Ukisema cha nni wenzio wanasema watakipata lini😂😂😂 ila Dr Riz katklisha matango pori .yye ni Dr wa wanawake lkn hakuelewa tatizo la Riya hadi kushauriwa na rafiki yake sijapendaa wallah
L ucaaaaasssss.. hii imenifurahishaaa .Tengeru maji ya chai 😂😂😂,,Badriyah amenifurahisha,,kuna wakati mwanamke hujipata on the edge sehemu za Siri zikiwa zinatoka uvundo. 😢 ladies nowadays kuna home remedies za kuosha uke,,na pia google can help you get the required medication..i really enjoyed listening to this story,,, huge blessings follow you mtoto wa mamakeee Lumbasii
Daaah thenks kwakutupa kitu kipya my brother tunakupenda san ety
Much love from kenya i wish one day to meet you Lucas ♥️
🎉🎉nimekuwa wa 27 si mnipe like nawa❤❤ nyote hi simuliz pia nitamu kaka Lucas nakupea salamu
Kazi kazi
Pole sana,kwahilo ulilo pitia
Leo hakuna kuhema bandika bandua hadi laha hakuna tena mawazo ubalikiwe sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Safi👌👌
mzigo bado wa motto ❤❤❤
good job🎉🎉🎉❤❤
aya wapenz wasklizaji mpooo😊😊😊
Wow shukran kaka Lucas Lumbasi haya Riyanh alifanyaje tena❤❤❤❤
❤❤wauuw Riyah niktu kpyaaaa👂mwetu eeeh nifuru kuenjoy, kaka asate mungu akubalik kazi yako. Nimewah like znifikie nami nawapendo mno ote🌹🌹🎧🪑👩🦯
@@TeklaNdekeja ⁿᵃⁱʷᵉᵏᵃ ᵐʷᵉⁿᶻⁱᵒ ʰᵃᵈⁱ kesho
@@Kellyperry947mh bado una viporo ?
@@TeklaNdekeja ʸᵉᵃʰ ⁿᵈⁱᵒ ⁿᵃᶠᵘⁿᵍᵘᵃ Edna
Sawa enjoy rafikiangu❤
Nas tunakupend pia
Waoooo mambo matamu tunaenjoy shukrn sana
Thankx broo
mpenzi wa kweli anatoka kwa mungu ❤❤❤❤
Asante sana Lucas kwa simulizi hii mpyaa ya riyah likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Ausio😅😅❤🎉🎉
Ndyo
Naona mvua ya masimulizi🎉🎉🎉🎉
Na bado ujaona, utakuwa unakula kipolo kama mm😂😂😂
@@هايلينل😂😂😂😂
Kaka Lumbas tuletee mzigo tuupendao
Lucas lumbas❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kitu kipya ndani
Lucas lumbas naomba ya comedy jamani nime miss sanaaaaa kucheka from Oman 🇴🇲 please ❤
🤣🤣🤣 kucheka
Unakitu utafika mbali
@@Melaninmengi:kweli kabisa tunataka kucheka xx
Ukisema cha nni wenzio wanasema watakipata lini😂😂😂 ila Dr Riz katklisha matango pori .yye ni Dr wa wanawake lkn hakuelewa tatizo la Riya hadi kushauriwa na rafiki yake sijapendaa wallah
Weee wete sehem gani maana nipo uku😅😅😅😅❤
❤
Yani simulizi nitamu mwakahuu hatri hatri MashaAllah ❤️❤️🇴🇲🇴🇲
Lucas simulizi zako zina mafundi sho sana. Asante kwa sauti yako inayo tuburudisha kila siku. Silali bila kusikiliza stori nzuri❤❤❤🎉🎉🎉
Simulizi poa Sana, huyu Ni Mumbi Wa Naivasha
❤❤
Mashalla love story ❤❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😊Nimeipnd akih
Mhmh
Mmh kitu kipya ila nmechelewa sy pp😢
Amen amen mama ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
N Tamu Sana ❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
amani na itawale siku zote
Hakika mapenzi ya dhati hayafi
L ucaaaaasssss.. hii imenifurahishaaa .Tengeru maji ya chai 😂😂😂,,Badriyah amenifurahisha,,kuna wakati mwanamke hujipata on the edge sehemu za Siri zikiwa zinatoka uvundo. 😢 ladies nowadays kuna home remedies za kuosha uke,,na pia google can help you get the required medication..i really enjoyed listening to this story,,, huge blessings follow you mtoto wa mamakeee Lumbasii
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Mambo yuu
Mie stori km hizi ndo nazipenda kaka luu😊
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Duuh imeisha vizuli ila tungejuwa mwisho wa Ex wa Dr liz maana alikuwa namashauzi sana
😂😂😂😂 Mungu apendi hivyo
Hv kwel wanaume hamuwez vumilia harufy hata kama unampenda sanaa huyo mwanamke
Wow simulizi nzuri sn lucas ninaomba utuletee simulizi mpya km ya riyah au naya
Kitu kitam iki
Kikioza usikitupe kitaokotwa ujute
😊
❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
❤❤❤
❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤