Kaka Maneno Yako Yapo Juu Ya Mstari Yamenyoka Kama Moja Hayapingwi Hayo Pasuwa Baba Usimuangaliye Mtu Sura Ukweli Utabakia Kuwa Ukweli Tu Pasuwa Kk✍🤝🙏🙏
Ahasante mzee wangu unajuwa sana But njia mbadala wa haya ni kuandaa vijanaa kwenda kupata mafunzo ya kijeshi ili tuje tupambane nawo kwa njia wanayoitaka waoo
Abdulrahman nani aliyekwenda huko akarudi dini ni imani yako hakuna mshenzi wala kafiri kafiri maana yake nini tuelemisha huna adabu kwa matusi yako mshenzi mwenyewe
Meekman na wewe huna lolote ccm ndiyo chama dume acha kazi ufanye kazi hiki chama cha amani ila ukileta ujinga utakiona kilichomtoa kanga manyoya sisi wapenda amani
@@margarethpolepole7438 kumbe na wewe ni wale wajinga waliojazwa propaganda za nyerere? Waarabu waarabu kisingizio 😁 ufumo Kristo usiofuata kitabu cha biblia ndio unaoturejesha nyumba kwa sababu wazungu hawataki waafrika waendelee wanataka maisha wagombane na ujinga wako waarabu hawana shida kwao wazungu ndio waliokuwa na shida na hao wazungu ndio waliyo wafanya waafrika watumwa na kuwatesa kama wanyama nenda ukafanye utafiti ninakupa homework nenda ukatafute ushahidi mmoja tuu kama waarabu wamewatesa waafrika hutoupata popote pale hizo ni propaganda za kisiasa tu za chama cha church cristian movement(ccm) kinachotumiliwa na mabeberu tuuu
@@margarethpolepole7438 hao waliotusababisha mpaka leo tugombane ni mabeberu kwa sababu kwao kuna shida Mno na wao hawawezi kuendelea kama hawakuigombanisha Afrika Mali na Utajiri wao wote walio upata wazungu unatoka Afrika na mpaka hii leo wanatuibia muarabu hajaiba na wala hanashida yoyote ile na muarabu ndio tishio la wazungu ndoo wajinga kama nyinyi musiojijua munabaki kuchukia watanzania wenzenu sababu siasa
Ridhwani faki nyangau wewe kwenye chama chako siyo wa ccm nenda shule una asili ya utumwa wewe bado unapenda kutawaliwa na waarabu wakati utumwa wa nchi karume na nyerere wameukomesha tena unapenda vya bure bila kufanya kazi biblia na misahafu inasema asiyefanya kazi na asile
Haahaha .Margareth polepole Sindano imekuingia wacha dawa ifanye kazi yake .yatakutoka mengi ya kifedhuli ,lakini mm ninachokwambia sisi wanzanzibari tunajitambuwa na tunajuwa nn lengo letu .
Nadhani bi margareth polepole licha ya kujiona umeenda shule lakini kwa muono wangu nilidhani umeenda shule ufute ujinga kumbe ndio umeenda kuchukuwa Cheti cha ujinga,na nikiangalia fikra zako ni zile zile za kinyan’gau .tunao wengi sana watu wa aina yako ,watu wenye maumbile ya vunja jungu .nakukaribisha njoo Zanzibar tukupe elimu ya nn utu na Vipi upiganie utu wako tutakupa elimu hiyo tena hutolipa gharama yyt ,maana nadhani huna elimu ya kujitambuwa ,narejea tena sisi wazalendo wa kizanzibari tunajitambuwa utu wetu ,hulkazetu ,na pia tunajitambuwa kupigania haki zetu ,ufedhuli majigambo na umimi kwetu hazina nafasi ,ninachokwambia Zanzibar yenye neema inawezekana ,Zanzibar yenye haki inawezekana ,Zanzibar yenye utulivu inawezekana Zanzibar yenye Ustawi wake wa kijamii inawezekana kinachokwamisha ni manyan’gau waliojiweka madarakani na wafuasi wao.naomba kuwasilisha.
Hahahahaa. Weye Margareth ni mtwana tu usiyejitambua. Nyerere aliondoa utumwa aliwaletea utumwa? Myaka 25 ya utawala wake ameondoka hamna hata Cha kuvaa achlilia mbali Cha kukila alichowaachia. Halafu sisi watu wenye akili zetu twafahamu unapotaja waarabu hua ni nini ulichokusudia kukisema moyoni mwako na ndio maana ukakimbilia haraka Kwa Nyerere Kwa sababu ndio kiongozi mkuu huko unakoswali. Tulia tuli mambo ya Zanzibar hayakuhusu ndewe wala shikio
HAWA MASHEHA ACT WALISEMA WACHAGULIWE NA WANANCHI, TUNATAKA KATIBA MPYA RAIS ABAKI KUWA RAIS , ASIWE NA UWEZO WA KUMCHAGUWA KIONGOZI YOYOTE. VIONGOZI WOTE WACHAGULIWE NA WANANCHI.
*Mantashabaha bikaumi fahuwa minhum. Maneno ya Mtume wetu. Anajinasibisha na watu( anaefata watu naye huwa kama mfano wao.) Mutakuwa pamoja hapa duniani na Akhera pia. Umemkubali 👏👏
Mhmhmh wewe ndio umuogope Mungu , maana hakuna asiyejua ya kuwa kuna wazanzibari wengi hawapewi vitambulisho Na wageni (wabara) wapo wengi wanapewa vitambulisho
Hiyo hasara haiwastuwi maana watapandiaha bidhaa bei tu wazidi kuwakamuwa wanyonge na wao wanaumia vilie vile lakini ukereketwa umewazidi kipimo hawamuogopi MMungu hata kidogo
Kwakuwaweka wazanzibar pamoja Hilo katu Abadan haiwezekan kwanza nynyi wapinzan zaid wapembe wabaguz cc Zanzibar na tunaojijua wazanzibar tupo pamoja Zanzibar hakuna matatzo nyiny mnaua hamsemi mkipgwa nyie kelele ata bado
Vuai wabaguzi nyie Wazanzibar ndio namba wani kwa Ubaguzi hamna hata haya wanafiki nyie mna chuki za ndani ya roho na damu zenu waunguja wengi hamsarifiki kama nguo mbovu na chupi chafu haman ila choyo tu na uhasidi
Vijivisiwa vidogo tu population less than 2 million lakini vina kasumba na chuki mbaya za kisiasa kuliko manchi makubwa duniani hata huko Nigeria kwenye watu zaidi ya milioni 200 hawajafikia kasumba na chuki kama za Zanzibar. Visiwa hivi havitoendelea maisha mpaka mwisho wa dunia.
Dubz, brother shida si wazanzibar shida ni nchi jirani inayodhamini matatizo yote kama vile Israel na marekani, wenyewe wenyeji hasa wasiokua na pakwenda Lao moja tatizo ni wale wa kupandikizwa wakipewa kacheo kadogo hujiita wao ndo wenyewe, zaidi si siasa ni mengine kwa nembo ya siasa, kimsingi kisiasa tume shinda ni ubabe tu, ivi kilicho waeka akina sheikh mselem ndani miaka 8 ni nini ?mimi sijui, unaweza kunambia?
@@jumakapilima5674 Wewe hukai upande wa mtu anaesema kweli ,sema kweli ijapokuwa ni chungu,Zanzibar migogoro inatengenezwa kwa makusudi ,ndio maana kila kipindi cha uchaguzi watu kuuliwa na Polisi na Majeshi.tuwe wakweli wanaoleta migogoro hiyo ni watawala CCM ,hata wewe unajua hilo tatizo wewe sio msema kweli .
@@jumamohamed3168* ndani ya mwili kuna kipande cha nyama ukikaa sawa basi mambo hukaa sawa.* Ni moyo* Na Kwa huyo mja Mungu kakikofunga kipande cha moyo wa huyo mja. Hajuwi haki na wala batil. Maana ukiona comment zake ni mgonjwa huyo. KAPILIMA. NADHANI KUMUOMBA MUNGU AMUNGOWE NA KAMA SI WAKUONGOKA BASI ISIWE MWENYE KUKERA WATU KWA MAUDHI YAKE. AMIN
Umeongea point sana tena sana Allah akubariki sana.
Sawa sawa dah umeongea point sana
Aliesikia wachukua mali zetu kwa mtutu wa bunduki kisha wasema ni ngawira aweke like hapa.
Hii hali ndio ilivyo kabisa Zanzibar haya maneno sio ya uwongo ni ukweli mtupu umeongea point sana kiongozi wetu
Nimefurahi sanaaa leo baba unaongea ukweli mtupuu
Huyu jamaa kaongea point kabisa mashallah
Upo saw baba wambie awo madhalim wa wanyonge mungu yup
Alo uyu jamaa kaongea Maneno mazima..insh Allah nitamtft nimpe zawad yake
Kaka Maneno Yako Yapo Juu Ya Mstari Yamenyoka Kama Moja Hayapingwi Hayo Pasuwa Baba Usimuangaliye Mtu Sura Ukweli Utabakia Kuwa Ukweli Tu Pasuwa Kk✍🤝🙏🙏
Ahasante mzee wangu unajuwa sana
But njia mbadala wa haya ni kuandaa vijanaa kwenda kupata mafunzo ya kijeshi ili tuje tupambane nawo kwa njia wanayoitaka waoo
Kweli kabisa maneno yake
Sijamaliza kusikiliza lakini naona keshamaliza, nimefikia pale Faki Mpemba sio kaiba.....
🤣🤣
Huyu anazungumza point sana ccm hawana nia nzuri ya maridhiano yoyote
Broo big up...ushauri wako sio kichwa kitupu na hekima ipo..Allah akubark
Nabii Mussa sio Suleiman umesahau kidg Masha Allah point tupu umeongea
Umepata mtu sahihi wakufanya nae interview
You are perfect
Duuh hapo umeongea mazima matupo brother
Ndio ndio. Uko sahihi kabisa.
Huyu ndie kiongozi asiyeremba maneno ,maneno yake yote aliyoongea yameenda school hakupepesa yako wazi ná yakweli helo ndugu yetu
Yy mwenyewe walimgeuza pweza huyo kipindi cha uchaguzi wakisema kuwa ndo washamfumba mdomo lkn ndo wamemfumbua .
Subhanallah MMungu kamhifadhi
Hawa ma ccm hata hujui uwaweke fungi gani mafia hawa
Huyo asitwe hata Rais ndio hivyo Heshima zetu juu ya Allah Raham Maalim Seif tu hawana maana hawa masheha wanafiki wakubwa
Wanafiki wakubwa yeye na hao mabasha wake waliomchezea akili
Serikali ya ccm hawana aibu wanoko hao
WASHENZI MAKAFIRI WANAFIKI WEZI MAJAMBAZI WAHALIFU MOTO UNAWASUBIRI MOTONI NYUMBA ZAO IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN.
Abdulrahman nani aliyekwenda huko akarudi dini ni imani yako hakuna mshenzi wala kafiri kafiri maana yake nini tuelemisha huna adabu kwa matusi yako mshenzi mwenyewe
Abdulrahman hujui watu wanaoswali sana na waonaosali sana kuna siri nyuma ya pazia acha kutukana hovyo kabisa
Ni kweli ufisadi mtupuuuuu
Safi Sana,ukweli umeueleza mafisadi wakubwa ni Masheha
Mfumo wa vyama vingi hautufai , unatugombanisha na kutufitinisha bora turudi kwenye mfumo wa chama kimoja kudumisha amani
Ila mungu anawaona
Duh! Kweli watu wamechoshwa na maccm
Meekman na wewe huna lolote ccm ndiyo chama dume acha kazi ufanye kazi hiki chama cha amani ila ukileta ujinga utakiona kilichomtoa kanga manyoya sisi wapenda amani
@@margarethpolepole7438 kumbe na wewe ni wale wajinga waliojazwa propaganda za nyerere? Waarabu waarabu kisingizio 😁 ufumo Kristo usiofuata kitabu cha biblia ndio unaoturejesha nyumba kwa sababu wazungu hawataki waafrika waendelee wanataka maisha wagombane na ujinga wako waarabu hawana shida kwao wazungu ndio waliokuwa na shida na hao wazungu ndio waliyo wafanya waafrika watumwa na kuwatesa kama wanyama nenda ukafanye utafiti ninakupa homework nenda ukatafute ushahidi mmoja tuu kama waarabu wamewatesa waafrika hutoupata popote pale hizo ni propaganda za kisiasa tu za chama cha church cristian movement(ccm) kinachotumiliwa na mabeberu tuuu
@@margarethpolepole7438 hao waliotusababisha mpaka leo tugombane ni mabeberu kwa sababu kwao kuna shida Mno na wao hawawezi kuendelea kama hawakuigombanisha Afrika Mali na Utajiri wao wote walio upata wazungu unatoka Afrika na mpaka hii leo wanatuibia muarabu hajaiba na wala hanashida yoyote ile na muarabu ndio tishio la wazungu ndoo wajinga kama nyinyi musiojijua munabaki kuchukia watanzania wenzenu sababu siasa
@@margarethpolepole7438 Mimi ccm hanisumbui, tushawajua ccm si watu wazuri.....
@@margarethpolepole7438 Amani Gani iliyo nayo ccm? Hahahaaaa! (chanjo) itawatafuna mmoja mmoja.
Mbavu zangu weeeee
Hakika mh unaongea yaliyo sahihi kwa weledi wa haliyajuu,jinsi hawa manyan’gau wa ccm walivyo tabia zao .naomba kuwasilisha
Ridhwani faki nyangau wewe kwenye chama chako siyo wa ccm nenda shule una asili ya utumwa wewe bado unapenda kutawaliwa na waarabu wakati utumwa wa nchi karume na nyerere wameukomesha tena unapenda vya bure bila kufanya kazi biblia na misahafu inasema asiyefanya kazi na asile
Haahaha .Margareth polepole Sindano imekuingia wacha dawa ifanye kazi yake .yatakutoka mengi ya kifedhuli ,lakini mm ninachokwambia sisi wanzanzibari tunajitambuwa na tunajuwa nn lengo letu .
Nadhani bi margareth polepole licha ya kujiona umeenda shule lakini kwa muono wangu nilidhani umeenda shule ufute ujinga kumbe ndio umeenda kuchukuwa Cheti cha ujinga,na nikiangalia fikra zako ni zile zile za kinyan’gau .tunao wengi sana watu wa aina yako ,watu wenye maumbile ya vunja jungu .nakukaribisha njoo Zanzibar tukupe elimu ya nn utu na Vipi upiganie utu wako tutakupa elimu hiyo tena hutolipa gharama yyt ,maana nadhani huna elimu ya kujitambuwa ,narejea tena sisi wazalendo wa kizanzibari tunajitambuwa utu wetu ,hulkazetu ,na pia tunajitambuwa kupigania haki zetu ,ufedhuli majigambo na umimi kwetu hazina nafasi ,ninachokwambia Zanzibar yenye neema inawezekana ,Zanzibar yenye haki inawezekana ,Zanzibar yenye utulivu inawezekana Zanzibar yenye Ustawi wake wa kijamii inawezekana kinachokwamisha ni manyan’gau waliojiweka madarakani na wafuasi wao.naomba kuwasilisha.
Hahahahaa. Weye Margareth ni mtwana tu usiyejitambua. Nyerere aliondoa utumwa aliwaletea utumwa? Myaka 25 ya utawala wake ameondoka hamna hata Cha kuvaa achlilia mbali Cha kukila alichowaachia. Halafu sisi watu wenye akili zetu twafahamu unapotaja waarabu hua ni nini ulichokusudia kukisema moyoni mwako na ndio maana ukakimbilia haraka Kwa Nyerere Kwa sababu ndio kiongozi mkuu huko unakoswali. Tulia tuli mambo ya Zanzibar hayakuhusu ndewe wala shikio
Maneno mazima na yanamaana
CCM ni watu wa drama tu
Maryamu salum huna lolote nenda shule ukasome
@@margarethpolepole7438 Aliyoyasema Maryamu ni yakweli ccm ni watu wa drama tu ,na wewe pia nenda shule .
Asante
Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu .kbs.Allah akubariki..sn.
Mwinyi umenigusa sana mm nimmoja wapo adi Leo Sina kitambulisho Cha uzanzibar niliambiwa nimgeni kwetu kabisa
Rocket nakukubali sana kwa kweli
Takbeer takbeer
Allahu Akbaru☝️☝️
MUSHISHIRIKI BWANA FANYENI MAMBO YETU YAKIMAISHA.MAISHA YAENDELEEE WAACHENI WATAWALE MPAKA HUKO WENDAKO..MUNGU ANAWAONA.
HAWA MASHEHA ACT WALISEMA WACHAGULIWE NA WANANCHI, TUNATAKA KATIBA MPYA RAIS ABAKI KUWA RAIS , ASIWE NA UWEZO WA KUMCHAGUWA KIONGOZI YOYOTE. VIONGOZI WOTE WACHAGULIWE NA WANANCHI.
Mwinyi nakukubali sana
Kiongozi mungu akupe nguvu mtu hachoki mwenzake ila unyama wao umetuchosha na udhwalimu wao ni mkubwa na adhabu Kali zitawathibitikia mbele ya mungu
*Mantashabaha bikaumi fahuwa minhum. Maneno ya Mtume wetu.
Anajinasibisha na watu( anaefata watu naye huwa kama mfano wao.)
Mutakuwa pamoja hapa duniani na Akhera pia. Umemkubali 👏👏
Huyo mzungumzaji pia anaitwa Mwinyi wa Gando mimi ni mtu wangu wa karibu sana,sijakusudia Mwinyi Rais
hahahahaha, ccm hata wamchukuwe malaika mbinguni basi watamharibu hahahhahaha
😂😂😂😂
Kulala basi watu wadili na masheha kuzalilishana basi kwani sheha ni nani?
vitambulisho mulivikataa wenyew sio kweli km mnanyimwa tutajie mtu mmoja alienyimwa kitambulisho we mzee muogope Mungu
Mhmhmh wewe ndio umuogope Mungu , maana hakuna asiyejua ya kuwa kuna wazanzibari wengi hawapewi vitambulisho Na wageni (wabara) wapo wengi wanapewa vitambulisho
Maneno yako sadakta mheshimiwa mwinyi
Mwinyi asema "CCM wote ni wivi pamoja"
👏👏👏
Kwa bidii kwa bidii kwa bidii nimekusoma, umesomeka ao jamaa noma ccm ngozi ya futi
Pure Point
Absolutely
Kweli kabisa Mwinyi kama mkweli awafute mbali hao mashehena wao wamewaka makusudi hao ccm wanafiki waongo hawana ila udhalim
Hiyo hasara haiwastuwi maana watapandiaha bidhaa bei tu wazidi kuwakamuwa wanyonge na wao wanaumia vilie vile lakini ukereketwa umewazidi kipimo hawamuogopi MMungu hata kidogo
Kwakuwaweka wazanzibar pamoja Hilo katu Abadan haiwezekan kwanza nynyi wapinzan zaid wapembe wabaguz cc Zanzibar na tunaojijua wazanzibar tupo pamoja Zanzibar hakuna matatzo nyiny mnaua hamsemi mkipgwa nyie kelele ata bado
Acha upuuzi
Upuuz gan niache
Vuai wabaguzi nyie Wazanzibar ndio namba wani kwa Ubaguzi hamna hata haya wanafiki nyie mna chuki za ndani ya roho na damu zenu waunguja wengi hamsarifiki kama nguo mbovu na chupi chafu haman ila choyo tu na uhasidi
@@vuaiabdallah332 huo usemao mna chuki nyie waunguja kila mtu a nawajuwa kuwa nyie ndio mstari wa mbele kwa Ubaguzi na chuki
Utajibu tu kwa kuwa ufidhuli mnauweka mbele khasa nyie mavuaaai
Wallwah uko fiti miya fili miya
Uyasemayo Baba uko sawa
Uko sawa maneno mazima
Mambo magumu wambie ukwel wa nakula wao 2
Huko zanzibar njema mwinyi mbona kawatumbua wezi na masigida wanayo acha wewe kusema hovyo Rais mwinyi anaiweka vizuri zanzibar
Zanzibar ipi
Mambo ya Zanzibar hayakuhusu mtwana mkubwa
Swadakta
CCM: chori chori milele
Kweli mnaham na ving'ora
Vijivisiwa vidogo tu population less than 2 million lakini vina kasumba na chuki mbaya za kisiasa kuliko manchi makubwa duniani hata huko Nigeria kwenye watu zaidi ya milioni 200 hawajafikia kasumba na chuki kama za Zanzibar.
Visiwa hivi havitoendelea maisha mpaka mwisho wa dunia.
Dubz, brother shida si wazanzibar shida ni nchi jirani inayodhamini matatizo yote kama vile Israel na marekani, wenyewe wenyeji hasa wasiokua na pakwenda Lao moja tatizo ni wale wa kupandikizwa wakipewa kacheo kadogo hujiita wao ndo wenyewe, zaidi si siasa ni mengine kwa nembo ya siasa, kimsingi kisiasa tume shinda ni ubabe tu, ivi kilicho waeka akina sheikh mselem ndani miaka 8 ni nini ?mimi sijui, unaweza kunambia?
Achaa upumbavu fatilia wazazibar wanataka nn sio kuropoka tu
Umesema kweli!!
Nini wewe unazungumza. Huna point. Hizi ni chuki dhidi ya Zanzibar. Umeikuta na itaendelea kuwepo.
@@jumakapilima5674 Wewe hukai upande wa mtu anaesema kweli ,sema kweli ijapokuwa ni chungu,Zanzibar migogoro inatengenezwa kwa makusudi ,ndio maana kila kipindi cha uchaguzi watu kuuliwa na Polisi na Majeshi.tuwe wakweli wanaoleta migogoro hiyo ni watawala CCM ,hata wewe unajua hilo tatizo wewe sio msema kweli .
Yaani kama ulikuwa kuwa moyo wangu. Maana wamezidi sasa loooh.
"Izi akili ziko pemba kweli.... 🤔🤔..?
apo umeongea kwenye suala la masheha na wapinzani wawemo hapo nahisi tutafika tunakotaka.
ccm wahuni moto tuuu
Wewe unahukumu kama nani usimhukumie mtu mwachie ALLAH subhannallah wataallah
Hem token kama mnaona hawko tayar na hayo mariziano mcshuhulishe watu tunaelewa yote yaliopo tunatega tu cku ifike to tuyaanze
Naww tutayaanza kwa Mama yako mbwa wee
Wapemba jitengeni kwenu mkijitenga muungano itakuwa haupo
Mia filmia
Kwani wewe utabaki maisha siyo nkweli mkweli
Yeye huyo Hana lolote njaa tu ngana bwabwaja
wewweeeeeeee 2025 oyooooooi
Usisumbue watu wewe ni mtumwa wa kabila gani usiwasumbue ccm na viongozi wake nyie kuleni ruzuku tu nyie ni wasaka tonge mwinyi
Nani kaisumbua CCM ,au hujui kuwa wao ndio wasumbufu , watu Wana dola halafu unasema wanasumbuliwa, wewe ndie mtumwa wa CCM
Mambo ya Zanzibar hayakuhusu weye mtwana
Pumba!!
*Enyi waja wangu nimejigharamisha Zulma kwangu na nimagaramisha baina yenu. Kwa hiyo msidhulumu.*
Sahihi Muslim.
Kwako ni pumba ,lakini anayo yasema ni maneno ya kweli .
@@jumamohamed3168* ndani ya mwili kuna kipande cha nyama ukikaa sawa basi mambo hukaa sawa.* Ni moyo*
Na Kwa huyo mja Mungu kakikofunga kipande cha moyo wa huyo mja.
Hajuwi haki na wala batil.
Maana ukiona comment zake ni mgonjwa huyo. KAPILIMA.
NADHANI KUMUOMBA MUNGU AMUNGOWE NA KAMA SI WAKUONGOKA BASI ISIWE MWENYE KUKERA WATU KWA MAUDHI YAKE.
AMIN
@@sharifjuma1220 hahahaa,,,,, kasome dini yako vizuri, maana bado huijui!!
@@jumakapilima5674 Kapilima na mimi naungana na sharif unamatatizo ya afya ya akili.
Kwa bidii kwa bidii kwa bidii nimekusoma, umesomeka ao jamaa noma ccm ngozi ya futi