DADA ANETI UMENIFANYA NITOKWE NA MACHOZI SANA NIMEGUNDUA MAKOSA MAKUBWA NAOMBA ANISAMEHE MUNGU AZIDI KUKUBARIKI AKUTANGULIYE MPENZI UMETUBARIKI SANA SANA JUMWIA YA SALASALA🙏 10:48 🙌❤❤😭😭.
NIMEJIFUNZA KWAMBA WAKATI WA KUOMBA UNAWEZA KUSTRUGLE SANA ILA WAKATI MUNGU ANAKUJIBU KILAKITU KINAKUWA CHEPESI MNOO NA ANAFANYA KWA UKUBWA KULIKO TULIVYOOMBA NAMBARIKI MUNGU KWA USHUHUDA HUU🙏🙏🙏
Ninyi kufanikiwa kwenu ni kazi,pesa,mafanikio ya ki mwili. Mnaweka nywele bandia,heleni na kuchubua nyuso. Huyo ni Mungu YAHWEH au ni yule mungu mwingine? Badala ya kuomba kufanikiwa kuacha dhambi ninyi mnaomba mafanikio ya ki mwili. Tafuteni kwanza ufalme wa mbingu hayo mengine mtazidishiwa. Poleni
@@valentinanduku8718 shetani haongei uongo original bali uongo artificial. Kwa mfano; eti kujipamba siyo dhambi huku hana kifungu. Na wewe unashadadia maneno ya mchungaji asiyetoa vifungu. Mchungaji anasema Mungu hapendi umasikini huku hatoi kifungu. Sasa tazama,huyo dada anafurahia kwenda marekani kufanya kazi lakini hajiulizi kwanini aende marekani kufanya kazi badala ya kubaki nchini akihubiri ili watu waache dhambi? Moja ya sababu ya kufurahia hilo ni kwakuwa anahitaji pesa kwa ajili ya gharama ya nywele,heleni,kujichubua,suruali zilizo chanika nk,lkn kuhubiri neno la Mungu ni rahisi sana,halihitaji Pete wala heleni,halihitaji kujichubua au kuvaa nywele bandia lkn watu hawawezi hili lisilo na gharama kubwa wanataka lenye gharama kubwa. Anyway,kondoo huijua sauti ya bwana wake. Be blessed
uyu dada acha afanikiwe kwan hana dharau hana roho mbaya pmoja alikua ni boss ktk ofice fulan Ikawe heri na mafanikio tele ktk maisha yako, Uish sanaaaaaaaa
'Am proud of you Aneth!
Ushuhuda umenitoa machozi.
God's time is the best!
Dada nimefurahishwa sana na testimony yako. Mungu haongopi jamani
Aminaa
Amen
Hongera sana Dada Anneth🎉❤
DADA ANETI UMENIFANYA NITOKWE NA MACHOZI SANA
NIMEGUNDUA MAKOSA MAKUBWA NAOMBA ANISAMEHE
MUNGU AZIDI KUKUBARIKI AKUTANGULIYE MPENZI UMETUBARIKI SANA SANA
JUMWIA YA SALASALA🙏 10:48 🙌❤❤😭😭.
NIMEJIFUNZA KWAMBA WAKATI WA KUOMBA UNAWEZA KUSTRUGLE SANA ILA WAKATI MUNGU ANAKUJIBU KILAKITU KINAKUWA CHEPESI MNOO NA ANAFANYA KWA UKUBWA KULIKO TULIVYOOMBA
NAMBARIKI MUNGU KWA USHUHUDA HUU🙏🙏🙏
God's bless you nimepewa unabii lkn mambo hayamanifest Leo umeniinua
Hata mimi nitaenda katika Nchi ya Ahadi.
Ninyi kufanikiwa kwenu ni kazi,pesa,mafanikio ya ki mwili. Mnaweka nywele bandia,heleni na kuchubua nyuso. Huyo ni Mungu YAHWEH au ni yule mungu mwingine? Badala ya kuomba kufanikiwa kuacha dhambi ninyi mnaomba mafanikio ya ki mwili. Tafuteni kwanza ufalme wa mbingu hayo mengine mtazidishiwa. Poleni
Waambie kabisa watakosa mbingu kwa ajili ya mapambo
@@valentinanduku8718 shetani haongei uongo original bali uongo artificial. Kwa mfano; eti kujipamba siyo dhambi huku hana kifungu. Na wewe unashadadia maneno ya mchungaji asiyetoa vifungu. Mchungaji anasema Mungu hapendi umasikini huku hatoi kifungu. Sasa tazama,huyo dada anafurahia kwenda marekani kufanya kazi lakini hajiulizi kwanini aende marekani kufanya kazi badala ya kubaki nchini akihubiri ili watu waache dhambi? Moja ya sababu ya kufurahia hilo ni kwakuwa anahitaji pesa kwa ajili ya gharama ya nywele,heleni,kujichubua,suruali zilizo chanika nk,lkn kuhubiri neno la Mungu ni rahisi sana,halihitaji Pete wala heleni,halihitaji kujichubua au kuvaa nywele bandia lkn watu hawawezi hili lisilo na gharama kubwa wanataka lenye gharama kubwa. Anyway,kondoo huijua sauti ya bwana wake. Be blessed
Kwahiyo tukioutafuta Ufalme wa Mungu wewe utajuaje? Na je, Mungu akitupa vya duniania tunyamaze? LIJUE NENO LA MUNGU UPATE UHURU WA KIFIKRA.
@@nazielmbonea3690TAFUTA hela ndugu yangu... Unamwakilisha Mungu ukipendeza... Mwombe Mungu akupe wazo la kupata hela yangu
MUNGU atusaidie
uyu dada acha afanikiwe kwan hana dharau hana roho mbaya pmoja alikua ni boss ktk ofice fulan Ikawe heri na mafanikio tele ktk maisha yako, Uish sanaaaaaaaa
Though it may tarry, wait for it, It will surely come. It will surely happen.
Father, may I not miss out my day of visitation. 🙏
Hizi shuhuda ni ndefu nashsuri mtoa shuhuda awe anashika Mike yeye mwenyewe
😂😂😂 kwakweli
Hahaha! Na kiti kabisa wapewe wakae 😂 ..tunawapnda ❤
Akishika mike mwenyewe na lugha ya mikono ataifanyaje?
Kwani msemaji amekuambia amechoka??
Kama Mungu alivyokuinua,wewe dada Aneth na mimi Mungu atanifikisha