Warundi wanavaa nguo za asili nyingi tofauti lakini na mishanana wanavaa tena sana lakini nikwasababu hiyo ni traditional ya kupiga ngoma tuu ila kuna traditional nyingi za kufanana za kinyarwanda japa ni upande wa kupiga ngoma tuu na kupiga ngoma ni talent ya warundi ya kipekee hakuna wapinzani lakini kwenye culture zingine nyingi sana za warundi ni mamoja na wanyarwanda.
Burundi 😍😍😍👌👌👌 mnipe like zangu hapa
❤❤
Jamani hadi raha utamaduni mzuri 🇧🇮💯💯💯
Eeeee😳😳😳😳😳🙏🤲🖐️🙏🖐️😂😂😂😂😂💃💃💃🤭🤭ndiyoo maana wanaitwa warundiii jamaniii eeee au wenza ngu munasemajeeee
Hadi raha kwakweli 🥰❣❣❣
burundi tuko ju🇧🇮
Watanzania uneni tamaduni hiyo. Nyie mnapenda sana chura. Tuna tamaduni nzuri sana nchini. Fufueni.
Jamani kipaji hicho
🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪👌Mukomere✌️
I love my country BURUNDI
Naomba gusa picha yangu kisha subscribe channel yangu💓.🙏
Ngoma zetu hakuna mpinzani!
Uwezo sana wako vizur
Nukuri nciye nkumbura muhira bgb sana ndakunda igihungu canyibarutse
Awwww!kumbe warundi na wanyarwanda hawachez sawa utamaduni wao🤔nilikuwa najua hata wanawake wao wanavaa mshanana kama wanyarwanda🤔
@Wakanda Forever 😍👌🏽
Sisi warundi wao wanyarwanda
Warundi wanavaa nguo za asili nyingi tofauti lakini na mishanana wanavaa tena sana lakini nikwasababu hiyo ni traditional ya kupiga ngoma tuu ila kuna traditional nyingi za kufanana za kinyarwanda japa ni upande wa kupiga ngoma tuu na kupiga ngoma ni talent ya warundi ya kipekee hakuna wapinzani lakini kwenye culture zingine nyingi sana za warundi ni mamoja na wanyarwanda.
Burundi 🇧🇮 to the world 🌍
Of course
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰🥰
Wakiweka litungu apo simtpoteana warundi
🇦🇪🇦🇪
warundi ndio kawaida yetu mbona
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮✌
✊🏾🇧🇮
🇧🇮🇧🇮
Ego kabisa
Kwani kuna nn
Wasanii wa inchi za East Africa walikutana Tanzania,kila inchi kuonyesha utamaduni wao.
Kuna jambo