SNAKE BOY | ep 25 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 2.3K

  • @zazalareinebosslady
    @zazalareinebosslady 3 วันที่ผ่านมา +612

    Ukipitiya comment yang ukisom vizur utagunduwa kuwa sikuomb like 😂😂so ukiwa unapenda snak boy ukitokey burundii tujuwane❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-bd1le4rn7g
    @user-bd1le4rn7g 2 วันที่ผ่านมา +56

    wow hii siku nilikua naisubir kwa ham kuludi kwa clam na villa waliokua pamoj na mm weka like

  • @user-hg4qs4qr7r
    @user-hg4qs4qr7r 2 วันที่ผ่านมา +29

    Natokea kenya jana nilipigwa tiagass ya naomba likes kumi tu jamen

  • @Mahratshafi-jn3tq
    @Mahratshafi-jn3tq 2 วันที่ผ่านมา +24

    Ninachompendea tem kakoso & clam yani hata wakitucheleweshea ndan ya siku 3 wanatulete kipande kirefe halafu kinanoga zaid ya kilichopita yani mko juu zaid wapendwa mnaweza Sanaa yani hamukeriii😂😂😂❤❤❤

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko 2 วันที่ผ่านมา +40

    Uyu Ugonvi wa kipara n'a zinga na upenda jameni ata like moja naupenda

  • @user-jw4vs9th9c
    @user-jw4vs9th9c 3 วันที่ผ่านมา +69

    Hii series ni nzuri Sana Tena Sana pongezi nyingi kwa Clam VEVO anawezaaa afu msiishiee kuomba like tuu toeni na pendekezo lenu yaani badala ya kuomba like msifie kwa kazi nzurii anayoifanyaa maana some times inakupa mawazo huku ukisema itatoka saangap ikiwa umechelewa apewe maua yake afu kuomba like baadae si mmeona me hata sijaomba like

  • @FredClaus-ql3vb
    @FredClaus-ql3vb 2 วันที่ผ่านมา +8

    Kazi nzuri clam vevo pongezi ziwafikie wale wote mlioshiriki kuitengeneza hii movie asa Kwa director kakoso,Mzee aliyekimbia na chupa,chaupele,pashambe,Mila,Zumba na mwasi. Ongereni Sana hatimae sasa himaya ya nzoya inakwenda kukombolewa❤❤❤❤. Ila tunawaomba msitucheleweshee episode inayofuata tunawapenda Sana timu clam vevo❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tunawatakia kazi njema huko location.🎉🎉 Salute kwako director kakoso

  • @Kib-jsanley
    @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +29

    Kenya 🇰🇪 saika basi kuna mahandamano🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wa kenya wezangu kesho tena twende mahandamano kama uko tiari nipeli like🎉🎉🎉ruto atoke

    • @Verohtv254
      @Verohtv254 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Zoea prezo wako mapema ndio best ❤❤❤🇰🇪

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 วันที่ผ่านมา +54

    Team strong hoyeeeeeeeeee umetegea snake boy ukiwa wapi jmn mm Niko Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰

  • @Gloriarespiki
    @Gloriarespiki 3 วันที่ผ่านมา +32

    MNAOMKUBALI CLAM LIKE APA❤❤❤🎉🎉ila watu Huwa mnalala TH-cam jmn dkk mbili comment miatano😅😅anewey kaz nzur clam ❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +1

      Like🎉🎉

  • @magesanyawaye655
    @magesanyawaye655 2 วันที่ผ่านมา +9

    sasa hivi wabongo tuko poa sana tulizoea kuyaona nigeria duuh ,big up team vevo!!!!

  • @NancieKatana
    @NancieKatana 3 วันที่ผ่านมา +116

    Uyu kiparaa anaboaaa uliee furahi kumuona ntanzi gonga likes hapo ,,,najua kimu ameuaa ndembo😂😂

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 2 วันที่ผ่านมา +3

      Alfu alifnywa nn n zinga eti

    • @LaurentSaduka
      @LaurentSaduka 2 วันที่ผ่านมา +3

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +1

      Like basii

    • @shav1057
      @shav1057 20 นาทีที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉🎉

  • @orindadavid2732
    @orindadavid2732 3 วันที่ผ่านมา +159

    Wakwanza from Kenya as we reject finance bill ,likes zangu zikuje

    • @liz77941
      @liz77941 3 วันที่ผ่านมา +1

      Like yangu niyaku reject finance bill

    • @judymulewa9302
      @judymulewa9302 3 วันที่ผ่านมา

      Niko hapa we rejected finance bill

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 3 วันที่ผ่านมา

      Viva

    • @user-ic7cg5lt7s
      @user-ic7cg5lt7s 3 วันที่ผ่านมา +1

      Yangu ni ya reject finance bill

    • @mahmoudsingle7808
      @mahmoudsingle7808 3 วันที่ผ่านมา

      #REJECT

  • @JemahEvaristo
    @JemahEvaristo 3 วันที่ผ่านมา +36

    Nmekua watano leo nimejitahid sana kila siku nakua wamwisho

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +2

      Mrembo nipe like basi🎉🎉🎉nimekupeya iyo mimi🎉🎉

  • @nurually5993
    @nurually5993 2 วันที่ผ่านมา +18

    Waliofurahia ntanzi kurud wote like hapa 😂😂😂

  • @user-pf3zc6kv5q
    @user-pf3zc6kv5q 2 วันที่ผ่านมา +22

    tunaopenda kukimbilia kusoma comment uku tukiangalia snake boy gonga like

  • @tc_angel
    @tc_angel 3 วันที่ผ่านมา +47

    Aliyefurahi kumuona Ntanziiii😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @maylucson001
      @maylucson001 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 3 วันที่ผ่านมา +79

    Watu wana omba like #jamanii 😅😅😅😅SI #waombe hata bando2😂😂😂😂😊

  • @SheilaVeen
    @SheilaVeen 2 วันที่ผ่านมา +6

    😂😂😂kumbe si umbea tu unao hata uchoyo eii zinga
    Kenya nawarepresent❤

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 3 วันที่ผ่านมา +5

    kali sana, hadi Farasi wametoroka 😅😅🔥 Episode 26 msiicheleweshe

  • @MoringeLeboy
    @MoringeLeboy 3 วันที่ผ่านมา +20

    My neighbor Kenya, tupo pamoja kwa kipindi kigumu, we love you, you lost your heroes, wapumzike kwa amani mashujaa❤❤❤

    • @abuuvanlampard2564
      @abuuvanlampard2564 3 วันที่ผ่านมา +1

      👊👊👊👊👊na kesho tunakula chakula cha raisi ikulu sai network iko chini ili tusiingie mtandaon ila tunaingia hivyo

  • @Morganpromoter
    @Morganpromoter 3 วันที่ผ่านมา +129

    Nipe like zangu all the way from🇧🇮to🇿🇦

    • @AchileusNshekanabo
      @AchileusNshekanabo 3 วันที่ผ่านมา +1

      Acha hzo support bana

    • @chrissmaphone9470
      @chrissmaphone9470 3 วันที่ผ่านมา

      Izo likes utakunya au

    • @OmbeniChaulema
      @OmbeniChaulema 3 วันที่ผ่านมา +1

      Wa pili mm nimepeni like za kutosha jaman

    • @ExaveryLukas
      @ExaveryLukas 3 วันที่ผ่านมา

      Vp uko bize na snake boy vp maandamano kwenu yameisha

    • @Morganpromoter
      @Morganpromoter 3 วันที่ผ่านมา

      Njoo utusaidie sasa😂😁

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c 3 วันที่ผ่านมา +5

    Hii snake boy inanipamba yaaani sichoki kabisaaaaa much love clam vevo pamoja na team yako ❤❤❤🎉🎉

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +1

      Nipeni like🎉🎉

  • @aminamtondo1302
    @aminamtondo1302 2 วันที่ผ่านมา +12

    Kwani m ndio siwez zipata hizo like kwanini😢 naomb jmni

  • @QofSaidiKbsk01
    @QofSaidiKbsk01 3 วันที่ผ่านมา +122

    Nyinyi hamna vitu vya kufanya, kila mda online eti nipe like fyooto mimi ni wa nyoko. Waaaaacha! Les congolais vous êtes là 🇨🇩 ??

    • @nafsajuma6269
      @nafsajuma6269 3 วันที่ผ่านมา +1

      Waaambie bhana wanakera

    • @AsimweMusinguzi
      @AsimweMusinguzi 3 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂😂 ns y sommes mn chef 🇨🇩🇨🇩❤, kwani fyooto na nyoko ni muhimu 😅

    • @vovobi2379
      @vovobi2379 3 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅😅😅😅nimecheka

    • @chadrackkyakutala6423
      @chadrackkyakutala6423 3 วันที่ผ่านมา +1

      On est là mon frère 🇨🇩💪

    • @user-ov6yi7vw7d
      @user-ov6yi7vw7d 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mattutu
    @Mattutu 3 วันที่ผ่านมา +113

    Am from Kenya tulikuwa maandamano ndio kurudi ,,,like 5 tuu please

    • @THEblack8991
      @THEblack8991 2 วันที่ผ่านมา

      Kumbe usiku hamuandamani manalala😂😂😂

    • @AgnesMasoud
      @AgnesMasoud 2 วันที่ผ่านมา +1

      Hujakatwa sikio

    • @Mattutu
      @Mattutu 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@AgnesMasoud l thank God am safe we try again in Thursday,

    • @Mattutu
      @Mattutu 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@THEblack8991 yeah usiku huwezi ona teagas 🤣🤣we just relax

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 วันที่ผ่านมา +2

      Reject the bill n Zakayo must go

  • @Salumu-hc8pf
    @Salumu-hc8pf 2 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi wa mwisho naombeni like jaman hata kumi tu😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Kib-jsanley
    @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +7

    Kenya mahandalano😢😢😢50 personnel's wamefariki tuna msiba tupeni like🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭

  • @mwabajaay4377
    @mwabajaay4377 3 วันที่ผ่านมา +23

    Alaa kumbe tajiri akifulia huonea wivu hadi maskni ,zinga alipeana kuku saii ananyimwa mihogo😅eti maskini akipata Kuna vitu zalia mbwata😂😂

    • @FatumaJay-bx1qo
      @FatumaJay-bx1qo 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂banawe alafu ss kipara bdo anahofia kusema kw wanaimaya

  • @pakpatriot-xk7qg
    @pakpatriot-xk7qg 3 วันที่ผ่านมา +19

    Movie hii inanipatia raha🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤,,, clam Vevo na wenzako, mbalikiwe. Pak toka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @mariammshana9709
    @mariammshana9709 2 วันที่ผ่านมา +31

    wangap hawataki zinga uchawi wake urudi gonga like hapa

  • @ErickEzekiel-lj8mu
    @ErickEzekiel-lj8mu 2 วันที่ผ่านมา +3

    Snake boy moto🔥 wa kuotea mbali bonge la season yani haijawahi tokea pig up sana wote walio shiliki kwenye snake boy❤😊🎉

  • @gigwamayara73
    @gigwamayara73 3 วันที่ผ่านมา +143

    Jamani wakwanza leo like kwa vevo boy❤❤❤❤❤

    • @AchileusNshekanabo
      @AchileusNshekanabo 3 วันที่ผ่านมา +1

      Support acha mambo ya like

    • @NtakarutimanaOlivier-gw3fx
      @NtakarutimanaOlivier-gw3fx 3 วันที่ผ่านมา

      Mi napenda sana movies zenu mungu awabariki ,naishi burundi

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acheni uboya na ufala like like
      Mtakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @ibrahimrenatus4804
    @ibrahimrenatus4804 3 วันที่ผ่านมา +15

    🎉Umetisha san CLAM pongezi kwenu pamoja na Director KAKOSO more love for you🎉🎉🎉

  • @aishakareem2349
    @aishakareem2349 3 วันที่ผ่านมา +13

    Humu kila mtu anasema yeye wa kwanza na anaomba like mnawasha mtafinywa na wachawi

    • @patrickmpangala3098
      @patrickmpangala3098 2 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅 ni Nomaaaa wananeng'eneka

  • @user-sd2ek9vd8c
    @user-sd2ek9vd8c 2 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani mimi na mshangazi wangu tunawafuatilia sana na tunapenda kazi zenu

  • @herllizzythaanaplatnumz8154
    @herllizzythaanaplatnumz8154 3 วันที่ผ่านมา +41

    Naombeni like angalau moja

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @TitusKurui
    @TitusKurui 3 วันที่ผ่านมา +48

    Wakwanza kutoka kenya wapi likes zangu jameeni

    • @benedictmsunga3290
      @benedictmsunga3290 3 วันที่ผ่านมา

      Wenzako wanaandamana wewe unamuangalia Clam

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 3 วันที่ผ่านมา +1

      Kirui ulihata mchele ya parliament

    • @frankmichael1968
      @frankmichael1968 3 วันที่ผ่านมา

      Anapata hadi time ya kucomment

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 3 วันที่ผ่านมา

      Bana Ii bleina tunapigania inchi na Iko home inawatch TU pono na youtube

    • @judymulewa9302
      @judymulewa9302 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@edwardngugi3537😅😅😅😅

  • @user-ge6iu2sn1i
    @user-ge6iu2sn1i 2 วันที่ผ่านมา +3

    Mtukufu we kila muda wali maharage ya naz khaa alafu mchoyo😂😂

  • @brucerinka8732
    @brucerinka8732 2 วันที่ผ่านมา +4

    Acheni kuomba like kama umeifuatilia snake boy tangu mwanzo kabisa unabudi kupiga like na commenti Toka Kenya mm wa kwanza💪💪 clam VEVO nakukubali

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา

      Nimekupa like🎉🎉

  • @Selevid-19
    @Selevid-19 3 วันที่ผ่านมา +36

    Leo wa kwanza mim toka songea Tanzania nipeni maua yangu🎉

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 3 วันที่ผ่านมา +19

    🧭🤳 nimechanganya vikalio kufika hapa, lakini nikawa nimchlwa sana, maana Msumbiji 🇲🇿 Mkoan Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa hadi Tanzania Dar ni safári ndefu kweli 😢😊😊 like zangu tafadhali jamani walau hamsini tu 🤲

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 2 วันที่ผ่านมา +3

    Ila hawa wazee wa kijiji wamecheza uhalisia sana dah kwa wale wanaotambua maisha y kijijni ndo wataelew

  • @FailaOg-c2q
    @FailaOg-c2q 3 วันที่ผ่านมา +75

    Jameni Leo nimewahi Wa kwanza Leo naombeni like zangu🇺🇸❤️‍🩹🫰💪🎉

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา +1

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @FailaOg-c2q
      @FailaOg-c2q 3 วันที่ผ่านมา +1

      @@kalakido9455 🤣🤣💪

    • @Winleizerabdy
      @Winleizerabdy 2 วันที่ผ่านมา +2

      Acha ufala ndo uende kula ama😂😂

  • @hassankalu540
    @hassankalu540 3 วันที่ผ่านมา +55

    Sitki mtu a like hii comment yngu juu ya mtukufu mn hii comment haiwahusu kbsa team vevo moto sana

  • @abduladinane
    @abduladinane 3 วันที่ผ่านมา +17

    Wale wezangu na mimi tujuwane hapa nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿

    • @NorteCarlitosJohn
      @NorteCarlitosJohn 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      2ko pamoja 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @abduladinane
      @abduladinane 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@NorteCarlitosJohn tamos juntos 🫂

  • @user-nd9wt4qp2m
    @user-nd9wt4qp2m 2 วันที่ผ่านมา +5

    Naona Kila mtu anadai amekuwa wa1, sasa mm ni wa katikati naombeni japo like hata 10 tu zinanitosha please guys.

  • @faizhassan5029
    @faizhassan5029 3 วันที่ผ่านมา +35

    Watching From War Country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 +254 lakini najitahidi kuangalia Tamthilia pendwa Nipeni likes wadau

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 3 วันที่ผ่านมา +14

    Yes move nzuri tunayoipenda klambevo tunakusap 0:15 oti moja kwa moja kabisa inatisha sana 0:22 kama unampenda clam mugongeelike hapo

  • @ramlasuleiman
    @ramlasuleiman 2 วันที่ผ่านมา +2

    Reject reject reject the bill ❤safi sana team Vevo 🎉🎉kazi imenyooka mashalah ❤❤more 💗 from kenya

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา

      Nipeni like🎉🎉

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mdau wa maana sana na shabiki mkubwa snake boy mwanzo mwisho hongereni san kwa kazi njem mko vizuri san

  • @BaziramwaboEugenetj-zm8rb
    @BaziramwaboEugenetj-zm8rb 3 วันที่ผ่านมา +16

    Ni tamu sana kabisa karibu

  • @Chief_kidd
    @Chief_kidd 3 วันที่ผ่านมา +88

    Ni chief khan apo naombeni like kwa wanao mpenda clam

  • @AmosSinkala-lx4sl
    @AmosSinkala-lx4sl 3 วันที่ผ่านมา +5

    *`kama umefurahi kuona mwakatobe a.k.a zinga anagombania chakula weka like Kwa clam na sio kwangu`*•

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu วันที่ผ่านมา +1

    Mwenye amefurahia kumwona mtanzi gonga like👍👍👍

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa 3 วันที่ผ่านมา +46

    Wà kwanza Leo naombeni like kumi2

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @JumaUsina-ut4on
    @JumaUsina-ut4on 3 วันที่ผ่านมา +34

    Wakwanza nipeni like

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +1

      Like🎉🎉

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา

      Nimekupa like🎉

  • @Akili820
    @Akili820 2 วันที่ผ่านมา +13

    Kwa leo nimechelewa kidogo aina shida kama una mkubali Clam veve dondosha like hapa 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @NovatusAlex
    @NovatusAlex 3 วันที่ผ่านมา +3

    Kaz nzuri Ila mnachelewasha vitu et

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj1379 3 วันที่ผ่านมา +172

    Naomba like 10 tu kwa kufungua mwanzo😂

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา +3

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @JumaRajabu-gg7ib
      @JumaRajabu-gg7ib 3 วันที่ผ่านมา +3

      Unabeigan

    • @JumaRajabu-gg7ib
      @JumaRajabu-gg7ib 3 วันที่ผ่านมา

      Hilii naloo kumbee shengee😂😂😂

    • @Shaksi434
      @Shaksi434 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndio mwenyemov au

    • @winmannwaka7048
      @winmannwaka7048 2 วันที่ผ่านมา

      Zina kusaidia nini like

  • @QuerinohilarioHilario-rg4ti
    @QuerinohilarioHilario-rg4ti 3 วันที่ผ่านมา +21

    Wakwanza leo naobeni like zangu Moz 🇲🇿🇲🇿🇹🇿

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @Njunwa-DK
    @Njunwa-DK วันที่ผ่านมา +1

    Yani nime fulai kumuona ntanzi na vila apo picha ndokwanza ina zidi kupendeza zaidi kama ume fulai gonga like

  • @dastanfuraha2244
    @dastanfuraha2244 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Good work in town #Clam Cris, Mungu akupe maisha marefu zaidi na yenye mafanikio tele uzidi kutuletea kazi nzuri kila leo, Amen🙏

  • @KisimbaAbed
    @KisimbaAbed 3 วันที่ผ่านมา +14

    From. Windhoek Namibia 🇳🇦 nimekuwa wakwamza droop my like

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @KisimbaAbed
      @KisimbaAbed 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Weeeee weeeee kipara ntakupiga konzi la icho kiutosi kama pakacha

  • @ShamimHassan-qm1et
    @ShamimHassan-qm1et 3 วันที่ผ่านมา +4

    Ila Chaupelle.unanifurahisha unavyojizuzua gafla😂😂😂😂❤

  • @David-uhayi
    @David-uhayi 2 วันที่ผ่านมา +2

    Afu clam karudi mweusi kabisa😂😂😂😂😂😂😂 anatokeya chupani 😅😅😅😂😂😂😂

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l วันที่ผ่านมา

    Kwani wao wenye kuomba like ivi mtazikula au shoboo TU....mbali na ivyo kazi nzuri guys....ila naomba chaupele aje Kenya tuje tujuane nimetokea kumpenda mie😅😅😅😅😂

  • @PROFESSOREJAKAITBONFACE
    @PROFESSOREJAKAITBONFACE 3 วันที่ผ่านมา +8

    Umeka kwa chupa sana clam asante kutoka inje tena ni Professor kutoka BUSIA border Kenya teso

  • @OfficialCleverYoung
    @OfficialCleverYoung 3 วันที่ผ่านมา +13

    From MOZAMBIQUE like for vevo❤

    • @user-ud7wn9km9s
      @user-ud7wn9km9s 3 วันที่ผ่านมา

      Tuko pamoja mozambique 😊

  • @RoziPeter
    @RoziPeter 3 วันที่ผ่านมา +14

    Na Mimi jamn sijawahi kupata like japo hata sijuw Ina maan Gani ili tumpeni mauya yake clam na kikosi chake maan wanaupiga mwingi jamm❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @YahyaHillow
    @YahyaHillow 2 วันที่ผ่านมา +3

    Africa yote ni Clam VEVO Kila siku....from south Africa
    .. hogera kijana chapati

  • @fredomomanyi3487
    @fredomomanyi3487 3 วันที่ผ่านมา +9

    Hili filamu nimelipenda kutoka kenya sijawah ona filamu tamu kama hili

    • @musasiame6138
      @musasiame6138 2 วันที่ผ่านมา

      Nenda kaandamane

  • @Yuniz-bb6tn
    @Yuniz-bb6tn 3 วันที่ผ่านมา +9

    naona kila mtu apa wa kwanza n anadaisha like,,,nongwe tuh😂😂

  • @zachariadeus
    @zachariadeus 2 วันที่ผ่านมา +2

    Naomba like5 team vevo from kigoma

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hiii tamthilia ni nzuri sana inafundisha na enalimisha imeteka Africa mashariki na kati. Kama unabisha njoo na hoja za mashiko

  • @soumah_bajaji_body_disegner
    @soumah_bajaji_body_disegner 3 วันที่ผ่านมา +60

    wa kwanza Leo bila kuchoka clam master like zake tuweke apa😂

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา +1

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @soumah_bajaji_body_disegner
      @soumah_bajaji_body_disegner 3 วันที่ผ่านมา +1

      Asa matusi ya nn Kaka kama hauwezi kulike pita sio matusi afu usipende kutukan mtu ambaye haumjuw haukuniwekea bado

  • @NuhuMwita
    @NuhuMwita 3 วันที่ผ่านมา +13

    Kwa leo like tano zinanitoxha❤❤❤

  • @qpperboy1381
    @qpperboy1381 2 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa hamtupigii simu tuje kuangalia mpaka nakuwa wa 155k sijaenda 😂

  • @iddymsulwafurniture6589
    @iddymsulwafurniture6589 2 วันที่ผ่านมา +1

    Daah so happy clam ur back.... Vila mzee wa kurukutanta mantete😂😂 . snake boy mmetisha knoma nomaa🎉🎉

  • @Nathanael1Kambale
    @Nathanael1Kambale 3 วันที่ผ่านมา +10

    Léo nime wahiii gonga lake 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 niko wakwanza

  • @qurthummrabdllh3635
    @qurthummrabdllh3635 3 วันที่ผ่านมา +13

    Ooooh jmny nimewah sana leoo naomben na mm basy nijue utam wa like 🎉🎉ata 5

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @qurthummrabdllh3635
      @qurthummrabdllh3635 3 วันที่ผ่านมา

      @@kalakido9455 shukraan ila samahan tusifikie kutukanana kwa ajili ya filam tu hatujuani pls chunga maneno yako

  • @RAMHADHANISSA
    @RAMHADHANISSA 3 วันที่ผ่านมา +1

    Perfect sana Kaka, Allah azidi kukujaalia kila la kheri

  • @MartinLazaro-zj6ke
    @MartinLazaro-zj6ke 3 วันที่ผ่านมา +1

    Clam cris. Kazi zako hazijawahi kufeli. You so good ❤❤🎉🎉🎉

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 3 วันที่ผ่านมา +5

    Kumbe sio umbea tu ata uchoyo unao aya ni makof ya mwana ukome ila mwakatobe 🤣🤣🤣💔

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr365 3 วันที่ผ่านมา +17

    Mbona mimi sio wa kwanza kutazama chaneli hii ya Clam-vevo napenda sana video zake kutoka Kongo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰💯💯💯🎉🎉🎉

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +1

      Like🎉🎉

  • @WaziriNapanja
    @WaziriNapanja วันที่ผ่านมา +1

    kusemakwel uyu jamaaa anajuwa sana ilakuna watu hawapend kazi yake hila kwangu mm haaa namkubali sana

  • @JeskaMalebo
    @JeskaMalebo 2 วันที่ผ่านมา +3

    mliokua United state like hapa

  • @MbalasaJRMwakabalile
    @MbalasaJRMwakabalile 3 วันที่ผ่านมา +34

    Kama unamkubali cram vevo na snake boy gonga like hapaaa

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา +2

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @MbalasaJRMwakabalile
      @MbalasaJRMwakabalile 3 วันที่ผ่านมา +2

      @@kalakido9455 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา +1

      Like🎉🎉

  • @IdayLams-d
    @IdayLams-d 3 วันที่ผ่านมา +27

    Nili isubiri sana🎉🎉

  • @SunduliThwalib
    @SunduliThwalib 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Am from Kenya yani siamini kua vila aliwezwa hadi kwekwa kwenye chupa na venye nilikua nimemwamini. Okay just waiting for episode 26 please like zangu hapo nikiondoka

  • @mwanaidisagala2426
    @mwanaidisagala2426 3 วันที่ผ่านมา +2

    Wa mafia gonga like my jamani tunasubili mpk tunasubili tena mbona mmekuwa MNA chukuwa sk nyingi Sana hamjalusha mpk tunasahau Leo imeisha cjui lini tena jamani 🙇‍♂️

  • @user-lj9nl3iv6j
    @user-lj9nl3iv6j 3 วันที่ผ่านมา +166

    Watu bwana baada ya mtu andike comment yake et anasoma ya kwangu nipeni like jaman mashabiki wa snek boy

    • @muhsinhassan5273
      @muhsinhassan5273 3 วันที่ผ่านมา +7

      Kma hutaki isomwe usiandike

    • @MatugaMakiad
      @MatugaMakiad 3 วันที่ผ่านมา

      I like you ​@@muhsinhassan5273

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 3 วันที่ผ่านมา +2

      Mhh

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา +6

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @allydanny3222
      @allydanny3222 3 วันที่ผ่านมา +2

      Himaya 😂

  • @user-oq2pv5zs7z
    @user-oq2pv5zs7z 3 วันที่ผ่านมา +7

    Ila uyu mwamba mbilikimo anapenda sana wali kubababake 😂🙌🏾

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 2 วันที่ผ่านมา

      Hamjasema mpaka mseme n mtasemaaa😂😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 2 วันที่ผ่านมา

    Mfaume ndio uwe joka hivyo unamtisha mshangazi jamani 😅😅🔥👏👏♥️

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tunamkubali mashambe tujuane😅😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Bongotimemedia
    @Bongotimemedia 3 วันที่ผ่านมา +22

    DOGO UNAJUA SANAAA IPO SIKU NITAKUTAFUTA GONGA LIKE APA CLAM

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 วันที่ผ่านมา

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 3 วันที่ผ่านมา +12

    Tunaokubali series ya snake boy boy tujuane kwa like za kutosha...😂😂😂😂

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 วันที่ผ่านมา

      Like🎉🎉

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuongezee ubunifu mtunzi all in all nawapenda San Kaz nzur🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AminaRamadhan-hb7jc
    @AminaRamadhan-hb7jc 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Vipi pongezi za zinga ameigiza ......like

  • @user-xk5ub6bq8p
    @user-xk5ub6bq8p 3 วันที่ผ่านมา +7

    Nipeni like zangu wakwanza from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮