Dada Fau kaenda pokea zawadi kwa mapozi. Hongera zake bibi harusi. Kupata dada wa kazi mzuri na mwaminifu imekuwa changamoto sana siku hizi, Hata ukiwa mwema vipi kwao.
Woooow beautiful ni vizuri kuappreciate hata wanaotusaidia nyumbani. Amefanya jambo zuri na la mfano wa kuigwa abarikiwe sana kwa kuona mchango wa dada wa nyumbani ambao wengi hawauoni
Imenifurahisha sana.hongera biaruc kwa kumjali mfanya kazi wko.Mungu akubariki.ningekuapo hpo ningetoa zawadi kwa watu watatu: 1)Biaruc. 2)Mfanyikazi. 3)wazazi wa mfanyi kazi kwa malezi mema yaom
Nimefurahi sana.Barikiwa Dada kwa kuthamini umuhimu wa Dada wa nyumbani.nami naomba Mungu anipe Dada mzuri sijui kwanini sina bahati na wasichana wazuri najihidi kila mnamna ya kuwapenda lakini sijabahatika sijui hawa nawakosea wapi?jamani.
Bibi harusi upo vizuri kwa kumthamini mdada wa kazi! Wengine hawana moyo huo! Hata siku moja sijawahi kuona Ndiyo nimeazia kwako! Unafanya kazi vizuri lakini hakuna chochote two kwa mfanya kazi wa ndan
God bless you Bibi harusi Kwa kumpongeza mfanyi kazi wako nyumbani.. Ni wachache sana kama nyinyi.. wengi wao niwale ambao hawana shukurani mbele za Mungu
Waoo huyo mama ako na utu kuheshimu mfanyakasi wake juu wengi hawatabuliwi ata ukiwa msuri kiasi kama hi cho Mungu wasaidie ili watabulikane kwako wasipotabuliwa na bina damu, hongera bi harusi
Wao Jaman Mungu Ibariki hii familia sijawahi ona watu wanajitahidi kufanya kila kazi lkn shukrani hakuna kwa maboss wao, duh hii kali ya mwaka Jaman huu ni mfano wa kuigwa
Wah Waat surprising thing to award house help infront of the ppl. May God keep that heart u have for not many who can do that ....am in form four and I have seenn how our house help is treated
kw kweli hata mm cjawahi kuona tangu kuzaliwa hongera sana Bi harusi kw kutambua thamani ya dada wa nyumbani ww nimfano wa kuigwa kw kweli vile mtu umuwekavyo ndivyo atakavyo kaa tuwajali na kuwathamini wasaidizi wetu nao watafanya hvyo kwetu jamani,,, heshma yk dada fau kw kulea family vizuri
Kumpa zawadi sawa,lkn sio kumtambulisha kama house girl kwenye kadamnasi ya sherehe! Hapo umechemka,kila binaadam angependa kuwa na privacy zake ikiwepo kazi yake,mshahara wake,udhaifu wake na mengine mengi.Hapo ulimthalilisha
Bristol her Eliza zona Mm sijaona kosa mbona ? La msingi ni kutodharau kazi hakuna uzalilishaji hapo tena kamthamini mno.kwani wangapi waliofanikisha maisha yake mpaka alipo Ila kamkumbuka dada
sasa watu watajua vipi kama dada wa nyumbani mimi upande Wangu naona yupoo sawa kabisa bi.harusi mimi mwenyewe nafanya kazi za nyumba. kazi za nyumba ni sawa na kazi zingine. kila m2 anaheshimu kazi yake. bi. harusi ongera sana kujua umuhimu wa dada ya nyumba. Allah akujalie mapenzi ya dhati kwa mumeo hadi kifo kiwatenganishe in shaa Allah
Tumefanya saana tu si lazima tutangaze,binti yangu wa Kazi anakaa kwenye nyumba Yangu Bure na mume wake na nilimsomesha chuo mume wake na nilimpeleka ufundi wa kushona ,na nimemuacha mpaka atakapojenga au akajimudu maisha ndipo atahama ,Abarikiwe tuu kwa hilo
@@melissateddybearcossan9506 Mungu azid kukujaalia moyo wa imani na upendo mamy naamin malipo yapo kwa mola wetu,,,,Ila huyo hakutangaza aliamua tu kumpa zawadi siku ya ndoa yake na kumpa sifa zake za kazi
Dada huyu ndoa yake itadumu na itakua yenye amani na furaha sana mana anatambua na kuthamini mchango wa kila mtu....mungu akuinue b harusi una hekima sana
Safi sana mwenyez mungu akutangulie
Beautiful. Tunawasahau sana maskini. Mama amefanya vizuri kumuonyesha anamthamini. Hongereni sana
Vizuri sana
Asant sana dada una roho ya peke yak maboss wachach sana wanao jari wadada wa kaz ongera mung akusimamie
Dada Fau kaenda pokea zawadi kwa mapozi. Hongera zake bibi harusi. Kupata dada wa kazi mzuri na mwaminifu imekuwa changamoto sana siku hizi, Hata ukiwa mwema vipi kwao.
Woooow beautiful ni vizuri kuappreciate hata wanaotusaidia nyumbani. Amefanya jambo zuri na la mfano wa kuigwa abarikiwe sana kwa kuona mchango wa dada wa nyumbani ambao wengi hawauoni
Wow this is a so touching, it's true we barely forget to appreciate this pple called house manager,I love it na iwe good example kwa wengine.
hongera sana Dada kiukweli wewe ni mfano wa kuigwa kwa kuthamini kazi anazofanya house girl wako.Very nice
mpaka nimetowa chozi kwa furaha hii sijawahi ona hongera sana dada mungu akuongezee palipo punguwa ww una roho nzuri mashaallah
Nchalika sheria. Mashaallah mungu akuzidishie sijawai ona kabisa
Masha Allah da fau Allah akubariki ww na ndoa yako na mumeo muishi Kwa furaha na mpate watoto Amin
Imenifurahisha sana.hongera biaruc kwa kumjali mfanya kazi wko.Mungu akubariki.ningekuapo hpo ningetoa zawadi kwa watu watatu:
1)Biaruc.
2)Mfanyikazi.
3)wazazi wa mfanyi kazi kwa malezi mema yaom
Kweli au unasema tuu.
God bless ur marriage...u r 1 in a million...mtunze akutunzae...big up sana i Salute u bbharusi
Soo nice baby girl may God bless you you're one in a million 👍👍👍
Aki sijawahi ona Dada kama huyu mungu akubariki akuzidishie
mashalh dada ana roho nzruu kama mwenywe jamani mung mung akubark uendelee kuwa na moyoo huohuo na mung ai bariki ndoa yenu amina
Nimepend
exxx
kutombana
Nimefurahi sana.Barikiwa Dada kwa kuthamini umuhimu wa Dada wa nyumbani.nami naomba Mungu anipe Dada mzuri sijui kwanini sina bahati na wasichana wazuri najihidi kila mnamna ya kuwapenda lakini sijabahatika sijui hawa nawakosea wapi?jamani.
Tupo wengi Sana ila kupata ndio vigumu
Tupo wengi Sana ila kupata ndio vigumu
seba akojiwe usijal utama mamy
Yaani kafanya vizuri sana
seba akojiwe utapata tu
Dada fau huyo hongera kukaa na watu vizur Allah bless familia hii
One in a million kudos dad's this is how blessings look like u r already blessed
Nimeipenda hiyo safi sana dada ongera sana kwa upendo huo Mungu akubariki sana katika ndoa yenu kila la heri amen
Bibi harusi upo vizuri kwa kumthamini mdada wa kazi! Wengine hawana moyo huo! Hata siku moja sijawahi kuona Ndiyo nimeazia kwako! Unafanya kazi vizuri lakini hakuna chochote two kwa mfanya kazi wa ndan
Dada congratulations
Shauri yako dada
Recho Makungu bibi harusi abarikiwe
Hutembei ungeona na zaidi na Vyuo wengine wamesomeshwq
Really imazing zijawao ona wengi wakipongeza wafanya kazi mostly wa nyumbani
Amina, Barikiwa ,wengne hawaioni michango ya vijakazi wao kwa kweli wajifunze kwako%
Big up, wadada wa Nyumbani in muhimu sana, tuwathamini.
Wachache Sana Kaka angu we mhmhmh
Nimefurahi sana kumthamini dada wa nyumbani hongera sana❤❤❤❤❤❤
masha Allah nice naipenda tujifunze kupitiya hiyo
Mashallaah 🙏 very nice my sister (God bless you with all family
asanteni sana nimemkubali Mungu awatangulie pia awaongezeeni upendo na Amani katika Familia yenu
God bless you Bibi harusi Kwa kumpongeza mfanyi kazi wako nyumbani.. Ni wachache sana kama nyinyi.. wengi wao niwale ambao hawana shukurani mbele za Mungu
Waoo huyo mama ako na utu kuheshimu mfanyakasi wake juu wengi hawatabuliwi ata ukiwa msuri kiasi kama hi cho Mungu wasaidie ili watabulikane kwako wasipotabuliwa na bina damu, hongera bi harusi
thank you for recognising your house maid. Ma Sha Allah
Wao Jaman Mungu Ibariki hii familia sijawahi ona watu wanajitahidi kufanya kila kazi lkn shukrani hakuna kwa maboss wao, duh hii kali ya mwaka Jaman huu ni mfano wa kuigwa
Wah Waat surprising thing to award house help infront of the ppl. May God keep that heart u have for not many who can do that ....am in form four and I have seenn how our house help is treated
Shukrani sana mum si wengi qanatutambua God bless u
She has a soft heart..
May God bless her
R
Mungu akubariki sana dadangu wengine huchukulia dada wa kazi kama si mtu
Wooow! Nimeona hii video Hadi machozi ya furaha yakanidondoka jamani. Sijai ona hivi bibi harusi mungu akubariki sana
Wow... God bless our family..mum...such a heart
Nimefurahi sana kwa kuona mdada amethaminika sana hongera binti
Wow sijawai ona hii mungu akuzidishie madam
Kazi nzur mr luvandaaa💪💪
Wow huyo bi harusi she's one in a million barikiwa sana dada
Kama was mama wote wangekuwa Kama wewe house girl wangetumika kwa nyumba Kama watu wa maana MUNGU akupatie maisha marefu sister
Jameni sijawahi ona dada kama huyo Afrika. Huku ulaya ndio naona wa dada wa nyumba wakipewa mazawadi. Pahari ulipo barikiwa 😘👌👌👌
kw kweli hata mm cjawahi kuona tangu kuzaliwa hongera sana Bi harusi kw kutambua thamani ya dada wa nyumbani ww nimfano wa kuigwa kw kweli vile mtu umuwekavyo ndivyo atakavyo kaa tuwajali na kuwathamini wasaidizi wetu nao watafanya hvyo kwetu jamani,,, heshma yk dada fau kw kulea family vizuri
U a the one have eve seeing in this world of to day, but nimesoma kitu kutoka kwako may God bless u lovely one mwaaaaah
That wedding is so perfect
Huyu ni mmoja kwa million God bless you
Nimesoma baathi ya comnt,kwa wale wanaofanya kazi kwa waarabu poleni sana mm nawajua ni wabaguzi na roho mbaya siwapendi waarabu wote toka zama
Watu wanafikilia nje ya box aisee😂😂😂 nimebaki najiuliza maswali mengi
Ubarikiwe! Dada, so wote ufanya hiyo!
biarusi umetisha nimekupenda bure mungu akuogezee palipo pungua ishallah
Waau,ubarikiwe tu sana kwa kumjali na kumpenda mfanyikazi wako.
Wonderful...God bless u sister
God bless u and ua family woman
Hongera dada na uwe mfano kwa wengine kwani dada wa kazi ni mmoja wa familia.Mungu awabariki sana
barikiwa Sana my mungu akubariki xana kwa kuthamini utu wa mtu
Asante for wat u did God bless
Hata Mimi nimeshangaa . Na huyu Bibi harusi mtarajiwa ni Muungwana sana. Mungu Ambariki.
My very first time, may God bless you ma'am what a lesson to all house girls bosses
Kumpa zawadi sawa,lkn sio kumtambulisha kama house girl kwenye kadamnasi ya sherehe! Hapo umechemka,kila binaadam angependa kuwa na privacy zake ikiwepo kazi yake,mshahara wake,udhaifu wake na mengine mengi.Hapo ulimthalilisha
Bristol her Eliza zona Mm sijaona kosa mbona ? La msingi ni kutodharau kazi hakuna uzalilishaji hapo tena kamthamini mno.kwani wangapi waliofanikisha maisha yake mpaka alipo Ila kamkumbuka dada
Offcz asingesema kama ni dada wa kazi tusingejifunza kuwathamin pia housemaid ni kama vyeo vingine tu
Steward Heaven mi naona ni sawa amtaje coz ni wachache sana wenye kuonyesha appreciation kwa wafanyikazi wao
sasa watu watajua vipi kama dada wa nyumbani mimi upande Wangu naona yupoo sawa kabisa bi.harusi mimi mwenyewe nafanya kazi za nyumba. kazi za nyumba ni sawa na kazi zingine. kila m2 anaheshimu kazi yake. bi. harusi ongera sana kujua umuhimu wa dada ya nyumba. Allah akujalie mapenzi ya dhati kwa mumeo hadi kifo kiwatenganishe in shaa Allah
Hakukosa maanake wangemjuaje kwani angesema ni dadake ila si dada
dada mungu akubariki kwa moyo wa kujali na kusaidia wengine waonee kwako,mungu abariki ndoa Yako Amina.
Sjwh ona MUNGU akuzidishie dada. God bless you,
Kmkj
Jwiiii
Hilo ni bonge ya somo daaaah kwa kwel nimejifunza kitu hapo God bless us
One in a million barikiwa bi harusi
Waow so nice
Safi sana hongera sana bi harusi huu ndo mfano mzuri wa kuigwa
One in amillion..barikiwa mama
Uyu biarusi MASHAALLAH.
Upendo ndio kitu muhimu ktk maisha
Woooow
Hongera sana madam
Safi sana na hongera sana huo ndio uungwana
Mungu akubariki Dada kwakumthamini msaidizi wako wanyumba.
Mashaallah huyu madamu mzr mungu atambarik na ndoa yake itadumu milele nimefurah hd raha najiona km ndio mm vile dada wa kz
Barikiwa Sana dada nauendelee na moyo uyo
Wow May God bless
Mungu akubariki
safi sana.bless u
Wow mashaalla all employers shuld learn frm this example
2019jameni hiii mwaka iwe yetu kushuku na maboss wetu niko oman urabuni hongera wakwanza na tunamini tutakua wengi juu ya jesus
mungu akubariki dada kwa kumjali msichana wako
Very nice dear
heshma na busara ndizo zmefanya hayo yote..... thanks bibi harus
Wow! What a heart...
She has a heart of gold
Plz naombeni namba ya Bi harusi nimpe zawadi yake toka kuzaoiwa sijawai ona iki alichofanya Bi harusi
Mijisifa ulishindwa kumpa huko nyumban mpaka uje umzalilishe mbele ya watu sio poa kbsa
Tumefanya saana tu si lazima tutangaze,binti yangu wa Kazi anakaa kwenye nyumba Yangu Bure na mume wake na nilimsomesha chuo mume wake na nilimpeleka ufundi wa kushona ,na nimemuacha mpaka atakapojenga au akajimudu maisha ndipo atahama ,Abarikiwe tuu kwa hilo
@@upendopeter6007 kamdhalilisha nini ?wivu tu
@@melissateddybearcossan9506 Mungu azid kukujaalia moyo wa imani na upendo mamy naamin malipo yapo kwa mola wetu,,,,Ila huyo hakutangaza aliamua tu kumpa zawadi siku ya ndoa yake na kumpa sifa zake za kazi
Aise hata mm sjawahi ona
I think I was born to watch everything and not to see them in real life
Ongera bi arusi wewe ni binadamu wajuwa mungu👍👍👍
Mashallah nime furahi mbaka chozi hongera sana una moyo nzuri.
Ubarikiwe sana kwa kutowa zawaidi hio machozi ya metoka😢 ya furaha
Duuh hongera sana iwe fundisho kwa wanao wachukia wafanya kaz wao
Mama Rama mtu km huy hawez mtesa mwanao
Ngoja nami nimkumbushe boss wangu anikumbuke siku ya harusi wanipe zawadi Allah akuzidishie pale palipo pungua kwa kumthamini mjakazi wako
Amina Dada
Masha Allah
Be blessed dada hakuna mtu kwa ii dunia anaeza mfanyia kijakasi wake wa nyumbani hivyo.
Dada huyu ndoa yake itadumu na itakua yenye amani na furaha sana mana anatambua na kuthamini mchango wa kila mtu....mungu akuinue b harusi una hekima sana
Asante sana dada kwa thamini kazi ya huyo dada..
Mwenyezi mung akuzidishie moyo wa iman dd honger san kwa moy wa iman
hakiyake mungu amzidishie iman
dah haijawah ktokea jaman
wauh!!! that's so great,,,,be blessed,,,, hope many have learned something from you
Hongera
GOD bless the family
we Dada mungu akubariki uendelee na moyo huo huo jaman nimependa sna