Ndugu yetu umesema ukweli mtupu.Watu waliuliwa,kupigwa na kuibiwa lakini watawala hata kukemea hawakufanya hivo. Ni maonevu kila kipindi cha uchaguzi. Kuhusu kushtaki hao wanaofanya vurugu, ni kazi ya bure maana vyombo vya kutetea ndio vimemilikiwa na watawala
Kizaz kinaongeza ucjl baba mwinyi pole san ipo cku itafika sote tutakuwa vichaa ni panga tu kwenda mbele ndio bendera yetu police hawaja Anza kuuwa Leo washenz tu awo
Ccm ni mfano wa watu wiliozungumzwa ktk kitabu kitukufu cha kuraan .pale maandiko yanaposomeka ,wanamacho lakini hawaoni ,wanamasikio lakini hawasikii na watu hao ni miongoni ya waliokula hasara .audhubillahi mindhalik.allahu alaam.
Good job my brother speaks up about Tanzania government
Allah akubariq na akulinde kwa uliyoyaongelea
Mungu akujaaliye umri mrefu naakupe afya njema. Unayoyasema. Ni ya kweli
Ahsante baba nakumbuka kma n leo iyo cku pole sanaaa allah ndio kila kitu na ndio hakimu wa mahakimu
Ni muhimu dokta kuyashuhulikia shukran
Mashaalla pole sana yalokufika Allla atakusaidieni
Maneno makali kweli Allah akuhifadhi
Good mzee tukopamoja
CCM han tofaut na mmarekan Hana Rafik wa kudumu ili uwe Rafik kwake lazim ukubali kuuliwa tu ukijibu kwa mdom tu shtaka la ugaid linakuhusu laana CCM
Ccm ni washenzi tu lakin hakuna refu lisilokua na mwisho
TUMECHOKA KUTAWALIWA NA WATANGANYIKA.
Ndugu yetu umesema ukweli mtupu.Watu waliuliwa,kupigwa na kuibiwa lakini watawala hata kukemea hawakufanya hivo.
Ni maonevu kila kipindi cha uchaguzi.
Kuhusu kushtaki hao wanaofanya vurugu, ni kazi ya bure maana vyombo vya kutetea ndio vimemilikiwa na watawala
Kwa ccm uchaguzi ulikua nzuri kwa sababu wameua kwa mamia
Huyu jamaa mwisho wala haogopi yeye ni kweli tupu
TECHOKA KUTAWALIWA NA WATANGANYIKA.
Kumbe we bwana mwinyi wajua leo kwmba polis ni la ccm ndo ujue.
Kizaz kinaongeza ucjl baba mwinyi pole san ipo cku itafika sote tutakuwa vichaa ni panga tu kwenda mbele ndio bendera yetu police hawaja Anza kuuwa Leo washenz tu awo
Kataeni uchaguz bas tena ikiwa hawakubali kukaa sawa waachieni tu kirohosafi
Ccm ni mfano wa watu wiliozungumzwa ktk kitabu kitukufu cha kuraan .pale maandiko yanaposomeka ,wanamacho lakini hawaoni ,wanamasikio lakini hawasikii na watu hao ni miongoni ya waliokula hasara .audhubillahi mindhalik.allahu alaam.
Unaongea pumba tu
Anayoyasema asilimia 95 ni yakweli,sema kweli japokuwa chumu
Mshenzi pumba anaongea Mama ako mshenzi mkubwajanjawiri
Utqkoma