Babake Kevin amefunguka akili ❤❤❤❤mama Kevin funguka mama shemenji wenu wazazi wake na Tina atawasambaratisha😢😢😢😢 wanaokubali loveless na Kevin ngongeni like❤❤❤❤❤
Moyo poleee!! ile fumba Fumbuaaah!,Namba yangu Sifuriih, vyote vimepoteaaah❤ hari yangu majalala sina pakula pakulalaa! kila siku nimisala,oooh Baba Mulika jicho nione nami uniponye,Kila nalo fanya kwao Baya binadamuu!nafsi zao hazina haya unafahamu wanataka niteseke ninyanyasike kesho wanizikeeeh!...
Leo nimefurahi saana. Loveness amejua km Amina sio mtu mzuri kwake. Bado Kelvin ajue nae km James pia sio mzuri kwake. Na nimefurahishwa na Baba Kelvin amempa faraja Kelvin wetu. Sbb tulikua tunaumia wengi. Kwa maumivu aliokua anapata Kelvin.❤
Aziza hongera Sana kwa mawaidha yako kwa Kelvin umemponya Kelvin kidonda kidogo sasa shida ni Loveness angekubali Kelvin amchukulie nyumba atoke kwa Amina kabla ya Amina kupeleka Zanziber ndio ampate Kelvin. Kelvin na TEAM yako hon kwa kazi nzuri. CHUKUWENI maua🎉🎉🎉🎉 much ❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nikiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
😂😂😂😂😍❤Baba Leo ni mpoa kev...Na Asante kwanza kwa kumjulisha loveness truth about amina na starehe za tamaa mbaya....nimefurahia sana...Mambo yanaenda kuwa mema vile😅😅
Jamani aziza na baba kelvin leo nmependa sana maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yenu hyo kuchangua anaekutaka ila akuchaguliwa vzuri. Sana❤❤❤❤ mama tina kaa kwqkutulia kingaganizi mkubwa ww like kwa baba kelvn na aziza❤❤❤
Aix leo nimefulahi San Kwa kuw Mzee ameelew ni mawumivu gan mtu anapitia akiw kwenye mahusiano na Asie mpenda! Kelvin hap sas usimwambie rafiki yak James atakuvunjia mpango! Nawapenda sana kutoka 🇧🇮🇧🇮
Nilifirahi ginsi Kelvin alingunduwa kama Amina ni mutu mubaya kwa loveness, sasa afanya mbinu zake zote, apate kumutowa loveness kwenye nyumba ya Amina.
Vizur sana kelvin kumuelezea ukwel love yote uliyoambiwa na amina sasa uamuzi anao mwenyewe loveness kusuka ama kunyoa lkn ashajua anaishi na rafiki wa design gani
JAMANI TUNAOMBA MSUBSCRIBE CHANEL YETU JAMANI MBONA HIVYO AU ADI TULIE 😢😭
Labda mlie kwanza😅😅😅😅😅
Baaas baas msilie tunafanya hvooo🤣🤣🤣🤣
haah ulie tena
Kelvin Kaz nzur sana kiukweli
Afu kunawatu wanatuzingua sana wanaigia jina la movie yetu wanaweka mauchafu 😂
Babake Kevin amefunguka akili ❤❤❤❤mama Kevin funguka mama shemenji wenu wazazi wake na Tina atawasambaratisha😢😢😢😢 wanaokubali loveless na Kevin ngongeni like❤❤❤❤❤
Baba leo kanyoosha maelezo
❤❤❤❤
Kamama kabishi
Nikweli kabisa Kevin very true 👍 👌 ❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Moyo poleee!! ile fumba Fumbuaaah!,Namba yangu Sifuriih, vyote vimepoteaaah❤ hari yangu majalala sina pakula pakulalaa! kila siku nimisala,oooh Baba Mulika jicho nione nami uniponye,Kila nalo fanya kwao Baya binadamuu!nafsi zao hazina haya unafahamu wanataka niteseke ninyanyasike kesho wanizikeeeh!...
Unajua kuimba❤
We kibokoo
We noumaa
Hongera 😂😂
Hhhhh saf san
Kevin don't give up, Jamani naomba like zenu kutoka 🇲🇼 Malawi
Leo nimefurahi saana. Loveness amejua km Amina sio mtu mzuri kwake. Bado Kelvin ajue nae km James pia sio mzuri kwake. Na nimefurahishwa na Baba Kelvin amempa faraja Kelvin wetu. Sbb tulikua tunaumia wengi. Kwa maumivu aliokua anapata Kelvin.❤
Leo nimempenda sana baba kelvin jamaniii 🎉, kama nawe umependa mazungumzo yake kwa mkewe weka like apa😊
😂😢😅
Weeee nimefurahi sana vile ameambia Kelvin 😅😅😅😅😂😂😂
umetsha broo
Penzi
Amina pamoja na wenzako mkae mkijua mwisho wa ubaya ni aibu kama umeikubali kauli hii gonga like hapa
Pamoja sana asifosi upendwi kaa chemba. Mwache mwenzio apate laaha. Jomoooonoooooo
Nimefurah sana Kelvin amejua ukweli kuhusu Amina lkn piah Loveness asikubali kwenda hiyo safari aliyoambiwa na Amina
Kelvn unajua mpka unakela Yani honger sanaa mi nafrahi mkiwa na lovenes pokea maua yakoo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Loveness plz nijibu ni vimbe plz nakukubali sana unajua plz nijibu nijivunie kujibiwa na msanii bora kwangu💪
Aziza hongera Sana kwa mawaidha yako kwa Kelvin umemponya Kelvin kidonda kidogo sasa shida ni Loveness angekubali Kelvin amchukulie nyumba atoke kwa Amina kabla ya Amina kupeleka Zanziber ndio ampate Kelvin. Kelvin na TEAM yako hon kwa kazi nzuri. CHUKUWENI maua🎉🎉🎉🎉 much ❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nikiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Hi,wadawu wangu tunaoshilikiyana kuhangalia hii movie kuanzia part1-14 ata like Moja sijapata Leo naomba like zangu❤❤
❤❤
Sijachelewa xana gonna like kwa kelvin khan
Kazi nzuri saana wanangu maisha malefu kwenu
Leo nimechelewa kweli😢ila kazi nzuri kelvin tunasubiri muendelezo👊🥰🇧🇮
Mambo
Mbna 17 hatuioni ...
Kwa kweli leo mimi nnafurahi sana kumuona Kelvin anacheka. BABA kelvin hongera zako we ni mzazi mzuri❤❤❤❤ from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mambo friend
Weweeeeee team dontaaaaa mko wapi????anaempenda Aziza juu ya kumsaidia Kelvin piga kelele 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Aziza nakupenda sana unavo ongea kipenxi ❤❤❤
🌹🌹🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳😊
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Weweweeeeeeeeee😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤Ya azizaaa haya makopakopa jamani😂😂😂❤❤❤
🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
Aziza nakukubali kwaushauri unaompa kelvin jamani naakupenda bure❤❤😊🎉 nawapenda wana donta kwa jumla❤️❤️
HELLO 👋
Hatimae baba kelvin kakubali kuungana na maamuzi ya mwanao kelvin polepole watakubalia loveness kuwa mkamwana wao wanaoamini like
Lazm mwanaume uwe naa maamuz. ila Mama kelvn. 😅😅😅😅😅
Wow baba Kelvin Kaz nzuri sana unabahat vip mipango ya mama tina?????🎉🎉🎉🎉❤❤
Jaman ya leo tamu hatal
Kevin ushavurugwa dada aziza marhaba umependeza sana hongera kuungana ktk kufanya kazi na hiyo grop
Mama kelvin na wewe utalia badae heee... Kelvin wewe na loveness mnaenda sana❤❤
Ila aziza umrembo sana mpeni like zake aziza
Wapi wakina aziza wajina ametishaa
😂😂😂😂😍❤Baba Leo ni mpoa kev...Na Asante kwanza kwa kumjulisha loveness truth about amina na starehe za tamaa mbaya....nimefurahia sana...Mambo yanaenda kuwa mema vile😅😅
Jamani tunatamani ndoa ya kevina love naombeni like zenu🎉🎉🎉🎉
Bbe Kelvin umeongea kaa baba hongera sana Aziza nae salut kwa ushauri mzuri ila loveneee uache msimamo mkali usaidike
Waah team kenya mko wapi... ndio naingia humu....❤❤❤hii kipindi haiezi tupita likes tukienjoy
Jaman leo mimi wa kwanz naombeni like hat tano tyu
Inamaana baba kevi na mama kevi nyote hamjielewi yaani hamuoni km hammtendei haki kevi
❤
Nimempenda Aziza
🙏
Kweli yako
wanao mpenda kelvin na lovenes tujuwane 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Saf sana baba kelvin umeshaukwepa ubaya wa baba tna na mama tna wanaokubal gonga like
Team baba kelvin 😍😍😍😍😍😍 tujuane half tumuombeee kelvin ili amuoe lovenens
Wakwanza jamn sijawah kukoment nileo tuu naombenu zangu toka mbeyaa🎉
Mbeya sehemu gani 😂😂
@@SarahRichard-iv2dl airport ya zamni
Chukua hiyo kutoka Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤
@@scolas3134 Asante
Acha nijaribu kuomba likes leo...
Maana ata cjajua muhimu wake n nn..
Nipeni likes zangu tano..😂
Jamani aziza na baba kelvin leo nmependa sana maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yenu hyo kuchangua anaekutaka ila akuchaguliwa vzuri. Sana❤❤❤❤ mama tina kaa kwqkutulia kingaganizi mkubwa ww like kwa baba kelvn na aziza❤❤❤
Kelvin acha urafiki na Jemss
🎉🎉
Huyu n aziza wa bongo fm??
Wanaokubali aziza gonga like tukizonga ❤❤❤❤❤
Loveness ukienda Zanzibar umekwishaaaaaaaaaa,,,,,,Amina ni nyoka kwenye maisha yako
Leo Baba Kelvin kaongea point barikiwa sana Baba yetu kwakurudisha moyo kwa kjana wako❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sijachelewa naombeni like jamani😂😂😂😂 I'm very interested with this movie I'm watching from Kenya 🇰🇪 currently Qatar ❤❤❤🎉
🎉🎉🎉🎉
Uganda Tanzania currently Doha,🇧🇭
wakwanza leo like zangu ziko wapi?? halafu kunambi murimuacha wapi jamani??
Nani
😂😂😂 umevurugwa au 😂😂 Jamaa gani huyo
@@Mwajuma-bx7wk kunambi
@@ViannaFransiscoKunambi
Amen baba ndio kusema na barikiwe
Aix leo nimefulahi San Kwa kuw Mzee ameelew ni mawumivu gan mtu anapitia akiw kwenye mahusiano na Asie mpenda! Kelvin hap sas usimwambie rafiki yak James atakuvunjia mpango! Nawapenda sana kutoka 🇧🇮🇧🇮
Sema mama tinah mzuri anaonekana aliwatesa wazazi wetu kipindi hicho😊😊
Wakwanza kutoka Congo 🇨🇩 naombeni like zenu jmn
Wa kwanza leo kelvin like hapa kwa dg lako
Waooo nilifunga kuto kula tok hii move ianze kumuombea kev asiingie kweny mtego wa wazazi matapel saiv naanz kumuombea lovenes sasa
Mwisho wa ubaya n aibu Amina n James 😢🇰🇪🇸🇦like ata km nmechelewa jmn nawapenda 😅
Ww ulichaguliwa huyo mumeo mama'ke kelvin fungua macho angalia mbele na ww loveness jungana na huyo Amina unatuambia n shoga yako 🎉🎉❤❤❤
Jamani kwani watu mnalala humu duuh movie ina dakika tano tu ila watu wamewahi sana basi tupeni like na sisi tuliochelewa❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kila mtu ana jiita wa kwnza Sijui sasa wengine inakuwaje
Jaman tunaopenda kazi za kelvin tujuwane tafadhali maana huwa hakosei kijana wawatu
Wazazi leo mumenifurahisha kwa kweli ❤❤❤❤❤❤ kwa kumuachia kelvin huru yaaani nmefurahi saaaana tena zaidi ya sana
Wow jameni Kevin Leo ni tamu guys gonga like hapo kama tuko pamoja appreciate baba Kevin❤❤❤
Sisi ni familia yenu mna kilasababu ya kutupa kilicho Bora donta TV the next level movies in Tanzania cogratulation by ole miliya
Jamani nimewai nipeni like 3tu wapezi wa kelvin na loveness nawapenda🎉😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
🎉❤❤❤
Wa kwanza kutoka kenya😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ninavyowapenda na bundle zangu za 1hr.🥰🥰🥰
😃😃😃😃20 bob
Kelvin Khan nyce job hakika ningeshauri saanaa ufanye upgrades za dontatv ilí tuwe tunapata burudani hizi kupitia AZAMTV ikiwa ombi langu likikubalika ntakuwa mwenye furaha tele😂❤
Baba kelvin hayoo ndo ma'am maamuzi mazur kwa mwanao❤❤❤
Nilifirahi ginsi Kelvin alingunduwa kama Amina ni mutu mubaya kwa loveness, sasa afanya mbinu zake zote, apate kumutowa loveness kwenye nyumba ya Amina.
Naona kila MTU anaomba like jamani, hivi hizo like mwapeleka wapi, hamna lingine la kusema kando na like 🤔🤔
wanakera atar
Hapa kilichopakia ni loveness akubali kevin amechukulie nyumba before amina ampeleke Zanzibar ❤❤❤❤❤
Loveness nikama amebeba akili kwa mikono hana fikra timamu...
@@malaikajabali-oj2fh afungue akili banae .......kila kitu anakataa mbona
Anaboha sana kusoma hajui na kuona pia aoni, matukio ya life na Amina lakini bado ashiki somo tu..
KELVIN. Tumefurahi ❤❤❤❤❤congratulations movie nzuri
good job nawapenda wote munao shiriki kwakutufurahisha mupewe mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Vizur sana kelvin kumuelezea ukwel love yote uliyoambiwa na amina sasa uamuzi anao mwenyewe loveness kusuka ama kunyoa lkn ashajua anaishi na rafiki wa design gani
Daah Leo nimewah wanao mkubali kevi gong like
Nimewahi wa kwanza leo nipeeni likes zangu jamani kutoka kenya in gulf
Na leo nmewahi mnipe like kwa ajili ya kevy na lovenes
MZEE KASHAACHIA NAFSI LOVENESS LAZIMA AINGIE NYUMBA YA KITAJILI❤❤🎉
Uyu mama Kelvin litamkuta jambo we muache ila Kelvin bak na msimamo wako huo huo baba🎉🎉🎉
Wow leo baba kelvin amebonga kimwanaume at least kelvin amefurahi ila amina😂😂😂
Babá Kelvin nakupenda sana kwa mahamizi yako, napenda kumuona Kelvin na furah 🥰
kelvin akiambiwa na lovenss anajipambania mwenyewe anachukia hatali 😂😂😂😂😂
Anaogopa kusema kama anampenda loveness
Kama hujawai kosa kutazama kipindi hiki bonyeza 👍 tujuane
❤❤
Baba Kelvin ako sw kabisa lkn kina mama pia tukuwe waelewe but bana Kelvin 🫡🫡 from Kenya like ata kama n 5 Tu please 🙏
Hongera, baba kelvin kwa ushauri bora uliomshauri kelvin na kumweka huru kuchagua anaye mpenda❤❤
From kenya 🇰🇪 naombeni likes zangu😂
UNAE soma coment yangu nakuombea kwa mungu akujaalie kabla mwaka huu ujaisha uwe umetimiza hitaji la moyo wako🤲🤲🤲
Nimechelewa but tuko pamoja shabiki from kenya 🇰🇪 congrats aziza kwa kumsaidia kelvin kuja uwogo wa amina
Kevi siyo siri nakupenda kama hujaoa muoe love (muwe mme na mke sawasawa nawapendaaa donta from kagera kyerwa)
James umekuwa msaliti Ukichukua cha bure jiandae malipo makubwa zaidi kama umeelewa kauli hii gonga like hapa
Uko sahihi sio Bure twende sawa
Kabsaa
😂😂😂kabisa
Hzi pesa zitamtoka na puan
❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani leo mimi wa 636 😢😢😅😅 basi likes zenu From Rwanda ❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼 nawapenda tena saaaana ❤❤ Loveness pamoja na Kevin ❤❤🎉🎉
❤❤❤
😊❤️
wa kwanza mie wana donta nawapenda mbarikiwe sna ila kevi😂😂😂😂❤
Mama kelvin atambue moja tu "Amani ni bora kuliko ushindi" ❤🎉
Leo baba kelvin amenifurahisha ,,,kama ata wewe umefurahi ngongeni like 😂❤
Mbona Loveness hataki kumskiza Kevin,Kevin anajua Amina sio mtu mzuri
Ngoja limkute jambo,😂😂 kulala nje hajakoma😅😅
@@user-ic8oj1fy7q ananiudhi sana
Leo mim wa kwnz jmnii natak like zngu❤❤
Wa kwanza Leo msininyime likes ❤❤
Mashaallah 🎉🎉🎉❤ mumewahi awamu hiii Safi sana hongereni donta tivii love so much
Yan episode nzima napenda kipande cha Kevi na Loveness tu sema leo Baba kevi kanifurahisha😂😂😂😂
Natamani muwe mnaitoa Kila siku ni nzuri ❤
Leo wakwanza nipeni like zangu basi
Mimi wakwanza kutoka Uganda nipen like jaman much love ❤️❤️❤️❤️ from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Jamn kwn hizi like Zina maana gn hebu nipeni na mm japo 100
Kutoka Uganda 🇺🇬 tujuwane ❤❤
Wa kwanza Léo nipeni like zangu
Kazi nzuri San Mr Kelvin pamoja na wahusika wako Mungu awabariki 🙏❤
Hongera sanaa kelvin mukitoa movie n sisi wengine tupeni nafasi y kuekti
Leo Baba Kelvin nimekuelewa big up
Love msikilize kevini Amina siyo mtu
Aziza na Kevin,,,mko na vipaji Sana mungu awazidishie
Nimekuwa wa kwanza leo naomben like kama unaikubali timu nzima ya Klevin ❤❤
Leo baba Kevin amenifurahisha amejisimamia vizuri sana ❤❤❤amina aolewe na james na Dina awe dada james
Baba Kelvin amesema vizuri kwel nimependa❤❤ wenye tunashiriki pamoja gonga like😂
Mm sijawahi omba like ata moja Leo sijachelewa san naombeni like hata moja pia niwape mauwa yanu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mna wah sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤