MAWAKILI ARUSHA WAGOMA NA KUTOA TAMKO LA KUWASHTAKI RPC NA WENZAKE, KISA WAKILI WAO KUKAMATWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @revocatuskatto7293
    @revocatuskatto7293 8 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana seckta zote zingekuwa ivi tungekuwa mbali sana wamezoea kubambikizia watu makosa ya uongo sas apa wameingia cha kike mpaka waombe msamaha

  • @SamweliAdamu-x7t
    @SamweliAdamu-x7t 8 วันที่ผ่านมา

    Kazi njema na mungu awatangulie

  • @kanisiuschumacannireal-zg2ee
    @kanisiuschumacannireal-zg2ee 8 วันที่ผ่านมา

    Arusha wanaushirikino mno sio raia tu, hongera mawakili ✌️

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410 8 วันที่ผ่านมา

    Tena wanasema huyu ni ndugu wa Dr Silaa hakika Mungu atawashukia hawa wanaoleta huu uonevu kwa watu hasa wanaotetea haki ya wananchi

  • @alfanmohamed2750
    @alfanmohamed2750 8 วันที่ผ่านมา

    Asante ni sana hakuna kuwapa msahada wa kisheria hao polis ita pendeza kwa kuwa Wana kiburi Sana hao polis na Nina omba iyo kesi msiachie njiani ili kuleta heshima wakati mwingine

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c 8 วันที่ผ่านมา

    Safi sana siwapendi sana awa polisi

  • @AbubakariSuleiman
    @AbubakariSuleiman 9 วันที่ผ่านมา

    Hongereni san mawakili wa Arusha kw mshikamano wenu

  • @magangafrank5687
    @magangafrank5687 9 วันที่ผ่านมา

    SAFI SANA MAWAKILI WA ARUSHA SINA CHAKUWATUNUKU BALI MUNGU AWASHIKIKIE .
    MMENIGUSA SANA

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 8 วันที่ผ่านมา

    Tatizo polisi hawajui sheria. Na hapa hakuna kuwaachia karibu wamezoea kuwabambikia watu makesi.

  • @danielpaul4108
    @danielpaul4108 9 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mawakili.

  • @DixsonLaulent-q2e
    @DixsonLaulent-q2e 8 วันที่ผ่านมา

    Kweli washitakiwe

  • @alfanmohamed2750
    @alfanmohamed2750 8 วันที่ผ่านมา

    Hata mkitaka mchango semeni mtapewa wananchi wamechoka kuonewa kupewa kesi ambazo sio zakwao kwa kuwa Kuna watu wanatumia nguvu ya cheo

  • @brightonntare1822
    @brightonntare1822 8 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye polisi kujiwakilisha wenyewe mahakamani ndio patamu

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410 8 วันที่ผ่านมา

    Natamani mngekuja na huku dar kumpigania Dr. Slaa kwa umoja wenye

  • @HidaHilidaa
    @HidaHilidaa 8 วันที่ผ่านมา

    Buruta mahakamani jeshi la polic arusha wanaonea raia sana

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 8 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wetu akiwepo rais wetu mama samia mnaona hivi vituko vya polisi?wanabadilisha kauli kuwatungia watu uwongo, nawashauri viongozi wetu akiwepo rais wetu mama samia uangalie hawa polisi kwa jicho la undani baadhi yao sio waadilifu

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 9 วันที่ผ่านมา

    Huyo Rpc analewa madaraka hivyo anajiona yy ni kila kitu

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 9 วันที่ผ่านมา

    Nyny mawakili mbona mmezibwa midomo saivi kimya lile swala ya yule dada aliye kuwa kabakwa na wale police yule aliye watuma je alipelekwa mahakamani hatujui chochote tokeni mseme

    • @jacklinelyimo7407
      @jacklinelyimo7407 8 วันที่ผ่านมา

      Wale polisi walifungwa ndugu wewe upo nyuma iliisha ndani ya mwezi mmoja

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 8 วันที่ผ่านมา

    Nyie mnafkiria Nchii inaendeshwa na mawakili au Sheria za Nchi?