Huyu Mtu yupo vzr MashaAllah. Na ndiyo maana ACT-Wazalendo ni chama mbadala chenye maono Pana ya Uzalendo na Maendeleo mm navutiwa sana na hiki chama mwenendo wake sio wapiga kelele ovyo ovyo mihemko isiyo na Tija km wale wengine.
Kwa kweli jitahidini hapo msije mkapata kweli Rais muuza unga maana wamejipanga kweli kweli maana humo kwenyewe ndani ya ccm kuna nsugusno mkali maana Mama mwenyewe wamemgeuka aliyowaoa vyeo vya Uwaziri Laana inawatafuna inshallah mungu atatoa jibu tu
Vijana wenye akili hawa wanahitaji utulivu wa akili kuwaelewa. Bahati mbaya wengi hawapendi kutulia kuwasikiliza. Tungekuwa mbali sana ktk uwanda wa siasa kama hawa tungewasikiliza na kuwatumia
1) Mishahara ya wabunge ipunguzwe kabisaaaaa ibakie nusu. 2) ukomo wa ubunge na Uwaziri iwe ni mihula miwili tuu nasio zaidi. Pia kila chama kijitegemee kwny ruzuku habari za wauza unga hata km chama kitapewa ruzuku muuza unga akiingia hapo itakuwa imetoka kama hujui
Huna lolote mpaka naandika text hiii. Magufuri licha yakuwa amekufa ndio kiongoz mwenyewafuwas wengi kuliko mwanasiasa yyt Tanzania. We zito nimnafiki tuu
Yaani kama kuna MTU aliondolewa bungeni Kwa hila likaniumiza ni zitto kabwe.zitto ukigombea uraisi namimi nitakupigia kampeni
Wanasiasa acheni kuongea maneno juu mwamba Jpm aachwa apumuzike,ni Rais wa kwanza Bara ubora Afrika .Ni maoni yangu.
Huyu Mtu yupo vzr MashaAllah. Na ndiyo maana ACT-Wazalendo ni chama mbadala chenye maono Pana ya Uzalendo na Maendeleo mm navutiwa sana na hiki chama mwenendo wake sio wapiga kelele ovyo ovyo mihemko isiyo na Tija km wale wengine.
Huyu ni plan B,Kama hujui
Hiyo ni ccm b
Hongera sana zitto na serikali kwa ujumla
ccm oyeeeee yetu macho na masikio na bado bado sanaaaa kila lenye mwanzo halikosi mwisho
Kwa kweli jitahidini hapo msije mkapata kweli Rais muuza unga maana wamejipanga kweli kweli maana humo kwenyewe ndani ya ccm kuna nsugusno mkali maana Mama mwenyewe wamemgeuka aliyowaoa vyeo vya Uwaziri Laana inawatafuna inshallah mungu atatoa jibu tu
Ruzuku,ela za Walala hoi na nyie mnazitaka ,mnatakiwa mjitegemee vyama vyote zisitumie ela za walala hoi,stop kutumia ela zetu atutaki .
Ila CCM mnairuhusu kutumia Kodi za walalahoi?
Hoyee Zitto ndugu yangu🎉❤
Vijana wenye akili hawa wanahitaji utulivu wa akili kuwaelewa. Bahati mbaya wengi hawapendi kutulia kuwasikiliza. Tungekuwa mbali sana ktk uwanda wa siasa kama hawa tungewasikiliza na kuwatumia
Ss hawa wapinzani wanategemea ruzuku toka serikali ambayo ni ya ccm hivi kweli kuna upinzani hapa????
muuza democracia kiongozi wa HIMA EMPERE ni zito kabwe hununuriwa N ccm kuharibu ajenda za democrasia ya tz au tanganyika
Wewe in mnafiki kauli yako tunaikumbuka
1) Mishahara ya wabunge ipunguzwe kabisaaaaa ibakie nusu. 2) ukomo wa ubunge na Uwaziri iwe ni mihula miwili tuu nasio zaidi. Pia kila chama kijitegemee kwny ruzuku habari za wauza unga hata km chama kitapewa ruzuku muuza unga akiingia hapo itakuwa imetoka kama hujui
Huyu ni sungura mjanja
Ndugu yangu anasema ukweli🎉
Mnaeleza vizuri,tatizo mnakuaga kigeugeu.
Ujiji Oyee, ese ebalo 💪
We ndumilakuwilii
Angalieni kuweni makini urais nao umekuwa ni wa kugawa tu utampa pekee yako
hahahaha wakishaa kuona wameshidwa kucheza mpira uwanjani wanautiya mpira kwapani watakwenda nao mbio wanaanza propagandaa na mapemaa duuuu
Huna lolote mpaka naandika text hiii. Magufuri licha yakuwa amekufa ndio kiongoz mwenyewafuwas wengi kuliko mwanasiasa yyt Tanzania. We zito nimnafiki tuu
Kchw ch Kgm☀️☀️
Mtu anaeleza kweli anaambiwa Asante ili akae kitako. Makunaliano wameyapiga teke kumbe manyagh'au dah !!