Noooo Rose nilikua nawe nikikuombea nikimtukuza Mungu kwa ajili yako Thawabu ya kazi yako itang'aa mbele za Mungu milele Uwe na moyo Mkuu ukazidi kuitenda kazi ya Bwana kwa unyenyekevu. Angalia nyuma wako wapi walioimba nawe zamani? Upepo wa ibilisi uliwachukua. Huduma yako ni muhimu Sana kuwapeleka wote kwa Kristo. Barikiwa Sana Rose
Mama, hongera sana kwa kazi ya mungu, Mungu akulinde, ila mi ushauri wangu Kwa hao waimbaji waliovaa suruali hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali, na upo madhabahuni kabisa mnapoteza utukufu wa Mungu.
You made me cry, I thank God for you Rose, I loved you since I was young and now I am an adult and I still love you . I know you have gone through alot but there's a God in heaven. I have also undergone alot but I trust in God.
I love you Rozy. May God increase His energy in you. Never grow old Rose. May your throat grow fresher day by day. Nakupenda sana dada. Remain strong sweetheart😊👏👏👏👏👏
Amen dadangu Rose mungu Yuko nawe ak unavyoimba na unavyotoa maneno yako kwangu nimeshindwa na kujizuia machozi yanatoka mungu ameweka muhuri juu yako akuinue zaidi
Rose dada wetu katika kristo . Langu kwako ni wewe ni wa roho ukiwa wa roho hivyo. Basi fahamu kumbumbuka vita ni kwetu wote waliozaliwa kwa roho. Asante kwa kutoa msamaha kwa hiyo jamaa asiye na hekima. Ujanja ako naye wa kukupaka tope.lakini yeye ndie atanuka.hayo mavi anakukupaka na ajue hayo asante k2ako rose our lady of this generation God be with you.
Hata Mimi nimeguswa nimeabudu Mungu pamoja. Usikate tamaa ilibidi iwe hivyo ili umtegemee YESU KRISTO pekee. Wewe ni shujaa. Tuliobarikiwa na huduma yako hatuacha kumuombea. Nafurahi kukusikia leo. Sikuweza kukutana nawe mapema kule Dodoma.
Oh yesu karbu kwangu ❤..... I'm in fasting and this is the only vedio, worship that is helping to me in worship part😢😢...and truly God's presence is with me 😢.. thank you for this platform be blessed 🙏
Mimi Rose nimeyapita haya habari ya Ayub ndio imekua nguvu yangu ,,, Romas 2:28,,,,all things happen for our good,,,baada ya pigo kubwa LA mwisho kunipata Huo usiku mungu kaninenea niende kesha na katika kesha alininenea kwamba hata aibu kubwa Yesu alipata Kwa hayo yote alibaki kuwa mwana wa Mungu,,,,God glorified him and God was exalted in his shame,,,,hata wazazi,ndugu walinigeuka na aliyenitia Kwa majanga mengine n mtu wa uko dadangu,,,,akaenda akateka nyara ministry yangu ya uimbaji na uombezi,,,kanipiga vita kunitoa madhabauni,,,hata kanisa lilinitenga hicho kipindi Huwa kichungu saana,,,,,mungu ainuliwe ,,,
mungu karibu kwangu niondolee umasini na unyonge bwana
Mungu azidi kumuinua.huyu mama anaupako wa hali ya juu.mungu akulinde mama
Noooo Rose nilikua nawe nikikuombea nikimtukuza Mungu kwa ajili yako Thawabu ya kazi yako itang'aa mbele za Mungu milele Uwe na moyo Mkuu ukazidi kuitenda kazi ya Bwana kwa unyenyekevu. Angalia nyuma wako wapi walioimba nawe zamani? Upepo wa ibilisi uliwachukua. Huduma yako ni muhimu Sana kuwapeleka wote kwa Kristo. Barikiwa Sana Rose
I'm blessed so much...in my life nataka kumuona huyu Rose even if just for a minute...she is the legend of gospel aki
Karibu kwangu mungu nimechoka baba🙌🙌😭😭😭
Asante hallelujah. Mungu akubariki. Rose
OOH GOD, i need you jesus this has touched me so much with my situation now ooh God ,jesus i need you nmechoka na hii maisha nisaidie mungu
Through Rose Muhando, I have just subscribed, just to hear these great gifts I hear from Rose.😅. Gather here if you did the same.
Me too
Me too God blessings be apon this woman of God Rose
Nakupendaaaaaa natamani YESU AJAPO MAWINGUNI ASIKUACHE....
Hii iko sawa kabisa done with anointing 🙏🙏🙌🙌
3:25
Najifunza mengi sana mama kupitia maisha yako,ainuliwe Mungu alieko nasi wakati wote
Mungu pokea utukufu Mungu pokea utukufu Mungu pokea utukufu ❤❤❤❤ glory to God 🎉❤
Mimi upenda sana nyimbo zako mum,,Rose Mohando hongera sana.unakuaga umeguza moyo wangu sana..nehema iliyo ndani yako ndio natamani
Mama, hongera sana kwa kazi ya mungu, Mungu akulinde, ila mi ushauri wangu Kwa hao waimbaji waliovaa suruali hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali, na upo madhabahuni kabisa mnapoteza utukufu wa Mungu.
Where is it written???? The gentles and ladies are smart and presentable
Holy spirit is in control 😢🙏🙏🙏🏾
Kweli kabisa ila makanisa siku izi,ni mungu atuhurumie,
@@MrAtaVictorhaipaswi mwanamke kuvaa mavazi ya mwanaume iko kwa bible
Yesu akutunze mtumish❤
Rose mamangu nakupenda sana unanibariki na nyimbo zako
Mungu akuinue zaidi ili nasi tuinuliwe kupitia nyimbo zako mtumishi wa mungu
Asante Yesu. Sifa kwa Yesu. Mungu Azidi kukuinua Dada Rose kwa Utukufu Wake Mkuu. Amina.
Hongeraaa San Dada rose unatusaidia sis wenye Iman ndog tusonge mbele
Karibu Yesu maishani mwangu na kwa familia yangu, kazi na biashara yangu. Nataka kukuona kwa afya yangu
You made me cry, I thank God for you Rose, I loved you since I was young and now I am an adult and I still love you .
I know you have gone through alot but there's a God in heaven.
I have also undergone alot but I trust in God.
I love you Rozy. May God increase His energy in you. Never grow old Rose. May your throat grow fresher day by day. Nakupenda sana dada. Remain strong sweetheart😊👏👏👏👏👏
🙌🙌🙏🙏 amen
MAMA ROSE BEST MINISTER EVER U ALWAYS BLESS MY HEAR
Through this song i have seen God's blessings be blessed mommy
Amen dadangu Rose mungu Yuko nawe ak unavyoimba na unavyotoa maneno yako kwangu nimeshindwa na kujizuia machozi yanatoka mungu ameweka muhuri juu yako akuinue zaidi
Hallelujah 🙏 this was so powerful full of Anointing
Mungu na akazidi kukuneemesha rose muhado i love your ministry you are going far hakika ama kweli mtu akimtumaini mungu mungu anampa kibali
Nami nasema karibu yesu nakupenda sana dada mungu azidi kukuinuw
Oo hallelujah!! Karibu kwangu Yesu,NAMI nakuitaji karibu Yesu 😪😪
Wow nabarikiwa sana
Nakupenda dada rose nyimbo zako zimeinua imani yangu
Amen yesu wewe karibu,usinibite Mungu wangu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
God is spirit,and those who worship Him shall worship in truth and in spirit,this is a true worship mama,I'm fully touchy
Blessing voice, may God see you through mama, 🙏 na iyo back up iko safi
Kipawa in another level.
May the power of Jesus Christ 💥🙏 come down.
Meet everyone in their point of faith.Tuinue kukujua zaidi
Rose Muhando chombo cha Yesu ubarikiwe na Mungu !
karibu kwangu ewe Yesu,moyo wangu unakuhitaji sana🙏🙏🙏🙏
Wooi mumy mungu anakupenda
I was so blessed to be in this service. I loved the worship.
Umubariki Moyo wangu mamangu ushuhuda wako na kuabudu kwako kumeponya Moyo wangu
Mungu nimwema kila wakati nabarikiwa sanaaa nikiwa Dar tegeta Ameeeeeen Rose
Live longer mama,ili uendelee kuvua wengi blessings 🙏🙏🙏🙏
Barikiwa nabwana Roz
In Meru but heavens tv is what we tune to everyday at work purposing one day to attend the service 🙏
acha mungu akubariki kwa huduma hii🤲🙏🧎♀️
When the intensity of the battle is strong there is always a great comeback,,,❤❤❤❤❤
Powerful 🔥 karibu yesu kwangu pia🙌 #Mama Rose Mungu azidi kukubariki zaidi na zaidi
I love rose muhando I thank God for remembering you,God also remember me.
Hallelujah hallelujah Glory glory glory Glory glory be to Lord Amen 🙏🏾 😢UBARIKIWE sana tena sana MPAKA uchangale mukono wa mungu 🔥🔥🔥🔥
A day to reckon in my life always in the mighty name of Christ Jesus Ameeen
Hallelujah 😢😢❤ utukufu kwa BWANA YESU, NAPENDA SANAA MAMA❤❤
This is the best worship service ever. Holy spirit in full control. God, bless you Rose and all worship team.
Lord heal me and those who are sick
Hallelujah, Eee Yesu karibu kwangu
Mama Rose God bless u
I managed to watch till the end .
Blessed Rose
Rose dada wetu katika kristo . Langu kwako ni wewe ni wa roho ukiwa wa roho hivyo. Basi fahamu kumbumbuka vita ni kwetu wote waliozaliwa kwa roho.
Asante kwa kutoa msamaha kwa hiyo jamaa asiye na hekima.
Ujanja ako naye wa kukupaka tope.lakini yeye ndie atanuka.hayo mavi anakukupaka na ajue hayo asante k2ako rose our lady of this generation God be with you.
Hallelujah Amen in Jesus Christ the son of the living God Amen
mungu wambinguni sana dad rose aendelee kukutumia kama apendavyo kwa ajili yawake
I love Rose Muhando and her ministration so much❤❤.
Yesu Karibu kwangu🙏
Yesu ni mwema🎉🎉🎉🎉
Hata Mimi nimeguswa nimeabudu Mungu pamoja.
Usikate tamaa ilibidi iwe hivyo ili umtegemee YESU KRISTO pekee. Wewe ni shujaa. Tuliobarikiwa na huduma yako hatuacha kumuombea. Nafurahi kukusikia leo. Sikuweza kukutana nawe mapema kule Dodoma.
Oh yesu karbu kwangu ❤..... I'm in fasting and this is the only vedio, worship that is helping to me in worship part😢😢...and truly God's presence is with me 😢.. thank you for this platform be blessed 🙏
I am crying in spirit. Thank God for her life.
Yesu Kristo Karibu kwangu uniponye magojwa yote yalioni ndani ya mwili wang
Karibu kwangu yesu I surrender all to you
Kweli,utabaki na Mungu,tujifunze kuinua Imani Kwa Bwana
I am blessed
Wewe Rose you have really GOD be blessed the woman of Faith...
May God give you strength dada Rose.Be courageous.
Mimi Rose nimeyapita haya habari ya Ayub ndio imekua nguvu yangu ,,, Romas 2:28,,,,all things happen for our good,,,baada ya pigo kubwa LA mwisho kunipata Huo usiku mungu kaninenea niende kesha na katika kesha alininenea kwamba hata aibu kubwa Yesu alipata Kwa hayo yote alibaki kuwa mwana wa Mungu,,,,God glorified him and God was exalted in his shame,,,,hata wazazi,ndugu walinigeuka na aliyenitia Kwa majanga mengine n mtu wa uko dadangu,,,,akaenda akateka nyara ministry yangu ya uimbaji na uombezi,,,kanipiga vita kunitoa madhabauni,,,hata kanisa lilinitenga hicho kipindi Huwa kichungu saana,,,,,mungu ainuliwe ,,,
Karibu kwangu mungu mizigo ni mzito nakuachia baba
Karibu Yesu maishan mwangu na mtoto wangu pia🙏🤲
Yesu karibu kwangu usinipite ooh Jehovah 🙏🙇🥲🥲 mungu akupe neema mommy yesu anakupenda Zaidi yayote🙏
I was blessed to attend this service. Thanks Prophet for this daughter of God
Hata wakudharau mungu uko nawe Rose siku zote mungu yuko nawe
Mtu YEYOTE anaye sababisha watu waingie Rohoni wazame wamuelewe huyo ana Mungu sana....
Ni kweli kabisa,nimekuelewa,tunachokihitaji ni neno tu,na si vinginevyo, dhidi ya mapenzi ya Mungu.
Very powerful praise and worship session.Glory to God man of God
Mungu akubariki laiti ningekuwa huko ningeomba na kulia maana naangalia tu kwenye simu nasikia upako
May God remember you Rose
Mungu ninaheshimu mafuta yaliyo ndani ya mama yangu Rose naomba nami uniinue
Rose muhando may God bless u,huduma yako yanibariki sana.
May God be glorified
yesu tutendee sisi tunaosoma😭😭😭😭
Am blessed...😢
Karibu kwangu Yesu mizigo ni mizito
Mungu akutiy nguvu wewenimtumishi wakweli siwalematapeli wacumawulete nakupendabule naninakuombeya mama usikatetama
Mungu aendelee kukiweka mam
Powerful worship mungu atatenda♥️👏
Karibu kwangu Yesu msalaba ni mzito,majaribu ni mengi
I like listening to your music now the language I don't get it so time you should be using English.really God bless you
Be blessed my mtumishi wa mungu i fill you pain 🤲😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Oh Yes Karibu Yesu kwangu 🙏Napenda huu wimbo wenye upako mguu
Mama MUNGU apanue mipaka yako be blessed mama Rose
Imeniliza sana mungu mwema sana
Asante yesu kwa neema yako ❤❤❤❤
Halleuyaaa ndafashijwe nukurii halleuyaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Maisha yamenishinda mungu niokowe mimi🙌🙌🙌🙌😭😭😭
Uko wapi? Mpokee Yesu akuweke huru.
Ooooooiiiii MUNGU asikie kilio chako pata amani ❤❤❤❤❤
Okoka hutajuta tena
@@shukran-jx7pf Amen 🙏
@@nigananurunjema Amen 🙏
Nashukuru vile mungu alikusaidia nami mungu atanikumbuka
Ukakumbukwe kuanzia sasa
Hallelujah mama ,,, the sky is the limit
yesu karibu ndani yangu
Worship at its finest level.. lovely..