Amos Makalla aunda chombo cha kutatua migogoro ya ardhi Mwanza
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Mkuu wa mkoa wa Mwanza Amos Makalla ameunda chombo maalumu kitakachoshughulika na kukusanya taarifa za migogoro ya ardhi kwenye wilaya na halmshauri za mkoa huo ikiwa ni hatua mojawapo ya kutatua kero za wananchi kupitia mikutano inayotarajiwa kuanza Septemba 18 mwaka huu, 2023.
Kwa hili, Mungu akubariki sanna.
Nice 😊😊😊😊
Saruty kwako mkuu
Hakuna kitu kama hicho migogoro ya ardhi haiwezi kutatuliwa na mwanasiasa
Mkuu tusaidie na suala la maji pia. Maji ni tatizo kubwa jiji la Mwanza.