Kama lichizi vile umeshindwa kumoveone SI uneona mtoto WA watu paulah kapata WA kumstiri inaanza kumtajataja, mwache aendelee na maisha yake, ulimuona WA nini, saivi kapata mtu kashaanza kukuuma.
Mwamba anateseka Sana uyu ila hatuna chakumwambia zaidi ya pole maan pau ndo huyoooo🕊️🕊️ulizingua mwenyew bad anaenjoy tu now na watu tunakupenda couple Ile kisenge😅😅😂😂
We understand Swahili but leave Paula alone and the husband.The time u spent with her,u never the initiative to meet the dad. And fay,is not ur class,though she tries to fit but still she lacks the qualities with the whole the cash u have spent on her. U will never forget Paula,but she is busy and happy.And u made a mistake of not having a baby with her,So the win is with Marioo,leave them to enjoy in good faith.
Rayvanny anampenda sana Paula ❤❤❤❤
Ila mliendana sana daaaaah mapenz mapenz 🙌🏾
Ray pol sanaa Kaka yangu unampend sana paul basi punguza shoboo uachane na Paul ule niwa Mario ray vanny wangu❤❤
Kweli nimehamini uyu jamaa anampenda sana Paula
Nikweli kabisa
Anamuektia tu hampendi at
Duuh mapenzi yanauma 😢i feel sad to ue vanny😢
Unaumwa Paula Ray amakweli nimeamini fayma atalua sana nataongea sana Ila ugojwa wako ni pau🎉🎉🎉
Love this guy.... Toboa mkuu
Ila jeshi anajuwa kuchangamusha umati akiwa stejini, energy sana harmonize
Ray vanny big up ❤❤
Moyo uwo❤❤❤❤❤❤
Paula yupo kwenye damu ya Ray mwamba ameshindwa kuchomoa
Umemuexa fahyma wewe chui hongera from🇰🇪
Bro iyo siyo vizuri ni bora uhache ku mtaja paula mbona mke wako ni mrembo sn tuh??
Hatawai pona aki
She's shinning and trending hama tz
Broth congratulations
Kupenda bana noma
Pole sana Paula hakutoki kichwani
Umeniangusha mbeya boy
Jifunze kumove on
Huyo fayvani unashida mine majukwaani Paula hanamda naweee
Daaah kinaumaa😢😢😢
Dar pole brother vanny 4:08
Wow kali😊
Unachekecha mbona ex akutoke kinywani ungali unampenda
Nilicho gundua chuiii alimpenda Sana Paula
Kweli
Na yye ndio kachukua ubikira wake, sbb ataki kumtoa kinywani mwake 🙄🙄
Mbona mkeo nimzuri sana tena mwenye adabu
Bila paula show haibambi mbwaaa ww😂😂😂
Safi sana
kweli kabisa hawezi kumsahau paula
Pole
Usiungee usicho kijua komwe lile ww
Mbona Paula kila mara? Kumbe ulimpenda saana yaonyesha
Ad mwenza wake anamwambia mbona huyo Ex wako hakutoki kichwani
Huyu jamaa ni hatalii si kwa verrse hizi😂😂😂😂
Yaani mapenzi noma saana😢
Dada pau Bado anapendwa❤
Acha kuzuga Paula ni mazuri ndomana yakuish kichwan
Ashapeeendaaaa nakuwacha haweziii
Wap paula unapendwa sana shooo😂😂😂😂
Mara utunge wimbo wa mimba.Pole zoesha moyo kuwa sio wako tena
😂😂😂
Kumbe uli mpenda mwanangu paula .sasa ili kuwaje uji changanye
Wewe Rayvan mjinha sana yAnausu nini mambo ya poshy qeen mkome posh na hamo. FAnya yako mbona umsemi mwambimo na zuchu
Yaan huyu bila marioo uridhik kwenye shoo uwiii
Shenz Ako kumbe unampenda Paula ,fayma kafoce t na dawa za Tanga hata hajawah kukupenda
Achana na paullah wewe ameshakua wa mwengine😂
Kweli rayvan nampenda Paul
Zoea hiyo sauti😂😂😂😂
Ulimpenda paula kweli 😂😂
Ni kweli ulipenda Paula wewe
Mapenzi kweli 😢
Mm simuelewagi huyu jamaa 😹😹
amakweli mwamba umeumiyasana kuzaa Paula pole
Kama lichizi vile umeshindwa kumoveone SI uneona mtoto WA watu paulah kapata WA kumstiri inaanza kumtajataja, mwache aendelee na maisha yake, ulimuona WA nini, saivi kapata mtu kashaanza kukuuma.
Paul ulimpa nn ray😂😂😂jamani
😅
😂😂😂😂noma
Ali ngumu kwa sasa kijana rayvan 6:54 7:06
Poleee ila ndo hvyo tena😢
Aya Ray move on sasa😂 wachana na Paulah
Sema ya moyoni upone
😂😂😂😂😂
Mapenzi ya natural kwa paula
Mwamba anateseka Sana uyu ila hatuna chakumwambia zaidi ya pole maan pau ndo huyoooo🕊️🕊️ulizingua mwenyew bad anaenjoy tu now na watu tunakupenda couple Ile kisenge😅😅😂😂
Jamani paula ulimpa nini huyo kijana mbona anakupenda. Sana
Ndo shida ya kupenda sana
Nimecheka sana jmn ana kweli marioo anatesa watuu
Paula sasa ya marioo bila shaka!
Magari na nyumba na watoto c mapenzi boss ndio maana utamwachanukimrudia because umemzoea si mapenzi Paula kakufunza kupenda kubali yaishe
Ndugu imetosha sana punguzo kulia kuachwa kawaida
Mboona umeutoa huo wiimbo sasa usitoe wakati Fayma ana mimba
MSHAMBA HUYO BADO ANA MTAKA PAULA MANA UKIONA MTU ANAMTAJA X WAKE KILA MUDA UJUE BADO HAJA MOVE ON
Anampenda sana Paula sema kwakuwa anapenda kulelewa ndio maana anashindwa atokeje kwa mama watoto wake maana ndio anae mweka mjini 😂😂😂
Hapo anakuzuga t fayma lakin akili ipo kwa Paula Kazan kuroga dawa zishaanza kuchuja
Mapenzi yanauma 😢😢
Bila Paula show haijaenda na kweli hakutokiiii
Yaan nacheka natamani kulia jamaa anateseka San 😂😂😂 Paula Paula pau umempa Nini kaka wawatu bikra Gani hii😂😂😂 fahma kazi anayo mpaka asemee
🤣🤣 nimeceka jmn
Ww na mke wako paula hawatoki kichwani😂😂😂alikushika pabaya😅
😂😂😂😂hatarii
Unajitahidi kutunga mashairi kichwani humo😂😂😂
Maisha yaendelee kaka ata mmi nilikua hvyo
Hahahahhah ama kweli dunia duara jamani kumbe huwa hamsahau rey ndio nini hiki
Umechanganyikiwa Paula kila ukipanda jukwaani huoni pakutafuta kiki muache mtoto wawatu
Ulisema wa Nini wenzio wanasema ......,.......but faima pia n mzur kaa kwa kutulia,...
😂😂😂😂😂 mapenzi yameanza na nguvu zake😂😂😂😂😂 juzi ali kuwa hamudala dulla makabila😂😂😂
Huyu anampenda Paula ....ukiskia MTU anasema simtaki jua yuwampenda
Tushaga kuchoka umuache paula hakupendi tena
Rofaa
Mnafiki ww unaumia tena inakuuma
Kaka bd ulampend paula
😂😂😂watanzaniya
Sauti Iko?
Ila ww na Paula ndo mliendana sana ila marioo mhiii hata awapendezeani polee
Ni atari
Kuwa kama HARMONIZE ukiacha imetoka. Unamchana demu halafu unampotezea.
Sasa Dunia mzima wanamimba!!!!
😂😂😂😂
Ukiona mtu bado anamuongelea mtu ujue bado anampenda
We understand Swahili but leave Paula alone and the husband.The time u spent with her,u never the initiative to meet the dad. And fay,is not ur class,though she tries to fit but still she lacks the qualities with the whole the cash u have spent on her. U will never forget Paula,but she is busy and happy.And u made a mistake of not having a baby with her,So the win is with Marioo,leave them to enjoy in good faith.
🎉🎉🎉😊❤
Unampenda sana2 ila unajitoa😂😂😂😂
Ovyoooooo.....
Paul hutk kuMsahau hta sku moj🤣
Vijembe
Anampenda paula
Hapo ulizimua kidogo
😂😂😂😂 angezidixhiwa kidogo tungemkosa
Mbona kofia kama ya mondi iliyopotea
Mapenzi bwana huwez msahau paula
Ray anataman paula at amrudie ata kam anamimba
Nikwer kak ishi na fahyima
Huna lolote, unaumia sana, iloooo
Pol sasa ndo mme achana