Isaak Maliyamungu alikuwa afisa wa kijeshi wakati Iddi Amin anaongoza taifa la Uganda. Maliyamungu aliogopwa sana Uganda kwa ukatili wake wakati anahudumu Jeshini kipindi hicho.
Uko saa hihi kabisa wafrica wanadanganywa Kwa maisha ya Leo tu kisha wanajitupa utumwani ,MTU analipwa hela ndogo Sana kumchagua MTU asiye faa kuongoza inchi
Isaac Mali ya mungu I love him
He was a good bad Man
Mkongo man,ndani ya uganda,ndio maana hawakufanikiwaaa
Mbona hujaiendeleza kaka?
Alifariki vipi kwa sumu, alikunywa sumu, au alinyweshwa sumu?
Mali ya mau
Haha 😅mshenzi sana huyu bwana
Mali ya manu
Amin sio dikiteta wafrica ndio wanataka kuongozwa kamaya idd.amini 🤣🤣🤣🙋♂️🙋♂️🙋♂️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷🇬🇷
Uko saa hihi kabisa wafrica wanadanganywa Kwa maisha ya Leo tu kisha wanajitupa utumwani ,MTU analipwa hela ndogo Sana kumchagua MTU asiye faa kuongoza inchi
Mbona fupi hivi Kaka ?asante Kwa maelezo yako mazuri