Asante sana. Mimi nikisema nikatukanwa. Ila ukweli utabaki ukweli tu. Kupanda kwa bei za vyakula kwetu sisi ni fulsa. Wakulalamika waendelee kulalamikia. Ila mimi natoa pongezi nyingi kwa mama Raisi mpendwa Samia Suluhu Hasani kwa kuruhu mkulima auze mazao ya kilimo kwa mtu yeyote. Hapa acha tu kazi iendelee.
Mama samia ametoa mbolea tupambane watanzania amesema kazi iendelee Tuangalie na upande wa Mungu watanzania tujitahidi kumheshimu Mungu anaestawisha mazao
ukigusa chakula umegusa uhai wa taifa. bahati nzuri taifa hili lina ardhi kubwa mno na yenye rutuba nzuri kwa kilimo... na mguvu kazi ipo Ni mikakati tu inatakiwa.
KATIBAAA, katiba yetu inamuelemea mtu mmoja, akiwa mzembe huyo basi wa chini watafanya wanavyo taka na kisiwepo cha kuwasulubu wanasiasa wanamaneno matam sana si upinzan au utawala lakin wisho wa siku wanainch wanabaki dynamal RIP JPM
Ukifatilia kwa ukaribu na umakini hata hotuba zao hazina mashiko na na hazitoi mwelekeo sahihi wa maisha halisi ya wa tz.UCHAWA TU HBR NA MADA KUU KWAO.
Kwa kweli umeongea ukweli mtupu! Tatizo chadema wanaacha kuwaambia ufumbuzi wa matzo Yao wananchi! Wanakalia katiba mpya! Watanzania tubadirishe fikra zetu tuache kuwa kama vifaranga vya kuku!
Huyu mbunge hajielewi bado Wakulima wamenunua vitendea kazi kwa mfumuko wa bei sasa watafurahi nini kupanda kwa bei ilihali wamenunua vitendea kaz kwa bei kubwa? hajui hata anaongea nini,,,,,,,Mfumko wa bei ni janga la Taifa nzima awe mkulima au mfanyakaz
JPM alikuwa na akili kubwa sana,kama angeweka lockdown hao Kenya, Uganda na nchi nyingine wangepata wapi chakula? naamini angekuwepo leo watanzania wangeshiba chakula,lkn kwa sasa gharama za maisha zinatufanya kula mlo mmoja, asante Mungu kwa sababu umeruhusu haya yatupate
Zamani mtu akiwa NA laki moja wanamwita tajiri shingi tano unakula wali NA kuku hotelini sumuni unakunywa chai NA mandazi mshara ilikuwa shilingi mia 400 tu lakini unakula mwenzi mzima NA inazidi ccm mbovu sana
kwenye maji ya ziwa hapo nakuunga mkono kwamba yatumike kwa kilimo ....si maneno matupu bali tuone vitende. Sisi tunataka chakula, tunataka kulima, tunataka pembejeo zenye ubora na kwa bei nafuu.
Mzee aliupiga mwingiii saana. Wewe ndio aina kiongozi tunayekuhitaji Tanzania. Unaona tatizo unakubali tatizo na kukiri hadharani na kulitolea ufumbuzi.
Acheni siasa baba yangu Hapo Mimi kwa kitetea ccm eti haikuwafukuza wamachinga ninani aliyetoa agizo na wakat wanafukuzwa aliyetoa agizo mbona hakusimama kukemea acha acha acha. Ujue na Mimi Nina masikio na Mwelewa ktk kusikiliza na kuchambua hoja
Ndugu zangu kikubwa ni kuthibiti utokaji wa chakula nje,,,then inabidi kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha,,hivo,,hela itapanda thamani ,kiasi kwamba hata ukifunga mipaka mwananchi atakuwa na hela yenye thamani,,ila sio kufungua mipaka huku hela yake unatumia kidogo imeisha na pembejeo ghari hakuna ukombozi wa kweli
Unaongea kama mkulima ama mlaji. Biashara ya chakula inatengeneza fursa kwa watanzania walio wengi kunyanyua maisha yao na kutajirika kwa kilimo . Kufunga mipaka sio solution. Vijana tufanye kazi tulime kwa bidii
Mkulima hivi ndiye hujipangia bei ya kuuza mazao kweli?.Ivi mkulima kuuza nje chakula c fulsa kwa serikari why isiwezeshe watu na kupunguza pembejea pamoja na kupunguza maushuru(mageti)aaah!Basi niishie hapa tu ila c powa,Ccm mmeiharibu nchi na mnaendelea kuiaribu
Swali langu Kama wananchi wasipo hiuzia serikali wakaamua kuuza nje ya nchi mtawa walazimicha. Serikari imekurupuka Sana Kwa uamuzi huo wa kufungua mipaka. Ilibidi ijipange Kwanza ktk kilimo cha umwagiliaji na kuanzisha kilimo kwakua wataalamu inayo. Ndio ingeweza kuzibiti bei ya chakila. Bashe amexhukua uhamuzi huo kisiasa Sana. Kwakua yeye Hana njaaa. Jaribuni kuwajari watanzania
yooooote tisa mheshimiwa lakini mwananchi mwenye njaa hakuna somo linaloeleweka zaidi ya chakula kwanza. Kula utakalosema watasema nyie mnakula mnashiba na kuwa mwenye shibe hamjui mwenye njaa
Na bado vitapanda vyakula mafuta. sasa wakulima wako mjini serekali ilime wawajiri watu wachukue wachina wawaonyeshe vp wao wanalima tanzania ina rutuba sema wakulima ndio tabu
rushwa ndio anasababisha mfumuko wa bei , semeni ulweli , samia kuingia madarakani tuu kila kitu kikaanza kupanda pei , hakijui hata kimoja akifanyacho.
Hiyo ndo point Shida ni mifumo ya serikali mibaya sana mana kila kiongozi anaingia madarakani na njaa na uchu wa kuiba. Jiulize kodi zinaendaga wapi? Mana Kila sekika ni mbaya! Hata ikitokea njaa serikali haiwezi kutoa hela kwa kila Familia kama sisi huku wakati wa covid kila Familia ilikua inapewa check kulingana na idadi ya watu kwenye nyumba kama mko 7 zinakuja check 7. Alafu miundo mbino ni mizuri ukiumwa we piga 911 wanakuja haraka kukukimbiza hospital bila kujari kama una hela au huna hayo yote ni badae cha mhimu unatiwa. Ndo mana ya human rights comes first
Umesema vizuri sana Bishop Gwajima, kazi yako nzuri unafuatilia kila kitu na kujali watu, Utatuzi wa tatizo.🙏🏻🙏🏻
Asante sana. Mimi nikisema nikatukanwa. Ila ukweli utabaki ukweli tu. Kupanda kwa bei za vyakula kwetu sisi ni fulsa. Wakulalamika waendelee kulalamikia. Ila mimi natoa pongezi nyingi kwa mama Raisi mpendwa Samia Suluhu Hasani kwa kuruhu mkulima auze mazao ya kilimo kwa mtu yeyote. Hapa acha tu kazi iendelee.
Mama samia ametoa mbolea tupambane watanzania amesema kazi iendelee Tuangalie na upande wa Mungu watanzania tujitahidi kumheshimu Mungu anaestawisha mazao
ukigusa chakula umegusa uhai wa taifa.
bahati nzuri taifa hili lina ardhi kubwa mno na yenye rutuba nzuri kwa kilimo...
na mguvu kazi ipo
Ni mikakati tu inatakiwa.
nani kama samia ? hakuna !!! kwa mifumuko ya bei , ugumu wa maisha na kuwanyanyasa wamachinga 🤣🤣🤣🤣
Akili kibwa saba🙌🙌
KATIBAAA, katiba yetu inamuelemea mtu mmoja, akiwa mzembe huyo basi wa chini watafanya wanavyo taka na kisiwepo cha kuwasulubu wanasiasa wanamaneno matam sana si upinzan au utawala lakin wisho wa siku wanainch wanabaki dynamal RIP JPM
Kwanza hapa nina njaa hata sikuelewi, nimepiga pasi ndefu leo.
Kilimo na ufugaji vifundishwe Mashuleni Kuanzia darasa la kwanza.
Shida sio kusomea shida ni kwamba serekali iatakiwa kuongeza zaidi nguvu Kwa kilimo
Upo sahihi! Na tutakuwa tumepiga ndege wawili Kwa jiwe Moja!!
Kulima kwenyewe tutalima kwenye ardhi ipi washajimilikisha?
Ni matunda ya serikali isiyokuwa na mpango mpaka maafa yatokee
Mungu atuhurumie tu wanasiasa si rafiki kwa Watu masikini😭
Bishop Kulazimisha uongo uwe ukweli..Kazi kweli kweli Anyway Hakuna mwanasiasa mkweli...
unataka ukweli upi sasa
Bkb tupeni jimbo letu la mjini tafadhali maana hawa wanazingua mno
Shida kila mtu hapa anawaza uchaguzi so chawa na kunguni watakuwa wengi na viroboto pia na huku wa tz wapuga kura waki hustle life.
Ukifatilia kwa ukaribu na umakini hata hotuba zao hazina mashiko na na hazitoi mwelekeo sahihi wa maisha halisi ya wa tz.UCHAWA TU HBR NA MADA KUU KWAO.
Kwa kweli umeongea ukweli mtupu! Tatizo chadema wanaacha kuwaambia ufumbuzi wa matzo Yao wananchi! Wanakalia katiba mpya! Watanzania tubadirishe fikra zetu tuache kuwa kama vifaranga vya kuku!
Kwaupande wangu huyu nimwalim wa maisha, namkubali sana huyu mzee
Barikiwa sana mweshimiwa
Huyu mbunge hajielewi bado Wakulima wamenunua vitendea kazi kwa mfumuko wa bei sasa watafurahi nini kupanda kwa bei ilihali wamenunua vitendea kaz kwa bei kubwa? hajui hata anaongea nini,,,,,,,Mfumko wa bei ni janga la Taifa nzima awe mkulima au mfanyakaz
Nakukubali mkuu chapa kazi
Yaondoe magari yako ya mchanga mto Tegeta unatusababishia maporomoko ya maneo yetu bwana gwajima.
Sema baba👌💪
HAHAHA ikikichwa kinamadini siyopoa ngwajima oyeeeeee
Kweli,huwezi tumikia mabwana wawili,siasa na Mungu,mmhhhh,
Nakubali mzee
Safi mheshimiwa tubadilike kimawazo kumalizika kwa matatizo kila penye ugumu pana njia mbadala
Namuamini Dr Bashiru Ally, ni mkweli, wengine ni wote ni pumbavu tu.
Mweshimiwa mbagala mali zetu wamebeba sana na kupigwa juu
Asante gwajima
Mkuu unazingumziaje wakati ujao na wakati hii leo watu hawaelewi wafanye nini aisee
Gwajima inyooshe nchi Kwa ujumla wetu serikali na wananchi ndicho nachoelewa unachomaanisha.
GWAJIMA nakuelewaaa sanaaa baba yangu
Gwajima jielewe, mchele umepanda kutokana na ubebaji kutoka vijijini, beiya mafuta imepandasana ndio maana chakula kimepanda bei, sio kule mashambani
Ndo shida ya wanasiasa ...
Mpina... Angalau... Gwajima..umepoteza mvuto
Mchele upande na vitu vingine vipande halafu afurahi mkulima...
Wewe kamalizie kanisa lako uite midukule watanzania tupo wengi ambao sio misukule
JPM alikuwa na akili kubwa sana,kama angeweka lockdown hao Kenya, Uganda na nchi nyingine wangepata wapi chakula? naamini angekuwepo leo watanzania wangeshiba chakula,lkn kwa sasa gharama za maisha zinatufanya kula mlo mmoja, asante Mungu kwa sababu umeruhusu haya yatupate
Tatizo watauza mpaka wanajikuta na wao wanaanza kulia njaaa
Mmmh mbio za Uraisi 2025 zimeanza haya yetu macho😎😎😎😎😄😄😄😁🙏
Dah! Natamani huyu Mwambah angekua President
Zamani mtu akiwa NA laki moja wanamwita tajiri shingi tano unakula wali NA kuku hotelini sumuni unakunywa chai NA mandazi mshara ilikuwa shilingi mia 400 tu lakini unakula mwenzi mzima NA inazidi ccm mbovu sana
Umeanza vzr kisha ukazingua gwajima
Pambana cmnt zingine za kkutasha tamaa zipuzie hongera sana kwa nena ukwel naiman maneno yako yatatuvusha mm cna hof na ww bishop gwaji
kwenye maji ya ziwa hapo nakuunga mkono kwamba yatumike kwa kilimo ....si maneno matupu bali tuone vitende. Sisi tunataka chakula, tunataka kulima, tunataka pembejeo zenye ubora na kwa bei nafuu.
Mzee aliupiga mwingiii saana. Wewe ndio aina kiongozi tunayekuhitaji Tanzania. Unaona tatizo unakubali tatizo na kukiri hadharani na kulitolea ufumbuzi.
kweli wamachinga wanatakiwa kupangwa na siyo kufukuzwa hovyo kama wakimbizi kwenye nchi yao
Nimemuelewa saana huyu mbunge
Acheni siasa baba yangu
Hapo Mimi kwa kitetea ccm eti haikuwafukuza wamachinga ninani aliyetoa agizo na wakat wanafukuzwa aliyetoa agizo mbona hakusimama kukemea acha acha acha. Ujue na Mimi Nina masikio na Mwelewa ktk kusikiliza na kuchambua hoja
Hizi hoja hazina msingi kabisa..Kwa watanzania wasasa hawatakuelewa kabisa..
Huyu jamaa anaongea vitu alivyo vifanyia utafiti na ni vya uhakika.. haropoki✅
Ongea ukweli wakimaind rud church
🤣🤣🤣
Ndugu zangu kikubwa ni kuthibiti utokaji wa chakula nje,,,then inabidi kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha,,hivo,,hela itapanda thamani ,kiasi kwamba hata ukifunga mipaka mwananchi atakuwa na hela yenye thamani,,ila sio kufungua mipaka huku hela yake unatumia kidogo imeisha na pembejeo ghari hakuna ukombozi wa kweli
Ccm ni hatari sana
Umeanza kwa kiki, nikahic una points!!!! Nilipe bando langu
😂😅😂
Ulitaka akuahidi kilo ya mchele buree?
😂😂😂
Kiki gani umeona wakati anaongea point
We sema tu unataka urais😅😅😅
Hakika selikali hii inazingua sanaaaaa
Nyie mnashibisha wake Nya na waganda wanini ujanja wa JPM haunufaishi wanaichi
Yaani sijasikiliza hadi mwisho ila huyu nani keshakunywa maji........
Askofu Gwajima ajengewe sanamu pale mwanza akili kubwa sana hii na hazina kubwa ya taifa
We ni mjinga sana wakulima hawana mchele tena walishauza na wafanya biashara kutoka nje walisomba moja kwa moja
Namiliki herkopta binafs 🔥🔥😂
Mbwa koko wewe uliyejaa wivu na hira,ulitaka amiriki fisi
Fanya kazi kuma wewe
huyu jamaa ana akili kweli
Mch.Ngwajima
Ana akili sanaa
Kwnz njaa inaum 😢
Msiuze chakula nje
Kwani wanauza Cha kwako? Kalime Cha kwako ndo usiuze nje
Mipaka ipo wazi, fungeni mipaka mchele usitoke nje ya Tz.
Unaongea kama mkulima ama mlaji. Biashara ya chakula inatengeneza fursa kwa watanzania walio wengi kunyanyua maisha yao na kutajirika kwa kilimo . Kufunga mipaka sio solution. Vijana tufanye kazi tulime kwa bidii
Kwamba Kwamba sijaelewa mkuu
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Mkulima hivi ndiye hujipangia bei ya kuuza mazao kweli?.Ivi mkulima kuuza nje chakula c fulsa kwa serikari why isiwezeshe watu na kupunguza pembejea pamoja na kupunguza maushuru(mageti)aaah!Basi niishie hapa tu ila c powa,Ccm mmeiharibu nchi na mnaendelea kuiaribu
Ndio
Sasa mweheshimiwa samia alipo sikia wamachiga wananyayaswa alitia neno sikanyamaza usimtetee samia ndio chazo machinga kunyayasika mnaona chaguzi karibu mnadagaya mh
Hakuna kitu hapo porojo tu
WWE subiri icho kitu unachokisubili utakipata!!!
Swali langu Kama wananchi wasipo hiuzia serikali wakaamua kuuza nje ya nchi mtawa walazimicha. Serikari imekurupuka Sana Kwa uamuzi huo wa kufungua mipaka. Ilibidi ijipange Kwanza ktk kilimo cha umwagiliaji na kuanzisha kilimo kwakua wataalamu inayo. Ndio ingeweza kuzibiti bei ya chakila. Bashe amexhukua uhamuzi huo kisiasa Sana. Kwakua yeye Hana njaaa. Jaribuni kuwajari watanzania
Kwa hiyo mipaka hamfungi?
Wafunge I'li wakulima tuingiliwe hii kufa kufana
Hapa raisi ni mzee wa ubwabwa hashim rungwe, tungekuwa tunakula ubwabwa bure sasa hv
🤣🤣tungekuwa tunajilia zetu ubwabwa tu😀😀
Nmh watu mbona kama hawapo hata kukohoa au kipande icho hawakuelewi
Kwani Nani anapenda kufanya KAZI tuanze na wew
yooooote tisa mheshimiwa lakini mwananchi mwenye njaa hakuna somo linaloeleweka zaidi ya chakula kwanza.
Kula utakalosema watasema nyie mnakula mnashiba na kuwa mwenye shibe hamjui mwenye njaa
Sasa cjui anampiga sound nani maana karopoka sana cjaona point
@@abdulhakeem959 atasoma tu ataelewa au ataambiwa na watu wake.
Umesema ukweli . Watu wakalime ela ziko njenje wengi hawaelewi.
Kosa kwanini wanapo fanyiwa ukatili h hawachukui hatua
Huyu si ndo alituambia amenunua treni yake? Yaani bado mnamuamini?
Hiii
Kwahiyo tuendelee kuumia Hadi mjenge magala baada uongelee Leo yajayo hapo hamna ukweli ni unafiki mtupu
JPM alikuwa na vision na aliyaona haya yatatokea!
Tundulisu ameanza kuwaonyesha njia mtatueleza tu
Unaongea misuri ikikutoka kama point chizi gwajima
kwey umachinga hapo tuna jambo let 2025 nyie bwatuken tu liko moyoni
Swala linaanzia kwenye mbolea jmn kwenye swala la mbolea ndo tatizo
Vipi Ile safari yetu sisi wakazi wa kawe kwenda Birmingham marekani?
😀😀😀
Kama uliambiwa unaenda Birmingham Marekani walikudanganya
Kuhusu safari hiyo nichagueni tena 2025 mtafurahi wenyewe tutaanzia santiago
@@abdulhakeem959 😂😂
@@Kijana-wa-Tanzania tatizo la wanasiasa wetu wanawaona wananchi kama mazuzu hivi.hiv kweli mtu anaahidi kupeleka Birmingham.na kibaya zaid majitu yanachekelea.
Nakupongeza mbunge wa jimbo la kawe kwa kuongea ukweli watu walishazoea kuisingizia serikali kwa kila kitu
🔥🔥🔥🙌
Kwa mkutano huo ni jibu tosha hamna chenu, points za gwajima hazieleweki
Siasa isiyo na tija, chakula kikiisha ndani ya nchi, atakaeteseka ni mwananchi na wala sio mwanasiasa
💪
mmeanza kuwakmbumbuka wapiga kura machinga mnatumia saikoloji kwamba mliamiwa muwapange kumbe mliambiwa muwakimbizee hilo haingii akilini mtajua kwamba machinga nimtuuu gani ngoja jampeni zianzeee
Na bado vitapanda vyakula mafuta. sasa wakulima wako mjini serekali ilime wawajiri watu wachukue wachina wawaonyeshe vp wao wanalima tanzania ina rutuba sema wakulima ndio tabu
Ccm mmeisha 2025 tuna taka chadema
Wote wahuni
....
Serikali haina mipango, wewe ongea,sifia sana upokee pesa za ubunge urudi jimboni kuahidi lakini ufumbuzi hakuna miaka yote. Pambania Katiba mpya tu
Hamna kitu apo ni chenga tupu
Mazuzu
Mtumishi wa Mungu aliyeramba asali gwajiboy
Na hiyo ndo shida
Ninazipenda hoja zako waambie
Akasema mtu hawez kutumikia MUNGU wawili
Gwajima umeumaliza mwendo kwa tamaa zako
Suleimani......daudi......esta......mathayo
Siasa mchezo furani wa uongo uongo tu.
rushwa ndio anasababisha mfumuko wa bei , semeni ulweli , samia kuingia madarakani tuu kila kitu kikaanza kupanda pei , hakijui hata kimoja akifanyacho.
Hiyo ndo point
Shida ni mifumo ya serikali mibaya sana mana kila kiongozi anaingia madarakani na njaa na uchu wa kuiba. Jiulize kodi zinaendaga wapi? Mana Kila sekika ni mbaya! Hata ikitokea njaa serikali haiwezi kutoa hela kwa kila Familia kama sisi huku wakati wa covid kila Familia ilikua inapewa check kulingana na idadi ya watu kwenye nyumba kama mko 7 zinakuja check 7.
Alafu miundo mbino ni mizuri ukiumwa we piga 911 wanakuja haraka kukukimbiza hospital bila kujari kama una hela au huna hayo yote ni badae cha mhimu unatiwa.
Ndo mana ya human rights comes first
Nilidhani ataongea jambo la maana nikasahau ni ccm na ukishakuwa ccm ubongo unahamia tumboni alafu tumbo linahamia kichwani.
Hapo ni uongo mtupu