
      Hii ni ilmu inatakiwa ujue kanuni zake.
      Karibu sana mtaalam.

  • @fikrial-sakaf5143
    @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน +1

    Licho gundua wewe kwenye nyota ya mbuzi Una wivu nayo Sana Yani kila mwaka nyota ya kaaa ndio unapendelea sana ASA nabadilisha mabaya yote nageuza kuwa mema

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Hii ni ilmu ya hisabu ndg.... Mie sipangi matukio.
      Muhimu utatue MIKOSI ulio nayo... Ili upate mafanikio.
      Na nyota yenyewe sijui kama unaijua tabia zake zilivyo... Karibu sana ndugu yangu.

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      @@MAALIMish mm mashuke Tabia zake zikojr

  • @Kutaila99
    @Kutaila99 หลายเดือนก่อน +1

    Kama kunamtu alipata majibu ya nyota yake kwa mwakajana akuje hapa anijuze wapendwa😅

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      Mimi kweli lipata changamoto kazini kwangu

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Ww unaonekana ni. Mpya kwenye ukumbi wetu... Acha kiherehere kwanza.
      Fanya uchunguzi kwako... Majib utawaeleza wenzio mwakani ukijaaliwa kufika.
      Karibu sana.

  • @rechomtani3033
    @rechomtani3033 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona haifunguki

    • @fikrial-sakaf5143
      @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน

      Mbona azifunguk

    • @youngchyna744
      @youngchyna744 หลายเดือนก่อน

      Mbaka tar Moja saa sita usiku ndo itafunguka

    • @happydaniel1779
      @happydaniel1779 หลายเดือนก่อน

      Ni UPCOMING ---BADO HAIJAWEKWA

  • @najmahamisi3511
    @najmahamisi3511 หลายเดือนก่อน +2

    Visipotokea mm na nyinyi hamuwezi nimalizia bandle langu bure

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      😅 By the way.... Karibu sana.
      Umeshiriki kusikiliza... Ndio vzur u Wajulishe na wenzio zaid watembelee ukumbi huu muhim zaid.

  • @fikrial-sakaf5143
    @fikrial-sakaf5143 หลายเดือนก่อน +1

    Yani wewe uwaga umekariri Sana nyota ya mbuzi kusome utabiri unatow utabiri wakuvunja maoyo yote nayageuz

    • @MAALIMish
      @MAALIMish  หลายเดือนก่อน

      Nikuvunje moyo wako kwanini?
      Hayo ninayoyataja ni hisabu ndg yangu.... Muhim katatue MIKOSI ulio nayo.
      Karibu sana.

  • @mustafasuleiman3538
    @mustafasuleiman3538 หลายเดือนก่อน +6

    Maalim mbona mwaka huu umevaa ki sharobaro? Kapelo ,miwani ,shati na suruali? Halaf ghafla kofia darzi hatuioni, kulikoni?

  • @tinamanzala
    @tinamanzala หลายเดือนก่อน +1

    Nyie hakuna mwaka Nyota ya samaki walitabiriwa mazuri 😂😂
    Mungu atuepushe Kwakweli

  • @josephkasika6755
    @josephkasika6755 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Maalim