Wakaazi kaunti ya Wajir wanaonekana wakiendesha shughuli kama kawaida
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Huku serikali ikiendelea kusisitiza umuhimu wa kubadili tabia hata taifa linapokabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, katika kaunti ya Wajir...mambo yameendelea kama kawaida sehemu nyingi huku baadhi ya wakaazi wakionekana kupuuza baadhi ya maagizo haya wanapoendelea na shughuli zao.
Same thing in Eastleigh no one seem to care.
🤣🤣🤣🤣akuna Corona Kenya iko tu hulayani
Hii corona ata akuna kenya 🤦🏼♀️ scam tu juu kila mtu ameona Italy na china na USA
Ni scam tu imekuwa Kama huduma number walituscam
Sawa hakuja Kuwa Kitu etieeeh,
😂😂😂