Mimi nadhan kwa hatua na jina alilo nalo diamond afrika mashariki ni kubwa. Asikubali tena fedhea za kupewa show mchana kwenye matamasha ya watu akiwa kama underground. Kiujumla anakuwa anafedheheshwa sema wenda halioni. Kama aliweza kujitoa kwenye tuzo zetu za TMA basi na upuuzi kama huo wa jana kupiga show mchana na watu hawajatoka majumbani kwao. Agome kabisa. Sio lazima
Baaz y wasanii wa Tanzania kwakelel t nakujisifu 😂ila diamond anaiwakilsha nchi yetu kwvtendo nasio maneno simbaaaa
Mimi nadhan kwa hatua na jina alilo nalo diamond afrika mashariki ni kubwa. Asikubali tena fedhea za kupewa show mchana kwenye matamasha ya watu akiwa kama underground. Kiujumla anakuwa anafedheheshwa sema wenda halioni. Kama aliweza kujitoa kwenye tuzo zetu za TMA basi na upuuzi kama huo wa jana kupiga show mchana na watu hawajatoka majumbani kwao. Agome kabisa. Sio lazima
Kivutio chetu
Ni hatari sana❤❤❤
Simba
Nime penda Nicki Minaj Ku peperusha bendera Na dr Congo kwenye Afro nation
Mwamba huyo nika maji usipo yanywa utayaoga
Pamoja sana simba
Respect my bro diamond 💍 mungu akupe uhai mrefuu
Diamond ni msaniii anaeipeperusha bendera ya tanzania mpka Africa
Kongeraza huna ripo😅😅
Lkn time sio
🔥🔥🔥🔥
🤜🤛
Cool