MAREKANI WASITUTISHE NA ARV'S ZAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • WACHOKONOZI

ความคิดเห็น • 159

  • @martinefredrick058
    @martinefredrick058 4 วันที่ผ่านมา +20

    Tuwatengenezee sanamu la wachokonoz kariakoo
    Acha tufe

  • @NhungaWanyama
    @NhungaWanyama 3 วันที่ผ่านมา +6

    Timu wachokonozi tujuane,hongera sana wachokonozi fundisheni sana jamii yetu na wataalam wawezeshwe na selikari tupate madawa yetu ya madawa aina mbalimbali,big up sana!!

  • @AkaroNdungu
    @AkaroNdungu 4 วันที่ผ่านมา +13

    Sio wazee tu hata hawa vijana mafala wanaoshangilia timu za mpira na kusema ccm oyee wapigwe risasi za vichwa wanaliabisha taifa💪💪💪

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 วันที่ผ่านมา +9

    🔥🔥Umeanza February kwa kishindo maneno kuntu

  • @abdallahamin4997
    @abdallahamin4997 5 วันที่ผ่านมา +7

    Duuuuh leo umeongeya sana aisee hasa serikali yetu ya tanzania wanataka wale wao tu.

  • @alainkabingwa9849
    @alainkabingwa9849 4 วันที่ผ่านมา +5

    Mda wa Afrika umefika akuna kurudi nyuma tena kila kitu kina wakati yao. Na mda wetu wa Afrika ✌🏿✌🏿✌🏿

  • @YohanaJohn-magesse
    @YohanaJohn-magesse 4 วันที่ผ่านมา +5

    Big up my brothers 💪💪💪,

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 4 วันที่ผ่านมา +4

    Wataelewa tu hawa mafala ambao waliokuwa wanawabeza 🎉hapo mwanzoni

  • @ShamteMatola
    @ShamteMatola 4 วันที่ผ่านมา +8

    Nihatari sana malizote hizo ila inchi yetu Inamikopo kama yote jamani waafrika tuamkeeeeee

  • @tekashichannel
    @tekashichannel 4 วันที่ผ่านมา +4

    Fact 💯 📌 fact

  • @carolinelinja5635
    @carolinelinja5635 5 วันที่ผ่านมา +7

    Huo ni ukweli mtupu. Ila maongezi yenu yasiwe na matusi😂.Nawapenda sana

    • @kinungejulius4124
      @kinungejulius4124 4 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa pumbavu sio tusi ndugu.

    • @AkaroNdungu
      @AkaroNdungu 4 วันที่ผ่านมา +1

      Mafala sio matusi na hicho kitengo cha kuwalipua na mabomu nikabiziwe mimi😂😂

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 วันที่ผ่านมา

      Watumie lugha zuri sababu hizo junbe zinaishi miaka hamsini ijayo bas na vizazi vijavyo vijifunze kupitia wachokonozi lugha Kali punguzeni

  • @SelemanKainda
    @SelemanKainda 4 วันที่ผ่านมา +2

    una mlima mrefu african, una mbuga kubwa africa serengeti, una tanzanite pale arusha, una rubi manyara, una leganga na mchuchuma, una misitu na mapori ya kutosha, una almasi na dhahabu kila mahari, una uranium una almost kila kitu...
    unasikia kuna kauli ety, 'oooh hayo madini huko mbugani watakula wanyama ni lazima yachimbwe' hii nchi ina wapumbavu wengi sana kazi kuwaza kula na madaraka. yaani achaa tyuu .

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 5 วันที่ผ่านมา +11

    Upewe uraisi wa africa mzima msaidiane na traore sjui kama ivi maraisi woote waafrica wanakusikia unavotema madini

    • @edithcasmir2565
      @edithcasmir2565 5 วันที่ผ่านมา +3

      Na wakimsikia unafikiri watamfanya nini maana hawapendagi ukweli

    • @darasibrown6084
      @darasibrown6084 5 วันที่ผ่านมา

      Negative tu kama fala hv ​yani uoga tu @@edithcasmir2565

    • @jeremiahblazio4781
      @jeremiahblazio4781 4 วันที่ผ่านมา

      Mmoja alijaribu kuwatetea akachukiwa na kudhihakiwa wakaona hatoshi akauwawa rest in peace jpm​@@edithcasmir2565

    • @NuruAlly-d1j
      @NuruAlly-d1j 4 วันที่ผ่านมา

      @@mwakiosalim2914 acha mawazo kurupushi

  • @fristonactary1371
    @fristonactary1371 4 วันที่ผ่านมา +3

    Yan Baba Mwenye Nyumba Kaur Anazoongeaga 🤣🤣 Natamanig Nimwmbie We Mzee Kizaz Chako Nichakulipuliwa Maana Mnanenepa Matumbo Ila Kichwan Debe Tupu🤣🤣 Nots) ,,,,,,

  • @TitoSinkonde
    @TitoSinkonde วันที่ผ่านมา

    Saw aisee

  • @VeemoneyVee
    @VeemoneyVee 4 วันที่ผ่านมา +2

    Mi naomba kila sku mungu awaweke. Au ulimwengu uwaweke whatever Ivo Ivo... Naona kam malaika mmlokuja kuukomboa ulimwengu. Aseeh nyie ni hazina ilotumwa. Big up broo Jose. Only for genius

  • @rugewapili6191
    @rugewapili6191 4 วันที่ผ่านมา +2

    Nawakubali sana mmechagua kutusemea sisi wananchi

  • @dj_teacher2960
    @dj_teacher2960 4 วันที่ผ่านมา +2

    chokonoaa mzee sas sisi waafrika ndio mama ndio uhai wa dunia nzima lakini kama ulivosema tumeuziwa uwoga😂 nawakubali sanaaa

  • @BarakaNtale-xe3hx
    @BarakaNtale-xe3hx 4 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤ Brothers

  • @AshuraMshuza-g6r
    @AshuraMshuza-g6r 4 วันที่ผ่านมา +4

    Akili kubwa kaka

  • @ShadeeMzawa-e4r
    @ShadeeMzawa-e4r 5 วันที่ผ่านมา +4

    Aiseee daima nitabaki mchokonoziiiiiiii

  • @AzizaMohamed-o3b
    @AzizaMohamed-o3b 2 วันที่ผ่านมา

    👌👍

  • @AhaziBahalaye
    @AhaziBahalaye 5 วันที่ผ่านมา +6

    Unaambiwa imeandikwa kwenye vitabu vitakatifu❤ mungu Wa nazareti hazipendi ni Dhambi kutumia DAWA zetu za ASILI ni USHILIKINA 😮😮😂

    • @yusuphkabora7685
      @yusuphkabora7685 5 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe sio mzima

    • @SuleimaniDaudi-k1s
      @SuleimaniDaudi-k1s 5 วันที่ผ่านมา +2

      Hapo ndo mzungu alipo tupiga😢

    • @AhaziBahalaye
      @AhaziBahalaye 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@SuleimaniDaudi-k1s unaambiwa MUNGU baba mungu mwana yesu kristo na MUNGU roho mtakatifu wa wazungu (ISLAEL) kutoka ROMAN EMPIRE Hataki watu wakatibiwe na Waganga wa kienyeji ni Dhambi

    • @AhaziBahalaye
      @AhaziBahalaye 5 วันที่ผ่านมา

      @@yusuphkabora7685 Vitisho vya kwenye Koroani au Biblia Vinakusumbua ndo maana uko tayari kumtukana mtanzania mwenzio ila Yohana, Ruka nabii MSA uwabaliki

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 4 วันที่ผ่านมา +1

      Ujio wa Walokole ndo ukiharibu WATU wengi SANA AKILI Zao 🚮

  • @andrewpaul9734
    @andrewpaul9734 3 วันที่ผ่านมา

    nakubali sana wachokonozi ❤❤❤ more love 6:37

  • @ShamteMatola
    @ShamteMatola 4 วันที่ผ่านมา +3

    Kiukweli wazee mmenitoa Gizani nawashukuru sana

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 4 วันที่ผ่านมา +2

    Upo sahihi, niliwai kuona kwenye movie 🎥 jamaa alifanya chekamp ya mwili mzima , vipimo vilipokuja daktari akamwambia yupo sawa hana tatizo lakini akamwandikoa dawa za kula etii zitamfanya awe imara zaidi. Nikajiuliza kwanini daktari aandike dawa wakati jamaa hakuwa na tatizo, nikakosa majibu... Ahsante umenipa ufumbuzi

  • @hamadathuman6939
    @hamadathuman6939 4 วันที่ผ่านมา +1

    Nimechelewaa sana Kuwa mwanafamilia

  • @SimonKataupepo-j8u
    @SimonKataupepo-j8u 4 วันที่ผ่านมา

    safi

  • @PatrickianLwesya
    @PatrickianLwesya 4 วันที่ผ่านมา +1

    Aisee, jumbe Sumaku sanaaa❤❤

  • @NuruAlly-d1j
    @NuruAlly-d1j 5 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka polepole bas 😅
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MwitaMarwa-s6u
    @MwitaMarwa-s6u 5 วันที่ผ่านมา +3

    viongozi wa africa ni wabinafsi sana

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 4 วันที่ผ่านมา +2

    Oloo nyie nomaaa

  • @BhaiMwadidu
    @BhaiMwadidu 4 วันที่ผ่านมา +2

    Watu wananenepa Matumbo badala ya kichwa😂😂😂

  • @kinungejulius4124
    @kinungejulius4124 4 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana,tukuze ukuu wetu.

  • @nyarugengeofficial3558
    @nyarugengeofficial3558 4 วันที่ผ่านมา +1

    Umoja wa Africa ni uongo maneno hamna kitu

  • @bensongombee
    @bensongombee 4 วันที่ผ่านมา +2

    HAWA JAMAA WANASEHEMU YAO IKULU PALEEEE

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 5 วันที่ผ่านมา +9

    Ila Kuna jamaa anaitwa tz genius yeye anasema kama ni mwathirika nenda akutibie muandikishane mkataba ukipona ndo umlipe pesa yake dawa anasema anayo na alinamsaidia yule dada ambae kila akifanyiwa upusuaji utumbo una jifunga hata Mimi najiuliza kama unaweeza kufubaza kwanini usiue huu ni mchezo

    • @NuruAlly-d1j
      @NuruAlly-d1j 4 วันที่ผ่านมา

      @@bakarikayugwa3295 yule dada hajapona mshono umefumuka Tena juzi fuatilia.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli sana sana ila punguza ukali wa maneno.

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 5 วันที่ผ่านมา +2

    Afrika so rich 🔥🔥👌

    • @GodlistenYona
      @GodlistenYona 5 วันที่ผ่านมา +1

      MnAonge sana ukweli wakuu naona tunazidi kufunguka taratibu wakuu

  • @masudihamisi-z6m
    @masudihamisi-z6m 4 วันที่ผ่านมา +3

    big up to you me siku hizi naheshim mtu mwenye mawazo chanya wazee wengi akili ndongo mana umri ni namba tuu

  • @wilbardlameck8025
    @wilbardlameck8025 3 วันที่ผ่านมา

    Wazee mpewe kitengo mchokonozi mkubwa iwe raisi na mchokonozi mdogo uwe makamu wa raisi hii nchi itanyooka sanaa

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia 4 วันที่ผ่านมา +2

    Nipo hapa😅😊

  • @aronindibalema4964
    @aronindibalema4964 5 วันที่ผ่านมา +2

    Nakubari

  • @PatrickianLwesya
    @PatrickianLwesya 4 วันที่ผ่านมา +4

    Hahaahahaaa"tunawafungia mtoke na dawa za ARV's mkishindwa tunawalipua"

  • @Kingdomtv-v3m
    @Kingdomtv-v3m 3 วันที่ผ่านมา

  • @godlema6104
    @godlema6104 5 วันที่ผ่านมา +2

    Nakupenda bure nyie jamaa

  • @OmieMari-x7d
    @OmieMari-x7d 5 วันที่ผ่านมา +2

    Wachokonozi..💥💞💖💯

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr 3 วันที่ผ่านมา

    Nakubali

  • @BeatuskanyanzaCharlesKanya-p3e
    @BeatuskanyanzaCharlesKanya-p3e 5 วันที่ผ่านมา +1

    Number one here

  • @titusjuma3852
    @titusjuma3852 4 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤254 pale pale penyewe miamba

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 5 วันที่ผ่านมา +2

    Meongea point sana

  • @mariamnyamwiza4388
    @mariamnyamwiza4388 5 วันที่ผ่านมา +2

    🎉

  • @wizzmoh
    @wizzmoh 4 วันที่ผ่านมา +1

    Tupo live kichokonozi 💥

  • @bensongombee
    @bensongombee 4 วันที่ผ่านมา +3

    HAMCHOSHI ASEEEE

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 4 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa anatakiwa awe wazir mkuu sas

  • @e.mtvfoundation
    @e.mtvfoundation 5 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @alexgomaileke
    @alexgomaileke 5 วันที่ผ่านมา +2

    Wazee wapo kanisani eti😂😂😂

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 4 วันที่ผ่านมา +1

    Dah wazee mmetisha Sana kwa fact,mmepiga kwenye mshono,tungepata Marais Kama lbrahim twaore Afrika 1000,wazungu wasingesogeza pua zao😂😂😂

  • @LabanSimwinga-o7p
    @LabanSimwinga-o7p 4 วันที่ผ่านมา +1

    Nina mpango wa kuwatengenezea sanamu ya kuwaenzi kaka zangu ninawaelewa sana kila mnacho kiwasilisha!

  • @alexgomaileke
    @alexgomaileke 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kuku kuku kabsa selfish politics, truly speaking wachokoz

  • @robertmahenge3614
    @robertmahenge3614 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa ❤🔥🔥🔥😂😮

  • @PijoPijo-tq5jb
    @PijoPijo-tq5jb 4 วันที่ผ่านมา

    yap

  • @amosmwangela1878
    @amosmwangela1878 5 วันที่ผ่านมา +2

    mpewe ulinzi na malimwengu aise😂

  • @AbuuKhamisi-k4d
    @AbuuKhamisi-k4d 5 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉

  • @elibarikimanjia8391
    @elibarikimanjia8391 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ukuu wa MWAFRIKA

  • @MtakatifuAugustinoIsingiro
    @MtakatifuAugustinoIsingiro 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nazidi kujinoa kupitia hii chanel

  • @TiblohLaden-d8i
    @TiblohLaden-d8i 5 วันที่ผ่านมา +3

    Tushushieni na nondo za m23 congo uko

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi 5 วันที่ผ่านมา +1

    Muko sawa kuliko wengine wengine wanatuuzia uongo

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 5 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤ WACHOKONOZI

  • @PaschalMsallenge
    @PaschalMsallenge 5 วันที่ผ่านมา +1

    Sahihi kabisa

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 3 วันที่ผ่านมา

    Hakikq ndivyo ilivyo

  • @SimonShoo-m4b
    @SimonShoo-m4b 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni kwenye mshono kabisa

  • @EmilyTembo-k7e
    @EmilyTembo-k7e 5 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani wanaotuaminisha kwamba kanadawa ya ukimwi
    Itangazwe kwamba wajiandikishe waongo kifungo ca myaka saba wa kweli wapewe dau

  • @princebrown1869
    @princebrown1869 3 วันที่ผ่านมา

    ONGEZA SAUTI CHAWA WASIKIE

  • @PatrickianLwesya
    @PatrickianLwesya 4 วันที่ผ่านมา +1

    Wakuuuu...

  • @ShukuruMasumbuko-s9y
    @ShukuruMasumbuko-s9y 5 วันที่ผ่านมา +4

    Brother Umeniku Mbusha Mbali Sana Mwaka 2017 Niuguwa Ugonjwa WA mafigo Nilihangaika Sana na Dawa Za Kizungu Nika Chomwa Sindano Nyingi Nasikupona Akaja Mzee Mmoja Wadawa Ya Kienyeji Nikamu Eleza Jinsi Nimavyo Jisikia Akanipa Chupa Moja Ya Dawa Akaniambia Ninywe Marambili Tu Nakweli Nikapona Adi Leo nipo sawa

    • @ShukuruMasumbuko-s9y
      @ShukuruMasumbuko-s9y 5 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo Sikumuona Tena Ili Nimu Shukuru

    • @kingnyamafutv8646
      @kingnyamafutv8646 5 วันที่ผ่านมา +2

      @@ShukuruMasumbuko-s9y siku nyingine ukipata mtu kama huyochukuwa mawasiliano yake hata ya ndugu zake

  • @deocresmodest6148
    @deocresmodest6148 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu pesa wakimarekani akiondoka watu wetu watarudi kazini wataanza kutumia akili zao

  • @catherineleonard2077
    @catherineleonard2077 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ibrahim Traore

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 วันที่ผ่านมา

    Jose ety chupi

  • @JeraldMdeka
    @JeraldMdeka 4 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu jamaa anastaili
    Kuwa rais wa afric😂😂

  • @josephjohanes9327
    @josephjohanes9327 4 วันที่ผ่านมา +3

    Wachokonozi tunafanya ucku na mchana

  • @andrewpaul9734
    @andrewpaul9734 3 วันที่ผ่านมา

    hahahaaaaa iyo nzuli kaeni apo tunataka dawa.

  • @ReubenMashita-d7n
    @ReubenMashita-d7n 2 วันที่ผ่านมา

    Kweli wafe tu tena wafe kama utitili

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 4 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kuna issue hile nyota ya kijani eti uzazi wa mpango mbona fresh adi sasa.

  • @Kokojadi
    @Kokojadi 4 วันที่ผ่านมา +1

    Viongizi was kiafrika wanaingia kuteminate sio kukodinate zaidi ni kupefom na vizazi vyao

  • @MonixKarim
    @MonixKarim 4 วันที่ผ่านมา +1

    Awa wamba wapewe nchi dadeki mbona akili kubwa kiasi hiki

  • @kakuzekakuze7564
    @kakuzekakuze7564 2 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂

  • @DuoJoseph-rz6qx
    @DuoJoseph-rz6qx 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mko sawa Sana wajinga bila kuwatukana hawaelewi😅😅😅😅😅

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 5 วันที่ผ่านมา +3

    Bonge la Content Bro.SPEAK IT LOUDER BRO.

  • @isayaamulike
    @isayaamulike 5 วันที่ผ่านมา +2

    Duuu nyie jamaaa hatariii

  • @OSEBIUSNYALE
    @OSEBIUSNYALE 5 วันที่ผ่านมา +4

    wamezuia ARV, wanaleta VAR.ili mjiangalie tena.

  • @Laizer3
    @Laizer3 5 วันที่ผ่านมา +4

    Acha wasitishe ili akili iwepo

  • @thusrouzey
    @thusrouzey 4 วันที่ผ่านมา +1

    TUZUNGUMZIE UNAJIMU KIASI JUA, NYOTA NA MWEZI, KILA SIKU JUA NI LILE LILE MWEZI NI ULE ULE ILA SISI NDIO TUNACHANGE MOVEMENTS KILA SIKU KUNA UHUSIANO GANI HAPO

  • @herryjumanne7306
    @herryjumanne7306 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mwaka flan kipindi cha nyuma tulikuwa tunapiga cm redioni one,nikatoa mawazo kwamba ili kukomesha ukimwi waache kuwapa dawa waathirika na wakifa wengi kwa pamoja ndio watu watajifunza kujilinda na ukimwi,wakanijibu vp familia zao nani ataziangalia,nikawajibu watajiangalia wenyewe na watajifunza kujilinda na wataishi bila kuathirika na ukimwi na utaisha lkn hizi dawa wakitumia ndio kwanza wanakuwa wazima na hawaonyeshi chochote kumbe ndani yake wanaamukiza mpaka watoto wanaozaliwa na kupewa dawa na kuishi kwa kuambukiza wenzao,ni upumbavu huo ila kwa mwenye akili na ili kuuondoa ukimwi pasiwe na dawa yyte ile tufe kizazi hadi kizazi na waliobaki wajitawale waanze maisha bila ukimwi!!! Wakabaki wananijadili kwamba pia ni wazo la kuondoa ukimwi ila linataka utekelezaji wenye vision kubwa sana,fikiria mpaka leo tangu 2005 nadhani ule uoga wa maambukizi ungepunguza hata dhambi za uzinifu

  • @YohanaJohn-magesse
    @YohanaJohn-magesse 4 วันที่ผ่านมา +4

    Kaka zangu, nina mada mpya apa naomba tuijadili. JE, TUNAPASWA KUWAPENDA ADUI ZETU ALAFU TUMCHUKIE SHETANI?.

    • @danimark3300
      @danimark3300 4 วันที่ผ่านมา +2

      UNAMCHUKIAJE SHETANI AMBAYE HAYUPOO😂😂😂

    • @ismailmaulidi7783
      @ismailmaulidi7783 4 วันที่ผ่านมา

      Shetani yupo na tunatakiwa kuwapend adui zetu

    • @danimark3300
      @danimark3300 4 วันที่ผ่านมา

      @ismailmaulidi7783 hongera 🤭🤭🤭

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 วันที่ผ่านมา

      Ndani ya maadui Kuna mema hii ndio maana ya kuwapenda maadua lakini hivyo ni vitu vya gizani huwezi kuelewa mambo ya rohoni huwezi kujua

  • @GloriaBunga
    @GloriaBunga 4 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani wanangu tangu nianze kuwasikiliza Leo mmesema kitu kikubwa sana.

  • @RAYMONDMALIWANGA-e4s
    @RAYMONDMALIWANGA-e4s 3 วันที่ผ่านมา

    CNN

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 3 วันที่ผ่านมา

    Why mke. Wake mshenzi!?😂

  • @IshengomaRugemalila
    @IshengomaRugemalila 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ili nawao wajulikane duniani,watusaidie afrika

  • @NtumbaLume-t1c
    @NtumbaLume-t1c 3 วันที่ผ่านมา

    Ni michezo ya mfumo ya ushoga