A.allykum Dah ukafiri ni ukaidi c dini yaani yupo wazi lakn haoni haoni wala hasik mungu atufishe haliyakua waislamu muumin pamoja na mashekh wetu hawa kwa kazi nzito wanayoifany ya kuitetea dini yetu ammin Taqbiiir
Allah awazidishie nguvu masheik wetu, n pia muchukue juhudi zaidi ili muweze Kuja upande wa kalolen I giriama muweze kutufundisha nasi Maan huku watu wanapotea.
Mashallah inasisimua Allah awape taufiq Hawaii walio silimu entire ndugu zangu wakristo hakika site no waja was Allah hivyo no wajibu wetu kumuabudu nawaombea kwake uwongofu ameen,
WW katungu umesha raanika atunashid naww utaenda kujibu Kwa Allah kaaufikirie iyo dini ulonayo Kwanzaa ukristo siodini jina mlipangiwa nawabagani jiangalieni Sana wakristo amna dini nyinyi makafiri
Mashallah Mashek zetu Mungu awazidishie nguvu na uhai wa kupambana na hli jambo la kuwatoa binadamu wenzetu kutoka kwenye Giza na kuwaingiza kwenye mwangaza
2:256(Al baqarah)mtu halazimishwi dini...yunus10:100..kuamini ni kwa idhini ya Mungu mbona mwalazimisha kwa fujo?eti leo lazma uislim!!...Quran2:253..Mariam kapata ujauzito kwa uweza wa ROHO mtakatifu....Mwanzo1:2 inasema Mungu ni Roho...yohana3:6 kilichozaliwa na mwili ni mwili Bali kilichozaliwa na ROHO ni Roho...sisi tuna baba wa mwili na Yesu Baba yake ni Roho,naye pia ni Roho..isaya9;6 mtoto atakaye zaliwa ataitwa Mungu mwenye nguvu....
+Katungu Kitambala wewe unafanya ushabiki,kasome biblia nzima japo imetiwa chungu ya maneno na waandishi ni wapi yesu aliwahi kujiuta ama kuwaambia mumwite Mungu?jamani hamuogopi?Mungu habadiliki,hakuzaa,hakuzaliwa,haonekani wala hajawahi kuonekana,ndio maana musa alayhi salaam alipotaka kumuona alishindwa tena aliona nuru wala hakustahamili,sembuse wadhambi kumuona?Mungu hafanani na chochote kule wala hafanyiwi imagination,si malaika,wala manabii akiwemo yesu walowahi kumuona Mungu,jamani ogopeni moto,maan huu tunaopikia umepizwa sana na bado ukikushika unaweza kafa sembuse huo ambao haujapizwa?kumbuka Allah alokuoa mukono ya kuandikia atakuuliza uliitumia kuandika nini ndugu ,jitafakari na uchunguze njia zako la sivyo utakua na la kujibu na ukifa unasema yesu Mungu weww ni wa motoni tu ndio maana akasema katija mathayo 7:21 hatawatambua japo mtamwita bwana
Hii haijawahi nitokea hata kwenye misiba ya familia Nimetazama hii video mpaka kufikia kwa huyu kijana alievaa flana ya jano wakati anakuja hapo jukwaani kuja kuslimu; nimelia sana wallah, nimejiku nashindwa kuvumilia aisee. Allah yupo tutendeni mema na tuache maovu
JESUS CHRIST! nipe hicho kitabu cha biblia kinachowaita wachungaji mbwa. na kama ni kuropokwa, omba MUNGU AKUSAMEHE. Otherwise , ngonjea adhabu kwa kusingizia Mungu uongo. Na adhabu ya Mungu hata ikikawia, hufika tu!
mara zote mnasema one god ila mnakua wakwanza kusema nafsi tatu,hivi hamuoni ishara za kuwepo Allah mmoja?jua ,mwezi mbigu(anga halianguki)nyota, usiku na mchana, mvua,wewe mwenyewe,akili aliokupa,rizki,na bado hamuamin na mengine mengi duu kweli mtu akikufuru ananogewa na kufuru yake
Anaye mkubali Pro Mazinge agonge Like hapa twende nae sawa
Mungu atakulipa unacho stahili Shekhe Mazinge na Mungu akujalie maisha marefu
Nashukuru sana mwenyezi Mungu kwa mjadala unao tufunza Imani ya kweli.
Prof; mazinge allah akulinde uendelee na kazi hiohio na akuepushie na mabaya
A.allykum Dah ukafiri ni ukaidi c dini yaani yupo wazi lakn haoni haoni wala hasik mungu atufishe haliyakua waislamu muumin pamoja na mashekh wetu hawa kwa kazi nzito wanayoifany ya kuitetea dini yetu ammin Taqbiiir
Kwa nini wewe Dini unaielewaje?
Mashallah ust mazinge mungu atuhifadhie.twakuaminia mbele yako hawana say
Allah awazidishie nguvu masheik wetu, n pia muchukue juhudi zaidi ili muweze Kuja upande wa kalolen I giriama muweze kutufundisha nasi Maan huku watu wanapotea.
Mashallah inasisimua Allah awape taufiq Hawaii walio silimu entire ndugu zangu wakristo hakika site no waja was Allah hivyo no wajibu wetu kumuabudu nawaombea kwake uwongofu ameen,
Ma sha Allah nafurahi hutamani kulia kwa furaha Allah awafanyie wepesi Mashekhe wetu awajalie walioslim wasirudi kwenye giza😭🙏🥰🥰🥰
Ma Sha Allah, Ma Sha Allah, Ma Sha Allah. Mazinge Mwenyezi Mungu Akusamehe Makosa Yako Na Akutie Katika Pepo Yake Ya Daraja Ya Juu Kabisa In Sh Allah.
ALLAH akuzidishie na akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha sheikh wetu.nimefurahi mpaka chozi limenitoka.akuweke ALLAH
Maashaallah ustadhi mazinge Allah akujaalie kila la kher jazaka Allahu kher
Allahu Akbar kwa hakika dini ya haki na ya ukweli ni uislam, In sha Allah mwenyenzi mungu anifushe katika uislam
maa shaa Allah, Raha wallah mwenyezi mungu akujaalien iman thabit pamoja Nas, karibun katika dini ya haki
Mashallah
MashaAllah.subhanaAllah Allah Awabarikia Waliokuwa waislamu Na ambao ni kwa karne hii
MashaALLAH tabarakaLLAH hongern sn mashekh wetu ALLAH awabark daima
Ustadh Mazinge Mungu akuingize peponi.
M.mungu awape nour waliosilim pia pepo pamoja na waislam wote kw jumla
Mungu mkubwa .mwenyezi mungu awalipe kwa kazi nzuri ishaallah
MashaAllah.....ama kwely dini ya kwely ni uislamu.......Allahu akbar.....lively from kenya
mungu awaweke wenye kufanya kazi ya allah. sikazi ndogo allah akbar
Waislam hatujasema mtume wetu Muhammad ni mungu bali ni mjumbe wa ALLAH na Issa pia mjumbe wa ALLAH
Allah awahifadhi masheikh wetu Allahumma amiin
Hakika dini ya haki ni uislam shekh Allah akufanyie wepesi uendelee kuitangaza dino ya hakh na akulipe hapa duniani na akhera inshaallah
Allah Akbar, tunashukuru Allah muweza wa yote mwenye Alitudjalia tukaslim! na Awadjalie waAlimu wetu kila la kheli Inshallah
Mashaallah Kazakhllah kheir Sheikh mazinge
mashaallah sheikh nafurahi kila niangaliapo video zako ukitangaza dini ya Mungu
Mungu wape subra mashekh wallah
Mashallah jamn Allah amjalie mazinge
hakuna mola anaepaswa kuabudiwa kwa haki ispokua M.mungu pekee takbir by nassour abdallah nassour from Zanzibar
Sema isipokuwa ALLAH (Subhaanahu Wataala)
Takbeer
Mpaka mchozi😊😅 wa furaha umenitoka wallah nimejisikia raha sana watu kuingia dini ya kiislamu😘😘❤❣
Hata mm
Hata mm
@@mashramadhani1989 Kwakweli inaleta raha mnooooo 😊😍😍😍
@@asiamussa396 unaona kabisa nguvu ya Mungu na Mazinge alale pema peponi
mashaalah mazinge mola akulinde shujaa wetu
Assalam Alaykum Sheikh Mazinge na Team yako Allah Awape JANNAH...... Insha Allah Mungu Atawalipa Mema Kwa hii Dunia na Akhera...
Ammn insha allah
Ameen
Inshaallah
Assalaam Aleikum sheik mazinge. Mungu awasaidie katika makazi zenu inshaallah
Amiin
Mazinge ni hatarii...Mashallah...watu wanaona haki
Innaddiinu indallahul-islam (Hakika dini mbele ya Allah ni din ya kiislam )
Allah awajaalie siha njema mzid kutuelimisha Ummati Muhammad Swalallahu Alaihi Wassallama
؛ Amiin
Laaaaaaa ilaaaaa hailaallaah Muhammad rasulullah
Maa Shaa LLAHU
WW katungu umesha raanika atunashid naww utaenda kujibu Kwa Allah kaaufikirie iyo dini ulonayo Kwanzaa ukristo siodini jina mlipangiwa nawabagani jiangalieni Sana wakristo amna dini nyinyi makafiri
Maisha marefu kwa mazinge katika kitenda jihad inshaallah
Wakristo kwel mmepatwa na bumbuwaz Allah awatangulie ktk maisha yenu. Inshallah
Haaaaaa!!!! Matendo yenu yangeonyesha uwepo wa Mungu ndio ningepatwa na bumbuwaz.
takbiriiiii kwa walio silim mashaaallaah unaweza toa machoz allah awalipe
Allah akbar
Kwa hakika uislam ni dini uliokamilika tudndelee kuwafahamisha wasiojua Mungu awabariki sana Umoja wa wahadhiri wa uislam
Imana nimwe kwi hisi yose Allah akbar .Allah akbar. Allah akbar .Allah akbar. Allah akbar. Allah akbar. Allah akbar.
jazakallah kheir mungu awazidishie wa awakinge na kila sharii
Alhamdulillah kua muislam sasa wakristo kueni makini nawachungaji wenu wanawapoteza
Bora kuwa atheist kuliko huko kwako..... Maana atheist anaona thamani ya mwanadamu mwenzake
hawa wakristo wanapaniki mno! yaani Daah, shukrani Akasha m.mungu akujalie In sha Allah
Wanalazimisha maneno ya kinywan mwao yawe haki
Mashallah mungu awabaliki inshallah 2wende sote pepeni 😂😂😂😂 Ameen
Mungu akulind ustaz mazing
Yaaraby dumisha uislam ktk dunian na akhera. Mazinge kaka usichoke na allah akupe nguv zaid ktk kupigania jihad. Nabado hao watakuja tuu
Mashallah kwakazi mungu awazidishie I manii uislamu ndio din ya khaki
hakika allah yu pamoja nasi siku zote. na atuzidishie imani na baraka hapa duniani na kesho akhera inshallah.
Hakika Dini Ya Kwel Mbele Ya Allah Ni Uislamu🙏🏽
Inna dinna indallah islamu
Mungu akuzidishie uhai mlefu
Uzidi kuitangaza dini ya allah
I love u habib mazinge 4 the sake of allah please tell her
Mashallah allah awape pepo ya firdaus na awape uvumilivu ktk hilo
Yaan hao vpofu kabisa Allah awaongoze masheikhe wetu na hawoo waloclmu Allah awape ibra ya kuijua dini
Mashallah Mashek zetu Mungu awazidishie nguvu na uhai wa kupambana na hli jambo la kuwatoa binadamu wenzetu kutoka kwenye Giza na kuwaingiza kwenye mwangaza
Wakristo hebu badilikeni basiii hyo c dini ya kweli atyiiii, Allah ndie mungu "mupo" by fety mudy from mafia
2:256(Al baqarah)mtu halazimishwi dini...yunus10:100..kuamini ni kwa idhini ya Mungu mbona mwalazimisha kwa fujo?eti leo lazma uislim!!...Quran2:253..Mariam kapata ujauzito kwa uweza wa ROHO mtakatifu....Mwanzo1:2 inasema Mungu ni Roho...yohana3:6 kilichozaliwa na mwili ni mwili Bali kilichozaliwa na ROHO ni Roho...sisi tuna baba wa mwili na Yesu Baba yake ni Roho,naye pia ni Roho..isaya9;6 mtoto atakaye zaliwa ataitwa Mungu mwenye nguvu....
Mashallah Allah akulipe kila la kher
Allahu Akbar nimefurah sn mashaallah mungu amewaonesh njia y haki n awaongoze lkn uyo pastor kanichekesha sn maana uwo ukaid wk duhh
Mazinge sina cha kukupongeza ila furaha niloyo mungu anajua.
Mungu wa wakiristo Ametahiriwa 😭😭😭😭😭😭kosa mali uwe na Akili
Kanzi nzuri Allaah awalipe isha allaah
Mazinge nakupenda kwa ajili Yaa Allah
Mashallah! allah awazidishiye kila lakher
😂😂
issa ni nabii wa mungu siyo mtoto mungu hakuzaa wala hakuzaliwa
Kubali au ukatae Yesu ni Mungu
Kubali au ukatae Yesu ni Mungu
Kubali au ukatae Yesu ni Mungu
+Katungu Kitambala wewe unafanya ushabiki,kasome biblia nzima japo imetiwa chungu ya maneno na waandishi ni wapi yesu aliwahi kujiuta ama kuwaambia mumwite Mungu?jamani hamuogopi?Mungu habadiliki,hakuzaa,hakuzaliwa,haonekani wala hajawahi kuonekana,ndio maana musa alayhi salaam alipotaka kumuona alishindwa tena aliona nuru wala hakustahamili,sembuse wadhambi kumuona?Mungu hafanani na chochote kule wala hafanyiwi imagination,si malaika,wala manabii akiwemo yesu walowahi kumuona Mungu,jamani ogopeni moto,maan huu tunaopikia umepizwa sana na bado ukikushika unaweza kafa sembuse huo ambao haujapizwa?kumbuka Allah alokuoa mukono ya kuandikia atakuuliza uliitumia kuandika nini ndugu ,jitafakari na uchunguze njia zako la sivyo utakua na la kujibu na ukifa unasema yesu Mungu weww ni wa motoni tu ndio maana akasema katija mathayo 7:21 hatawatambua japo mtamwita bwana
Sakina Ally Alimahanisha manabii wa uwongo. Atendaye mapenzi ya Mungu baba ndio atakaye ingiya katika ufalme wa mbinguni. Yesu alikuwa na kanisa lake.
Anae Sema yesu n Mungu.bc ana mapepo mtu huyo.
mapasta umemewaoteza wenzen cku nying makanisan.kwahvo ingien kwa uislm mupate Amn y Bwana.
mashaallah mashekh zangu
mazinge the best one
I'm muslim girl from kenya working in Saudi Arabia plz my dear fellow Muslims I beg to be assisted with sheikh mazinge's contacts
he lives in tanzania
thankyou fauz Ibrahim,phone numbers Za ust mazinge plz
you are our hero mazinge
mashaAllAh mung akubarik sheikh ww
Mrs dully amin Mrs mie
Mazinge ndio shujaa mpiganaji hakika allah akuhifadhi leo na kesho
Hii haijawahi nitokea hata kwenye misiba ya familia
Nimetazama hii video mpaka kufikia kwa huyu kijana alievaa flana ya jano wakati anakuja hapo jukwaani kuja kuslimu; nimelia sana wallah, nimejiku nashindwa kuvumilia aisee. Allah yupo tutendeni mema na tuache maovu
Mungu akujalie ishallay
mashallah mko poa mashekh wetu
Mungu wa wakiristo amezaliwa 😭😭😭😭😭😭huyo mchungani kama amevuta bangi 😭😭😭😭wachungaji ni mbwa bibilia imesema 😭😭😭😭from dubai
JESUS CHRIST! nipe hicho kitabu cha biblia kinachowaita wachungaji mbwa. na kama ni kuropokwa, omba MUNGU AKUSAMEHE. Otherwise , ngonjea adhabu kwa kusingizia Mungu uongo. Na adhabu ya Mungu hata ikikawia, hufika tu!
MashaAllah! Allah awazidishie
Rashid Chipatu AMINA
+AKASHA DAAWAH salaaam ndugu muislam jaomba namba ama unipe mawasiliano ya hichi kikosi tafadhali usipuuze kwa ajili ya mola billah taufik
Allah awajalie habib mazinge na masheikh wote walohudhuria hapo na waislam wote tukapokee vitabuvyetu kwa mkono wakulia amin
Aameen
allAhuma amin inshaallah mashaallah
Maashaallah
Mazing arudi Burundi kukanya muhazdhara
Mashaa Allah
One God...one faith and one body.....
mara zote mnasema one god ila mnakua wakwanza kusema nafsi tatu,hivi hamuoni ishara za kuwepo Allah mmoja?jua ,mwezi mbigu(anga halianguki)nyota, usiku na mchana, mvua,wewe mwenyewe,akili aliokupa,rizki,na bado hamuamin na mengine mengi duu kweli mtu akikufuru ananogewa na kufuru yake
Masha Allaah
Am proudly to be muslim and am happy
Masha Allah maustadhi wetu
Masha Allah shehe othman mazinge
Kuacha ukristo kwenda uisram nikuiendaa Imani kingine zaidi ya yesu hakuna Sheria nihukum tu na mtu asipo mfuata.yesu ameikaribia jehanam
Allah Akbar
Anta habiby ya Muhammad wafunze luga haomakafiti vitwa vyao vigumu kama jiwe
mpe huyo mazinge hawa watu ni vipofu kazi yao ni kukula tu hawashibi kamwe tena wanapenda kulala Sana uwaamushe wapate kumjua Allaah.
Mashallah
Hakuna siku nimefurahi sana kama Leo god is great
Tatizo Wakristo Wamenyimwa Ufahamu Na Mungu MWENYEWE Ndio Maana Wanapata Tabu Kwa Waislamu.
Wallah mungu awazidishie mashekh wetu
kumbe uyu mungu wawakiristo alikua mtoto nilikua sijui kazi ipo
Said poleni kwa msba Kinidi hapo unaikufuru kakuruhani mbona kamiandika hii habari
hahaha Astaghfirullah
Huu ubishi wenu unanichekesha sana I'm feeling good when I watching this video.
Tumia kiswahili kaka kidhungu waachie wenyewe... At when I watching 🙄🙄🙄.....
MASHAALLAH ❤️ ❤️ MASHAALLAH
Mashallah furaha yangu asa kuona hawa watu wanaingia katika uislam bas furah yang machox yananitoka Allah awadumishd katika uislam nyinyi na cc pia
Mola akulinde shehe mazinge ,sijwahi ona kama hii Allah Akbar
Mashallah! Najivunia kua muislam
MASHALLAH
Ao mapaster walopotea hawajui debate lakin wenzao wameelewa dini ya haki. mungu wewe ndo wakushukuriwa
Si makosa yke kwa sababu hajui anachokisema......astaghafiruaalaa.....Mungu atamuongoza