Yani tnz hakuna wasomi ambao wanaweza kuwekwa izi nafasi kila cku mnakula nyinyi jamani hadi inakera mnatengua nn apa utaamini kuwa siasa ni mchezo mchafu yani ninyi mliocheza mtakula mpaka muda wenu umalize waje wengine wafanye ivoivo ivi kweli nchi itasonga
Yote hayo mnaongea ni bure ufumbuzi ni katiba mpya na serikali tatu. Huyo aliyekuwa Commissioner ya TRA Tanganyika Magu alimtumbua na mama alivyoingia madarakani alimrudisha sasa kulikoni? Nakumbuka miezi michache iliyopita alisifiwa kwa ukusanyaji mapato sasa kulikoni??
Mwenyezi Mungu hamfichi mnafiki. Sasa naamini kwamba Mungu kujaalia Rais wa Muungano kuwa Mzanzibari sio bure bali alitaka kudhihirisha ubaya na uhasidi wa Watanganyika kwa Wazanzibari na Zanzibar kwa ujumla. Kwa taarifa yenu hakuna mzazibari anayeitwa Mwenda. Yussuf Juma Mwenda ni Mtanganyika mhehe, na aliwahi kuwa Meya wa Kinondoni. Zanzibar alipelekwa tu na Rais Mwinyi.
Utasubiri sana kama fisi anavyo subiri mkono wako uanguke. Huyo unaye mtetea akawajengee kijijini kwake vyoo manake bado wana jisaidia nje na kujifuta na mchanga
Kutoka ZRA mpaka kuja TRA mmh. Je inawezekana wa TRa kwenda ZRA?? Katiba
Hakuna jipya ni wale wale tu
Jamaa kaonekana Zanzibar kavuka asilimia mia ya malengo ya serekali bila zogo wala fujo
Yani tnz hakuna wasomi ambao wanaweza kuwekwa izi nafasi kila cku mnakula nyinyi jamani hadi inakera mnatengua nn apa utaamini kuwa siasa ni mchezo mchafu yani ninyi mliocheza mtakula mpaka muda wenu umalize waje wengine wafanye ivoivo ivi kweli nchi itasonga
Eheee!!! Wa Tanganyika anaweza kwenda ZRA?? 😷🏃🏃🏃
Jofo wilayake imemshinda.
BOSS mpya aliyeteuliwa TRA sio wa Zanzibar ni Mnyakyusa wa Kyela Mbeya. Chunguzeni watu kabla hamjaandika, msikurupuke
Mm bado tunaogopa kuwa sema kwa majina wata tuteka
Kwel kabixa maana Nchi hii hatar
Yote hayo mnaongea ni bure ufumbuzi ni katiba mpya na serikali tatu. Huyo aliyekuwa Commissioner ya TRA Tanganyika Magu alimtumbua na mama alivyoingia madarakani alimrudisha sasa kulikoni? Nakumbuka miezi michache iliyopita alisifiwa kwa ukusanyaji mapato sasa kulikoni??
Sawa
Changamoto tu
HAPO SAF ANGALAU TUONE PENGINE MAMBO YATAKUWA SAWA
Walikuwa hawajuwi kuwa Mtangayika alipewa kazi ztr Sasa amekuwa Mzazibar
SAFI SANA MAMA TUNASONGA NA TUNAONA KAZI
Ipi!?
@@c75923kipofu wewe 😢😢😢😢
Uongo wewe😢
WAPO WASOMI HAWANA AJIRA KWANN HAWAPEWI NAFAC KILACKU MNAJIRUDIA NYIE TU?WAPENI NA VIJANA
Apo shida ni Zanzibar, nazani kichwa cha habari kimeonekana.
Zanziba sawa
Mwenyezi Mungu hamfichi mnafiki.
Sasa naamini kwamba Mungu kujaalia Rais wa Muungano kuwa Mzanzibari sio bure bali alitaka kudhihirisha ubaya na uhasidi wa Watanganyika kwa Wazanzibari na Zanzibar kwa ujumla.
Kwa taarifa yenu hakuna mzazibari anayeitwa Mwenda.
Yussuf Juma Mwenda ni Mtanganyika mhehe, na aliwahi kuwa Meya wa Kinondoni.
Zanzibar alipelekwa tu na Rais Mwinyi.
umeongea kizuzu kweli hutaki watu wawe na majina inamaana jina lako unalo wewe tu hakuna mwingne @omaryjumas6327
@@omaryjumas6327CHATO OUEEEEE
Bado kuna mahali haja gusa. Wezi bado ana walea
Safi sana nimeipenda ya tra.
Sio kwamba hajatenguliwa ila kapelekwa kuwa mshauri wa rais ikulu?
Huyo mwenda cio mzazibar
Vizuri kujua hiloo.. Na je angekuwa Mnzbar ingekuwaje? Mungesahau kuwa Wa Tanganyika aliteuliwa ZRA
Tunasubiri anguko la bashe
Kwa lipi
Ndio chuki zenu hizi
Utasubiri sana kama fisi anavyo subiri mkono wako uanguke. Huyo unaye mtetea akawajengee kijijini kwake vyoo manake bado wana jisaidia nje na kujifuta na mchanga
Eti wa zanzibar amepewa TRA
Ndio alishafanya kazi sana bara na huko zanzibar kafanya vzr bila fujo sio mbaya akaja kuweka mambo sawa maana hii ni tanzania
Jafo mbona kama sio mtu wa kaz
Angekuwa sio wa kazi Rais angemuondoa,maana mamlaka ya uteuzi yapo mikononi mwake.
Nadhan umemsahau alipokuwa tamisemi kipindi cha Magufuli
Ovyoo
Yalikuwa mbali maandamano ,Senegal,BURKINAFASO ,mali,nk sasaivi yapo Kenya, ,ilibandari ziludi mikataba mibovu ivunjwe na wamasai wapate ngorongoroyao ,mafisadi wakamatwe, wabunge watetea nchi waludibungeni kama mpina kuludishwa bungeni ,masipikawabovu kama waleo kukamatwa, Yani mambo nimengi watanganyika imefika mdawake kuamua jamboletu
Wote Waislam au maskio yangu!
Wewe naye tutolee udini wako hapa sisi tunachotaka kazi ifanyike
*Kwani kuna issue ya baraza la viongozi wa dini hapo? Sio lazima kuongea ukiona huna cha kuongea*
Wagalatia kina chotakiwa ni utendaji sio ugala jamani wacheni chuki na ushamba 😢😢😢😢😢😢
Mbona hujauliza kipindi cha killer
@@user-ex6sh1rl4d AKIJA MGALA WANALIA HUWO NI UNAFIKI
Wacha tuone kama kutakua na fadhali au ufahali wa kutuumiza zaid
Ila hiyo kumtumbua tu inaonyesha mama kasikia kilio chetu
Sawa