Asalam alaykum shekhe. Nini hukumu ya mwanamke aliye ishi kweny ndoa na kuzaa mtoto alafu akaondoka kwa mumewe kwasbb ya kugundua kuwa mumewe ana mke mwingine Na uko alipo baada ya kukaa kwa muda mrefu akapata mwanamme mwingine wakaishi na kuzaa lkin awajaowana Sasa mwanamme wake wa kwanza amefariki lkn amekufa na deni la mahali ya yule mwanamke ssa yupi anaestahiki amlipe mwenzie Naomba ftwa ya jambo hilo inshallah
Asalam aleykum sheikh wangu wanamke atakosaje thamani katika usilamu na wao wametuzaliya manabi pamoja na mbora WA mitume wore sayidna rasullah swalalahu alehim wasalam
@@Catherine-mh8sw unajua kutoka sehem moja kuenda sehemu nyengine pia kunataka maamuzi coz ushazoea kukaa sehem kwa muda mrefu kwaiyo ni lazima kidogo kidogo uanze mabadiliko sio hafla tu kama unavo dhania
Hongela sana kwa WACUNGAJI wote kwasababu hawajuwi bibiliya.
❤❤❤❤❤❤ alhamdulillah ya rabbiy shukran kwa kazi unayo ifanya masheikh wetu Allah awalipe kilalaheri barakallaw fikum Allah aqbar
I love shafii He kept it real this whole time.nakuita mufunuaji akili.
Sheikh shafi haya hii mada ulivyo ipangua pangua wallah mashAllah.Allah azidi kukufulia milango ya fahamu tuzid kufaidika kupitia kwako
Sheikh Shafi 👏🔥
ALLAUAKBARR
Ila Sheikh Shafi nikwambie ukweli wangu...unajuwa mashallah
Shukran jakallah khaira
MASHA ALLAH 💚 namkubali sheikh shaffi 100 %
Nakuelewa vzr ustadh wangu tufaidishe na mawaiza yako Allah akuhifadh
Masha'allah sheikh shafi Allah akuifadhi tu basi
Wafundishe wataelewa tu hata pakikawa wanasilimu ndogomdogo kutoka mueda mozambik🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wapili kutoka Malawi
Kumbe Malawi wanazungumza kiswahili
Wakwanza kutoka 🇲🇿
Kumbe Mozambique wanazungumza kiswahili
Nasema tena kwa ndugu zetu uislamu unasema ukweli na kukuonya bali kukubali na kukataa ni hiari yake mtu...
Ndio maana wntongo zana kanisani alafu kuona
❤❤❤🌹🌹🌹📿
Watu wa roho mtakatifu ni shida tu
Asalam alaykum
shekhe. Nini hukumu ya mwanamke aliye ishi kweny ndoa na kuzaa mtoto alafu akaondoka kwa mumewe kwasbb ya kugundua kuwa mumewe ana mke mwingine
Na uko alipo baada ya kukaa kwa muda mrefu akapata mwanamme mwingine wakaishi na kuzaa lkin awajaowana
Sasa mwanamme wake wa kwanza amefariki lkn amekufa na deni la mahali ya yule mwanamke ssa yupi anaestahiki amlipe mwenzie
Naomba ftwa ya jambo hilo inshallah
Akili za akina mobutu na wenziwe wapi kiubishani
Asalam aleykum sheikh wangu wanamke atakosaje thamani katika usilamu na wao wametuzaliya manabi pamoja na mbora WA mitume wore sayidna rasullah swalalahu alehim wasalam
Walykum salm warahmatullahi wabarakatuh
Takbiiir
Aslama alaykum ustadh naomba kuliza unakielewa kitab cha hekok na unakielewa vp
Simulizi wanao ona na hawasikii itabidi utafute namna yakuwasaidia ..viziwi nao wanaweza pata faida
Simuliz atakuja kusilim
Ikielewa vizuri. Mpaka sasa hajaelewa vizuri
@@Catherine-mh8swpengine ashaelewa but bado haja amuakuongoka
@MohamedAhmada-ie7ke bado hajaelewa maana wachungaji wakimwambia anaona wako sahihi . Sheikh shafii akimwambia anaona yuko sahihi. Mpaka sasa hajuwi ashike wapi
@@Catherine-mh8sw unajua kutoka sehem moja kuenda sehemu nyengine pia kunataka maamuzi coz ushazoea kukaa sehem kwa muda mrefu kwaiyo ni lazima kidogo kidogo uanze mabadiliko sio hafla tu kama unavo dhania
@@MohamedAhmada-ie7ke najuwa sana. Ndiyo maana nakwambia huyo bado hajawa na jibu
Sheikh Shafi wape elimu ya kiroho hao wenzetu waijuwe maana yake nini??