KIMEUMANA MWANZA! MZEE ACHAFUKWA MBELE YA RC, AMTAJA KATIBU WA RC - "AMEVAA NGOZI YA KONDOO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 104

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 ปีที่แล้ว +9

    Mzee nakupa hongera zako umetisha sana

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 ปีที่แล้ว +7

    Safi kabisa mzee msomi

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 ปีที่แล้ว +7

    Ww baba nimekupenda sana umeongea ukweli bila kuogopa mtu mama etu mama samia yupo vizur sana sana baadhi ya watendaji hawa wa chini 😭😭😭😭

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 ปีที่แล้ว

      Nakweli mandunduka niwengi watu wenye vichwa mgando hawaishi inchi hi

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 ปีที่แล้ว +6

    Wazee kama hawa wamebaki wachache wengi watumia matumbo Yao mzee mungu akubariki Sana sana

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 ปีที่แล้ว +3

    HONGERA SANA
    MZEE 🙏🏿🙏🏿

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee yupo vizuri sana. Yafaa awe diwani

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 ปีที่แล้ว +2

    Hao ndio viongozi sasa, safi mzee

  • @marcongeleja9450
    @marcongeleja9450 ปีที่แล้ว +4

    Kazi nzuri sana

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 ปีที่แล้ว +13

    Huyu ndio abuu.. mwenyekiti msomi sana.. hapo degree ya accounts imetawala ndani ya ubongo wake..

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 ปีที่แล้ว

      Anaonekana tuu sio ndio mzee mama anaupiga mwingi tetea wananchi.

  • @fadhiliomary1802
    @fadhiliomary1802 ปีที่แล้ว +6

    Huyu anaitwa mzee Abuu mzee mbishi Sana, mshabiki wa @yanga asiyekubali kuzhindwa, ukibishana nae kwanza upunguze hasira la sivyo utampiga makofi😂😂😂 Ana akili Sana...na hapendi kuonewa huyu mzee na Ana mtoto kasoma elim ya juu...

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 ปีที่แล้ว +1

    Kuwa na kiongozi mwanamke tena asiye raia wa Tanganyika, watanzania mmeingizwa mkenge ktk sehemu mbaya ya miili yenu. Hasira zinazidi kuwapanda. Wakati unakaribia kimbunga kitokee ktk nchi nzima.

  • @cosmasmwaselela6584
    @cosmasmwaselela6584 ปีที่แล้ว +6

    Kama Rais wangu wa Tz akiyasikia yako kalibu Tanzania yote hao diowamchonganisha nawanainchiwake huku wakimumwangia sifa zakinafik

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 ปีที่แล้ว +1

    Yes, huyu mzee anajua anachokiongelea.Mwanza kuna rushwa kubwa sana na cartel ambayo inarudisha mkoa na jiji la Mwanza nyuma.

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp ปีที่แล้ว +3

    Jama mlindeni mzee huyu jamani

  • @masatumtani1588
    @masatumtani1588 ปีที่แล้ว

    Nashukuru Makala umetambua mahakamani hakuna haki

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 ปีที่แล้ว +3

    Mtoto wa muasisi wa taifa😂😂😂
    Alivurugana sana na Lukuvi

  • @jesaminzo
    @jesaminzo ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ndiyo CCM mbele kwa mbele!

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +8

    Huyu Mze awekewe ulinzi haraka sana kabisa.

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 ปีที่แล้ว +3

      Huyo mwenyewe ni dhalimu mtaani kwake ndio maana anateseka ameshiriki kufoji nyaraka nyingi za mirathi ili watu wapoteze haki zao sasa naye anapata malipo yake

    • @ladislausmoris9638
      @ladislausmoris9638 ปีที่แล้ว

      Mmmmmm??

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 ปีที่แล้ว +8

    Mkuu hawa wazee wanapasa kupewa maua yao.

  • @hizamawa6046
    @hizamawa6046 ปีที่แล้ว

    Daaaah 😢😢

  • @RemmyWilliams
    @RemmyWilliams ปีที่แล้ว

    Halimashauri ya ilemela imetuzungusha miaka zaidi ya 4 hawatupi hati ZETU. Viwanja 40.
    Kiseke ppf. Walijigawia viwanja wanakula pesa tu. Tumesumbuka sana mpaka wilayani BILA m yoyote. MPAKA tumejuana tamaa. ATUSAIDIE MUHESHIMUWA. TULISHA LIPA NA PESA ZA HATI NA KILA KITU.

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 ปีที่แล้ว

    Mzee ABUU❤❤😂😂😂😂

  • @zakariafrancis4570
    @zakariafrancis4570 ปีที่แล้ว

    Huyo rev alomtaja nimtu mbaya sana tulishawai kutonya jambo fran tukijitia usarendo wa nchi alituchoma baada ya kupata alichopewa tukaenda jera

  • @musa-v3f
    @musa-v3f ปีที่แล้ว +2

    mkuu wa mkoa siku hizi amekua Jaji ? sheria gani inampa mamlaka RC kusikilza kesi za jinai/utapeli kama kuna mtu ameibiwa aende mahakamani na RC hana uwezo wa kupinga mahakama

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 ปีที่แล้ว

    Huyo ndo Abuubakar au baba Mariam.. Hesabu zimelala kwenye kichwa cha Abuu

  • @chidatvchannel
    @chidatvchannel ปีที่แล้ว +3

    Hiv huwa mnatangazia sehem gani maana taarifa hatuzifikii

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 ปีที่แล้ว +8

    Hii ni awamu ya sita mafisadi makubwa, hapo msitegemee kupata msaada, Rip JPM

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว

      Kweli tena kwa Makala ndio kabisa. Soko anasema eti iliungua kwa sigara 😢😢😢

  • @AGNESMAJOLA
    @AGNESMAJOLA ปีที่แล้ว +1

    Baba uko vinzuri sana sijuwi unaishi mtaa gani

  • @joachimanthony3230
    @joachimanthony3230 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hiyo tumakubaliana mahakamani hakuna hakieee!!!

    • @mawazoaliselemani8909
      @mawazoaliselemani8909 ปีที่แล้ว

      mifumo ya kimahakama ni kama kisima mwaye kata kubwa ndio hupata maji mengi.
      ukiwa uwezo wa kuweka wakili huna sahau baba

  • @berthatz
    @berthatz ปีที่แล้ว +3

    Watanganyika wamechoka kila pande ya nchi..Uongozi huu haufai kuanzia Raisi ..Wasafi asante kwa kupost hii ..Vyombo vingi vinapost sifa tu na uchawa,,hawapost hali halisi…

    • @jacksonchilongani4478
      @jacksonchilongani4478 ปีที่แล้ว

      Kwann nini uite Tanganyika na wakati hatuna nchi hiyo Kwa Sasa tuna Tanzania usitugawe kifikra

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 ปีที่แล้ว

      Wewe ndo ulie choka. Sisi Watanzania tuko na Mama. Kazi IENDELEE

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias6006 ปีที่แล้ว +4

    Nimekiona chuma cha misungwi hapo Chacha

  • @Freedom_fighters898
    @Freedom_fighters898 ปีที่แล้ว

    Hawa Maccm hawawezi kuiendesha hii nchi tena wanapiga deal tu!

  • @Freedom_fighters898
    @Freedom_fighters898 ปีที่แล้ว

    Hili swala si la kwanza tu ni mikoa yoteee yani watumishi wa serikari sasa wanamtumikia Mama siyo wananchi tena .. shame to Maccm❗️

  • @pastorysent6586
    @pastorysent6586 ปีที่แล้ว

    Mh nae anajua kuwa maharaja zetu hazitendi haki..asante mh kwa kuliona hilo

  • @beathapontian2187
    @beathapontian2187 ปีที่แล้ว +1

    Tupate wapi mtu km huyu 🎉🎉🎉

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว +4

    Awamu ya majizi tupu. Mungu, nakuomba uiondoe hii CCM imekuwa janga kabisa kwa watanzania.

  • @petermgaya3231
    @petermgaya3231 ปีที่แล้ว

    Huyu mhindi vip, utaiondoaje Cask wakati ndio sehemu ya Burundi iliyobaki mwanza? Kuna vitu vingine huwezi kuondoa ktk ya miji ambavyo vinaipa jina. Wao si wakakaishi magu huko

  • @FadhirMagembe
    @FadhirMagembe ปีที่แล้ว

    Safi

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma3337 ปีที่แล้ว

    Jamani mnisaidie ni wapi hapo ambapo wanatolea hizi kelo namimi niende? Sijui ofisi ipi hapa mwanza

  • @dannzacharia8356
    @dannzacharia8356 ปีที่แล้ว

    Rc makala hata mgogoro wa airport umeingizwa mkengee. Fatilia mwenyewe bilahaoo viongoz hata meneja wa Ndege siom2 mzurii wanachiianawambia hanatatizo naeneo hiloo. Juz anakusujudia

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege2200 ปีที่แล้ว +3

    Hii Nchi ni kuteseka mpaka unakufa walah 😭😭😭

  • @rehemaissa6164
    @rehemaissa6164 ปีที่แล้ว

    Huyu ndio Mzee Abu Baker Hassan Seif, Chuma Cha Nera.

  • @zephaniasamio797
    @zephaniasamio797 ปีที่แล้ว

    Tujitahidi ndio nini jamani ,Hawa viongozi ni mizigo, mtu ametajwa mshughulikie ajibu tuhuma

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe mnajuwa mahakamani hakuna haki

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 ปีที่แล้ว +2

    RC anajua mizengwe inayotumika suala likiwa Mahakamani.

  • @Misspilly
    @Misspilly ปีที่แล้ว +1

    Huyu babu yake naniii🎉

    • @alicencyprian
      @alicencyprian 11 หลายเดือนก่อน

      babu yake Rwegoshora.

  • @richkinji2583
    @richkinji2583 ปีที่แล้ว

    Tatizo ni lipo kwa huyo Mkuu wa mkoa wala siyo hao anawatuma anajua kinachoendelea

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 ปีที่แล้ว

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc ปีที่แล้ว

    Watanzania mutanikumbuka hesai

  • @JosephathKimbavala-bs7tf
    @JosephathKimbavala-bs7tf ปีที่แล้ว +1

    Watu wanaotaka kuongoza nchi nikama hawa

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka ปีที่แล้ว +1

    Nchi hii mnyonge hana haki silaha ya mnyonge ni umoja tuungane kuitoa serikali hii madarakani vinginevyo mtaliq milele

    • @MaryamKudra-gf8zs
      @MaryamKudra-gf8zs ปีที่แล้ว +1

      tuungane tukamtoe kwanza kulala za wachadema mwenyekiti

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m ปีที่แล้ว +1

    Mkomesheni mkomeshi i mshenzi uyo msimugope asumbua sana daaa akawafukuza wamachinga daaa umewafukuza samia na makala siku itafika tutawavua ayo madaraka tuone mtauza nini tunawachukia sana siosiri

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 ปีที่แล้ว

    Mzee anafaa kupewa cheo kikubwa Mkoani,,,anaongea kutoka moyoni

  • @matakamataka9438
    @matakamataka9438 ปีที่แล้ว +2

    Yaan hii nchi ni yahovy sana sijuw wanqtuchukuliaje wananchi ila itafika siku tutachok maan wanafaidik wao t tulioweng tunanuk umaskin wengine wakula na kusaza ifike mahali watanzania tuseme imetosho sio kutuona wajinga kilasiku allaaaa

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 ปีที่แล้ว +1

    CCM wanaunyuka mwingi ccm kiboko yao

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 ปีที่แล้ว

      Wewe ni kondoo wa mwisho kama bado una akili chafu kama hii,umekwisha

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 ปีที่แล้ว

    Mimi niliwambia huyu Makayla hakuna anapoenda pakawa na Amani yaani huyu jamaa ni shida mpigaji sana

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 ปีที่แล้ว +3

    Katiba mbovu, haimuajibishi mtu, katiba softy softy

  • @popovicmisri4214
    @popovicmisri4214 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna k2 hapo

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 ปีที่แล้ว +6

    Hayoyote ni matunda ya katiba mbovu

    • @kassimualli1755
      @kassimualli1755 ปีที่แล้ว +1

      Kuma wewe

    • @rutakihama3523
      @rutakihama3523 ปีที่แล้ว +1

      Sasa hapo katiba imeingiaje sasa

    • @rogersiddy
      @rogersiddy ปีที่แล้ว +2

      Kweli kbs Katiba inausiana sababu madaraka yote anayo Raisi kama yangekabidhiwa kama Majimbo haya yalishatatuliwa mapema sana lkn adi Raisi aseme jambo ndo litekelezwe uko sahihi kbs

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa

    • @JohnDeus-v3e
      @JohnDeus-v3e ปีที่แล้ว

      ​@@kassimualli1755hauna Tus ringine mpaka utukane mama yako😂😂

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 ปีที่แล้ว

    Mzeeeee kalib tunduma songwe

  • @ObligeeNdoni-pb4vs
    @ObligeeNdoni-pb4vs ปีที่แล้ว

    Bundi sio Rais, waliomuuwa ngosha ndio wanamuendesha!

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 ปีที่แล้ว

    Wizara ya ARDHI ni mzigo.Wanakuwa na Mipango yao ya kubadili RAMANI za MANISPAA kwa manufaa YAO.ARDHI YA MANISPAA IBAKI CHINI YA MANISPAA

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 ปีที่แล้ว

    Huyooo amezoea na hizo propaganda usikute nyuma ya hayo anahusika masizi mwenyewe Sasa kwa wa Sukuma ameyakanyagaa lalekiii watu hawaogopi... wanamjua MUNGU wana IMANI na MUNGU alafu Wana Elim na maalifa Mwanza hoyeeee

  • @juliusdidose100
    @juliusdidose100 ปีที่แล้ว +1

    Abuu

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 ปีที่แล้ว

    Abu hoyee

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 ปีที่แล้ว

    Eee kumbe wakubwa mnajuwa mahakama zinaegemea upande mmoja

  • @alicencyprian
    @alicencyprian 11 หลายเดือนก่อน

    Mseminari

  • @dannzacharia8356
    @dannzacharia8356 ปีที่แล้ว

    Kunaviongoz hawafaii hatakidogo nikufukuza kazi sioo kuhamisha

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur ปีที่แล้ว +1

    Wambiye ukweli wakisema upinzani wanazomewa hapo leteni majibu wanafiki

  • @pascallyasukuma8742
    @pascallyasukuma8742 ปีที่แล้ว

    Usikute huyu mwenyekiti wa mtaa ni usalama.

  • @JuliusHassan-h4g
    @JuliusHassan-h4g ปีที่แล้ว

    Abuu hatari huyu

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee yupo vizuri sana. Yafaa awe diwani

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc ปีที่แล้ว

    Watanzania mutanikumbuka hesai