MSIMBAZI HAPAKALIKI, WAZEE WACHACHAMAA NA VIONGOZI | MABADILIKO YAANZIE KWAO SIO USAJILI TU.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Mangungu ni Yanga huwez kumuweka manula kwenye mechi wakat kulikua na kipa Allysalimu na wakat huo alikua na uzoefu mkubwa.....Mangungu Atokee na Mo kama hataleta wachezaji Asepe bakhresa anaitaka sana Simba sisi sio wakumuomba hela MO ni wakumwambia tunataka mchezaji huyu na huyu
Viongozi wote wajiuzulu abaki Mwekezaji tu
Dah hawa wazee wapo vizuri nime wakubali👋👋👋
Bilashaka Kuna ufisadi ndani uongozi was simba
Huyo mangungu aache ujinga kwa nini tupitie nyakati ngum hii ni tim inawachezaji kama hakuna pesa waseme sio tim ikiwa na wakati mzuri hatusemi lazima tuseme anafanya nini mpaka tim inafanya vizuri
Huyo mzee sawa yuko sahihi wote watoke
Muwe mnajipangaaa waaandishiii 😂😂😂
Zee limevulugwa
Hakika
Simba pamojana wanachama asilimiyakubwa niwanafiki hudanganjwakwavipesa kidogo wanawafagiliya viongozi wasiofaa kuiongoza simba
Takukuru mnakwama wapi embu wachunguzen hao viongoz wa Simba
Huyo mzee anaonekana kumwunga mkono mangungu : atoke malone aungwe mkono kwa asilimia mia
Mzee Mohamed yupo sawa viongozi wajiuzulu akiwemo semaji anapiga propoganda kupumbaza MASHABIKI wkt uongozi ni mbovu
❤❤Hivyo hivyo Mzee
Mashabiki na wanachama wamesikika mara kwa mara wakiulalamikia uongozi Che Malone anasikia kwa nini asiongee yuko sahihi.
Sipendi hiyo yakusema kwenye mazuri hatusomi mazuri gani amefanya mangungu aondoke pia anajivunia uachawi ndiyo maana anaokota mabaki ya chakula iliakaloge watu.
Hawa viongozi wa simba wameshindwa na timu na kwani hawataki kujiuzulu na mashabiki hawa wataki kuna pesa za club wana ziramba mashabiki wenzangu tu hakikishe hawa jama wanaondoka simba kwa vyo vyote vile wametuumiza sana
Utaivuruga simba tulieni
Muongo mzee shirikisho limeanzishwa 2004!
sema baba wanayanga wajuwe mangungu ni nani maana wabishi kuwa mangungu cyo mwanasimba anaiuwa simba
Wewe unamsema Ahmed Ali huna akili
Nyie wazee hamna jipya kanyweni kahawa.
Acha ungese
Mzee Rama ikona
Mzee uko vizuri
Mzee Mohamed yupo sawa viongozi wajiuzulu akiwemo semaji anapiga propoganda kupumbaza MASHABIKI wkt uongozi ni mbovu
Yaan kwa ujumla Mo amwage fedha mwenyewe kwa usijali MPYA na kupata vijana bora na viongozi akina Mangungu awapishe wengine na dada Babra arudishwe na Mgunda asitolewe kuwa kocha mkuu:Hawa makocha wa nje wanatuvura tu wanachukua fedha wanaondoka. Pia wachezaji wasioweza watoke. MAGUNGU NA TRY WAONDOKE.
Manzige
Muongo mzee shirikisho limeanzishwa 2004!
2004 limebadilishwa jina lakini kombe ni lile lile
Uwongozi mbovu sikuwai kuuwona😢
Mwandishi acha kuchonganisha mchezaji na uongozi. Eleza unachoelewa wewe
Viongozi ni shida sana tukumbuke ilipata mafanikio baada ya hayati Magufuli kuwafunga jela akina Aveva kwa hiyo wezi wote walikimbia sasa baada kifo cha Magufuli wezi yaani mafuko,a.k mapana yamerudi kwa fujo tena yameota mapembe tena hayaogopi hata kelele za washabiki
Semaji hana kosa wala hatakiwi kulalamikiwa mashabiki uchwara wanaomlalamikia semaji waache mara moja
SERIKALI ILIMTUMA WAZIRI MWAKYEMBE KUWAZUIA MSIBINAFSISHE TIMU KWA MO PEKEE MTU MMOJA..SIMBA WALIMTIMUA WAZIRI ETI SS SIMBA TUNAMTAKA MO PEKE YAKE LEO HII MMESHAONA NN SERIKALI ILILENGA.. SIMBA MNA UBISHI SANA SANA SANA
viongozi hawa hamna kitu nashangaa bado wako kazini
Kauli mbiu wajiudhuru hatuwataki hata kuwaona hao ni yanga kbs walio changamka
Wana Simba tusivunjike moyo. TFF ndio wamechangia time ikon living kuu inadhamini klabu 7 na Leo pamba imekuwa ya nane. Hlf CAF hakuna tigo pesa.
Na simba ya 9 umeisahau au hata simba tumeizamini kula chuma hicho 7-2😂😂😂😂😂
Nyie wazee hao viongozi wajiuzulu
Sasa nyie wanachama mna mchango gani kwenye usajili?
Kwani mangungu ametuletea mafanikio gani hata Moja hana Kama wazamini hizo hela sisi hazitusaidii wanakula wao
Mzee mohamed ww ndo umeongea point viongozi wote wajiuzulu
Ndio uongozi wanafukuzwa makocha
Wazee wenyew wasimba ndo hao😂😂😂😂
Acha kuwadharau
Kwani wazee wa simba wakoje ?
Mzee Mohamed yupo sawa viongozi wajiuzulu akiwemo semaji anapiga propoganda kupumbaza MASHABIKI wkt uongozi ni mbovu
Semaji anakosa gani?hivi mnaomlaumu msemaji mlitaka aingie uwanjani akacheze?
Uyu mzee kalewa
MANGUBGU. TRYAGEN, wajitathimini, na wajumbe wote wakaepembeni.
Hakuna usajili bila viongozi kujiuzulu, huyo mfadhili ndo hamna kitu.
Ahmed Ally ndio kirusi kinachotumika kuharibu Simba. Ila mashabiki wa Simba hawajagundua hilo. Ahmed Ally anavyowadanganya watu kuhusu wachezaji
Acha chuki kwa Ahmedally.
Yaani msemaji aseme wachezaji tunaosajili ni wabovu inawezekana?