'NILIVALISHWA TAIRI, WAKANIMWAGIA 'PETROL', NILISALI SALA YA MWISHO...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Nilipigwa nondo ya kichwa, niliona nyota.. akaja mshikaji mmoja ana kibiriti cha njiti, yule mshikaji hana huruma..." Calvin Dunkan akielezea tukio ambalo hatalisahau wakati wa mapito yake alipokuwa akitumia dawa za kulevya.
Full stori ipo kwenye TH-cam channel yetu #CloudsMedia
#PBCloudsFM
#Tumekuverify
Kuna Mungu na huwa anajidhihirisha katika maisha yetu sema huwa hatufuatilii maajabu yanayotokea kwenye maisha yetu.
ur so lucky ma bro and am always proud of u ma G😮
Matangazo meengi sana
Mungu ni mwema siku zote 🙏🏼 ila hizi habari za kupiga wezi na kuwachoma wakat vyombo vyenye mamlaka vipo unapata wapi ujasiri wa kumchoma binadam mwenzak 😥💔
Kabla haujafa
Muwe mna edit matangazo
Nyonzo mvule
Sjawai kumuona masoud akicheka kama leo😂