KARAFUU VS MDALASINI (TIBA ASILI) | UMUHIMU WA KARAFUU NA MDALASINI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ย. 2022
- Video hii imeelezea umuhimu wa karafuu na mdalasini katika tiba asili, umuhimu wa karafuu na mdalasini katika afya.
Tiba asili ya mdalasini
Tiba asili ya karafuu
#sayansi
#tibaasili
#mwiliwako
#afyayako
@hascavela - วิทยาศาสตร์และเทคโนโลยี
Asslam aleikum kaka.
Karafuu na mdalasini ukichanganya na asali inakuajee.
Asante sana kwa elimu nzuri
Mungu akubari sana kabisa ❤
Shukura xana ❤
Unatumiaje Karafuu na mdalasini
Tunatumiaje mdalasini kutibu presha na kuondoa sumu.
Samahani karafuu mdalasini nchanganywe kiasi gani kwenye asali
Dr. baadhi ya watu wanasema karafuu, asali na mdalasini huongeza nguvu za kiume?
Karafu na mdalasini tunatumiaj kwakutibu ugonjw wa ini
Jinsi ya kutumia
Kwa mwenye bp ya kushuka haruhusiwi kutumia
Naweza kuchanganya karafuu na viungo vingine kama tangawizi na mdalasini?
Habari mimi nasumbuliwa na asidi nyingi tumboni je nitumie dawa gani ili kuiondoa?
Samahani unaweza kuvichanganya ukachemsha pamoja au lazima uchemshe kila kimoja pekeyake?
Ndyo unaweza kuchanganya
Mtumizi yake ni kipimo Gani?
Aww nauliza tiba ya pumu nipi uku kwetu burundi tuna ita asma sasubuliwa sana
Saleh njoo nimuoneshe anaetib hasima sekunde,
Nin kazi ya iriki?
Mimi sehem kiuno zinauma na ninatumia karfuu Amdalasini sana tu
Ety ukichanganya mdalasini nakarafuu kwenye asari hufungua mirija ya uzazi
Ndio mirija inafunguka vizuri tu
Nini Dawa ya vidonda ya ulimi Na ulimi kuwasha
Kwangambo ya watu wenye kuwa na tatizo za tendo ya ndoa, waitumiye namna gani ?
Matumizi ni yaleyale unaweza kuitafuna au kusaga na kuchanganya kwenye kinywaji au chakula
Na kwa wanawake ambao hawan hamu ya tendo watumiaje
Mudalasini haïna jina ingine?
Kwa lugha ya kiswahili ni Mdalasini
Je ukitumia kama Chai ukatia sukari je napata Friday zake?
Ndiyo.
@@hascavela k
Samahani nauliza karafuu ukichanganya na mdalasini na asali mbichi inatibu uvimbe kwenye kizazi?
Tumia chai ya kijani
Jambo karafu na mdarasini unaweza bicanga unabicemusha
Unachemsha..
Kama unanyonyesha havina madhara ukinya karafu na mdarasin,?
Haina madhara tumia kiasi