BABUTALE ATAJA SABABU ZA KUKATAA KUMSAIDIA CHIDBEZ KWENYE MADAWA YA KULEVYA ''ALINIUMIZA''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 54

  • @evandan7
    @evandan7 5 ปีที่แล้ว +4

    Dah! Meneja aliekuwa msanii,una hekima za kutosha.......umesema ukweli mtupu......big up

  • @vansaleh5786
    @vansaleh5786 5 ปีที่แล้ว +4

    Tale nakuelewa mno ila kwa la chidi kama binadamu hujapaswa kumuhukumu kwa sigara pia kumbukumbu na kumzarau kwako kote ila chidi hachoki kukutafuta ujue jamaa anajielewa sana mitihani tu ya Mungu, lakini mwisho ya yote fanya unacho kiamini but fikiria mara 2 , Mungu akubariki ww na chidi pia 🤲🤲

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 5 ปีที่แล้ว +4

    Msaaidie Babu

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 5 ปีที่แล้ว +2

    Sema kwa kumpeleka italy ndio mtakwenda kumuua na madawa coz huko sober atakutana na watumiaji madawa kweli na madawa yamezagaa kama katana.

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 ปีที่แล้ว +2

    Ww huko na roho mbaya.... Kama huko na Nia mbona usimsaidie

  • @prezbeatztz
    @prezbeatztz 5 ปีที่แล้ว +4

    Msaidie brow mtu kama Huyo ni vgumu kuacha mapema vitu kama hvyo so kama kweli ulikuania yakumsaidia brow help him maisha yanachange ujue u never know

  • @abdulazizabdallah6297
    @abdulazizabdallah6297 5 ปีที่แล้ว +8

    baba tale jikaze kiume bro unapo ongea

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 5 ปีที่แล้ว +9

    Full interview plzzzzzz

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 ปีที่แล้ว

      Give your number I will send it to you via WhatsApp

  • @Moses-Kuria
    @Moses-Kuria 5 ปีที่แล้ว +1

    Kuna wengi wanastaili kusaidiwa lakini sio wavuta unga tunapitia shida nyingi lakini hatuvuti unga sasa ndo hawa wavuta unga wenyewe wamejitakia

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 5 ปีที่แล้ว +4

    Babu tale msamee kijana ni ubinahadam hahaha hanaponaaaa babutaleeee

  • @teddymwakanyamale9005
    @teddymwakanyamale9005 5 ปีที่แล้ว +2

    Kama kweli ulikua na Nia ya kumsaidia msaidie chid ulitakiwa uende nae taratibu angeacha polepole sio ghafla kumbe sigara tu bro.. usichoke msaidie Tena ,.. Kuna Leo na kesho ...

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 5 ปีที่แล้ว +1

    Tale siwezi kukulaumu, naona kama Hawa wavuta madawa wawe banned tu watajirekebisha wenyewe tu, sasa huko SA ndio atakufa maana anaenda kujimaliza

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 5 ปีที่แล้ว +9

    afu mkeo alimwelewa chid chid akiulizwa swali yupo makini kulijibu tena kisomi zaidi wangu msaidie na wasafi festv awepo mbona ile siku mondi anatoa misaada tandale alipafom vizuri tu

  • @kimshadyg4563
    @kimshadyg4563 5 ปีที่แล้ว +1

    Vipi mbna nusu nusu..tupe full video ya interview ya babu tale

  • @johnniejimmy2986
    @johnniejimmy2986 5 ปีที่แล้ว +6

    Mtu imara una ufala sana mzee

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 ปีที่แล้ว +8

    Ulikosea Tale kwakua yule sio rahis kuacha inatakiwa kuendanae taratibu .

    • @jimmiejr9531
      @jimmiejr9531 5 ปีที่แล้ว +1

      Kweli. Matibabu ya kuepukana na uraibu inawachukua hadi miaka sio suala la mwezi mmoja

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 5 ปีที่แล้ว

    Huyu Babu Tale amfanana governor wa Kenya aitwae sonko

  • @mohamedmlundi5637
    @mohamedmlundi5637 5 ปีที่แล้ว +4

    Babu msaidie Benz... Atapona

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa1486 5 ปีที่แล้ว +2

    Huyu tale mbn anaongea kidemu hivi

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 5 ปีที่แล้ว +1

    Sauti kama ya kideeeeeeeeeee m jikaze

  • @amanigalawa7422
    @amanigalawa7422 5 ปีที่แล้ว +3

    Msaidie bana

  • @bosscousin4467
    @bosscousin4467 5 ปีที่แล้ว +2

    yan babu tale anaroho mbaya hujawah onananayo

  • @ZanjabeelSalsabeel
    @ZanjabeelSalsabeel 5 ปีที่แล้ว +1

    *_Eti Shetani1 Akakuambia ACHA_*

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 5 ปีที่แล้ว

    Hii muziki iko nyuma inaudhi ....upuzi ujinga Tu kama ni mziki use mziki kama ni mahojiano si owe hiyo hiyo Tu...!!!! ...dammitt

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 5 ปีที่แล้ว +6

    babu tale ungemvumiloa tu sio rahisi kuacha paa msaidie tena wangu

  • @fabriceingabire8736
    @fabriceingabire8736 5 ปีที่แล้ว +2

    Tale A.K.A kamati ya fitina🤣🤣🤣😂

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 5 ปีที่แล้ว +6

    Wee nae ukitaka kumsaidia mtu msaidie cyo mguu ndani mguu nje mashauzi tu sigala ndo nini punguza mbwembwe

    • @ashrafallymhando7876
      @ashrafallymhando7876 5 ปีที่แล้ว

      Si kasema kama alifanya makosa kumpitezea na yy ni mwanadamu, unaongea hivyo kama na wewe umemsaidia vile

  • @kellsonofficial2182
    @kellsonofficial2182 5 ปีที่แล้ว +5

    Hahaha chidbenz eti kawa sec.......

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 5 ปีที่แล้ว +6

    WEKENI FULL INTERVIEW YA BABU TALE SIO KUWEKA VICLIP VIFUPI FUPI

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 ปีที่แล้ว +2

    achana naye yule atatumiya drag mpaka afe na kama unataka kwakumnunuliya sawa apo mtapatana juu anauwezo kwenye music hata akivuta ganja nasigara kibaya akiwa mwizi wala kibaka.

  • @octaviotheeog3964
    @octaviotheeog3964 5 ปีที่แล้ว +5

    Hii station ni ya kuinterview wasanii wa wasafi tu🤭🤭🤧🤧

    • @djkizzo152
      @djkizzo152 5 ปีที่แล้ว +1

      mobeto ni wa wasafi?

    • @abdallahmeddy7298
      @abdallahmeddy7298 5 ปีที่แล้ว +2

      Mobeto na whozu Madee MO music chege wote wasafi nao

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 5 ปีที่แล้ว

      Huna bando

    • @octaviotheeog3964
      @octaviotheeog3964 5 ปีที่แล้ว +2

      Mobeto si alikuwa mpenzi wa diamond alafu whozu ameproduce ngoma yake kwa s2kizz na madee ni mabeshte na wasanii wa wasafi naye chege walifanya collabo na chibu

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 2 ปีที่แล้ว

    Mkono wa kushoto ukitoa wa kulia ucjuwe

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 ปีที่แล้ว +1

    Tale wewe Una roho mbaya sana kila MTU anajua,unaongea taratibu ili ufiche ubaya wako lakini twakutambua,hakuna MTU mbaya sana kama ww katika industry ya music

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 ปีที่แล้ว +4

    HUYU JAMAA SHOGA AMA MBONA KALEGEA LEGEA SANA👀😂😂😂

    • @eryveendonick2056
      @eryveendonick2056 5 ปีที่แล้ว

      Munira Ahmed shogaaaa kumbe unaonekan at wew unafilwa ndo maan unawez kujua mapoz ya wafilwaji

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 ปีที่แล้ว

      Munira kweli anafilwa kabisa,na Mimi nataka nimfile huyu munira

  • @ishtaradel2998
    @ishtaradel2998 2 ปีที่แล้ว

    Tu

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka7165 5 ปีที่แล้ว +5

    UMEMSUSA 😁😁😁 WCB MLIONA BIASHARA HAILIPI??!! MANENO YA KIFEDHULI UKIMPATA DADA YAKO AJATULIA APEWE MIMBA......MNGEINGIA COZ YA KUJIFUNZA KUFUNGA GAVANA MIDOMONI

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 5 ปีที่แล้ว

      Hebu jaribu kuwa muelewa kilakitu kakiweka wazi

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 5 ปีที่แล้ว +3

    uyu jamaa anaongea kama shoga vile

  • @chobastian-chobo5759
    @chobastian-chobo5759 5 ปีที่แล้ว +4

    Tatzo huna shule, nani alikwambia madawa huwa wanaacha gafla, mtu anaweza kufa akiaacha gafla, tatzo lenu mnafanikiwa tu kiuchumi lakini shule hamna

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 5 ปีที่แล้ว

      Chobastian -Chobo
      hiyo ndio tatizo ya wa Africa wengi hawajuwi kuacha hizo dawa ni mutihani mkubwa saana wengi wanapenda kuacha ila si virahisi kweli Tale angekuwa na elimu angefahamu hivyo

    • @361NEWS
      @361NEWS 2 ปีที่แล้ว

      Fact

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb 5 ปีที่แล้ว +6

    Msenge we . Kuacha unga mpaka kuvuta sigara imekua ajabu? Ulikua huna nia tu mupo kuwasaidia watu kw kujipaisha tu. Fuck it stupid Tale

    • @gwangtaek1564
      @gwangtaek1564 5 ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂😂😂 nataman ungekuwa marekani ningekupa dolla300 haki