The Richest Man in Babylon Summary in Swahili by Mwl. Augustino Mwogosi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- Kila mtu anatamani na kutaka sana kuwa tajiri lakini cha ajabu ni kwamba sio kila mtu anakuwa tajiri licha ya kila mtu kutaka sana.Kila mtu anatamani na kutaka sana kuwa na uhuru wa kifedha lakini walio wengi ni wale wasiojua hata huo uhuru wa kifedha wanaoutaka wataupataje.Madeni yanasumbua sana maisha ya watu kwa kweli, madeni yanawafanya watu wanakuwa watumwa, Je! Unataka kujua njia rahisi zaidi zinazoweza kukutoa kwenye madeni uliyonayo? Mwandishi George Clason katika kitabu chake hiki cha Tajiri Mkubwa Wa Babeli anatufundisha nini hasa mtu anapaswa kufanya ili awe na uhuru wa kifedha, Si hivyo tu anatufundisha ni kwa namna gani tunaweza kulipa madeni hadi kuyamaliza tena bila kuumia. Kama unataka kuwa na uhuru wa kifedha, kama unataka kutoka kwenye madeni sugu uliyonayo basi fanya uamuzi wa kusoma kitabu hiki.
Somo nzuri Richest man in babeylon ❤
Ubarikiwe kaka
I really needed this .... be blessed 🙏
Ubarikiwe kaka asante sana
Mwalimu nakuelewa sana ubarikiwe
Wealth materials for every body
be blessed
Iko poa sana
Nmeipenda sana hii hongera sn mugu Akupe nguvu uzidi kutupa elimu
Asante sana
Asanteee sana
Asante sna kaka yangu
Karibu ,dont forget to subscribe
10/10 big up chief
Nimejifunza kitu kikubwa sana ,,, ✍️
Hongera kujifunza
Nzur
Thanks so much
Very good uchambuzi
Nzuri
Mambo
Thank you
❤🎉
Thanks bro
nimejifunza kitu apa bro uzidishiwe maarifa zaid
brother nipe tafasili yakitabu cha the business school by Richard kiyosaki
Bro naomba ututofasirie kitabu cha Robert kiyosaki
Kitabu kipi cha Robert Kiyosaki?Ameandika vitabu vingi mfano Rich Dad Poor Dad, Guide to investing, Four Quadrant....
@@ElimikaMtandaoni poor Dad and Rich Dad
Ipo tayari hapo icheki tu