Viongozi wa ODM Busia waunga mkono mazungumzo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Viongozi wa chama cha ODM katika kaunti ya Busia wanaunga mkono kauli ya kinara wa chama hicho Raila Odinga kuhusu mazungumzo ya kitaifa. Aidha wanamtaka Raila kuhakikisha kuwa malalamishi ya vijana yamechukuliwa kwa uzito kwenye mazungumzo hayo
raila is not a Gen z,as a genz we are not interested na hii tabia yake ya kununuliwa pesa kila mwaka
Wacha ujinga kwani wewe ni nani,,,hata sisi ni gen z
WE DON'T WANT TALK. WE WANT ACTION.. 🥹😪😭💔
Is Raila a Gen Z😢😢
Yes. Fight for your Stomachs. Ruto can have talks with Raila. They will be going together.
Hakuna mazungumzo tunataka, Raila is not our leader.
Tumekua na mazungumzo mingi lakini hamna matokeo
Wewe kwenda uko,,,ambia nyanya yako
This are the faces and voices we don't need now that raila odinga has always been paid so that anyamazie uovu this time he should not get involved achana na vijana walete mabadiliko kwa njia Zao wenyewe
Kenya has moved
No, desolved parliament, then call New elections that's the medicine , Baba wisdom
What are youuuu saayyyiiing
Raila were watching you!!!
Kwendeni huko Raila wa nini ujinga tu
Viongoz jmn kueni na huruma na wananchi tunaumia😢 vyanyi kwa vitendo uchumi umekua mngumu jmn watu wanakufa 😢😢 sisi tunataka mabadiliko kwenye nchi yetu Vijana wapewe kz vitu vipunguzwe bei jmn 😢😢tunaumia
Nyinyi wazee endeni huko na azimio yenu, raila kufanya mazungumzo na ruto haitasimamisha msukimo wetu
No dialogue first tell otuoma to get development
I support the Dialogue ,