Sheikh wng mimi nakukubali sana ila kwenye hili naona unatumia nguvu nyingi kutetea nikweli wanasiasa wanamakosa yao ila lengo la maandamano nikuacha vifo vyamakusudi Leo kwawanasiasa kesho itarudi tena kwufa kwa mashekhe tena kwakufatwa majumbani kwao hili jambo lazima likome kwanza
kama huwezi kutoa coment ni bora unyamaze sio kuleta coments zinazoweza kuamsha fitna kwa vjongozi wetu hatutaki kuingia kwenye mambo ya fitna tumechoshwa nazo.
@@AlexMnane ukiona sheikh kila Napo simama kwenye jukwaa lazima ataje ukiristo jua huyo sheikh ana udini. sheikh asiye na udini hawezi kuzungumzia ukiristo dini isiyo yake
Sheikh wetu ukweli mtupu huo ila tunaokumbushwa tunakumbushika? Au wengi wetu tuna ubongo bila akili yenye ufahamu na imaani mioyoni mwetu, msiba juu ya msiba. Tufungueni masikio macho na akili zetu.
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
MUNGU Akulinde KAKA Yangu Kipenzi 🙏
Allah akubariki Sheikh wangu
Uko vizuri sana she wangu
Shekhe Alla akulinde
Mashallah maneno mazito sana kweli kabisa Allah Akubarik
Sheikh wng mimi nakukubali sana ila kwenye hili naona unatumia nguvu nyingi kutetea nikweli wanasiasa wanamakosa yao ila lengo la maandamano nikuacha vifo vyamakusudi Leo kwawanasiasa kesho itarudi tena kwufa kwa mashekhe tena kwakufatwa majumbani kwao hili jambo lazima likome kwanza
Aaaaaaaa jamani ponda usimpe hiyo sifa haipati Wala Hana hiyo sifa
Sheikh umepiga kwenye mshono hayo ndiyo yanaendelea kwenye taasisi zetu natamani ungeanzisha taasisi yako sheikh mziwanda
SINDIO HAO WANAOTEKA WATU KWAUPEO WANGU MIMI WANAOTEKA WATU MWAWAJUA ILA HAPA MM NAONA KUNA KIPENGELE CHA KUJIPENDEKEZA KWA MKUU WA NCHI
mna njia nyingi za kujipendekeza kwa raisi
Bora kujipendekeza kwa Rais kuliko papa fransis 😊😊😊😊
Maneno ya kweli kabisa
Mziwanda na shekh ponda ndio watu walipaswa kuwa kwenye uwongozi bakatwa
kama huwezi kutoa coment ni bora unyamaze sio kuleta coments zinazoweza kuamsha fitna kwa vjongozi wetu hatutaki kuingia kwenye mambo ya fitna tumechoshwa nazo.
@@abbassmshaury7572upo sawa ndugu
@abbassmshaury7572 hao viongozi wenu umeona wanatetea haki za waislamu aw wanatetea matumbo yao tunataka viongozi wenye kujua wajibu wao
Hana lolote huyu, jasiri ni yule anaekosoa mamlaka na sio yule anaekosoa wakosoaji wa mamlaka
Mashallah
😂😂😂
Ukiwa na uhakika na Allah na uka mtekelezea anayo kuhitaji Kwa usa hihi ya nini umu ogope mtu
Wabudu majin wamekutan mtume wao pepo mungu wao shetan
Wewe ni rafiki mauzinde mjinga mmoja wewe
Kama huna ujumbe wa kujenga Bora umyamze Kim ya nao utakusaidia sana katika maisha yako na familia yako
matumizi ya akili ujaitumia vzr
Unahasadi wakaribia kumfkia ibilisi
Ata raisi akiumwa ata pelekwa ulaya 😂😂 mfano butu kabisa sheikh wangu
Huyu sheikh ana udini sana
Sio shee falsafa ya kislam ndio ilivo umimi
Sijaona udini alionao huyu shehel anafundisha zaidi Dhima mzima ya kutokuwa na ubinafsi uliokithiri.
@@msambalamjukuu3866 kweli waislamu wana ubaguzi sana
@@AlexMnane ukiona sheikh kila Napo simama kwenye jukwaa lazima ataje ukiristo jua huyo sheikh ana udini. sheikh asiye na udini hawezi kuzungumzia ukiristo dini isiyo yake
@@AlexMnane utakuwa hujamfatilia vizuri huyu sheikh ni mtu wa kulialia sana mara utakuta anasema wakristo wamependelewa yani ni mdini sana
Sheikh wetu ukweli mtupu huo ila tunaokumbushwa tunakumbushika? Au wengi wetu tuna ubongo bila akili yenye ufahamu na imaani mioyoni mwetu, msiba juu ya msiba. Tufungueni masikio macho na akili zetu.