AUNT EZEKIEL AANGUA KILIO MAHAKAMANI, KESI YA DAWA ZA KULEVYA "SAID MBASHA NA WENZAKE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Moja kati ya story ni kutokea Mahakamani Kisutu ambapo Camera za Ayo Tv na Millardayo.com zimemnasa Msanii Aunty Ezekiel aliyefika mahakamani hapo kwa ajili ya kufatilia mwenendo wa kesi ya Dawa za Kulevya inayomkabili Said Mbasha na wenzake.
Aunty Ezekiel amefika mahakamani hapo leo ambapo akiwa ndani ya chumba cha mahakama alionekana akibubujikwa na Machozi kabla ya washitakiwa kusomewa mashitaka yao.
Hovyo sana mwandishi badala ya kuripoti kesi ya mtu anayekabiliwa unatuletea habari ya wasikiliza kesi why ..?🤷🏻♂️
Ujinga tu hakuna cha maana kisha anaweka TH-cam niwavivu wakutafuta habari
Sijui wapoje wanakera sana
🤣🤣mtihani huu wenye kesi imekuwa sio big issue ila kulia kwa Auntie Ezekeil ndiyo issue waandishi wa kibongo bhana sijuwi wakoje🤣🤣
𝖳𝗎𝗃𝗂𝖿𝗎𝗇𝗓𝖾 𝗄𝗂𝗍𝗎,𝗍𝗎𝗌𝗂𝗐𝖾 𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝖺𝗎𝗆𝗎,𝖺𝗎 𝗄𝗎𝖿𝗎𝗋𝖺𝗁𝗂𝖺 𝗁𝗂𝗏𝗂 𝗏𝗂𝗍𝗎
Umeongea point sana mkuu mwenye akili timamu ataelewa ulichomaanisha
Ameongea point lakin kuna mambo mengne tunajitakia
Yaan una mzin mke wa mtu halaf unasema ni mtihan mungu ndio amepanga je hilo ni la mungu??
Utauzaje dawa za kulevya? Upumbavu tu WAPIGWE Sawa sawa
Hawa wauza madawa mtu akishikwa nikifungo tu bila mbwe mbwe wamàearibu vizazi vya watu kwakutaka pesa za araka sahii maskini ukiwa na mtoto wakiume mtukutu roo yako yote iko juu
Malezi yako2 uxxinmgizie madawa ya kulevya🙈mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
Mnafanya kinyume cha sheria na mnaaza kulia.asiesikia mwisho uvunjika guu.
Kwan yy sasa anaumia ndug Ak
KUNA TAJIRI MMOJA MKENYA NILIKUTANA NAE ROCK UP AKANIAMBIA HV "TANZANIA NDO NCHI PEKEE YA AFRICA MASHARIKI AMBAYO TAJIRI ANAWEZA FUNGWA JERA HA HA HA"
Yaani aunty akilia ananaswa mimi nalia kila siku hamunioni... Nkt😂😂
😂😂😂
Yaan badala ya kulilia vjana wanaoharibiwa na madawa, yeye anamlilia anayewaharibu, kweli bongo nyoso
😄😄😄anatuzingua
Hopeless kbsa hawa watu tena si ajabu walikuwa wanajua shuguli zaooo
Haahahahah
Ukiona hivyo hao walikuwa wanawapa hela
anahofia watamtaja na yeye,
Kamateni wote hao kwann wawalilie wauza madawa wanaoharb akil za watu
Alaf eti utawaskia mm kioo cha jamii
Kmbe wanaambatana na wauza sembe
Mastar woote niwauza madawa asikudanganye mtu. Et,kaenda kupiga shoo mchifrani? Hukohuko dawa zinauziwa. Ila Hawa wadogowadogo wakifeli ndo wanafinyw
Kwel
Hakika
KABISA UMEGONGA NDIPO KENYA PIA NI HIVYO HIVYO BADALA WAANZE NA WENYE KUINGIZA MADAWA YA KULEVYA KISHA WAKUBWA WENYE KUUZA NDIO WAINGIE MITAA WANAO UZA NA WANAO NUNUA ILA AFRICA WANAPENDA KUPUMBAZA WATU AKILI NAVILE WANAPENDA HONGO
@@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Hakika,maana ukija kujiuliza walikuwepo kina 20pasent walikamatwa harafu waliokua wamewatuma niwakubwa wanchi, wakawatelekeza wakafungwa miaka. Atasasa wasaniiwengi wanapata pesa kupitia madawa ila hizizingine nimbwembwetu.sasa Hawa wadogowadogo kaicheza vibayatu tayar wanadakwa. Lakini ukija kufikilia huumchezo unatoka mbalisana lait Kama wangewahoji kwakina usishangae kutajwa mtu mkubwa selekalini nae anahusika namadaw
Do you have any proof
Duh ayo sikuizi umekuaje? Unaenda mahakamani kutupa taarifa za wanaolia badala ya kutupa taarifa za watuhumiwa
Wamegeuka udaku sasa
Kulishawatu haram inageuka Mungu ndiye huyu huyu habadiliki kazikwetu binaadam
Mungu atusaidie Sana tutafute riziki halali haram tuziache
Lazima wakaozee jela tena kwa sheria za madawa ya kulevya sahvi si mchezo
😒😒🤣🤣
Me napenda tanzania haina masiara wallah
Wako segerea wamevua nguo wanaambiwa wanye ndo waiingie selo ya spea ,,Jela nyoko
Mtu baada yakuwa uuze unga wano ngano na sembe, unajifanya ndege mjanja unauza unga wakulevya. Sasa ngoja wanase ktk tundu bovu, ndio dawa ya ndege mjanja.
Wanaliliana hawa birds with feathers fly together. Hawa vijana wadogo wanatumiwa kuvusha maskini wenye mizigo yao wako kimya.
sA.kWani.uYo.aMTi.eZeKeLi.yE. nA.yE.kwAni.a.Mi.i.bA.dAwa.aPo.nDo.aLiE.eTi.jAmAni
.si.mAjAbU.dU.ni.mAkAmAni.wAmishtAkiWa.wAnGiNe. SA.yE.aPo.nDo.siJaELewA.mi.
Kwahio umeona kilio chake nimuhimu kuliko wenyekesi sio kueni makini bhana mnafeli.
😅😅😅😅😅
Allah tusitirie vizazi vyetu viwe vyenye kuridhika na kipato cha halali
Amiiin Amiin
Ila mnakosea Munawashik Tumbili wanaowapa kazi Haram magorila ndio mufungwe wote kaa Mie nawataja babu eeee☠️☠️tufugwe wote ikitaka wanawataja ila wanatia rushwa sana pesa nyingi WAO hawaguswi wanajirizisha mahakama kwa hili dagaa yanii inauma lazima wanawataja ila Afrikas Mafrti mahakama hamna kitu
Analia nn Sasa wakt walikua wanakula wote
Tamaaa ya pesa za haraka na kuwatumia wadogo znu ona sasa😏😏😏😏
Washtskiwa wamejificha uwa wanajifichaga kama hivyo
Anakesi afu havai barakoa? Anataka afe kabla hatujamfunga
Vijana acheni tamaaa
Peleka jela hao huyo amaelia na yeye weka ndani
Siku hizi watu wanalia ki digitali...ndani ya miwani🤔
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Saidi ni nani yake ant ezekiel
Jmn Pesa tamu lkn mbaya mnaona sasa 😌😌
Yani miaka 30 wakae tu huko shenzi waathirika wa madawa wanavyoteseka huko mitaani ni zaidi ya iyo jera watu wanapoteza maisha shenzi yani wafungweeeeee
Ni nan yake huyo mbasha
Tupambaneni wajasiliamali rizki ya halali ngumu jamani
unapishana na felary roho inakuuma na umaskini wako unamlilia mungu kumbe imenunuliwa kwa hela chafu.
Wana uhusiano gani na aunty Ezekiel? .Dah usione watu wana hela hujui wana deals gani .
Huyo malaya wa bongo movie anaigiza mpaka mahakamani.
Sikuiz jamaa wamekuwa watafuta view kama wengine.... Hakun nlichopata zaid ya kuon mtu kalia
Ana boa kweli siku izi sijui yupoje
Sasa hao wanaficha sura za ninj
Duuu
Kamanikweli wanauza achawahukumiwe ukiwaangalia mateja wanatia huruma.mapusha wanapendeza kilacku
Pole ake
Nyie Ayo mnariport nini sasa? Msifuatilie watu hivyo.. Mtu anafuta jasho nyie tayari machozi. Kwann msiseme afuta jasho mahakamani.. After all ni mtu mzima huyo hamuogopi mvi ?
Sasa mbona wale wambea hamuwambii hivi
Sikuizi huyu ayo tv wanatuletea Maura uza
Tujifunze kituuu✅
Haswaa
😭
True
Kweli
Kabisa kaka
Hao watuhumiwa ni akina nani kwake? Mwenye kujua anijulishe
Sasa ni ndg zake au jamaa
Machozi ya mamba hayo.Hamuumii vijana wetu mnaowauzia hizo dawa wanavyoharibikiwa afya zao?
Nyanya mashambani zimejaa kibao jamani
Unga tuwaachie wamexico
Hi
ngoja niendelee kudanga tu hakuna wakunishtaki😀😀😀😀
Halafu wasanii wengi ndo kazi zao izo utakuta matajir Sana hauolew pesa wamepata wapi mim nilijuwa ant na mwenyew Ana hela sana hata kama gemu ya mda sio kivile sema ukiwa, star na nyota nayo unaweza kupata mafanikio Makubwa
Naombeni kuuliza hivi huyu saidi mbasha ninani au kabla ya hapa ana umaarufu upi?
Ayo TV imeshapoteza umakini, kweli Ngoma ikilia Sana haikawii kupasuka. Sikutarajia ujinga Kama huu kutoka kwenye media maarufu na yenye uzoefu. Hivi huyu mwandishi alieenda kuripoti mwenendo wa kesi au kuonesha machozi ya Anti Ezekiel. Upumbavu mtupu!
Wanawaua watoto wetu kwa tamaa zao za kujitarijisha. Wangemkamata supplier wao Msumbiji na kumwuua kabisa. Wangetega.mtego kumpata moakani lazima kuna mmoja alikuwa anakwenda kumpa pesa.
Ameliya nini? Mwanakulitafuta mwana kulipata 💪💪💪
Ukute hawahusiani kabisa yaaani mm bongo sihami
Hahahaha
N kwel kabisa
Huna pakwenda ata ivo,,,,
@@happynesssamwel2917 Au aunt analia sababu na madawa yake yalikuwemo kwenye hayo yaliyokamatwa
hata mzazi anayemuona mwanae kazama kutumia hayo madude ndio anaumia zaidi huku wao wanataka maisha mazuri wafungwe tu
Uyo kahaba analia nn watu wanauza mihadarati wana angamiza vijana nguvu kazi. Inapptea taifa lakesho linaanhamia alafu watu wamekamatwa wewe unalia ngombe wewe
Said ndo nani jameni 🤔🤔
Nikweli au
Sasa analia nini, vijana wa watu wanaharibika ju ya hizo dawa za kulevya
Kumbe wana sura nyeusiii😂😂
Ata mimi nimeshanga aunt mweusi sana kama yobo
kwa kuteketeza nguvu kazi, hili nyinyi muwe vizuri mfungwe tu hakuna namna
THE BIGGEST BOSS NASRI
mbona wafungwa wa siku hizi mnawadekeza, mtu yupo rumande bado anakiduku kichwani kweli vinyoz wa magereza wote walistaafu? kwako mwal kashasha😆
Hahahaha
Pole Sistar anty
Tamaa mbele mauti nyuma....mungu tulindie vizaz vye2....
Wanatusumbua sana hao wafungeni
Paka Dai Walisemaga yumo naye
Sisi tunasema hiviiiiii anachezea kamasi.
Nyie ayo wapuuuzi
Sasa upuuzi wao ni nn ndugu
I see young ladies in tanzania living a lavish life style n who can almost make you feel like robbing a bank, but madawa ya kulevya I didn't see this coming. Inafaa tupende utajiri but na kiac. If this is real then I don't pitty this lady I can imagine those useless lives out there which are wasted due to drugs while she flauts her cars, and lives like a queen. But ka ni story acha tu MUNGU akusaidie.
She's not involved but she's there to listen a case of someone/a man she knows who is involved.
Yani kwakweli ni mbaya watoto wetu wameharibika kwa madawa jamani mmmm Mungu anakuona ujue
Kwani wanalazimishwa kuyatumia?
Ajira ya shetan huangamiza Bali upendo Wa Kristo huokoa,njooni kwa Yesu awaajiri kazi inayompa utukufu Mungu wetu,yohana 3:16,
Aminaaaa ,ukimuamin Mungu utatusua maishan mpaka ushangae
Me nkadhani ameangua maembe
Wauza ngada bhana
Ananyege uyo kinamuwasha
Ananyege uyo kinamuwasha
Wambeya
Pesa tamu sana ilaukisha shikwa 🥲🤣🤣🤣
Watafute mzizi uko wapi wakishaung'oa mamemaliza kazi lakini nila hivyo,kax iko palepale🏃🏃🏃
Daa pole Sana mungu atawajalia ila jamani t2tavuteni pesa yahalali naimani t2tafanikiwa asanten
pesa gani halali wakati tunaagiza sukari, mafuta ya kula kutoka Zanzibar kuja bagamoyo tunaporwa na TRA.. yaan cwezi kumcheka mtafutaji wa aina yeyote hata cku moja
Kuuza unga mwisho wake mbaya
Duuu pole Antiii
Duh🏃🏃🏃🏃
mungu akusimamie maman kuki
NA YEYE NI MMOJA WAO HUYO SEMA HAJASTUKIWA TU HAHAHA