Poleni sana Wanafamilia,Poleni sana watoto wa Sheikh,Poleni wafanyakazi wenzake Kijana wa Pili muhimu simamia hiyo nyumba isiuzwe kamwe Na Serikali wapeni ushirikiano wanafamilia hao wapate Sitahiki za mzee na huyu Mjomba mtu apatiwe Wakili mwingine !
Hii hatar unajua kwann sahz watoto hawapewi elimu ya dini na kuwajengea hofu, mtoto anakuwa tu huku aendi hata kanisa,Wala msikitin yan hawawekewi mazoea matokeo mtoto anakuwa tu huku anajua miziki tu, michezo na mambo ya hovyo huyu hawez jua ukubwa wa mzaz
Da Mungu atusaidie pia watoto wetu tuwaweke karibu na ibada zitawafanya wawe na hofu ya Mungu na tuwape haki zao na tuwafunze kutafuta vya kwao, ila pia tusiyafumbie macho matatizo tuombe msaada wa watu wakaribu angeondolewa nyumbani akakae sehemu rasmi tusifumbie macho
Ni kweli kuna uzembe na kupuuzia mambo fulani kulikopelekea madhara haya makubwa,halafu jumba lote Hilo hakuna watu wengine wanaokaa hadi muuaji anafanya mauaji anamaliza mpaka anapata na nafasi ya kupigia simu watu kuwa kaua,🙄🙄?!!Gharama ya kumpeleka mtoto Milembe ilikua kubwa kiasi gani kulinganisha na maisha ya hati hati na wasiwasi anaoleta kwenye familia na uhai aloupoteza,duh🙌!!!
Mwanangu, wa miaka sana aliponitamkia " Bora ufe au ufungwe Ili niwe huru" Kisa anahisi sheria zangu za kumlea ni kali. Nikaona maneno huumba. Alipofika miaka tisa tu, nikamrudisha kwa mama yake. Mungu tuokoe wazazi.
Innalillah wainnailaihi rajiuun poleni wafiwa. Mjumbe point uliyoongea mtoto hana hatia km kichwa hakipo sawa na unathibitisha hilo basi kesi hakuna hapo Allah amrehem marehemu na kijana apelekwe milembe la sivyo ataleta madhara makubwa kwenye hiyo nyumba Subhannallah
Allah utusamehe dhamb zetu adhabu zako unazotupa hapa dunian ni nzito na ngumu daaah polen kwakwel pia tuwafundishen watoto dini ili wawe na hof ya mungu
Naam kiyama kimefika ujue wenye akili ndoo wanajua lkn wengii wawatu hawajui Hilo Dunia imiisha subhanallah ndoo hatuoni na Wala hatutak kufanya ibda tunakufa ghafla
Mafunzo 1. Hakuna mtihani mgumu ksma wa kuchagua mke wa kuoa. 2. Maendeleo yetu ya kazi , mali na taaluma yawepe kipaumbele kuliko marndeleo ya wanetu? Wanaume tunapanda mbegu ya kujimaliza wenyewe!! R.l.P maths teacher!!!💕
SubhanaAllah Allah atunusuru vizazi vyetu msiba huu unamuuwa baba kisa amekunyima pesa yeye mbona akuwa nayo na kija mkubwa tu kwann asifanye kazi anaenda kunywa mapombe na kuvuta bangi wakati anajijua anatatizo kichwani poleni sana wafiwa muacheni akanyie debe jela
@@AtifaIslam-t6gSasa ulitaka asemeje nyiee wazazi mnaolea kimayai mayai matokeo yake huaga ni hayo hata mm mtoto nikiona simuelewi na mtimua mapema akafiee huko Sina mapenzi na nyoka atakaye kuja kunimeza siku za mbeleni
Nyie waongo musitudanganye mtoto wako wa kumzaa huwezi mfukuza nyumban aende wapi kwa mfano acheni uongo hii mitihani tuombe sisi isitukute tu na tuwalee watoto kwenye misingi ya dini
Innalillahi wainna illahi rajiuni. Mungu amesema watoto ni fitina,Mali ni fitina. Hiki kizazi kipya kinaelekea wapi jamani? Kuomba hela Kuna mawili upewe ama usipewe!! Ikithibitika ni yeye hatua Kali zichukuliwe ili iwe fundisho kwa watoto wengine.
Hiki ni kizazi chenye laana, watu tumrejee Mungu kwenye maombi sana. Mtu ambaye hajapata mtoto anamlilia Mungu ampe mtoto, na wengine wenye watoto wanajuta kuzaa.
Hata mimi nawaza ivo ivo.. msikilize vizuri Huyu dada..kupewa taarifa ya kifo.. Tayari keshaconclude kuwa alipigwa!! Mmmh alijuaje??? Hapa kuna dalili ya deal wabanwe wotee hao
Kama Tz pamekuwa mahali hatari pa kuishi, je ni wapi ambapo ni mahali salama pa kuishi hapa duniani pasipo kuwa na matatizo ama mitihani yoyote? Tunachopaswa binadamu kufanya ni kumuomba Mungu atusamehe makosa(madhambi) yetu yote - tunayo yajua na tusiyo yajua, makubwa na madogo, ya zamani na ya sasa, ya kukusudia na ya kupitiwa bahati mbaya, ya siri na ya dhahiri. Na tuwaombee pumziko la amani wenzetu walotangulia mbele za haki, na sisi ambao bado tupo hai tujiombee mwisho mwema maana hata hatujui tutaondokaje hapa duniani. Hakika hakuna ajuae safari ya kurudi kwa Mungu wake itakuwaje.
Nawapa pole wafiwa but tujifunze kitu mtoto akikua hatakiwi kukaa nyumbani kama amekua/amemaliza chuo mtafutie kitu akafanye, vinginevyo mara nyingi huwa wanaungana na mama yao kukuhujumu baba au watakuwa wanakuzingua mara kwa mara upate presha ufe au kukuua kabisa kama hivi. Muwezeshe akatafute maisha aje kusalimia tu utaishi maisha marefu sana na yenye furaha na mkeo.
mungu tustiri sisi na vizazi vyetu ya rabii na utujalie mwisho mwema.poleni wafiwa mungu awape subra.
Watoto ni fitna kubwa na unaweza kuzaa mtoto ukafikiri umepata mtoto kumbe umezaa hasidi Allah atujaalie vizazi vyema vyenye hofu ya Mungu amen.
Aamin rabbilg'aalamin
Allahumma aamiiin
Amiin thumma amiin tuwaombee watoto wetu mtihani sanaa walah
Kweli kabisa kuzaa sio kupata
Walladukumu fitinaa,,huyo n Allah, Quran hio sasa jipendekeze,kua na kisu,mama yake alikua ale para, kazi ipo,eee mibange,hio,unajizalia Izirael,
Mungu atujaalie vizazi vyetu,km ukujaaliwa uzazi wala husikuful mungu anamakusudi yake unaeza kuzaa kumbe umezaa shetwan
Hasbullah wa neemar wakir😢😢😢😢😢😢
Allah atujaalie vizazi vyema Subhanallah 😢😢Yani mtoto Umleye akishakuwa anakufanyia unyama sio mzi6wa akili labda yuwavuta bangi
Haya matukio ya watoto kuua Wazazi yamekuwa endelevu.💔. Mwenyezi Mungu tujaaiye wtoto walio wema nasi😭. Poleni sana wanafamilia.
Subhanalllah watoto hawana imani tujaliye mwisho mwema yarab
Milembe PUNGUZENI Ada
Dah, imebid nicheke TU.
Poleni sana Wanafamilia,Poleni sana watoto wa Sheikh,Poleni wafanyakazi wenzake
Kijana wa Pili muhimu simamia hiyo nyumba isiuzwe kamwe Na Serikali wapeni ushirikiano wanafamilia hao wapate Sitahiki za mzee na huyu Mjomba mtu apatiwe Wakili mwingine !
Duuuh!!! Tanzania Vita akuna lkn matukio Ni hatare MTT anauwa babake sijaway Ona mungu wangu
Hii hatar unajua kwann sahz watoto hawapewi elimu ya dini na kuwajengea hofu, mtoto anakuwa tu huku aendi hata kanisa,Wala msikitin yan hawawekewi mazoea matokeo mtoto anakuwa tu huku anajua miziki tu, michezo na mambo ya hovyo huyu hawez jua ukubwa wa mzaz
@@allythabiti8150wallah umenena mungu atujaalie vizazi vyetu
Pia hata wakati wazazi wanamtafuta huyo Mtoto hawakuanza na bismillah kisha wanze ili kumkinga mtoto na shetan endapo watapata mtoto@@allythabiti8150
Da Mungu atusaidie pia watoto wetu tuwaweke karibu na ibada zitawafanya wawe na hofu ya Mungu na tuwape haki zao na tuwafunze kutafuta vya kwao, ila pia tusiyafumbie macho matatizo tuombe msaada wa watu wakaribu angeondolewa nyumbani akakae sehemu rasmi tusifumbie macho
Ni kweli kuna uzembe na kupuuzia mambo fulani kulikopelekea madhara haya makubwa,halafu jumba lote Hilo hakuna watu wengine wanaokaa hadi muuaji anafanya mauaji anamaliza mpaka anapata na nafasi ya kupigia simu watu kuwa kaua,🙄🙄?!!Gharama ya kumpeleka mtoto Milembe ilikua kubwa kiasi gani kulinganisha na maisha ya hati hati na wasiwasi anaoleta kwenye familia na uhai aloupoteza,duh🙌!!!
Mwanangu, wa miaka sana aliponitamkia " Bora ufe au ufungwe Ili niwe huru" Kisa anahisi sheria zangu za kumlea ni kali. Nikaona maneno huumba. Alipofika miaka tisa tu, nikamrudisha kwa mama yake. Mungu tuokoe wazazi.
Duuh
Atarudi huyo subiri kidogo
Innalillah wainnailaihi rajiuun poleni wafiwa. Mjumbe point uliyoongea mtoto hana hatia km kichwa hakipo sawa na unathibitisha hilo basi kesi hakuna hapo Allah amrehem marehemu na kijana apelekwe milembe la sivyo ataleta madhara makubwa kwenye hiyo nyumba Subhannallah
Inna lillah wainna ilayhii raji'unn Allah atupe mwisho mwema poleni sn wafiwa😢 allah awape subra na awatie nguvu Inshallah 🙏
Subhanallah yaallah tusamehe waja wako tulipokosea yarab mana huu mtian mkubwa
amiin
Kuzaa sio kupata mungu atupe mwisho mwema
Hakikaa
Ewemwenyezi Mungu tupe mwisho mwema yaarab pamoja na watoto wetu wawe wenye roho ya huzuni na ya upendo
Nimeamini kweli kuzaa siyokupataa
Jamani mtihani mkubwa uwiiiii Mungu tunusuru
R.I.P Mwalimu wa advanced Mathematics Kibaha, pumzika Fundi, pumzika Legend🫡
Poleni sana
Allah utusamehe dhamb zetu adhabu zako unazotupa hapa dunian ni nzito na ngumu daaah polen kwakwel pia tuwafundishen watoto dini ili wawe na hof ya mungu
Watu wanapitia meengi na huwezi jua..tupendane sana
Kabisaa
Allah awafanyie wepesi wa safari yke nasie Allah atupe mwisho mwema inshallah
Wazaa mtoto wasema nbaraka kumbe umezaa kiumbe cha ajabu mungu tulindie vizazi vyetu😢😢😢😢
hii dunia ! mungu tusaidie! polen familia
Mungu atusaidie , poleni sana
Wee mtoto ulaaniwe kwani siutafute kwa jasho lako. 😢😢
Kiamaa hichoooo kimeisha fika bado kuripuka tu alafu mnakataa maneno ya mitume ""mtoto kumuua mzazi na mzazi kumuua mtoto""
Malezi malezi.....
Naam kiyama kimefika ujue wenye akili ndoo wanajua lkn wengii wawatu hawajui Hilo Dunia imiisha subhanallah ndoo hatuoni na Wala hatutak kufanya ibda tunakufa ghafla
Jaman mtaani kwetu balozi wetu mungu tusaidie
Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajioun Allaah amsameh makosa yake amzidishie mema yake Subhanallah sasa pesa zake mwenyewe zimemtoa roho
Mafunzo
1. Hakuna mtihani mgumu ksma wa kuchagua mke wa kuoa.
2. Maendeleo yetu ya kazi , mali na taaluma yawepe kipaumbele kuliko marndeleo ya wanetu?
Wanaume tunapanda mbegu ya kujimaliza wenyewe!!
R.l.P maths teacher!!!💕
Jamani mbona mwili wangu umesisimka! Unamuua baba yako kisa baba yako kakunyima pesa? Ee Mungu tusaidie na huu uzao wetu!
Tena mtoto wa kiume alafu kijana mkubwa tu. mtu mzma unaombaje hela kwa baba yako
Mmesikia mjumbe km kijana hayupo vizuri kichwani na walitaka wampeleke Mirembe ila pesa ndefu ndy kashindwa kumpeleka
Hilo toto lina laana kubwa sana
Dah!! Ww ulomuua baba yako n laana kubwa sana jmn
Bora kuwa single,no wife no kid,live your life,unazaa mtoto harafu mtoto anakuua
Ukiwa na watt mtihani usipokua na watt mtihani allah atujaalie watt wema inshallah
SubhanAllah eeeeh,mungu wangu ninavyopataa shidaa mm babaa,hayupo,Leo,kijanaunamuua,babaakweli
SubhanaAllah Allah atunusuru vizazi vyetu msiba huu unamuuwa baba kisa amekunyima pesa yeye mbona akuwa nayo na kija mkubwa tu kwann asifanye kazi anaenda kunywa mapombe na kuvuta bangi wakati anajijua anatatizo kichwani poleni sana wafiwa muacheni akanyie debe jela
mungu.akupe nguvu . kijana na.poleni.wafiwa mh.mtoto unamzaa.na anakuja.kukuua kichwa.kina.matatizo alafu.kinaongezwa na.bangi tena.inakua mtihani.wallah.mwenyezi mungu.atunusuru sisi na vizazi.vyetu
Mwenyezimungu sitir vizazi vyetu
Jamani mungu tusaidie
Jamani Tanzania Kuna nini mbona mbona kukicha tuuu mauaji mungu wangu
Wamefanana na kakake jamani 😢😢😢
Kweli kuzaa watoto sio kupata.
Mmmmh 😢😢😢 Hawa watoto wa kiume mbona wanatutisha sasa
Kama ana tatizo la akili haijalishi ni kubwa au dogo kikubwa ana tatizo la akili apumzike mzee wetu Mungu ampe kauli thabiti 😭😭😭
Mungu tupe mwsh mwema... Vifo vimekuwa vng na vya ajab ajab sn..😭😭
Jamani kijana mdogo.kweli hiyo Ni pepo.daah poleni sana familia.
Yaan,ni huzuni sanaa😢😢😢😢😢😢😢
Mzee kayataka mwenyewe mtu ukishaona littoto halieleweki fukuza mapema lifunzwe Nawalimwengu mtaani uko
Wewe ni mzazi au waongea tu mana kama ni mzazi omba mungu sana awaongoze wanao mungu awaongoze watoto wetu
Kabisa watu wengine wanaongea pumba.@@AtifaIslam-t6g
@@AtifaIslam-t6gSasa ulitaka asemeje nyiee wazazi mnaolea kimayai mayai matokeo yake huaga ni hayo hata mm mtoto nikiona simuelewi na mtimua mapema akafiee huko Sina mapenzi na nyoka atakaye kuja kunimeza siku za mbeleni
Jamani . Mzazi kwa mtoto wke huna lakumwambia. Na hilo jambo ulisikie mbali tu.. Tuombeane dua tu
Nyie waongo musitudanganye mtoto wako wa kumzaa huwezi mfukuza nyumban aende wapi kwa mfano acheni uongo hii mitihani tuombe sisi isitukute tu na tuwalee watoto kwenye misingi ya dini
Namshukuru Mungu niliondokaga nyumbani nikiwa mdogo Sana...hii habari yakukaa nyumbani mpaka Unaota ndevu ndo mazara yake haya...poleni jamani.
Mali,mke,na watoto wenu ni mtihani kwenu jihadharini...poleni.allah ailaze roho ya marehemu mahali pema
Innalillahi wainna illahi rajiuni. Mungu amesema watoto ni fitina,Mali ni fitina. Hiki kizazi kipya kinaelekea wapi jamani? Kuomba hela Kuna mawili upewe ama usipewe!! Ikithibitika ni yeye hatua Kali zichukuliwe ili iwe fundisho kwa watoto wengine.
Hiki ni kizazi chenye laana, watu tumrejee Mungu kwenye maombi sana. Mtu ambaye hajapata mtoto anamlilia Mungu ampe mtoto, na wengine wenye watoto wanajuta kuzaa.
😢😢😢😢 hivi kweli mwanaume unaomba pesa kwa mzazi ukiwa nyumbani kwenu
Mali na watoto ni mitihani ya dunia uwe hai au umekufa
Ewe mola wetu angalia vizazi vyetu wajaalie hekma na upendo kwa wazazi wao
Allahumma Aamiin
Jaman jamani kwani tumekuaje siku hizi
Watoto tunaua wazai eti hajakupa hela😢😢😢
Tujifunze kuwaombea watoto wetu..adui anawatumia sn
Hakika brother, tuwaombee sana vijana wetu , greetings from Zanzibar.
😢😢😢
Innaalillah wainna ilayh Rajiuun... huyo mtoto kitamramba muda si mrefu weh damu haina masihara.
Uchunguzi makini unahitajika sana..Mungu Amrehem.
Anyongwe Tu Hana Maana. Fala Uyo Unamuuwa Baba Ako.
Wanandoa kutengana pia chanzo cha matatizo ya familia,Mungu tusaidie.
Mh nakumbuka yule mtoto aliyemuuwa mama ake akamweka kwny chemba ya choo arsha na kesi imeisha hivyohivyo
Subhannallh 😢😢😢😢😢😢
Mbele yetu nyuma yake 💔😢kuzaa si kupata
Mtoto unamzaa akuja kukuuwa ..mungu atusaidie vizazi vyetu..shetan anat3ka ufahamu wao
Mbele yake yaani ametangulia nyuma yetu sisi tunafuata.
💔😭😭😭
mbele yetu tena😢
Polen sn ndugu, jamaa, na marafiki hasa familiya ya marehem
..bangi na Boda Boda aseee..? Huyu Bwege auawe ndo kauwa Mzazi wake.
Wamepoteza baba na mwana..very sad indeed
Inalillah waina lillah raji’un pumzika kww amani Sir 🥲
Kumbe mgojowa jamani
Mwalimu wangu Kibaha Secondary School. RIP Mwalimu Majala
Teacher wa namba, Mwanamichezo
Innalilah wainsilah rajuuni
Unakuta kuna mtu alikuwa anamtafuta siku nyingi kaamua kupita na upepo wa dogo😢
Hata mimi nawaza ivo ivo.. msikilize vizuri Huyu dada..kupewa taarifa ya kifo.. Tayari keshaconclude kuwa alipigwa!! Mmmh alijuaje??? Hapa kuna dalili ya deal wabanwe wotee hao
Ni kweli ndio maana tunaambiwa tuchunge ndimi zetu,tuangalie tunayoongea
Inawezekana, lakini huyo mtoto wa 2 kasema kakake alikuwa akisema lazima atamua babake ndio maana wanaamini yeye ndo muuwaji. Mungu anajua zaidi.
Innalilah wainna ilayh rajiuuna...
Chuki kutoka wamama jumlisha msongo wa mawazo ajali hewa ya petrol bangi
Subhananllah jaman dunia imeisha laaana sumakhaa weee na hauta iyona raha ya dunian 😢😢😮
Sasa kama huyo ni mtoto wa pili hilo toto la kwanza cni zee kabsaa lilishindwa vipi kutafuta pesa zake mpaka litake pesa ya baba ake jamani
Vijana fanyeni kazi acheni kuwa tegemezi. Ukiona babako anazo unabweteka.
Innalillah wainnah Lillah rajuun hakika sisi ni WA m/mungu na kwake tutarejea 😢mtian sana
Mzazi haui ila mtoto anaua mzazi wake yarrabby tujaalie viazi vyetu🙏🙏🙏
Tanzania pamekuwa mahali hatari pa kuishi jamani😢😢😢unatembea njiani unaona watu wa kawaida kumbe moyoni wamebeba mengi
Kama Tz pamekuwa mahali hatari pa kuishi, je ni wapi ambapo ni mahali salama pa kuishi hapa duniani pasipo kuwa na matatizo ama mitihani yoyote?
Tunachopaswa binadamu kufanya ni kumuomba Mungu atusamehe makosa(madhambi) yetu yote - tunayo yajua na tusiyo yajua, makubwa na madogo, ya zamani na ya sasa, ya kukusudia na ya kupitiwa bahati mbaya, ya siri na ya dhahiri. Na tuwaombee pumziko la amani wenzetu walotangulia mbele za haki, na sisi ambao bado tupo hai tujiombee mwisho mwema maana hata hatujui tutaondokaje hapa duniani. Hakika hakuna ajuae safari ya kurudi kwa Mungu wake itakuwaje.
Wanaume wanabeba mambo mengi dana moyoni jamani😢😢😢😢😢😢😢daah
Jinsi KULEA MTOTO KULIVYO KUGUMU,, UMLEE MTOTO AKUE ALAFU NDO AJE AKUUE?? 😢😢😢SAD. MZAZI AKIKUKWAZA ONDOKA ACHANA NAE.
😢😢😢Mungu wangu
Vijana tafuten pesa. Mtot wa kiume unamkazia mzee akupe pesa. PESA ya mzee sio yako
Inna lillah wainna ilayhi rajiuun
Sub-hannallah!!'. Innalillaih wainnaillaih rajiuun😭😭😭
Inna lilahi waina ilayhi
Rajiuun
Vijana fanyeni kz
Yaani mtt unakuwa adui kwa nzazi wako
Pumzika kwa Amani kaka yng, amakweli nimeamini maneno yasemayo mzazi hauwi mwana ila mwana anauwa mtoto.
Daaaah inaumiza sana jaman mtoto kumuua mzazi😓
Nawapa pole wafiwa but tujifunze kitu mtoto akikua hatakiwi kukaa nyumbani kama amekua/amemaliza chuo mtafutie kitu akafanye, vinginevyo mara nyingi huwa wanaungana na mama yao kukuhujumu baba au watakuwa wanakuzingua mara kwa mara upate presha ufe au kukuua kabisa kama hivi. Muwezeshe akatafute maisha aje kusalimia tu utaishi maisha marefu sana na yenye furaha na mkeo.
Sio kila mtt anapata bahat ya kufika chuo wngine wakimaliza class 7 washaanza ununda sa unamfanyaje kijana wa miaka 12 au 13
Alikuwa mshikaji flani hivi hana makuu, RIP Mkuu
😢😢😢 kweli kuzaa sio kupata
Jambo lakusktisha Mtoto wakuzaa anakupgia Yaarabbi tujalie Kizazi chetu knaelekea wapi
Aisee Mzee angejua Hilo bao angepiga nyeto tu ,
kwan mwandishi lazim uulize vyumba, mambo mengin c lazima. si tunatak kujua tukio tu
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun😭😭😭😭
Ewe Mungu wetu ,tuondoshee hili jinamizi lililoizunguuka Tanzania yetu ,kwanini mauwaji yameitanda Tanzania yetu , ninini? Tunasikitishwa kwakweli
Nimeshindwa kusema
Innalilahi wainnailaihi lajiuun 😢😢😢😢
Dah! Wekeni picha yake huyu kijana watu tumjue vizuri tusijekutana nae mitaa yetu! Apumzike kwa amani!
Eeeeh mungu tosamehe jamani 😢😢😢😢😢
Mungu tusaidie yani kuua imekuwa kawaida sana
Mungu tusaidie kila cku TH-cam mauaji
Kweli kabisa....Yaani hali inatisha.
Mtihani wallah
Rest in peace Learned Advocate Majala