kama mwanamke alishatumwa, zamani mwanamke hakuruhusiwa kupanda madhabahuni ila leo hii kwenye dini ya kikristu ila baadhi ya mashehebu mwanamke anakuwa hadi askofu mkuu wa kanisa!! je hilo ni sawa ? au ni ukengeufu? ila dini ya kiislamu je ndo iko sahihi? maan mwanamke hapandi madhabahuni.
Somo zuri sasa. Sasa vipi kama mwanzo wa mahusiano Wenu haukuwa vizuri ulianza naye mahusiano kwa kuvutiwa na umbo Lake na mmeshazaanaye watoto na mnaishi wote ila mwanzo wa husiano yenu nitamaa sio upendo wa kweri unashauri vipi Doctor
Kwahiyo nilivoelewa mimi ni kwamba Dunia imefikia hapa ilipo kwasababu Mwanamke hajasimama kwenye nafasi yake sawasawa kama mlinzi ndomana shetani anatawala familia na Jamii kirahisi au bado sijaelewa msaada
Asante dr. Eli ubarikiwe sana. Nakuomba umshirikishe pia kijana Evans kama unavyomshirikisha Bro Jimmy kwa kumtazama kumgeukia n.k najua unajua uwepo wake na unamuheshimu . Mbarikiwe sana
Tendency kubwa ya Dr ni sam, lakini probably amemjua sam kupitia Jimmy but still nasisitiza haina shida coz hata YESU alimpenda Zaid Yohane kati ya 12 apostles 😂😂😂
@@johnmligo6966 Nashukuru kama nawe umeliona hilo. Sema inakata sana. Dr nimsomi sana na nina uhakika anajua kbs skills za kuongea na mtu zaidi ya mmoja. Ni kama vile mwalimu anapokuwa darasani ni lzm ashirikishe watoto wengi kadri awezavyo ili kuleta hamasa kwa watoto kujifunza . Hapa hatakiwi kumpenda au kutompenda na nina Imani anampenda tu vizuri.
Sawasaw dkt
kama mwanamke alishatumwa, zamani mwanamke hakuruhusiwa kupanda madhabahuni ila leo hii kwenye dini ya kikristu ila baadhi ya mashehebu mwanamke anakuwa hadi askofu mkuu wa kanisa!! je hilo ni sawa ? au ni ukengeufu? ila dini ya kiislamu je ndo iko sahihi? maan mwanamke hapandi madhabahuni.
Dah! Nibala nakufatilia sana Mkuu
🎉❤Asante Chomoza pongezi kwa Dr Elly. Nimejifunza
Daktari, Umepiga Nondo Zimeingia.
This is the Law of Universe,thank you Dr.
Bwana Yesu ni Mwalimu Mkuu! Be blessed..!
Asante Dr Elie Mungu akutunze baba .
Somo zuri sasa. Sasa vipi kama mwanzo wa mahusiano Wenu haukuwa vizuri ulianza naye mahusiano kwa kuvutiwa na umbo Lake na mmeshazaanaye watoto na mnaishi wote ila mwanzo wa husiano yenu nitamaa sio upendo wa kweri unashauri vipi Doctor
Kwahiyo nilivoelewa mimi ni kwamba Dunia imefikia hapa ilipo kwasababu Mwanamke hajasimama kwenye nafasi yake sawasawa kama mlinzi ndomana shetani anatawala familia na Jamii kirahisi au bado sijaelewa msaada
Asante kwa uwepo wako. MUNGU AENDELEE KUKUPA MAFUNUO, TUNABARIKIWA.
Amen ....Mafundisho yako Yana nibariki sana .....
Shukran sana yote ....Mubarikiwe sana
❤Ahsante Dr. Ellie
Asante dr. Eli ubarikiwe sana. Nakuomba umshirikishe pia kijana Evans kama unavyomshirikisha Bro Jimmy kwa kumtazama kumgeukia n.k najua unajua uwepo wake na unamuheshimu . Mbarikiwe sana
Jambo Hilo hata mie nililiona kitambo.... Nadhan love ni kitu natural sio kwamba anamchukia bali, natural interest haipo!
Tendency kubwa ya Dr ni sam, lakini probably amemjua sam kupitia Jimmy but still nasisitiza haina shida coz hata YESU alimpenda Zaid Yohane kati ya 12 apostles 😂😂😂
@@johnmligo6966 Nashukuru kama nawe umeliona hilo. Sema inakata sana. Dr nimsomi sana na nina uhakika anajua kbs skills za kuongea na mtu zaidi ya mmoja. Ni kama vile mwalimu anapokuwa darasani ni lzm ashirikishe watoto wengi kadri awezavyo ili kuleta hamasa kwa watoto kujifunza . Hapa hatakiwi kumpenda au kutompenda na nina Imani anampenda tu vizuri.
Mjumbe mwenye ujumbe; asante sana❤
Asante Dr Elly naendelea kujifunza mengi
Barikiwa doctor
🙏🙏🙏🙏
let us know how a woman failed spiritually kindly.
This is the Law of Universe,thank you Dr.
It's a law of growth