HOJA ZA PAULO, KIJANA WA MCH. NDACHA ALIYEACHA UISLAMU NA KUWA UKRISTO ZIMEJIBIWA NA UST SHAFII

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • USTADHI SHAFII HAPA AMEJIBU HOJA ZA PAULO ZILIZOMFANYA KUTOKA KATIKA DINI YA HAKI YA MTU SAW NA KUWA MKRISTO BAADA YA KUPEWA ELIMU YA UKRISTO KUTOKA KWA MCHUNGAJI NDACHA

ความคิดเห็น • 265

  • @abdallahdoka9173
    @abdallahdoka9173 วันที่ผ่านมา +7

    Simba wa da'awah ... Alhabib shaffi Allah akulinde. Shujah wetu❤❤

  • @AbubakarKi
    @AbubakarKi วันที่ผ่านมา +4

    Yesu atakuja kuhukumu kulingana na quran nyinyi wakristo muna ogojea nini?wakati yesu anavunja msalaba, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminiahmad-i9q
    @aminiahmad-i9q 2 วันที่ผ่านมา +4

    Simulìzi mimi naona mwisho utasilimu maana umejifunza mengi kuhusu uisilamu.

  • @LucaWanzuki
    @LucaWanzuki 2 วันที่ผ่านมา +5

    Shekh shafi kweli ww nimwalimu unajuwa kufafanua mashaalha

  • @HusseinAbdallahNgwema
    @HusseinAbdallahNgwema 2 วันที่ผ่านมา +4

    Al akhy Shafy, jazakallàhul khayr, kutokana na juhudi zenu, Allah amekupeni fikra na fahamu za hali ya juu, In shaa Allah, Allah atubarik sote

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix7222 3 วันที่ผ่านมา +4

    Shekh kazi unayo mkristo anakataa hadi biblia biblia inasema wao wanaikataa sijui nanataka nn?

    • @SaidiMazaila
      @SaidiMazaila 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@pwezapwezafelix7222 hao ni vipofu na ni viziwa!! Hakika hawaoni kwa macho Wala kusikia kwa masikio yao. Wamejawa na mapenzi ya kutafuta ushindani na sio kutafuta ukweri kwa kutumia Akiri walizobarikiwa na mola wetu mlezi. Innalilah wa innairah raju'uun

  • @aasatt78
    @aasatt78 วันที่ผ่านมา +2

    Asante simulizi zone kwa kutuletea Shafii

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 2 วันที่ผ่านมา +3

    Wakristo jaman ustadh shafi wapi hamumuelewi???

    • @JordanRichard-s2d
      @JordanRichard-s2d วันที่ผ่านมา

      Kuna v2 ujui ktk ukristo! Usiwaze lakini.haya ni mapenzi ya Mungu. Siku ikifika utapata Io neema.

  • @abdinyangassa4547
    @abdinyangassa4547 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hata mngefanyaje hamuwezi kuushinda uislamu, hii ndio dini ya haki no doubt. Ndacha wenu anawaingiza mkenge kwa maslahi yake

  • @salimsaid6149
    @salimsaid6149 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wakristo wana vichwa vigumu kuelewa na hawasomi kitabu chao Mungu alivosema Yesu ni neno' maana yake alivyosema kuwa mimba kwa mariam ndio maana yake neno

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 2 วันที่ผ่านมา +1

    Dah yani ustadh shafii ni moto wa kuotea mbali 🔥 🔥 🔥

  • @BakariBakiri-kj7bw
    @BakariBakiri-kj7bw 3 วันที่ผ่านมา +2

    Nakukubari shehe shaff

  • @fettymcharuko7341
    @fettymcharuko7341 3 วันที่ผ่านมา +2

    Kweli wagalatia vipofu wa vipofu😂😂😂

  • @moshantoj
    @moshantoj 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nimengoja msafi atoe haya biblia inaruhusu uwongo na hakuna

  • @LucaWanzuki
    @LucaWanzuki 2 วันที่ผ่านมา +19

    Ukatae ukubali waisilamu ndio waalimu wa wakiristo jifunzeni kutokana na waisilamu acheni ubishi

    • @BobgIsmail
      @BobgIsmail 2 วันที่ผ่านมา +1

      Upo sawa kabisa

    • @BOAZIMPITANYE
      @BOAZIMPITANYE 2 วันที่ผ่านมา +1

      Acha kujidanganya

    • @joezeno8
      @joezeno8 2 วันที่ผ่านมา +3

      “ Kama unayo shaka juu ya hayo tuliyokuteremshia, basi waulize wasomao vitabu kabla yako” Yunus 10:94

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 2 วันที่ผ่านมา +3

      @@LucaWanzuki ukweli waalimu wa kiislamu atleast wanaelewka

    • @rejim2231
      @rejim2231 2 วันที่ผ่านมา +1

      Ukatae ukubali kama usemavyo Ukristo ndio Imani thabiti kupitia Yesu Kristo anaeaminiwa mpaka na waislamu wenye akili timamu. Na Biblia ndio kitabu cha kwanza kiliochongoza mpaka quran kwa kuiga mengi yaliyomo. Tangu lini mwanafunzi kuja kumfundisha mwalimu aliyemfundisha? Acha bange dogo janja. 😂😂😂

  • @EdwinMeta-nh1vv
    @EdwinMeta-nh1vv 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ndo unajichanganya, sisi tunakua kuwa Mungu huzaa si kwa mwili, soma yoh 3:16 Yesu ni mwana wa pekee, halafu biblia ni kitabu Cha unabii zaburi inasema "Bwana aliniambia ndiwe mwanangu Mimi Leo nimekuzaa" neno Hilo linamrejelea Yesu , andiko linguine likasema omba kwangu NAMI nitakupa mataifa kuwa urithi wako, utawachunga kwa fimbo ya chuma utawavunja kama chombo Cha mfinyanzi" hayo maswali mnaanzia mwisho anzieni katika vitabu vya manabii.

  • @JohnReonald-up8zr
    @JohnReonald-up8zr 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu mwandishi ndo anamatatizo ww mwandishi ndo unanukuu mtu vibaya

  • @AshamMussa
    @AshamMussa 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shafi ni kiboko ya wakristo asotaka kufahamu na ujinga wake afe nap tu

  • @mohamedymkopi5887
    @mohamedymkopi5887 3 วันที่ผ่านมา +1

    Simulizi ulichobakza nikujifunza zaidi kuijua Quran na hadidthi zake m sure siku moja utakuwa shuhuda wakuwa muislm kbsa.
    Inshallah Allah akufanyie wepesi

  • @OmaryBakariOmary-ts3mf
    @OmaryBakariOmary-ts3mf 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Allah mpe shafii muhadhil afya

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 2 วันที่ผ่านมา

    Roho iliyotoka kwake nani? Na nano la Mungu, kwa nini aitwe neno la Mungu

  • @haidar438
    @haidar438 วันที่ผ่านมา

    Simulizi ni mtaalam sana wa kuuliza maswali 😁

  • @KhamisMdzomba-w6h
    @KhamisMdzomba-w6h 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jazakallah kheir sheikh

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 วันที่ผ่านมา +1

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚 💚💚

  • @sirqiutaislaammahambe8784
    @sirqiutaislaammahambe8784 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi nasema Subhaana llah

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 2 วันที่ผ่านมา

    Simulizi hawa ndio walimu wa kuetegemewa hata sisi waislamu tunaelewa maandiko wale wengine ni kuvuruga tuu

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mashallah

  • @phakundigervas1360
    @phakundigervas1360 2 วันที่ผ่านมา

    Kama Mungu au Nani?

  • @CharlesMapunda-d5i
    @CharlesMapunda-d5i 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kajamaa kanajifanya kanajua maandiko na kutamba kwavile yuko peke yake. Kiboko yake Ndacha akitokea hapo utaona studio imejaa Mashekhee kibao wakimkabili mtu mmoja Ndacha

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe unaonaje lakini anajua maandiko hajui?

  • @davidedward6053
    @davidedward6053 วันที่ผ่านมา

    WAKRISTO WAPO KATIKA NJIA NA CHAGUO SAHIHI Kwa ajili ya maisha Yao ya hapa dunian na mbinguni.dini zengine zilizobaki ni za kikafiri Kwa kuwa zinaenda kinyume na mafundisho na maagizo ya kristo masih ambae ni muhuri wake mungu✝️💪🏾💪🏾

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Acha ushabiki uwo soma usije ukafa kafiri Mungu akaenda kukuchoma

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix7222 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo siko ya kufariki huyo nkorofi paulo mungu atafanya miujiza yake kama hata muotesha mkia jeneza haliingii kaburini zambi izo

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 3 วันที่ผ่านมา

      tunawajua nyinyi wachawi

    • @bitsanjE
      @bitsanjE 3 วันที่ผ่านมา

      Huo ni uchawi

  • @nizigamajeanine6282
    @nizigamajeanine6282 วันที่ผ่านมา

    Kabisa Shafi njoo katika ukristo maana wew utakuwa Mwalimu mzuri wa kutangaza ukristo

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Shida yenu mna macho lakini hamuoni mna masikio na hamusikii

  • @richardkonzo5717
    @richardkonzo5717 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mwandishi hana uelewa wa kutosha
    Naona anashindwa kujibu hoja rahisi sana

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc1727 2 วันที่ผ่านมา

    Swali Nataka kuuliza, kama roho Yako ni kama ile ya Yesu, wewe anaweza ukasema wewe na Mungu ni kitu kimoja? Kama Yesu alie sema? Muace kupotosha watu.

    • @TheAlman
      @TheAlman วันที่ผ่านมา

      @@banyankirubusamarc1727 kitu kimoja unatafsiri kwamba yesu na mungu ni mwili mmoja sindio? 😂 😂 😂 😂 Hapo sio maana hiyo. Maanayake nikwamba yeye na mungu wanaajenda moja kwamaama yeye kaja kama mjumbe muwakilishi wa kweli itokayo kwa mungu na sio hivyo ulivyo tafsiliwa na mapadri waongo

  • @favoritebrayo
    @favoritebrayo 3 วันที่ผ่านมา +2

    waislam si wana wa MUNGU wacha kuingia vichochoro

    • @mohamedbaridhwan3017
      @mohamedbaridhwan3017 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@favoritebrayo toa andiko

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@mohamedbaridhwan3017
      John/Yohana 1:10 -13

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@mohamedbaridhwan3017
      John/Yohana 1:10-13

    • @elifasinimpagaritse7902
      @elifasinimpagaritse7902 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@mohamedbaridhwan3017toa andiko kutoka kwa Quran kuwa nyinyi ni wana wa Mungu

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 2 วันที่ผ่านมา

      @@mohamedbaridhwan3017
      John/Yohana 1:10-13

  • @rejim2231
    @rejim2231 2 วันที่ผ่านมา

    Na hakuna mkristo naetaka kujua siri za waislam. Tunayoyajua kuwahusu yanatosha kuwa mbali na imani yao ya uongo.

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 2 วันที่ผ่านมา

      Km wenyewe mnasema hamtaki kujua Ndacha anashindwaje kuwadanganya anavotaka yeye,poleni sana wanakondoo😂

  • @ShakurAKBAR
    @ShakurAKBAR 2 วันที่ผ่านมา

    MaashaAllah Naam kwa Ufafanuzi Mzuri sheikh wetu

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 2 วันที่ผ่านมา

    Ukisoma Isaya 9-6 maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa.Tumepewa mtoto mwanaume;Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa lake,mshauri wa ajabu,Mungu mwenye nguvu,Baba wa muller,Mfalme wa Amani.

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ndio nn sasa....??

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sasa atazaliwa mtoto alafu ataitwa Mungu mwenyewe nguvu, kazaliwa alafu awe Mungu mwenyewe nguvu hebu acheni upuuzi uwo watu na akili zenu mnadanganywa kizembe 2

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 3 วันที่ผ่านมา

    moheedin nakukubali sana endelea kuendesha hii chaneli tuwe tunaelimika.. sheikh shafi nakupa 5 star

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Mzee ni tahira , kwahiyo Mussa alivyotumwa na Mungu nayeye ni MTUme? Malaika wanavyotumwa nao nimitume? Unaposoma biblia lazima ujue context , Yesu anaposema hivyo alikua anazungumza kama mwana WA Mungu , kwani maembe yanapozaa yanaingiliana

    • @ahmedimakope
      @ahmedimakope 2 วันที่ผ่านมา

      Wew Kuma

    • @SaidIsmail-f1j
      @SaidIsmail-f1j 2 วันที่ผ่านมา

      Ni udhaifu mkubwa Wa elimu yako maana ya neno kutumwa ni nini ukishasema musa alitumwa na mungu ni jawabu moja kwa moja ni katumwa huyo shida nini wakristo??? Someni na mutafsir kwa maana halis sio kwa mapokeo ya mapadri wenu wanatumia akili zao

    • @MohammediSemndili
      @MohammediSemndili 2 วันที่ผ่านมา

      Acha matusi bas ndugu shidanin

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 2 วันที่ผ่านมา

      😂kwaio Yesu unamlinganisha na maembe

    • @IMRANITV1
      @IMRANITV1 2 วันที่ผ่านมา

      ACHA ujinga kama Musa sio Mtume jee ni nani??

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 2 วันที่ผ่านมา

    Hawa jamaa na quluani yao wanajichanganya sana kuna aya kwenye quruani inasema Mungu hana mtoto leo sheeheee anakubali Mungu anawatoto

    • @RamadanSemlingwa
      @RamadanSemlingwa 2 วันที่ผ่านมา

      Wa kumzaa kama ulivyozaliwa elewa wew na uwe na adabu

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwanza nenda kajifundishe kuandika Qur'an alaf urudi hapa

  • @yassinm69
    @yassinm69 วันที่ผ่านมา

    Wakristo wote vichwa maji ,dini ya Haki ni uislam

    • @regnaldymambaly9880
      @regnaldymambaly9880 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@yassinm69 hivi wewe unayesema uislamu ni dini ya haki je kile walicho mfanyia mama yake adam haji ndio haki au? ngoja ni kufundishe kitu embu jifanye tuu kuwa umeokoka alafu ukamwambie baba yako au uende msikitini ukaseme hivyo alafu uone hiyo haki watakayo kupa mpaka utashindwa kuibeba,hakuna haja ya kutumia njia ndefu bwana wewe fanya hivyo tuu,naamini wewe huwa unawaona hawa jamaa wakiwa wamevaa kanzu nyeupe lakini hujui mioyo yao ni meusi kama oili chafu

    • @regnaldymambaly9880
      @regnaldymambaly9880 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@yassinm69 wewe si unaamini kuwa dini ya haki ni uislamu mimi pia naa mini kuwa wewe una haki ya kuishi na kuamini upendacho bila mtu yeyote kukupangia,sasa fanya hivi jifanye kuwa umeokoka alafu uende msikitini useme umeamua kumfuata Yesu alafu uone jinsi haki ilivyo jaa msikitini kwenu tusitumie njia ndefu,ata sukari na chumvi vikiwekwa pamoja wakati mwingine inakuwa ni vigumu kuvitofautisha kwa macho lakini unaweza kutumia ulimi wako kuvitofautisha sio lazima utumie sayansi ,sio lazima utumie biblia au kuruani

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix7222 3 วันที่ผ่านมา

    Shafi unapo sema ukweli hawa wanazibwa masikioni na kukomazwa vichwa vyao na chetani ambae ni baba yao

  • @rejim2231
    @rejim2231 2 วันที่ผ่านมา +4

    Wee NDACHA ww, njoo uku Shafii anasumbua uku! Anatamba ulingo mzima wakati yuko mwenyewe 😂😂😂

    • @AntonyManeno
      @AntonyManeno 2 วันที่ผ่านมา

      😂 Kiboko Yake😂😂😂 Kwa Mandiko❤❤❤

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 2 วันที่ผ่านมา

      Alishapigwavna Ndacha kalialia kweli.

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ndacha kwenye mdahalo alisema yesu Mungu, mana mwana wa nyoka nae ni nyoka, ila alipokua peke ake chumbani kaja kusema yesu sio Mungu na utatu mtakatifu hamna or umesahau

  • @abuuahmad3238
    @abuuahmad3238 2 วันที่ผ่านมา

    This is Another level... subhanallah... Sheikh Shafii broke it down...kama huelewi haya...we basi ni sikio la Kufa...halisikii dawa kamwe...
    Allah akuzidishie elimu, hikma na maarifa sheikh wetu kipenzi Shafii ...
    Salaam from Texas

  • @bakarimchila1297
    @bakarimchila1297 2 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulilah kuna waislam na wakristo wamejifunza hapa. Shida tu ni kufuata au kutokufuata. Usiamini kusimuliwa bali shika kitabu usome mwenyewe ili upate ukweli. We unaambiwa waislam wanaabudu majini na wewe unaamini?

  • @farinhobulangi3723
    @farinhobulangi3723 2 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa elimu Mwenyezi Mungu akuzidishiye elimu allahuma amin

  • @DavidpWarwo
    @DavidpWarwo 2 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa kama yesu ni wa wana wa Israel je Muhammad ni wa warabu sasa imekuwaje muafrika kumfuata ili ni gugu

    • @rukiakadzo8053
      @rukiakadzo8053 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @affelayabdulrahim4199
      @affelayabdulrahim4199 2 วันที่ผ่านมา

      @@DavidpWarwo Yesu kua kwa wana wa Israeli yeye katoa andiko na ww ukiambiwa utoe andiko kuonesha Muhammad kaletwa kwa waarabu tu unalo?

    • @DavidpWarwo
      @DavidpWarwo 2 วันที่ผ่านมา

      Yesu aliwambia wanafunzi wake wakayaubilie mathayo 28,:19 kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi na kuwabatiza kwa jina la baba na mwana na roho mtakatifu je sisi so taifa? Vivi hivo na Muhammad ni kwa watu wote waliyo amin

    • @affelayabdulrahim4199
      @affelayabdulrahim4199 2 วันที่ผ่านมา

      @@DavidpWarwo kama umemckiliza vzur ustadh kafafanua mataifa yanayoongelewa hapo ni ya waisraili na amesema yalikuwepo mataifa mengi na amaeambatanisha na andiko linalosema kua yeye ametumwa kwa wana wa israel umemckiliza au umekimbilia kujibu tu?

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Someni kwanza ili mfute ujinga

  • @bibleknowledge-b1y
    @bibleknowledge-b1y 2 วันที่ผ่านมา

    Mnamuamini yesu feki/....Huyo ni wenu ... wauongo...

  • @qwerqasd8597
    @qwerqasd8597 2 วันที่ผ่านมา

    Mashallah tabarakallah sheikh shafi nakupenda kwa ajili ya Allah Allah akulipe kheiri fi dunia wal akhera

  • @ANTHONYkamau-x2l
    @ANTHONYkamau-x2l 2 วันที่ผ่านมา

    Kuzaliwa Kwa neno,hapo ulifundiswa na ndacha.

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 2 วันที่ผ่านมา

    Swadakta Sheikh Shafi

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 2 วันที่ผ่านมา

    mashallah ❤❤❤

  • @Milanova460
    @Milanova460 2 วันที่ผ่านมา

    Simulizi naye hajui kumbana shafi....aeleze usemi wa Mohamandi anayeacha ndini ya kiislamu muuweni...

    • @bashirmahero7021
      @bashirmahero7021 2 วันที่ผ่านมา

      Wapi inasema hivyo kama Kuna kitabu chenye kiliua bado kinaua ni bibilia

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 3 วันที่ผ่านมา +6

    YAANI SHAFFI ANASOMA YOHANA 17:3 LAKINI JINI LIMEMZIBA AKILI HAELEWI KABISA ANACHOKISOMA!!
    "MUNGU PEKEE WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA"!!
    SHAFII NA WALIMU WOTE WA KIISLAMU, HUONA TU NENO "ULIOMTUMA" PEKEE KWA HIYO 17:3,,,,,,,,,,KAMA NI UTUME....,,,,,MITUME NI WENGI ...........IBRAHIM, SULIMANI, MUSA ETC...........LAKINI AYA INASEMA MUNGU NA YESU KRISTO KWA UZIMA WA MILELE............HAISEMI MUNGU NA MTUME YEYOTE YULE.......,,,,,,MUNGU NA YESU KRISTO..........NJE YA MUNGU NA YESU KRISTO = JEHANAM DIRECT!!
    WAISLAMU FUNGUKENI AKILI!!

    • @salisali3738
      @salisali3738 3 วันที่ผ่านมา +1

      Kama ilivo funguka yako eeee😂😂

    • @سعدياقوت-ت2خ
      @سعدياقوت-ت2خ 2 วันที่ผ่านมา

      Tatizo ni mavi munayo lishwa kanisani yame wavuruga akili na ufahamu ndio mana hamuelewi na mm nimeona wakristo muna chapwa na hio hio bibilia yenu na hamuoni mulivyo changanyikiwa kwa kula mavi sakramenti 😂😂😂😂😂

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา +2

      @@salisali3738
      Kabisa....sioni utume tu....naona umoja wa Mungu NA Yesu Kristo!!
      Kama ni utume, mbona sio Mungu NA Ibrahim, au Mungu NA muhammad???
      Anaisoma lakini haielewi!!! 😂😂😂😂

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา +2

      @@سعدياقوت-ت2خ matusi madogo ya watoto wa ibilisi allah tumeyazoea....ni nini sasa hapo huelewi hata wewe??

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n วันที่ผ่านมา

      @@wakeshojana hilo andiko liko katika injili ya yohana bilashaka injili ni kitabu alichopewa nabii yesu unaweza kutoa andiko kama hilo kwenye taurati au zaburi?

  • @danielkamau2987
    @danielkamau2987 2 วันที่ผ่านมา +1

    Shafii ni wapi kwa Quran Yesu mwenyewe anasema yeye ni Masihii..

  • @ANTHONYkamau-x2l
    @ANTHONYkamau-x2l 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ndacha kakuelimisha wewe.

  • @rejim2231
    @rejim2231 2 วันที่ผ่านมา +1

    BAADA YA YESU HAKUNA NABII MWINGINE YOYOTE WA KWELI ALIETUMWA NA MUNGU. MUHAMMAD NI WA MCHONGO. 😂😂😂😂😂

    • @rukiakadzo8053
      @rukiakadzo8053 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @orianamichael5295
    @orianamichael5295 2 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh majibu yako hayaeleweki na unajibu kipurure saana huna hoja za maana atakaekueewa wewe ni mtu ambae hana uwezo wa kutafakari

    • @TheAlman
      @TheAlman วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂 Yaani kama hata maandiko huelewi no wonder ujui bibria unafuwata maneno ya kiboko ya wachawi

  • @BobgIsmail
    @BobgIsmail 2 วันที่ผ่านมา

    Shaff wewe ni mwalimu wa wakiristo wote tanzania na kenya

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna mwislam anaeijua biblia kamwe , ni kama unapoteza muda kwasababu mwislam anaposema biblia hasomi Kwa kujifunza Bali anasoma kwaajili ya kutafuta makosa na akikosa hayo anayotafuta huleta tafsiri zake , bible sio Qur'an waliokariri bible mpaka uende shule

    • @abuuahmad3238
      @abuuahmad3238 2 วันที่ผ่านมา

      Sikio la kufa ...wenzio Ulaya na Marekani wanakimbilia kwenye haki makundi makundi maelfu...

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 วันที่ผ่านมา

      Chukua madini hayo ww mkiristo

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 วันที่ผ่านมา

      @@jakuabdull34 madini au upumbafu ,Hilo zee na Sura lake bovu , halijui chchte sasa MTU hata lasaba hajafika nae unaemzungumzia?

  • @rejim2231
    @rejim2231 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wapinga Kristo uyu apa Sheikh wenu anakubali kuwa huwezi iona pepo pasipo kupitia kwa Yesu. Muhamad amewauza mchana kweupeee. Imani ya Kikristo ni Imara sijawahi ona. Hakuna kiumbe anaweza teteresha.

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 2 วันที่ผ่านมา

      @@rejim2231 vichwa vyenu vina tope?hamtaki kuelewa mupo kiushabiki tu

    • @rukiakadzo8053
      @rukiakadzo8053 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @RamadanSemlingwa
      @RamadanSemlingwa 2 วันที่ผ่านมา +1

      Haujui chochote ndugu yangu elewa kwanza yule n mtume kama mitume wengine hata ukimkataa Iberaheem huna chochot kwa sababu Aya alioisoma tumeambwa tusivague miongoni mwao yeyote nae n mmoja wao

    • @TheAlman
      @TheAlman วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 Vilaza wa kikristo

  • @rejim2231
    @rejim2231 2 วันที่ผ่านมา +1

    Uislam tunaujua dogo Shafii! Acha kujitamba. Tunajua ukiuhama uislamu mtume ameamrisha kuuwawa

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 2 วันที่ผ่านมา

      @@rejim2231 ungeujuwa uislamu usingelienda kanisani kuimba wiki mara moja ukaacha kuabudu msikitini kwa unyenyekevu siku 1 mara 5

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 2 วันที่ผ่านมา

      Hivi ni kweli ukiacha uslimu wanakuua...eeh!!! Nipeni Aya Jamani...

    • @TheAlman
      @TheAlman วันที่ผ่านมา

      Kilaza mwenzio kakuuliza mpe aya inayosema ukiama uislamu unauwawa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 3 วันที่ผ่านมา +2

    Biblia 24:5 ni kitabu kipi hicho?????? WITHOUT LIES, ISLAM DIES!!,,

    • @shafiishomari2328
      @shafiishomari2328 2 วันที่ผ่านมา +2

      Matendo

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@shafiishomari2328
      Ndio kila siku unaambiwa unasoma Biblia lakini huelewi unachokisoma...ama unaipa tafsiri ya kwako kuwahadaa wafuasi wako maamuma...
      SIO BIBLIA INASEMA...NI (wenye imani sawa na waislamu) WANAOMSHTAKI PAULO NDIO WANASEMA NI MKOROFI.....NA WANAMSHTAKI PAULO KWA SABABU YA KURITADI. WANAMWEKELEA MASHTAKA MENGI TU SANA...LAKINI MWISHO UAMUZI UKAWA HIVI >>> Matendo 26:30 Ndipo Mfalme akasimama na Gavana na Bernike na wengine wote waliokuwa wameketi nao wakasimama. 31 Na walipokuwa faraghani pamoja wakasema, “Mtu huyu hafanyi jambo lo lote linalostahili kifo au kifungo.”

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา

      @@shafiishomari2328
      SIO BIBLIA INASEMA PAULO NI MKOROFI WACHA KUDANGANYA WAFUASI WAKO MAAMUMA!!
      WANAOMWITA MKOROFI NI WATU WENYE IMANI SAWA NA WAISLAMU...WALIKWENDA KUMSHTAKI PAULO KWA GAVANA KWA SABABU ALIRITADI..WAKATAKA AFUNGWE JELA AU AUWAWE...
      WALIMUEKELEA MSHATAKI MENGI TU SANA LAKINI MUNGU ALIKUWA UPANDE WAKE NA UPANDE WA SHETANI UKASHINDWA!!
      Matendo 26:30 Ndipo Mfalme akasimama na Gavana na Bernike na wengine wote waliokuwa wameketi nao wakasimama. 31 Na walipokuwa faraghani pamoja wakasema, “Mtu huyu hafanyi jambo lo lote linalostahili kifo au kifungo.”
      NAKUSIHI UMTAFUTE MUNGU WA KWELI SHAFFI UHUBIRI INJIL SAHIHI!!

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา

      @@shafiishomari2328
      SIO BIBLIA INASEMA PAULO NI MKOROFI WACHA KUDANGANYA WAFUASI WAKO MAAMUMA!!
      WANAOMWITA MKOROFI NI WATU WENYE IMANI SAWA NA WAISLAMU...WALIKWENDA KUMSHTAKI PAULO KWA GAVANA KWA SABABU ALIRITADI..WAKATAKA AFUNGWE JELA AU AUWAWE...
      WALIMUEKELEA MSHATAKI MENGI TU SANA LAKINI MUNGU ALIKUWA UPANDE WAKE NA UPANDE WA SHETANI UKASHINDWA!!
      Matendo 26:30 Ndipo Mfalme akasimama na Gavana na Bernike na wengine wote waliokuwa wameketi nao wakasimama. 31 Na walipokuwa faraghani pamoja wakasema, “Mtu huyu hafanyi jambo lo lote linalostahili kifo au kifungo.”
      NAKUSIHI UMTAFUTE MUNGU WA KWELI SHAFFI UHUBIRI INJIL SAHIHI!!....

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา

      @@shafiishomari2328
      SIO BIBLIA INASEMA PAULO NI MKOROFI WACHA KUDANGANYA WAFUASI WAKO MAAMUMA!!
      WANAOMWITA MKOROFI NI WATU WENYE IMANI SAWA NA WAISLAMU...WALIKWENDA KUMSHTAKI PAULO KWA GAVANA KWA SABABU ALIRITADI..WAKATAKA AFUNGWE JELA AU AUWAWE...
      WALIMUEKELEA MSHATAKI MENGI TU SANA LAKINI MUNGU ALIKUWA UPANDE WAKE NA UPANDE WA SHETANI UKASHINDWA!!
      Matendo 26:30 Ndipo Mfalme akasimama na Gavana na Bernike na wengine wote waliokuwa wameketi nao wakasimama. 31 Na walipokuwa faraghani pamoja wakasema, “Mtu huyu hafanyi jambo lo lote linalostahili kifo au kifungo.”
      NAKUSIHI UMTAFUTE MUNGU WA KWELI SHAFFI UHUBIRI INJIL SAHIHI!!

  • @Milanova460
    @Milanova460 2 วันที่ผ่านมา +2

    ...
    Shetani ndiye mwanzilishi wa uizilamu..

    • @mbarushimanasalimking6961
      @mbarushimanasalimking6961 2 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe nikafiri marihuniii achana na matusi na kuongeleleya maneno huyajui

    • @Milanova460
      @Milanova460 2 วันที่ผ่านมา

      @@mbarushimanasalimking6961 ...shetani ndiye alifinyafinya Mohamandi kwenye pango..

    • @Milanova460
      @Milanova460 2 วันที่ผ่านมา

      @@mbarushimanasalimking6961
      .. kafiri ni wazazi wako waliokuzaa kwa kukufuru...nawe ni mtu asiyejielewa hadi unaabudu njiwe nyeusi lililoko mekkah.

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา +3

      Kweli kabisa...sheatni alivlia sura ya "jibril" akamuamuru muhammad kuanzisha dini ya Kupinga Kristo!!
      Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.-2 Wakorintho 11:14

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 2 วันที่ผ่านมา

      @@mbarushimanasalimking6961
      Kafiri ni muislamu - Yuda 1:4

  • @IsaacNzai-e7s
    @IsaacNzai-e7s 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ongea yote zunguka huku na kule lakini yesu ni mwana wa mungu alitumwa na babake 😂😂😂😂

  • @omarchuo2178
    @omarchuo2178 2 วันที่ผ่านมา

    Tatizo wakristo hawataki kusikiliza kwa makini wao wanakurupuka kujibu vitu ambavyo hata havipo

  • @ernestbensonmwamengo1642
    @ernestbensonmwamengo1642 2 วันที่ผ่านมา

    Paulo Yuko sawa ....Ameiona NJIA ya UZIMA.WAISLAMU WANADAI KUWA WANAMWAMINI ILA HAWAMTII... Kwanza UNABII unatabiri kuzaliwa kwake isaya 7:14 na isaya 9:6-7 pia aliteswa isaya 53: 1-14 na haya yaliyotimia katika MATHAYO 1:21-23 pia MATHAYO 26, 27, 28. Pia Yesu alifufuka lakini waislamu wanakataa ufufuo wa Yesu Kristo. Hivyo...ni wapinga kristo..

  • @Alexsheezo
    @Alexsheezo 2 วันที่ผ่านมา

    Vimedia vya bongo ni mchwara badala ya kupeleka ujumbe uliotolewa na ney mnakatakata maneno nyinyi nyinyi ni wajinga sana

  • @revodeo6259
    @revodeo6259 2 วันที่ผ่านมา

    @simulizi,,hebu muulize ustadhi amesoma hiyo YOHANA 17;3 , mwambie aanzie 17;1 afu umuulize anayakubali na hayo maneno?. Ila yote kwa yote ustadhi amekiri uzima wa milele uko kwa Yesu ,,huko mliko sio salama tokeni .

  • @MusinHamad
    @MusinHamad 2 วันที่ผ่านมา

    Hajatajwa kwauspesho hapo rudia andiko amesimuliwa kuwa nineno naroho itokayo kwa mungu tu uspesho upowapi apo

  • @CHARLESMUGENDI-vn3gh
    @CHARLESMUGENDI-vn3gh 2 วันที่ผ่านมา

    Kiswahili kingi bali maelezo ni kwa ambaye haelewi na kufahamu kiswahili,sehemu yesu mwana wa MUNGU mbona Huwa Huwa hamsomi

  • @CHARLESMUGENDI-vn3gh
    @CHARLESMUGENDI-vn3gh 2 วันที่ผ่านมา

    Mbona humalizi andiko la mathayo 17

  • @ernestbensonmwamengo1642
    @ernestbensonmwamengo1642 2 วันที่ผ่านมา

    Soma waebrania 7:24-25 pia 9:24-25. Yesu pekee ndiye njia pia injili ya yohana 3:16-17...shafi asome hayo...

    • @TheAlman
      @TheAlman วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 Yaani nje ya mada kabisaaaaaa

  • @chapchap-oz1ou
    @chapchap-oz1ou 2 วันที่ผ่านมา +1

    MTANGAZAJI LAZIMA UWE MAKINI NA HAWA WAISLAMU....KAMA HUJUI MAANDIKO YA BIBLIA WATAYATUMIA KUKUDANGANYA..
    ANGALIA SASA ANADANGANYA ETI BIBLIA INAMWITA PAULO MKOROFI.....NI UONGO.....NI WATU WENYE IMANI SAWA NA WAISLAMU WALIOMWITA PAULO MKOROFI KWA SABABU YA KURITADI!!
    ISOME MWENYEWE HIYO STORY MATENDO KUANZIA 24 HADI 26 UPATE PICHA KAMILI!!

    • @lilhydon452
      @lilhydon452 2 วันที่ผ่านมา +2

      Huyu Shekhe juzi kalia sanaa😂😂😂eti Ndacha kasoma Maandiko nusu...lakini leo yeye anafanya hivo😊😊

    • @TheAlman
      @TheAlman 2 วันที่ผ่านมา +1

      Acha unafiki soma matendo 24:5
      Mtu huyu ni mkorofi. Anasababisha vurugu kwa Wayahudi kila mahali ulimwenguni. Ni kiongozi wa kundi la Wanazorayo. 6-8 Pia, alikuwa anajaribu kulinajisi Hekalu, lakini tulimsimamisha.[a] Unaweza kuamua ikiwa haya yote ni kweli. Mwulize maswali wewe mwenyewe.” 9 Wayahudi wengine wakakubali na kusema ndivyo ilivyo.
      Paulo Ajitetea Mbele ya Feliki
      10 Gavana alifanya ishara ili Paulo aanze kuzungumza. Hivyo Paulo alijibu, “Gavana Feliki, ninafahamu kuwa umekuwa jaji wa nchi hii kwa muda mrefu. Hivyo ninafurahi kujitetea mimi mwenyewe mbele yako. 11 Nilikwenda kuabudu Yerusalemu siku kumi na mbili tu zilizopita. Unaweza kutambua wewe mwenyewe kuwa hii ni kweli. 12 Wayahudi hawa wanaonishitaki, hawakuniona nikibishana na mtu yeyote wala kukusanya kundi la watu Hekaluni. Na sikuwa nabishana au kufanya vurugu kwenye masinagogi au mahali popote katika mji. 13 Watu hawa hawawezi kuthibitisha mambo wanayoyasema dhidi yangu sasa.

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@TheAlman
      Boss, wewe ndo uwache unafiki na ushabiki.....wewe na shafii hakuna tofauti mnasoma Biblia lakini hamuielewi....ni mashtaka ya uongo kwa sababu Paulo aliritadi!!
      Sio Biblia inamwita Paulo mkorofi....ni watu wenye imani sawa na waislamu walimwita mkorofi...sio Biblia kama shafii anavyo jaribu kudanganya....
      Walipeleka mashtaka dhidi ya Paulo kwa sababu ya kuritadi akawa mfuasi wa Yesu. walitaka afungwe jela au auwawe..
      Njama zao hazikufua dafu manake Paulo alikuwa upande wa Mungu na wao upande wa shetani....
      Mwishoe >> Matendo 26:30 Ndipo Mfalme akasimama na Gavana na Bernike na wengine wote waliokuwa wameketi nao wakasimama. 31 Na walipokuwa faraghani pamoja wakasema, “Mtu huyu hafanyi jambo lo lote linalostahili kifo au kifungo.”

    • @TheAlman
      @TheAlman 2 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@chapchap-oz1ouwatu gani hao au wale ambao wakristo munawaita watoto wa mungu?

    • @TheAlman
      @TheAlman 2 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@chapchap-oz1ouwaliomstiki na kinanani au wale ambao munawaita watoto wa mungu? 😂😂😂😂😂😂😂😂